Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, #NapeNnauye, amesema Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni chombo muhimu katika kuimarisha Misingi ya #Demokrasia, Utawala Bora na Utawala wa Sheria na hivyo kuzidi kuvutia Wawekezaji kutoka Nje
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
π2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika uzinduzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, leo Aprili 3, 2024 katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam amesema baadhi ya taarifa zinaweza kutumika kuhujumu Jamii
Amesema βWakati mwingine taarifa ya Mtu inaweza kusababisha unyanyapaa, vurugu, vita na hata mauaji.β
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
Amesema βWakati mwingine taarifa ya Mtu inaweza kusababisha unyanyapaa, vurugu, vita na hata mauaji.β
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
π4
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Rais #SamiaSuluhuHassan ametoa maelekezo kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) kuhakikisha Taasisi zote za Umma na Binafsi zinasajiliwa na zinatekeleza Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kabla au ifikapo Desemba 2024
Amesema hayo wakati akizindua Tume hiyo, leo Aprili 3, 2024 katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
Amesema hayo wakati akizindua Tume hiyo, leo Aprili 3, 2024 katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Rais #SamiaSuluhuHassan ameelekeza Ofisi ya Waziri Mkuu isimamie na kuhakikisha Mifumo ya #TEHAMA Nchini inasomana, ametoa maelekezo hayo baada ya kuzindua Mfumo wa Kisera na Kisheria wa Kulinda Taarifa Binafsi
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
Soma https://jamii.app/UlinziTaarifaBinafsi
#UlinziWaTaarifa #Faragha #SheriaMpya #LindaTaarifaTZ #PDPCTZ #PersonalDataProtection #JamiiForums
π1
NJOMBE: Mery James Numbi, ameshtakiwa kwa kosa la kuomba na kupokea Rushwa kinyume na Kifungu cha 15(2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (cap 329 Re 2022)
Mshtakiwa akiwa Mtendaji wa Kijiji cha Lupembe Wilayani #Njombe aliomba na kupokea #Rushwa ya Tsh. 200,000 kutoka kwa Irine Justine ili asimchukulie hatua za Kisheria kwa Mtoto wake kutopelekwa Shule
Mery alikana makosa yote na kupewa dhamana. Shauri hilo limepangwa kusikilizwa tena Aprili 17, 2024
Soma https://jamii.app/MtendajiNjombe
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #KemeaRushwa #TokomezaRushwa
Mshtakiwa akiwa Mtendaji wa Kijiji cha Lupembe Wilayani #Njombe aliomba na kupokea #Rushwa ya Tsh. 200,000 kutoka kwa Irine Justine ili asimchukulie hatua za Kisheria kwa Mtoto wake kutopelekwa Shule
Mery alikana makosa yote na kupewa dhamana. Shauri hilo limepangwa kusikilizwa tena Aprili 17, 2024
Soma https://jamii.app/MtendajiNjombe
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #KemeaRushwa #TokomezaRushwa
π4
MAREKANI: 'Rapa' #KanyeWest amefunguliwa mashtaka na aliyekuwa Mfanyakazi katika Shule yake ya 'Donda Academy' iliyopo Los Angeles, kwa tuhuma za Ubaguzi na #Unyanyasaji
#TrevorPhilips amedai Kanye alikuwa akiwabagua Wafanyakazi wenye ngozi nyeusi. Pia, anadai Kanye aliwaamuru Wanafunzi kunyoa upara na kutaka kujenga Vyumba vya Shule kama jela
Mwaka 2022 Kanye alishtakiwa kutokana na Mazingira mabovu ya Shule ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa Madirisha ya Vioo.
Soma: https://jamii.app/KanyeUnyanyasaji
#JamiiForums #HumanRights #Violence
#TrevorPhilips amedai Kanye alikuwa akiwabagua Wafanyakazi wenye ngozi nyeusi. Pia, anadai Kanye aliwaamuru Wanafunzi kunyoa upara na kutaka kujenga Vyumba vya Shule kama jela
Mwaka 2022 Kanye alishtakiwa kutokana na Mazingira mabovu ya Shule ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa Madirisha ya Vioo.
Soma: https://jamii.app/KanyeUnyanyasaji
#JamiiForums #HumanRights #Violence
π7π2
Mdau wa JamiiForums.com anasema Uhakiki wa madai ya zaidi ya Wastaafu 180 wa TAZARA wanaodai Stahiki zao ulishafanyika ambapo walionana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ikathibitishwa kuwa wanapaswa kulipwa lakini hilo halijatekelezeka
Ameongeza suala hilo lilifika hadi Mahakamani na Wastaafu hao wakashinda shauri, baada ya hapo walionana na Waziri Mkuu kuwasilisha malalamiko yao, akawasikiliza na kuwakabidhi kwa Maafisa wake washughulikie lakini tangu wakati huo 'danadana' zimekuwa nyingi
Zaidi soma https://jamii.app/TAZARAWastaafu
#JamiiForums #Accountability #Governance #Uwajibikaji
Ameongeza suala hilo lilifika hadi Mahakamani na Wastaafu hao wakashinda shauri, baada ya hapo walionana na Waziri Mkuu kuwasilisha malalamiko yao, akawasikiliza na kuwakabidhi kwa Maafisa wake washughulikie lakini tangu wakati huo 'danadana' zimekuwa nyingi
Zaidi soma https://jamii.app/TAZARAWastaafu
#JamiiForums #Accountability #Governance #Uwajibikaji
π7β€1
Kujitibu mwenyewe (#SelfTreatment) kunaweza kuwa na hatari nyingi. Mtu kujifanyia tathmini ya Kiafya (#SelfDiagnosis) bila mafunzo ya Kitaalamu inaweza kusababisha kutambua vibaya hali inayomsumbua
Hii inaweza kusababisha Matumizi mabaya ya Dawa au Tiba ambazo zinaweza kusababisha Usugu wa Dawa na kuzorotesha Afya
Mjadala zaidi https://jamii.app/KujitibuMwenyewe
#JamiiForums #PublicHealth #AfyaBora2024 #JFAfya
Hii inaweza kusababisha Matumizi mabaya ya Dawa au Tiba ambazo zinaweza kusababisha Usugu wa Dawa na kuzorotesha Afya
Mjadala zaidi https://jamii.app/KujitibuMwenyewe
#JamiiForums #PublicHealth #AfyaBora2024 #JFAfya
π7β€3π₯°1π1
SIASA: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemchagua Amos Gabriel Makalla kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo
Amechukua nafasi ya Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
Amechukua nafasi ya Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
π32β€7π₯4π2π2π€£1
ALLY HAPI ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU WA UMOJA WA WAZAZI TANZANIA
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi imemchagua Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania
Hapi ana chukua nafasi ya Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga
Aidha, Hapi amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tabora, Mara na Iringa
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi imemchagua Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania
Hapi ana chukua nafasi ya Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga
Aidha, Hapi amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tabora, Mara na Iringa
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
π8β€1
John Mongella amechaguliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, akichukua nafasi ya Anamringi Macha ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga
Mongella alitenguliwa katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Machi 31, 2024, nafasi ambayo aliitumikia tangu Mei 19, 2021 alipoteuliwa kushika nafasi hiyo
Mabadiliko hayo yamefanywa na Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (#CCM) iliyokutana Jijini Dar es Salaam katika Kikao chake maalum chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 3, 2024
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
Mongella alitenguliwa katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Machi 31, 2024, nafasi ambayo aliitumikia tangu Mei 19, 2021 alipoteuliwa kushika nafasi hiyo
Mabadiliko hayo yamefanywa na Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (#CCM) iliyokutana Jijini Dar es Salaam katika Kikao chake maalum chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 3, 2024
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#JamiiForums #Governance #JFSiasa #Siasa
β€1π1
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambapo Jokate Urban Mwegelo amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM
Jokate amechukua nafasi ya Fakii Raphael Lulandala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro
Kabla ya nafasi hiyo Jokate alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) nafasi ambayo aliteuliwa Oktoba 1, 2023 ikiwa na maana amedumu kwa muda wa Miezi 6 katika nafasi hiyo
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#Governance #JamiiForums #JFSiasa #Siasa
Jokate amechukua nafasi ya Fakii Raphael Lulandala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro
Kabla ya nafasi hiyo Jokate alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) nafasi ambayo aliteuliwa Oktoba 1, 2023 ikiwa na maana amedumu kwa muda wa Miezi 6 katika nafasi hiyo
Soma https://jamii.app/UteuziAprili3
#Governance #JamiiForums #JFSiasa #Siasa
π5β€1π1
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Eva Kiaki Nkya kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
Kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria, Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
Kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria, Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
π1π1
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Chiganga Mashauri Tengwa kuwa Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania
Kabla ya uteuzi huu alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Geita
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
Kabla ya uteuzi huu alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Geita
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
π1π1
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania
Kabla ya uteuzi huu Kainda alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
Kabla ya uteuzi huu Kainda alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/UteuziMahakama
#JamiiForums #Governance
π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2024/25 Bungeni, leo Aprili 3, 2024, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema baada ya mafanikio ya Filamu ya Royal Tour, Serikali inatarajia kutoa Filamu ya #AmazingTanzania mnamo Mei 14, 2024 ikiwashirikisha Rais #SamiaSuluhuHassan na Rais wa #Zanzibar, #HusseinAliMwinyi pamoja na mwigizaji wa China, Jin Dong
Soma https://jamii.app/AmazingTanzania
#Governance #Dilomacy #JamiiForums
Soma https://jamii.app/AmazingTanzania
#Governance #Dilomacy #JamiiForums
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema Seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya Electric Multiple Unit (EMU), vichwa vitano vya umeme na mabehewa matatu ya Abiria vimewasili katika Bandari ya Dar es Salaam
TRC imesema seti moja ina uwezo wa kubeba Abiria 589 na kutembea kwa kasi ya Kilomita 160 kwa saa na hadi sasa imepokea Mabehewa 65 ya Abiria, Vichwa 9 vya Umeme na Seti moja ya EMU huku seti nyingine zikiendelea kuwasili kila mwezi hadi Oktoba 2024
Taarifa imeeleza Maendeleo ya Mradi wa #SGR yamefikia 98.90% kwa Dar - Morogoro (KM 300), Morogoro β Makutupora (96.51%), Makutupora β Tabora (13.98%), Tabora β Isaka (5.44%) na Mwanza β Isaka (54.01%)
Soma https://jamii.app/TreniYaKisasa
#JFHuduma #ServiceDelivery #JamiiForums
TRC imesema seti moja ina uwezo wa kubeba Abiria 589 na kutembea kwa kasi ya Kilomita 160 kwa saa na hadi sasa imepokea Mabehewa 65 ya Abiria, Vichwa 9 vya Umeme na Seti moja ya EMU huku seti nyingine zikiendelea kuwasili kila mwezi hadi Oktoba 2024
Taarifa imeeleza Maendeleo ya Mradi wa #SGR yamefikia 98.90% kwa Dar - Morogoro (KM 300), Morogoro β Makutupora (96.51%), Makutupora β Tabora (13.98%), Tabora β Isaka (5.44%) na Mwanza β Isaka (54.01%)
Soma https://jamii.app/TreniYaKisasa
#JFHuduma #ServiceDelivery #JamiiForums
π5