DAR: Mwenyekiti wa zamani wa #CHADEMA, #FreemanMbowe ameeleza sababu ya kukaa kimya tangu Uchaguzi Mkuu wa chama hicho, Januari 22, 2025 ulipomalizika, akidai wanaotakiwa kuzungumza kwa sasa ni Viongozi waliokabidhiwa Mamlaka na chama
Mei 19, 2025, alipoulizwa sababu ya kuwa kimya, alijibu “Niseme nini my brother!? Wasemao ni wenye mamlaka.... wasije wakadai tunawashwawashwa.”
Ikumbukwe Mei 18, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jacob “Boni Yai”, alitangaza hana mpango wa kuhama chama, akadaia anaamini baadhi ya Makada wa chama hicho wanaohama wakitumia jina la Mbowe hawajatumwa na Mwanasiasa huyo
Soma https://jamii.app/MboweNukuu
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Mei 19, 2025, alipoulizwa sababu ya kuwa kimya, alijibu “Niseme nini my brother!? Wasemao ni wenye mamlaka.... wasije wakadai tunawashwawashwa.”
Ikumbukwe Mei 18, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jacob “Boni Yai”, alitangaza hana mpango wa kuhama chama, akadaia anaamini baadhi ya Makada wa chama hicho wanaohama wakitumia jina la Mbowe hawajatumwa na Mwanasiasa huyo
Soma https://jamii.app/MboweNukuu
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
👍2
GEITA: Ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa Kilometa 3 na barabara zake unganishi zenye urefu wa Kilometa 1.66 umekamilika na unatarajiwa kuzinduliwa Juni 19, 2025
Ikumbukwe, mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekuwa wakilalamikia matumizi ya vivuko eneo hilo kuwa yanachangia foleni na msongamano wa Abiria kutokana na changamoto ya kupata hitilafu mara kwa mara, wakawa wanatoa wito ujenzi wa Daraja ukamilike ili kupunguza usumbufu huo
Soma https://jamii.app/KigongoBusisiDaraja
#JamiiForums #ServiceDelivery
Ikumbukwe, mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekuwa wakilalamikia matumizi ya vivuko eneo hilo kuwa yanachangia foleni na msongamano wa Abiria kutokana na changamoto ya kupata hitilafu mara kwa mara, wakawa wanatoa wito ujenzi wa Daraja ukamilike ili kupunguza usumbufu huo
Soma https://jamii.app/KigongoBusisiDaraja
#JamiiForums #ServiceDelivery
Huko Nchini Sweden, kuna hoteli ya barafu tupu ambayo hujengwa upya kila mwaka. Wasanifu wa Majengo kutoka duniani kote hualikwa kusanifu (design) vyumba vya hoteli hiyo, hivyo kuvifanya vya kipekee na vyenye mandhari ya kushangaza kila Msimu
Huko ndani je? Ni maajabu! Kila kitu ni barafu: Vitanda, taa, sanamu hadi glasi za vinywaji nazo ni barafu tupu! Kuhusu baridi usijali, japo joto hushuka hadi nyuzi -5°C, wageni hulala vizuri kwenye mifuko ya kulalia yenye joto kali
Mdau, unaweza kulala siku ngapi kwenye hii hoteli?
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #Tourism #IceHotel
Huko ndani je? Ni maajabu! Kila kitu ni barafu: Vitanda, taa, sanamu hadi glasi za vinywaji nazo ni barafu tupu! Kuhusu baridi usijali, japo joto hushuka hadi nyuzi -5°C, wageni hulala vizuri kwenye mifuko ya kulalia yenye joto kali
Mdau, unaweza kulala siku ngapi kwenye hii hoteli?
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #Tourism #IceHotel
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro leo Mei 20, 2025 akizungumza kuhusu Mawakili kutoka Kenya waliozuiwa kuingia Nchini kumtetea Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema "Kwa uelewa wangu wale hawana leseni ya kufanya shughuli za Uwakili Tanzania, kwa hiyo wanachokuja kukifanya ni uvunjifu wa Sheria zetu lakini kwanini waje kwetu wakati kwao yamewashinda, nyumba yako inawaka moto unataka kuuzima kwa jirani? Huu ni unafiki, na sisi Watanzania hatutaki unafiki, kwenye eneo la Haki za Binadamu tupo vizuri sana"
Soma https://jamii.app/NdumbaroZuioWakenya
#JamiiAfrica #JamiiForums #Diplomasia #Democracy #Governance
Soma https://jamii.app/NdumbaroZuioWakenya
#JamiiAfrica #JamiiForums #Diplomasia #Democracy #Governance
👎3🤮1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
SONGWE: Diwani wa Kata ya Kaloleni, Mji wa Tunduma, Hamis Chuma amesema analaani tukio la mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki, Vincent Mwenda ambaye alifariki Mei 10, 2025 kwa kushambuliwa na Watu ambao bado hawajajulikana alipokuwa nyumbani kwake
Amesema tukio hilo linaumiza Jamii na linaogopesha Watu, ametoa ushauri Wananchi kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake na kutoa taarifa kila wanapoona kuna dalili ambazo sio nzuri kwa kuwa ukimya unaweza kusababisha matukio ya aina hiyo kuendelea
Ibada ya kuuaga mwili wa marehemi ilifanyika katika Porokia ya Mt. Theresia wa Mtoto Yesu, Tazara Jimbo la Sumbawanga
Jitihada za kupata taarifa kutoka Jeshi la Polisi Mkoa zinaendelea
Soma https://jamii.app/MauajiTunduma
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMatukio
Amesema tukio hilo linaumiza Jamii na linaogopesha Watu, ametoa ushauri Wananchi kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake na kutoa taarifa kila wanapoona kuna dalili ambazo sio nzuri kwa kuwa ukimya unaweza kusababisha matukio ya aina hiyo kuendelea
Ibada ya kuuaga mwili wa marehemi ilifanyika katika Porokia ya Mt. Theresia wa Mtoto Yesu, Tazara Jimbo la Sumbawanga
Jitihada za kupata taarifa kutoka Jeshi la Polisi Mkoa zinaendelea
Soma https://jamii.app/MauajiTunduma
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMatukio
Kuanguka mara zote siyo kushindwa, wakati mwingine ni sehemu ya safari ya kujifunza, kukua na kujiandaa kwa ushindi mkubwa zaidi.
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Maisha
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Maisha
👍3
Mwandishi wa Andiko la Stories of Change 2021 anasema utakapopata Pesa na Utajiri usisahau kujali Afya yako sababu Ugonjwa wa Kisukari haubagui kati ya Masikini na Tajiri
Anasisitiza kuzingatia Uzito wa Mwili, fuata taratibu za Kitabibu katika Kula, Kunywa Maji ya kutosha, Kufanya mazoezi na kula kiasi kingi cha mbogamboga na Matunda
Soma Andiko hili zaidi https://jamii.app/MatajiriKisukariSOC21
#JamiiForums #JamiiAfrica
Anasisitiza kuzingatia Uzito wa Mwili, fuata taratibu za Kitabibu katika Kula, Kunywa Maji ya kutosha, Kufanya mazoezi na kula kiasi kingi cha mbogamboga na Matunda
Soma Andiko hili zaidi https://jamii.app/MatajiriKisukariSOC21
#JamiiForums #JamiiAfrica
❤1
DAR: Mdau wa JamiiForums.com ambaye anafanya Kazi ya Bodaboda anasema haelewi kwanini wenye Magari wakishusha Abiria mbele ya jengo la Kituo cha Treni ya SGR (Zero Kilometer) hawakamatwi kama wanavyokamatwa Bodaboda?
Anadai kibaya zaidi baadhi ya Walinzi wa hapo wakiwakamata wanataka hongo ya Tsh. 10,000, na kama huna wanakupeleka Kituoni kukuandikia faini ya makosa matatu ambapo unatakiwa kulipa Tsh. 30,000. Anatoa wito Mamlaka za juu zifuatilie hali hiyo
Soma https://jamii.app/BodabodaMaegeshoSGR
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii
Anadai kibaya zaidi baadhi ya Walinzi wa hapo wakiwakamata wanataka hongo ya Tsh. 10,000, na kama huna wanakupeleka Kituoni kukuandikia faini ya makosa matatu ambapo unatakiwa kulipa Tsh. 30,000. Anatoa wito Mamlaka za juu zifuatilie hali hiyo
Soma https://jamii.app/BodabodaMaegeshoSGR
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Wanachama na wafuasi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wakiwa kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza ambapo kunafanyika Mkutano Mkuu, leo Mei 21, 2025
Inadaiwa CHAUMMA inatarajiwa kuwapokea Wanachama wapya takriban 3,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini
Soma https://jamii.app/MkutanoChaumma
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Inadaiwa CHAUMMA inatarajiwa kuwapokea Wanachama wapya takriban 3,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini
Soma https://jamii.app/MkutanoChaumma
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Malaka husika na Mtandao wa Waokota Taka Rejeshi Dar es Salaam (MTAWADA) kushughulikia changamoto zinazowakabili waokotaji wa Taka Rejeshi ikiwemo kuwapatia vitendea kazi vinavyowawezesha kujikinga wakati wa kuokota taka hizo pamoja na kudhulumiwa bei ya taka kutokana na mizani kuchezeshwa na Wanunuaji
Soma https://jamii.app/WaokotaTakaKudhulumiwa
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #JFMdau2025
Soma https://jamii.app/WaokotaTakaKudhulumiwa
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #JFMdau2025
Jukwaa la 14 la Afrika kuhusu Utawala wa Mtandao (AfIGF) linalotarajiwa kufanyika kuanzia Mei 29 hadi 31 Mei 2025 Jijini Dar es Salaam litawakutanisha Wadau kutoka Sekta mbalimbali ikiwemo Serikali, Sekta Binafsi, Asasi za Kiraia, Watafiti na Vijana kwa lengo la kujadili kwa kina masuala ya maendeleo ya Kidijitali Barani Afrika
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaKidijitaliAfrika #JamiiForums
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaKidijitaliAfrika #JamiiForums