Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
WATANZANIA WAONESHA MAAJABU AUSTRALIA'S GOT TALENT
Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi wameonesha sarakasi za hatari (Acrobatic stunts)
Hii ni mara ya kwanza kupanda jukwaa kubwa. Wakishinda watapata dola 100,000 (Tsh. Milioni 233)
Soma https://jamii.app/TzAGT
#JamiiForums
Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi wameonesha sarakasi za hatari (Acrobatic stunts)
Hii ni mara ya kwanza kupanda jukwaa kubwa. Wakishinda watapata dola 100,000 (Tsh. Milioni 233)
Soma https://jamii.app/TzAGT
#JamiiForums
π28
NIGERIA: WAVAMIA HOSPITALI NA KUTEKA MADAKTARI, WAGONJWA
Tukio limefanywa na Watu wenye Silaha za Moto. Pia, wamewateka Ndugu waliokuwa wakiuguza wagonjwa katika Jimbo la #Niger
Inadaiwa waliotekwa ni 20 na Watu watatu wameuawa
Soma https://jamii.app/UtekajiHospitali
#HumanRights
Tukio limefanywa na Watu wenye Silaha za Moto. Pia, wamewateka Ndugu waliokuwa wakiuguza wagonjwa katika Jimbo la #Niger
Inadaiwa waliotekwa ni 20 na Watu watatu wameuawa
Soma https://jamii.app/UtekajiHospitali
#HumanRights
π6π4π€―2
UGANDA: JENERALI MUHOOZI AGOMA KUONDOKA TWITTER, ASEMA HAKUNA WA KUMZUIA LOLOTE
Ni siku chache tangu Rais Museveni ambaye ni baba yake kumuombea msamaha na kumtaka ajiondoe Twitter kutokana na kauli zake za kuliteka Jiji la Nairobi
Soma https://jamii.app/MuhooziUG
#JamiiForums
Ni siku chache tangu Rais Museveni ambaye ni baba yake kumuombea msamaha na kumtaka ajiondoe Twitter kutokana na kauli zake za kuliteka Jiji la Nairobi
Soma https://jamii.app/MuhooziUG
#JamiiForums
π7π6
ZIMBABWE: Mamlaka ya Kudhibiti Dawa imeidhinisha Matumizi ya sindano ya #Cabotegravir (CAB-LA) kama #Prophylaxis ya pre-exposure (PrEP) kwa ajili ya kuzuia VVU
Sindano hizi hutumiwa kila baada ya Miezi 2 miongoni mwa Watu waliokatika Hatari ya Kuambukizwa
Soma https://jamii.app/HIVPrevention
#PublicHealth
Sindano hizi hutumiwa kila baada ya Miezi 2 miongoni mwa Watu waliokatika Hatari ya Kuambukizwa
Soma https://jamii.app/HIVPrevention
#PublicHealth
π16π2
MAANDALIZI YA KABLA YA KUJIFUNGUA
Hudhuria Kliniki za Uzazi, pata Chanjo zote muhimu na tunza Usafi wa Via vya Uzazi
> Fahamu mapema Hospitali utakayojifungulia, andaa usafiri wa kukufikisha Hospitalini, andaa mapema vitu kama Khanga, Pamba, Nepi na Fedha
Soma https://jamii.app/LaborPrepsTips
#JFAfyaJamii
Hudhuria Kliniki za Uzazi, pata Chanjo zote muhimu na tunza Usafi wa Via vya Uzazi
> Fahamu mapema Hospitali utakayojifungulia, andaa usafiri wa kukufikisha Hospitalini, andaa mapema vitu kama Khanga, Pamba, Nepi na Fedha
Soma https://jamii.app/LaborPrepsTips
#JFAfyaJamii
π12
KENYA: DCI KUCHUNGUZA KIKOSI CHA POLISI KINACHODAIWA KUTEKA NA KUUA WATU
Maafisa wa kikosi hicho wanatuhumiwa na mauaji na kutoweka kwa watu nchini humo wakiwemo wafanyabiashara wawili raia wa India
Soma https://jamii.app/DCIKenya
#HumanRights #Accountability #PoliceBrutality
Maafisa wa kikosi hicho wanatuhumiwa na mauaji na kutoweka kwa watu nchini humo wakiwemo wafanyabiashara wawili raia wa India
Soma https://jamii.app/DCIKenya
#HumanRights #Accountability #PoliceBrutality
π9π2β€1
GEITA: Mahakama ya Hakimu Mkazi imemhukumu kifungo cha miaka 5 Mpipi Emanuel, Mkazi wa Kijiji cha Shahende kwa kosa la kumchoma mikono Mtoto wake (14)
> Mama huyo alimtuhumu mtoto wake kuiba Tsh. 31,000
Soma https://jamii.app/MikonoMtoto
#SocialJustice #JFHakiMtoto
> Mama huyo alimtuhumu mtoto wake kuiba Tsh. 31,000
Soma https://jamii.app/MikonoMtoto
#SocialJustice #JFHakiMtoto
π8π€3π2
MDAU: KUZUNGUMZA MAMBO BINAFSI KATIKA USAFIRI WA UMMA SIO SALAMA
Anasema wapo wanaozungumza kwa nia ya kutaka sifa na kuelezea mambo yao ya siri bila kuzingatia kuwa wanatoa taarifa ambazo zinaweza kutumiwa na wahalifu dhidi yao
Soma https://jamii.app/ElimuYaMaisha
#JFMaisha
Anasema wapo wanaozungumza kwa nia ya kutaka sifa na kuelezea mambo yao ya siri bila kuzingatia kuwa wanatoa taarifa ambazo zinaweza kutumiwa na wahalifu dhidi yao
Soma https://jamii.app/ElimuYaMaisha
#JFMaisha
π8β€3π2π1
TANGA: WATUMISHI 4 WASIMAMISHWA KAZI KWA UBADHIRIFU NA UZEMBE
Ni Ramadhani Mtingi (Idara ya Ujenzi), Zainabu Mzindakaya (Mweka Hazina wa Halmashauri), Furaha Sarakikya (Idara ya Manunuzi) na Serapion Basgange (Afisa Elimu Sekondari)
Mkuu wa Mkoa huo, Omary Mgumba amewatuhumu kutumia vibaya Fedha za Serikali na Usimamizi Mbovu wa Miradi ya Maendeleo na ameagiza TAKUKURU na CAG kuwahoji na kufanya ukaguzi wa miaka 3 Wilayani Muheza
Soma https://jamii.app/RCTNGMuheza
#Uwajibikaji #KemeaRushwa
Ni Ramadhani Mtingi (Idara ya Ujenzi), Zainabu Mzindakaya (Mweka Hazina wa Halmashauri), Furaha Sarakikya (Idara ya Manunuzi) na Serapion Basgange (Afisa Elimu Sekondari)
Mkuu wa Mkoa huo, Omary Mgumba amewatuhumu kutumia vibaya Fedha za Serikali na Usimamizi Mbovu wa Miradi ya Maendeleo na ameagiza TAKUKURU na CAG kuwahoji na kufanya ukaguzi wa miaka 3 Wilayani Muheza
Soma https://jamii.app/RCTNGMuheza
#Uwajibikaji #KemeaRushwa
π9π1
KENYA: SAFARICOM YADAIWA KUBADILI LAINI NA KURUHUSU WIZI WA TSH. MILIONI 7.6
Abdi Zeila amefungua kesi dhidi ya kampuni hiyo akidai mabadiliko hayo yalipelekea kutolewa fedha kupitia Benki ya NCBA bila ridhaa yake
Soma https://jamii.app/SafaricomKE
#DataProtection #DataPrivacy
Abdi Zeila amefungua kesi dhidi ya kampuni hiyo akidai mabadiliko hayo yalipelekea kutolewa fedha kupitia Benki ya NCBA bila ridhaa yake
Soma https://jamii.app/SafaricomKE
#DataProtection #DataPrivacy
π15π1π€1
Siku hii ilianzishwa Mwaka 2010 na Tume ya Takwimu ya Umoja wa Mataifa ili kuweka kipaumbele juu ya Umuhimu wa Takwimu na Umuhimu wa Utafiti wa Kitaaluma kwenye Maendeleo ya Mashirika ya Kiraia na Biashara
Soma https://jamii.app/SikuYaTakwimu
#WorldStatisticsDay
Soma https://jamii.app/SikuYaTakwimu
#WorldStatisticsDay
π6β€1
RONALDO KUCHUKULIWA HATUA KWA KUONDOKA UWANJANI MECHI IKIENDELEA
Cristiano Ronaldo amefanya tukio hilo Uwanja wa Old Trafford katika dakika ya 89 baada ya kuwekwa benchi wakati Man. United ikishinda 2-0 dhidi ya Tottenham
Soma https://jamii.app/CR7Aondoka
#JFSports #JamiiForums
Cristiano Ronaldo amefanya tukio hilo Uwanja wa Old Trafford katika dakika ya 89 baada ya kuwekwa benchi wakati Man. United ikishinda 2-0 dhidi ya Tottenham
Soma https://jamii.app/CR7Aondoka
#JFSports #JamiiForums
π19π6π1
MALAWI YABAINI KABURI LENYE MIILI 25 YA RAIA WA ETHIOPIA
Inaaminika miili hiyo ni Wahamiaji Haramu waliokuwa wakisafirishwa kuelekea Afrika Kusini
> Uchunguzi unaendelea kwenye miili hiyo inayokadiriwa kuwa ya umri wa miaka 25-40
Soma https://jamii.app/KaburiWatu25
#HumanRights
Inaaminika miili hiyo ni Wahamiaji Haramu waliokuwa wakisafirishwa kuelekea Afrika Kusini
> Uchunguzi unaendelea kwenye miili hiyo inayokadiriwa kuwa ya umri wa miaka 25-40
Soma https://jamii.app/KaburiWatu25
#HumanRights
π’8π€3
KENYA: Wakili Miguna #Miguna amewasili Kenya kutoke uhamishoni Nchini Canada alipokuwa kuanzia Mwaka 2018
Aliondolewa baada ya Maafisa wa Serikali kudai Wakili huyo Mwenye Uraia Pacha (Kenya na Canada) hakuwa βMkenyaβ
Soma https://jamii.app/MigunaReturns
#Democracy
Aliondolewa baada ya Maafisa wa Serikali kudai Wakili huyo Mwenye Uraia Pacha (Kenya na Canada) hakuwa βMkenyaβ
Soma https://jamii.app/MigunaReturns
#Democracy
π11
Takwimu hutumiwa na Serikali na Mashirika mengine katika kusaidia kupanga mipango ya Muda Mrefu na Mfupi ikiwemo, Utoaji na Uboreshaji wa Huduma za Kiafya na Kijamii
Pia, Uboreshaji wa Miundombinu
Soma https://jamii.app/SikuYaTakwimu
#WorldStatisticsDay
Pia, Uboreshaji wa Miundombinu
Soma https://jamii.app/SikuYaTakwimu
#WorldStatisticsDay
π2
KENYA: Wizara ya Afya imethibitisha visa 61 vya Ugonjwa wa Kipindupindu vilivyorekodiwa katika Kaunti 6, huku Visa 31 vikiripotiwa Katika Kaunti ya Kiambuu pekee kufuatia Sherehe ya Harusi
Mamlaka zimesema #Ukame unakwamisha Juhudi za Kupambana na Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/KenyaCholera
#JFAfya
Mamlaka zimesema #Ukame unakwamisha Juhudi za Kupambana na Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/KenyaCholera
#JFAfya
π4
RAIS SAMIA AMTEUA MKURUGENZI WA NIMR
Prof. Said Shehe Aboud ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akichukua nafasi ya Prof. Yunus Daud Mgaya ambaye amemaliza muda wake Septemba 2022
Soma https://jamii.app/UteuziNIMR
#Uteuzi
Prof. Said Shehe Aboud ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akichukua nafasi ya Prof. Yunus Daud Mgaya ambaye amemaliza muda wake Septemba 2022
Soma https://jamii.app/UteuziNIMR
#Uteuzi
π8
UINGEREZA: Waziri Mkuu, #LizTruss, ametangaza kujiuzulu nafasi yake Siku 45 baada ya kuchukua Madaraka kutoka kwa #BorisJohnson
Ni baada ya baadhi ya Mawaziri na Wabunge wa Chama chake cha Conservative kumtaka ajiuzulu kutokana na Kutoridhishwa na Utendaji wake
Soma https://jamii.app/LizTrussAjiuzulu
#Democracy
Ni baada ya baadhi ya Mawaziri na Wabunge wa Chama chake cha Conservative kumtaka ajiuzulu kutokana na Kutoridhishwa na Utendaji wake
Soma https://jamii.app/LizTrussAjiuzulu
#Democracy
π11π8π€2π2
#JFAFYA: Ugonjwa Wa Kudhoofu Mifupa husababisha Mifupa kuwa dhaifu, Ipungue ujazo wake na iwe kwenye hatari kubwa ya kuvunjika kirahisi
Miongoni mwa Dalili zake ni kupatwa na Maumivu ya mara kwa mara ya Mifupa hasa sehemu ya Mgongo
Soma https://jamii.app/UgonjwaWaKudhoofuMifupa
#JFAfyaJamii
Miongoni mwa Dalili zake ni kupatwa na Maumivu ya mara kwa mara ya Mifupa hasa sehemu ya Mgongo
Soma https://jamii.app/UgonjwaWaKudhoofuMifupa
#JFAfyaJamii
π3