This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mdau anadai baada ya malalamiko ya Mwananchi yaliyotolewa Machi 16, 2025 kupitia JamiiForums.com kuhusu Wakazi wa Chanika Zingiziwa kutokuwa na huduma ya umeme, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilifika na kuweka miundombinu kadhaa ikiwemo Nyaya na Nguzo
Anaeleza Wananchi waliamini kadhia ya kukosa umeme inaondoka lakini anadai TANESCO hawakufunga transfoma, hivyo huduma haikuunganishwa na hata mchakato wa kujiandikisha kuunganishiwa umeme haujafanyika na kwamba wanapouliza mamlaka hiyo hawapati majibu sahihi
Mdau anahoji βTransfoma zitakuja lini na mbona hakuna maelezo yaliyonyooka? Inakuwa kama umeme ukifika tutapewa bure, tunapata hasara nyingi kwa kutokuwa na huduma hiyo"
Soma https://jamii.app/UmemeZingiziwa
#JamiiAfrica #JFHuduma #ServiceDelivery #Accountability #JamiiForums
Anaeleza Wananchi waliamini kadhia ya kukosa umeme inaondoka lakini anadai TANESCO hawakufunga transfoma, hivyo huduma haikuunganishwa na hata mchakato wa kujiandikisha kuunganishiwa umeme haujafanyika na kwamba wanapouliza mamlaka hiyo hawapati majibu sahihi
Mdau anahoji βTransfoma zitakuja lini na mbona hakuna maelezo yaliyonyooka? Inakuwa kama umeme ukifika tutapewa bure, tunapata hasara nyingi kwa kutokuwa na huduma hiyo"
Soma https://jamii.app/UmemeZingiziwa
#JamiiAfrica #JFHuduma #ServiceDelivery #Accountability #JamiiForums
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Susan Kiwanga aliyekuwa Mbunge Jimbo la Mlimba 2015- 2020 na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Miaka 20, akitangaza kujiondoa katika Chama hicho Mei 13, 2025, ametaja miongoni mwa sababu zilizomfanya aingie kwenye Kundi la G-55 ni Kaulimbiu ya 'No reforms, No election' kufanywa azimio la Chama
Soma https://jamii.app/KaulimbiuChama
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Governance
Soma https://jamii.app/KaulimbiuChama
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Governance
KENYA: Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema Chama chake kiitwacho 'Democracy for the Citizens Party (DCP)' kinalenga ujumuishaji na kina Wanachama wa makundi yote wakiwemo #GenZ
Gachagua pia alitaja Viongozi wa Chama hicho wakiwemo David Mingati (Mwenyekiti), Cleophas Malala (Naibu Kiongozi wa Muda wa Chama) na Cate Waruguru (Kiongozi wa Wanawake)
Aidha, Gachagua ametangaza kuwa Chama hicho kitazinduliwa rasmi Juni 4, na baadaye ataanza ziara ya Miaka Miwili kote nchini kueneza Sera za chama na kuomba uungwaji mkono. Pia, amewataka wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi wa 2026 kupitia Chama hicho kuanza kujisajili
Soma https://jamii.app/ChamaKipyaGachagua
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Demokrasia
Gachagua pia alitaja Viongozi wa Chama hicho wakiwemo David Mingati (Mwenyekiti), Cleophas Malala (Naibu Kiongozi wa Muda wa Chama) na Cate Waruguru (Kiongozi wa Wanawake)
Aidha, Gachagua ametangaza kuwa Chama hicho kitazinduliwa rasmi Juni 4, na baadaye ataanza ziara ya Miaka Miwili kote nchini kueneza Sera za chama na kuomba uungwaji mkono. Pia, amewataka wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi wa 2026 kupitia Chama hicho kuanza kujisajili
Soma https://jamii.app/ChamaKipyaGachagua
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Demokrasia
π1π₯1
GEITA: Wanafunzi wa Shule ya Msingi Rubambangwe na Sekondari ya Rubambangwe, Kitongoji cha Iyozu, Kata ya Muungano Wilayani Chato wanatumia mitumbwi kutoka katika makazi yao kisha wanatembea umbali wa zaidi ya Kilometa 4 ili kufika katika Shule
Akielezea changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Muungano, Charles Kapembe amesema amewasilisha maoni ya Wananchi hao kwenye vikao halali vya Baraza la Madiwani na tayari amezungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ajili ya utatuzi
Mkurugenzi wa Halmashauri, Mandia Kihiyo alipoulizwa amesema Halmashauri inakusudia kuchonga mtumbwi wenye thamani ya Tsh. Milioni 2 kupunguza adha ya Wananchi kuvuka na watakapopata pesa watajenga Daraja la kudumu
Soma https://jamii.app/IyozuChato
#JamiiForums #Accountability #Elimu
Akielezea changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Muungano, Charles Kapembe amesema amewasilisha maoni ya Wananchi hao kwenye vikao halali vya Baraza la Madiwani na tayari amezungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ajili ya utatuzi
Mkurugenzi wa Halmashauri, Mandia Kihiyo alipoulizwa amesema Halmashauri inakusudia kuchonga mtumbwi wenye thamani ya Tsh. Milioni 2 kupunguza adha ya Wananchi kuvuka na watakapopata pesa watajenga Daraja la kudumu
Soma https://jamii.app/IyozuChato
#JamiiForums #Accountability #Elimu
π1
Ukimuuliza Mtanzania kuhusu Nchi za #Nordic, yaani Sweden, Norway, Denmark, Finland au Iceland, wengi watasema: βAaah zile nchi za maisha bora! Kule hakuna rushwa! Elimu ni bure na watu wao wana furaha kweli kweliβ
Lakini, ni hayo tu unayoyajua?
Je, unajua uhusiano wao na Afrika ukoje? Wanavyotumia teknolojia kusaidia jamii? Tamaduni zao za kipekee? Au ushirikiano wao wa kimataifa unaoleta maendeleo ya kijamii?
Ni muda wa kuonesha maarifa yako. Bofya link na uone ni kwa kiasi gani unaelewa kuhusu Nchi za Nordic: https://jamii.app/NordicDodoso
#JamiiAfrica #JamiiForums #NordicWeek
Lakini, ni hayo tu unayoyajua?
Je, unajua uhusiano wao na Afrika ukoje? Wanavyotumia teknolojia kusaidia jamii? Tamaduni zao za kipekee? Au ushirikiano wao wa kimataifa unaoleta maendeleo ya kijamii?
Ni muda wa kuonesha maarifa yako. Bofya link na uone ni kwa kiasi gani unaelewa kuhusu Nchi za Nordic: https://jamii.app/NordicDodoso
#JamiiAfrica #JamiiForums #NordicWeek
MOROGORO: Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima amesema Tume haitamvumilia yeyote atakayehusika kuvuruga zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kujiandikisha katika vituo zaidi ya kimoja
Amesema hayo katika mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR), Kilosa na Mvomero na kuongeza Sheria inayosimamia hilo ni Kifungu cha 114(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili litaingia katika mzunguko wa pili Mei 16 hadi Mei 22, 2025, likihusisha mikoa ya Pwani, Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Dodoma, Singida, Manyara, Lindi, Mtwara, Morogoro na Dar es Salaam kwa Tanzania Bara pamoja na Mikoa yote ya Tanzania Zanzibar
Soma https://jamii.app/INECYaonya
#JamiiForums #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Amesema hayo katika mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR), Kilosa na Mvomero na kuongeza Sheria inayosimamia hilo ni Kifungu cha 114(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili litaingia katika mzunguko wa pili Mei 16 hadi Mei 22, 2025, likihusisha mikoa ya Pwani, Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Dodoma, Singida, Manyara, Lindi, Mtwara, Morogoro na Dar es Salaam kwa Tanzania Bara pamoja na Mikoa yote ya Tanzania Zanzibar
Soma https://jamii.app/INECYaonya
#JamiiForums #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
π1
Taasisi ya CIPESA (Collaboration on International ICT Policy for East and Southern Africa) kwa kushirikiana na wadau wengine, wamewasilisha kesi katika Mahakama Kuu dhidi ya Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA), Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidijitali, Safaricom na Airtel Kenya, kupinga vitendo vya kiholela na visivyo halali vya kuzuia huduma ya intaneti nchini humo
Kesi hiyo inajikita kwenye ushahidi wa kiteknolojia kutoka Mashirika ya Kimataifa kama Cloudflare, Open Observatory of Network Interference (OONI) na Internet Outage Detection and Analysis (IODA), ambayo yamedhihirisha kuwepo kwa vitendo vya makusudi vya kupunguza kasi ya intaneti na kufunga baadhi ya majukwaa kama vile Telegram
Zaidi https://jamii.app/KeepItOnKE
#DigitalRights #JamiiForums #JamiiAfrica #FreedomOfExpression #Governance #Accountability
Kesi hiyo inajikita kwenye ushahidi wa kiteknolojia kutoka Mashirika ya Kimataifa kama Cloudflare, Open Observatory of Network Interference (OONI) na Internet Outage Detection and Analysis (IODA), ambayo yamedhihirisha kuwepo kwa vitendo vya makusudi vya kupunguza kasi ya intaneti na kufunga baadhi ya majukwaa kama vile Telegram
Zaidi https://jamii.app/KeepItOnKE
#DigitalRights #JamiiForums #JamiiAfrica #FreedomOfExpression #Governance #Accountability
π1
Mdau wa JamiiForums.com anasema Stendi ya Makumbusho imechakaa na imekuwa kero kwa watumiaji na madereva wa daladala. Anadai hata maeneo ya abiria kuketi wakiwa wanangojea magari nayo yamechakaa, mvua ikinyesha ndio majanga, abiria wanakimbilia kujisitiri kwenye maduka ya watu au kwenye magari
Anadai kuna wakati magari yanalazimika kushusha abiria maeneo ya nje ili kuepuka kuingia stendi, lakini hata ikifanyika hivyo wahusika wanayanyapia na kutoza faini. Anatoa wito kwa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuwajibika kurekebisha stendi hiyo
Soma https://jamii.app/StendiMakumbusho
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #Governance #Accountability #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Uwajibikaji
Anadai kuna wakati magari yanalazimika kushusha abiria maeneo ya nje ili kuepuka kuingia stendi, lakini hata ikifanyika hivyo wahusika wanayanyapia na kutoza faini. Anatoa wito kwa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuwajibika kurekebisha stendi hiyo
Soma https://jamii.app/StendiMakumbusho
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #Governance #Accountability #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Uwajibikaji
π3β€1
KAGERA: Magari yanayosafiri kutoka Bukoba kuelekea mikoa mingine yamekwama Kyetema kutokana na barabara ya dharura inayotumiwa na magari kuharibika kutokana na mvua zinazoendelea Mkoani hapo
Barabara imejaa tope na maji, hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa vyombo vya usafiri, mvua kubwa imenyesha usiku wa kuamkia Mei 15, 2025
Ikumbukwe Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kagera, Mhandisi Ntuli Mwaikokesya alinukuliwa akisema hakuna mpango wa kujenga daraja mbadala eneo la Kanoni kwa kuwa halipo katika mkataba, hivyo Wananchi waendelea kutumia njia ya kuzunguka kupitia Nyakanyasi, Kashura na Kashozi Road ili kuingia katikati ya Mji
Soma https://jamii.app/KageraBarabara
#JFMatukio #JamiiForums
Barabara imejaa tope na maji, hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa vyombo vya usafiri, mvua kubwa imenyesha usiku wa kuamkia Mei 15, 2025
Ikumbukwe Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kagera, Mhandisi Ntuli Mwaikokesya alinukuliwa akisema hakuna mpango wa kujenga daraja mbadala eneo la Kanoni kwa kuwa halipo katika mkataba, hivyo Wananchi waendelea kutumia njia ya kuzunguka kupitia Nyakanyasi, Kashura na Kashozi Road ili kuingia katikati ya Mji
Soma https://jamii.app/KageraBarabara
#JFMatukio #JamiiForums
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum, Mwantumu Haji amesema baadhi ya abiria wa Treni ya SGR wamekuwa chanzo cha kero ya kelele baada ya kutumia vilevi, hivyo ameshauri Mamlaka husika kuangalia suala hilo
Ameyasema hayo wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, leo Mei 15, 2025
Soma https://jamii.app/PombeSGR
#JFHuduma #JamiiForums #ServiceDelivery
Ameyasema hayo wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, leo Mei 15, 2025
Soma https://jamii.app/PombeSGR
#JFHuduma #JamiiForums #ServiceDelivery
π1
MWANZA: Jeshi la Polisi limemkamata na linamhoji Diana Edward Bundala "Mfalme Zumaridi" (42), Mkazi wa Mtaa wa Buguku, Kata ya Buhongwa kwa tuhuma tofauti ikiwemo kuwaeleza Watoto yeye ni Mungu wao mwenye uwezo wa kuwatenganisha na kifo
Taarifa ya Polisi imeeleza kuwa uchunguzi wa tuhuma hizo unaendelea kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali
Pia, Jeshi hilo limewaomba Wananchi wenye taarifa zinazoweza kusaidia uchunguzi
Soma https://jamii.app/ZumaridiAkamatwa
#JFMatukio #JamiiForums
Taarifa ya Polisi imeeleza kuwa uchunguzi wa tuhuma hizo unaendelea kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali
Pia, Jeshi hilo limewaomba Wananchi wenye taarifa zinazoweza kusaidia uchunguzi
Soma https://jamii.app/ZumaridiAkamatwa
#JFMatukio #JamiiForums
π1