This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KENYA: Rais Mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewahimiza Vijana (Gen Z) nchini humo kutokata tamaa katika mapambano yao ya kutafuta Demokrasia na Utawala bora
Amesema hayo Januari 17, 2024 katika Kanisa la Nairobi Chapel ambapo amesema kuwa ni makosa kwa raia kubaki kimya huku rasilimali zao zikitumiwa vibaya na Viongozi
Aidha, baada ya kauli hiyo ya Kenyatta, Rais William Ruto amemtuhumu kwa kuchochea Vijana kufanya fujo
Soma https://jamii.app/GenZMsikateTamaa
#JamiiForums #Accountability #Governance
Amesema hayo Januari 17, 2024 katika Kanisa la Nairobi Chapel ambapo amesema kuwa ni makosa kwa raia kubaki kimya huku rasilimali zao zikitumiwa vibaya na Viongozi
Aidha, baada ya kauli hiyo ya Kenyatta, Rais William Ruto amemtuhumu kwa kuchochea Vijana kufanya fujo
Soma https://jamii.app/GenZMsikateTamaa
#JamiiForums #Accountability #Governance
👍2👎2
Unapojiwekea malengo yako kumbuka kuangalia Maendeleo yako mara kwa mara
Kujua nini umefanikiwa kukifanya na kipi hujakifanikisha kutakusaidia kujua unakosea wapi, unatakiwa kuboresha wapi na unatakiwa kubadilika wapi ili uweze kuyafikia malengo uliyojiwekea
#JamiiForums #LifeLessons #LifeTips #Maisha #MorningQuote #Goodmorning #AmkaNaJF
Kujua nini umefanikiwa kukifanya na kipi hujakifanikisha kutakusaidia kujua unakosea wapi, unatakiwa kuboresha wapi na unatakiwa kubadilika wapi ili uweze kuyafikia malengo uliyojiwekea
#JamiiForums #LifeLessons #LifeTips #Maisha #MorningQuote #Goodmorning #AmkaNaJF
TABORA: Baada ya Mdau kutoa wito kwa mamlaka kushughulikia vitendo vya kihalifu vinavyofanyika mitaa ya Chuo cha Polytechnic College, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa, Richard Abwao amezungumza na JamiiForums na kusema "Ofisi ya RCO (Mpelelezi wa Makosa ya Jinai) inalifuatilia suala hilo."
Upande wa Mkuu wa Chuo cha Polytechnic amesema "Tumefikisha taarifa hiyo kwa Jeshi la Polisi katika Ofisi ya RPC wanafahamu changamoto hiyo, tukio kubwa la hivi karibuni lilitokea mwanzoni mwa mwezi huu ambapo kuna Mwanafunzi alijeruhiwa vibaya na wahalifu hao."
Soma https://jamii.app/PolisiKufatiliaUhalifuTabora
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JFMatukio #CivilRights
Upande wa Mkuu wa Chuo cha Polytechnic amesema "Tumefikisha taarifa hiyo kwa Jeshi la Polisi katika Ofisi ya RPC wanafahamu changamoto hiyo, tukio kubwa la hivi karibuni lilitokea mwanzoni mwa mwezi huu ambapo kuna Mwanafunzi alijeruhiwa vibaya na wahalifu hao."
Soma https://jamii.app/PolisiKufatiliaUhalifuTabora
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JFMatukio #CivilRights
👍1
MAREKANI: Rais #DonaldTrump amesaini takriban amri 200 za Kiutendaji, baada ya kuapishwa kama Rais wa 47 wa Nchi hiyo, zikihusisha mabadiliko makubwa kwenye Uhamiaji, Uchumi, Afya, Mazingira, na Masuala ya Jinsia
Miongoni mwa amri inayozungumziwa zaidi ni kukomesha Uraia wa Kuzaliwa. Trump amesema hatua hiyo inalenga kukomesha Utalii wa Uzazi, (Birth Tourism) ambapo Watu huenda Marekani kwa makusudi ya kujifungua ili Watoto wao wapate uraia
Aidha, Trump amefuta amri 78 za mtangulizi wake, #JoeBiden, ambazo zilihusisha kupunguza utoaji wa Gesi chafu, kulinda Ardhi ya Serikali, na kupunguza gharama za Dawa
Soma https://jamii.app/TrumpsExcutiveOrders
#JamiiForums #TrumpExcutiveOrders #Governance #Democracy #Demokrasia #Diplomacy
Miongoni mwa amri inayozungumziwa zaidi ni kukomesha Uraia wa Kuzaliwa. Trump amesema hatua hiyo inalenga kukomesha Utalii wa Uzazi, (Birth Tourism) ambapo Watu huenda Marekani kwa makusudi ya kujifungua ili Watoto wao wapate uraia
Aidha, Trump amefuta amri 78 za mtangulizi wake, #JoeBiden, ambazo zilihusisha kupunguza utoaji wa Gesi chafu, kulinda Ardhi ya Serikali, na kupunguza gharama za Dawa
Soma https://jamii.app/TrumpsExcutiveOrders
#JamiiForums #TrumpExcutiveOrders #Governance #Democracy #Demokrasia #Diplomacy
❤2
Mdau wa Jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali ndani ya JamiiForums.com ameanzisha mjadala kuhusu vigezo vinavyozingatiwa na Muuzaji simu iwapo simu imepata matatizo na mteja anataka kuirudisha
Mdau, huwa unazingatia vilivyoandikwa kwenye 'Warranty Card'?
Mjadala zaidi https://jamii.app/BiasharaSimuKariakoo
#JamiiForums #LifeStyle
Mdau, huwa unazingatia vilivyoandikwa kwenye 'Warranty Card'?
Mjadala zaidi https://jamii.app/BiasharaSimuKariakoo
#JamiiForums #LifeStyle
Unakubaliana na hoja ya Mdau? Je, wewe umeshajiwekea Malengo na Vipaumbele kwa mwaka 2025?
Mjadala zaidi https://jamii.app/2025Vipaumbele
#JamiiForums #LifeTips #Maisha
Mjadala zaidi https://jamii.app/2025Vipaumbele
#JamiiForums #LifeTips #Maisha
SIMIYU: Barabara ya Bariadi - Itilima imeanza kufanyiwa marekebisho baada ya Mdau wa JamiiForums.com kuelezea kero hiyo ya kuharibika kwa Barabara na kujaa mashimo kuanzia Bariadi hadi Itilima ambapo Wananchi walilazimika kusafiri kwa Saa Mbili badala ya Dakika 30 kwa Gari
Soma https://jamii.app/MatengenezoBarabaraItilima
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Soma https://jamii.app/MatengenezoBarabaraItilima
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Vipi wewe, ni jambo au kitu gani hukufanya upatwe na Hofu kubwa unapokiona au kukifikiria kwenye Maisha?
Mjadala https://jamii.app/HofuKuuMaisha
#JamiiForums #Maisha #LifeLessons #JFStories #JFChitChat
Mjadala https://jamii.app/HofuKuuMaisha
#JamiiForums #Maisha #LifeLessons #JFStories #JFChitChat
👍1