MTWARA: WAUGUZI WAFUTIWA LESENI KWA KUSABABISHA KIFO CHA MJAMZITO
Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limechukua uamuzi huo kwa wauguzi wasaidizi wa Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo ambao ni Elizabeth Njenga na Pascal Mnyalu
Soma https://jamii.app/KifoChaMjamzito
#JFUwajibikaji
Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limechukua uamuzi huo kwa wauguzi wasaidizi wa Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo ambao ni Elizabeth Njenga na Pascal Mnyalu
Soma https://jamii.app/KifoChaMjamzito
#JFUwajibikaji
π5π€4
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege #Zanzibar (ZAA) inadaiwa kuiteua Kampuni ya DNATA toka nchini Dubai kuwa mtoa huduma pekee katika jengo la tatu la (Terminal III) la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Kutokana na hatua hiyo Wafanyakazi karibu 600 wapo katika hatari ya kupoteza Ajira katika Kampuni ya huduma za Uwanja wa Ndege (ZAT) pamoja na Kampuni ya Trans Word zinazotoa Huduma Uwanjani hapo.
Soma https://jamii.app/ZnzAirport
#Governance
Kutokana na hatua hiyo Wafanyakazi karibu 600 wapo katika hatari ya kupoteza Ajira katika Kampuni ya huduma za Uwanja wa Ndege (ZAT) pamoja na Kampuni ya Trans Word zinazotoa Huduma Uwanjani hapo.
Soma https://jamii.app/ZnzAirport
#Governance
π12π12π€4
CHAD: WATU 50 WAUAWA NA 300 WAJERUHIWA KATIKA MAANDAMANO
Serikali imesema baadhi ya Waandamanaji walikuwa na silaha na kati ya waliouawa ni Askari wa Vikosi vya Usalama
> Amri ya Kutotoka Nje imetangazwa katika Miji mitatu
Soma https://jamii.app/ChadChaos
#Democracy
Serikali imesema baadhi ya Waandamanaji walikuwa na silaha na kati ya waliouawa ni Askari wa Vikosi vya Usalama
> Amri ya Kutotoka Nje imetangazwa katika Miji mitatu
Soma https://jamii.app/ChadChaos
#Democracy
π3
ASTON VILLA YAMFUTA KAZI STEVEN GERRARD
Ni baada ya kipigo cha 3-0 kutoka kwa Fulham katika mchezo wa Premier League
Villa imeshinda mechi 2 za EPL kati ya 11 msimu huu, pia ni kati ya timu 4 za mwisho katika msimamo wa ligi hiyo
Soma https://jamii.app/VillaGerrard
#JFSports
Ni baada ya kipigo cha 3-0 kutoka kwa Fulham katika mchezo wa Premier League
Villa imeshinda mechi 2 za EPL kati ya 11 msimu huu, pia ni kati ya timu 4 za mwisho katika msimamo wa ligi hiyo
Soma https://jamii.app/VillaGerrard
#JFSports
π7
#Indonesia imesitisha uuzaji wa Dawa za Kutibu kifua kufuatia vifo vya Watoto 99 huku kukiwa na visa 206 vya majeraha ya papohapo ya Figo kwa Watoto
Dawa hizo ni #Promethazine Oral solution, Baby Cough Syrup, Makoff Baby Cough Syrup na Magrip N Cold syrup
Soma https://jamii.app/DawaMaumivuFigo
#JFAfya
Dawa hizo ni #Promethazine Oral solution, Baby Cough Syrup, Makoff Baby Cough Syrup na Magrip N Cold syrup
Soma https://jamii.app/DawaMaumivuFigo
#JFAfya
π6
RIPOTI YA KIKOSI KAZI: Rais Samia Suluhu anapokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, Ikulu-Dar, Oktoba 21, 2022
Prof. Rwekaza Mukandala, Mwenyekiti wa Kikosi Kazi anasema βKikosi kazi kinapendekeza Mikutano ya Hadhara na ya Ndani ya Vyama vya Siasa iruhusiwe.β
#Democracy
Prof. Rwekaza Mukandala, Mwenyekiti wa Kikosi Kazi anasema βKikosi kazi kinapendekeza Mikutano ya Hadhara na ya Ndani ya Vyama vya Siasa iruhusiwe.β
#Democracy
π9
RIPOTI YA KIKOSI KAZI: MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA IRUHUSIWE
Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, Prof. Rwekaza Mukandala, amesema Kikosi hicho kinapendekeza Mikutano ya Hadhara ya Vyama vya Siasa iruhusiwe, pia mikutano ya ndani ya vyama hivyo
Pia, Sheria ya Vyama vya Siasa itamke kuwa 20% ya fedha za ruzuku inayotolewa na Serikali kwa Vyama vya Siasa katika mwaka wa fedha igawiwe kwa Vyama vyenye Madiwani wa kuchaguliwa kwa idadi ya Madiwani ambao wapo kwenye Chama
Aidha, Kikosi kimependekeza Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi isiyolazimika kufuata amri ya yeyote, na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa Mahakama ya Juu
#JamiiForums #Democracy #KikosiKazi
Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, Prof. Rwekaza Mukandala, amesema Kikosi hicho kinapendekeza Mikutano ya Hadhara ya Vyama vya Siasa iruhusiwe, pia mikutano ya ndani ya vyama hivyo
Pia, Sheria ya Vyama vya Siasa itamke kuwa 20% ya fedha za ruzuku inayotolewa na Serikali kwa Vyama vya Siasa katika mwaka wa fedha igawiwe kwa Vyama vyenye Madiwani wa kuchaguliwa kwa idadi ya Madiwani ambao wapo kwenye Chama
Aidha, Kikosi kimependekeza Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi isiyolazimika kufuata amri ya yeyote, na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa Mahakama ya Juu
#JamiiForums #Democracy #KikosiKazi
π16π1π₯1
RIPOTI YA KIKOSI KAZI: IWEPO KAMATI YA UTEUZI, VITI MAALUM KUWE NA UKOMO WA MUDA
#KikosiKazi kimependekeza Kamati ya Uteuzi itakayokuwa na MwenyeKiti ambaye ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Makamu Mwenyekiti ambaye ni Jaji Mkuu wa Zanzibar na Wajumbe wengine
Kuhusu utaratibu wa kuwa na Viti Maalum vya Wabunge, Wawakilishi na Madiwani Wanawake uendelee, isipokuwa Sheria iweke Ukomo wa Miaka 10 ili iwe njia ya kupata uzoefu na kuwapa nafasi wengine
#Democracy #JFDemokrasia
#KikosiKazi kimependekeza Kamati ya Uteuzi itakayokuwa na MwenyeKiti ambaye ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Makamu Mwenyekiti ambaye ni Jaji Mkuu wa Zanzibar na Wajumbe wengine
Kuhusu utaratibu wa kuwa na Viti Maalum vya Wabunge, Wawakilishi na Madiwani Wanawake uendelee, isipokuwa Sheria iweke Ukomo wa Miaka 10 ili iwe njia ya kupata uzoefu na kuwapa nafasi wengine
#Democracy #JFDemokrasia
π14π6π₯2
KENYA: Maafisa 21 wa Kitengo Maalumu cha Upelelezi (SSU) wanaodaiwa kuua Watu, wametaka aliyekuwa Kiongozi wao ahojiwe kwasababu walifanya kazi kwa maagizo yake
> DCI George Kinoti alijiuzulu baada ya Serikali mpya kuingia Madarakani
Soma https://jamii.app/SSUSagaKE
#SocialJustice
> DCI George Kinoti alijiuzulu baada ya Serikali mpya kuingia Madarakani
Soma https://jamii.app/SSUSagaKE
#SocialJustice
π15
KIKOSI KAZI: MCHAKATO WA KATIBA MPYA UENDELEE, RUSHWA ITAJWE KWENYE KATIBA
Kimependekeza Mchakato wa #Katiba Mpya uendelee, Mjadala wa Kitaifa kuhusu Katiba hiyo uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuiandika ili kujadili ajenda muhimu za Muungano, Mamkala ya Rais, Rushwa, Tume ya Uchaguzi n.k
Pia, #Rushwa itamkwe katika Katiba ya Nchi ili Wananchi watambue Vitendo vya namna hiyo havitavumiliwa na Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na Chama akithibitika kuhusika na vitendo vya Rushwa
#Accountability #KemeaRushwa #Democracy
Kimependekeza Mchakato wa #Katiba Mpya uendelee, Mjadala wa Kitaifa kuhusu Katiba hiyo uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuiandika ili kujadili ajenda muhimu za Muungano, Mamkala ya Rais, Rushwa, Tume ya Uchaguzi n.k
Pia, #Rushwa itamkwe katika Katiba ya Nchi ili Wananchi watambue Vitendo vya namna hiyo havitavumiliwa na Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na Chama akithibitika kuhusika na vitendo vya Rushwa
#Accountability #KemeaRushwa #Democracy
π11π₯3
RAIS SAMIA: RUSHWA NI KIDONDA NDUGU, TUJIANGALIE SOTE
Akitoa Majibu ya baadhi ya Mapendekezo ya #KikosiKazi, Rais Samia Suluhu amesema, βRushwa ni kidonda Ndugu, hakuna hata Chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna Chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue kuchaguliwa si mimi, ni Chama. Tujitazameni sote"
Kuhusu Zuio la Mikutano ya Vyama Vya Siasa amesema, βSuala la Mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulipotoka. Tukifanya Mikutano kwa sheria na kanuni hizi Polisi wataingia tena kupiga Watu kwasababu ndivyo sheria inavyomwambia
#JamiiForums #Democracy #KemeaRushwa
Akitoa Majibu ya baadhi ya Mapendekezo ya #KikosiKazi, Rais Samia Suluhu amesema, βRushwa ni kidonda Ndugu, hakuna hata Chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna Chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue kuchaguliwa si mimi, ni Chama. Tujitazameni sote"
Kuhusu Zuio la Mikutano ya Vyama Vya Siasa amesema, βSuala la Mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulipotoka. Tukifanya Mikutano kwa sheria na kanuni hizi Polisi wataingia tena kupiga Watu kwasababu ndivyo sheria inavyomwambia
#JamiiForums #Democracy #KemeaRushwa
π7
DAR: Hawa Mwaifunga shahidi upande wa Wabunge 19 wanaopinga kuvuliwa Uanachama na CHADEMA ameshindwa kutoa ushahidi baada ya kuugua Mgongo akiwa Mahakamani
> Kesi imeahirishwa hadi Novemba 3,4,8 na 9 na kurudi tena Desemba 6 na 7, 2022.
Soma https://jamii.app/ShahidiCDM
#JFSiasa
> Kesi imeahirishwa hadi Novemba 3,4,8 na 9 na kurudi tena Desemba 6 na 7, 2022.
Soma https://jamii.app/ShahidiCDM
#JFSiasa
π21π3π1
WAZIRI MAKAMBA: TUMEKUWA WAKWELI, BWAWA LA NYERERE LITAISHA JUNI 2024
Amesema hawaoni aibu kusema litaenda miaka miwili mbele kwasababu isingewezekana kukamilika Juni 2022
> Hadi kufikia 2021 ujenzi ulikuwa 37%, Okt. 2022 umefika 74%
Soma https://jamii.app/MakambaJNHPP
#JFGovernance #Uwajibikaji
Amesema hawaoni aibu kusema litaenda miaka miwili mbele kwasababu isingewezekana kukamilika Juni 2022
> Hadi kufikia 2021 ujenzi ulikuwa 37%, Okt. 2022 umefika 74%
Soma https://jamii.app/MakambaJNHPP
#JFGovernance #Uwajibikaji
π21π11π4
MSUMBIJI: RAIS FILIPE NYUSI ATOA MSAMAHA KWA MAGAIDI 25
Ni waliojisalimisha kwa hiari baada ya Majeshi ya Msumbiji, Rwanda na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuingilia kati kudhibiti vitendo ya Ugaidi eneo hilo
Soma https://jamii.app/NyusiMagaidi
#HumanRights
Ni waliojisalimisha kwa hiari baada ya Majeshi ya Msumbiji, Rwanda na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuingilia kati kudhibiti vitendo ya Ugaidi eneo hilo
Soma https://jamii.app/NyusiMagaidi
#HumanRights
π€7π6π1
SIMIYU: Levinus Kidanabi amehukumiwa kwenda Jela Miaka 7 na faini Tsh Mil 15 kwa Makosa 2 ya kumkashifu Rais Samia kupitia kundi la WhatsApp
> Pia, amekutwa na Laini ya Simu isiyo na usajili wake bila Kibali cha TCRA
Soma https://jamii.app/JelaKashfa
#DigitalRights
> Pia, amekutwa na Laini ya Simu isiyo na usajili wake bila Kibali cha TCRA
Soma https://jamii.app/JelaKashfa
#DigitalRights
π12π₯7π5π1
MAKETE, NJOMBE: WAZAZI WAWATISHIA WATOTO KIFO ILI WASIFAULU MITIHANI YA DARASA LA 7
Baadhi ya Wazazi wamewaaminisha Watoto wao kuwa kufanya kwao vizuri kutawafanya Wazazi wafariki kwa kuwa watashindwa kumudu gharama za kuwasomesha
Soma https://jamii.app/ElimuKwaWatoto
#HakiMtoto
Baadhi ya Wazazi wamewaaminisha Watoto wao kuwa kufanya kwao vizuri kutawafanya Wazazi wafariki kwa kuwa watashindwa kumudu gharama za kuwasomesha
Soma https://jamii.app/ElimuKwaWatoto
#HakiMtoto
π10π±7π€4π3
#JFAFYA: Ugonjwa wa Homa ya Manjano husababishwa na vimelea vya Virusi kutoka #Genus (jinasi) ya #Flavivirus ambao huenezwa na Mbu
Dalili za Ugonjwa huu huanza kuonekana kati ya Siku 3 hadi 6 tangu kuambukizwa
Soma https://jamii.app/YellowFeverTips
#JFAfyaJamii
Dalili za Ugonjwa huu huanza kuonekana kati ya Siku 3 hadi 6 tangu kuambukizwa
Soma https://jamii.app/YellowFeverTips
#JFAfyaJamii
π6
#JFAFYA: Njia ya kujikinga na Ugonjwa huu ni kupata Chanjo ambayo hutolewa mara moja pekee, kwa Watoto wenye umri wa Miezi 9 na kuendelea
Wajawazito hawashauriwi kupata Chanjo hii labda kama kuna hatari ya Mlipuko
Soma https://jamii.app/YellowFeverTips
#JFAfyaJamii
Wajawazito hawashauriwi kupata Chanjo hii labda kama kuna hatari ya Mlipuko
Soma https://jamii.app/YellowFeverTips
#JFAfyaJamii
π5
INDONESIA: WATOTO WALIOFARIKI KWA MATATIZO YA FIGO WAFIKA 133
Chanzo cha vifo hivyo kinatajwa kuwa ni matumizi ya Dawa za Kifua
> Aidha, kuna Wagonjwa 241 wa Majeraha ya Figo na wengi wao ni Watoto chini ya miaka mitano
Soma https://jamii.app/TatizoLaFigo
#PublicHealth
Chanzo cha vifo hivyo kinatajwa kuwa ni matumizi ya Dawa za Kifua
> Aidha, kuna Wagonjwa 241 wa Majeraha ya Figo na wengi wao ni Watoto chini ya miaka mitano
Soma https://jamii.app/TatizoLaFigo
#PublicHealth
π₯3π€3π’2