TETESI: LIVERPOOL YAANZA MAZUNGUMZO KUMSAJILI NUNEZ
Inadaiwa Liverpool inamtaka Mshambuliaji Darwin Nunez kutoka Benfica ili kuziba pengo la Sadio Mane
Ipo tayari kuvunja rekodi yake ya usajili ktk usajili huo unaoweza kufika Paundi Milioni 85 (Tsh. 245,650,000,000)
#JFSports
Inadaiwa Liverpool inamtaka Mshambuliaji Darwin Nunez kutoka Benfica ili kuziba pengo la Sadio Mane
Ipo tayari kuvunja rekodi yake ya usajili ktk usajili huo unaoweza kufika Paundi Milioni 85 (Tsh. 245,650,000,000)
#JFSports
๐5๐1๐คฎ1
FARAGHA MTANDAONI: Utakuwa salama kwa kufanya yafuatayo;
> Tumia Nywila (Password) imara
> Ruhusu uthibitisho wa njia mbili (Two factor Authentication)
> Huisha (Update) Apps mara kwa mara
> Usitumie Wi-Fi usiyoijua
Soma - https://jamii.app/FaraghaMtandaoni
#DataPrivacy #DigitalSecurity
> Tumia Nywila (Password) imara
> Ruhusu uthibitisho wa njia mbili (Two factor Authentication)
> Huisha (Update) Apps mara kwa mara
> Usitumie Wi-Fi usiyoijua
Soma - https://jamii.app/FaraghaMtandaoni
#DataPrivacy #DigitalSecurity
๐12๐1
JUNI 08: SIKU YA BAHARI DUNIANI
Siku hii huadhimishwa ili kuwakumbusha watu umuhimu wa bahari
Tunaweza kutunza bahari kwa kupunguza au kuacha matumizi ya bidhaa za plastiki na kushiriki kusafisha fukwe za bahari
Soma zaidi - https://jamii.app/SikuYaBahariDuniani
#WorldOceansDay
Siku hii huadhimishwa ili kuwakumbusha watu umuhimu wa bahari
Tunaweza kutunza bahari kwa kupunguza au kuacha matumizi ya bidhaa za plastiki na kushiriki kusafisha fukwe za bahari
Soma zaidi - https://jamii.app/SikuYaBahariDuniani
#WorldOceansDay
๐10๐2
TETESI: CHELSEA YAMTAKA MARTINEZ KAMA LUKAKU ATAREJEA INTER
Romelu Lukaku ameendelea kushinikiza kutaka kuondoka Chelsea na kurejea Inter Milan
Inadaiwa Chelsea inaangalia uwezekano wa kumpata Lautaro Martinez, Milan Skriniar au Alessandro Bastoni kama sehemu ya dili
#JFSports
Romelu Lukaku ameendelea kushinikiza kutaka kuondoka Chelsea na kurejea Inter Milan
Inadaiwa Chelsea inaangalia uwezekano wa kumpata Lautaro Martinez, Milan Skriniar au Alessandro Bastoni kama sehemu ya dili
#JFSports
๐8๐4๐2๐ค2
#UKRAINE: Idara ya Ujasusi ya Wizara ya Ulinzi ya Ukraine imesema Urusi imekabidhi miili 210 ya wapiganaji
Imeelezwa kuwa, wengi walifariki wakati wa mapigano walipokuwa wakilinda Mji wa #Mariupol. Mchakato wa kupokea miili unaendelea
Soma - https://jamii.app/Miili210Ukraine
Imeelezwa kuwa, wengi walifariki wakati wa mapigano walipokuwa wakilinda Mji wa #Mariupol. Mchakato wa kupokea miili unaendelea
Soma - https://jamii.app/Miili210Ukraine
๐10๐ข3โค1๐ฅ1๐ฉ1
ADAIWA KUBAKA MTOTO ILI AIJARIBU DAWA YA MGANGA
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema tukio hilo limetokea Juni 7, 2022
Amesema hilo ni jambo la ovyo, aibu, ajabu, kusikitisha, kufedhehesha na halivumiliki
Soma - https://jamii.app/SamiaZiarani
#JamiiForums #HumanRights
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema tukio hilo limetokea Juni 7, 2022
Amesema hilo ni jambo la ovyo, aibu, ajabu, kusikitisha, kufedhehesha na halivumiliki
Soma - https://jamii.app/SamiaZiarani
#JamiiForums #HumanRights
๐13๐คฏ3โค1๐1๐คฌ1
KAMATI YA BUNGE: KITENGO CHA KUDHIBITI FEDHA HARAMU KIMEELEMEWA
Upungufu wa watumishi wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu umetajwa kuwa kikwazo, ikielezwa 90% ni watumishi wa kuazima
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti yashauri mamlaka kamili iundwe
Soma - https://jamii.app/KudhibitiFedha
Upungufu wa watumishi wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu umetajwa kuwa kikwazo, ikielezwa 90% ni watumishi wa kuazima
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti yashauri mamlaka kamili iundwe
Soma - https://jamii.app/KudhibitiFedha
๐7๐1
UGANDA: Tafiti za Umoja wa Mataifa zimebaini kuwa zaidi ya Watu 500,000 ambao ni sawa na 40% ya Wakazi ktk eneo la Karamoja wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa
> Eneo hilo lina kiwango kikubwa cha utapiamlo hasa kwa Watoto chini ya miaka 5
Soma - https://jamii.app/NjaaUganda
> Eneo hilo lina kiwango kikubwa cha utapiamlo hasa kwa Watoto chini ya miaka 5
Soma - https://jamii.app/NjaaUganda
๐3๐ค3๐ฑ1
KENYA: TIKTOK YASHUTUMIWA KWA UCHOCHEZI
Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mtandao wa #Tiktok umeshutumiwa kwa uchochezi Nchini humo kwa kutodhibiti video zilizokuwa na matamshi ya chuki na habari potofu za kisiasa, kinyume na sera yake
Soma - https://jamii.app/TiktokKenya
#KenyaElections
Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mtandao wa #Tiktok umeshutumiwa kwa uchochezi Nchini humo kwa kutodhibiti video zilizokuwa na matamshi ya chuki na habari potofu za kisiasa, kinyume na sera yake
Soma - https://jamii.app/TiktokKenya
#KenyaElections
๐10๐1
KUFUZU #AFCON2023: TANZANIA 0-2 ALGERIA
#TaifaStars imepoteza mchezo huo dhidi ya #Algeria ikiwa nyumbani katika dimba la Mkapa
Algeria sasa inaongoza Kundi F ikiwa na alama 6, Niger ina alama 2, Tanzania alama 1 na Uganda alama 1
Soma > https://jamii.app/TZ0Algeria2
#JFSports
#TaifaStars imepoteza mchezo huo dhidi ya #Algeria ikiwa nyumbani katika dimba la Mkapa
Algeria sasa inaongoza Kundi F ikiwa na alama 6, Niger ina alama 2, Tanzania alama 1 na Uganda alama 1
Soma > https://jamii.app/TZ0Algeria2
#JFSports
๐18๐7๐คฌ2โค1
MDAU: Kabla ya kuacha kazi kuna mambo unatakiwa kujiuliza, mfano: Sababu ni ya msingi? Ni muda sahihi? Una chanzo kingine cha kipato?
Upo katika tasnia gani? Utafanya nini? Vipi kuhusu stahiki au haki zako?
Soma zaidi - https://jamii.app/KuachaKazi
#JamiiForums
Upo katika tasnia gani? Utafanya nini? Vipi kuhusu stahiki au haki zako?
Soma zaidi - https://jamii.app/KuachaKazi
#JamiiForums
๐12
RASHFORD AKATAA OFA YA KWENDA SPURS
Mshambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United anataka kubaki kupigania namba chini ya kocha mpya, Erik ten Hag
Rashford (24) amesalia na mwaka mmoja tu katika mkataba wake
Soma > https://jamii.app/RashfordUtd
#JamiiForums #JFSports
Mshambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United anataka kubaki kupigania namba chini ya kocha mpya, Erik ten Hag
Rashford (24) amesalia na mwaka mmoja tu katika mkataba wake
Soma > https://jamii.app/RashfordUtd
#JamiiForums #JFSports
๐12๐1
EU YARIDHIA SIMU ZOTE KUTUMIA USB-C
Uamuzi huo uliotajwa kuwa pigo kwa Kampuni ya Apple utaanza kutekelezwa Mwaka 2024
Imeelezwa kuwa, Kanuni hiyo inalenga kupunguzia wateja usumbufu wa kutumia Chaja tofauti na kudhibiti uchafu wa kielektroniki
Soma - https://jamii.app/EUPhoneCharge
Uamuzi huo uliotajwa kuwa pigo kwa Kampuni ya Apple utaanza kutekelezwa Mwaka 2024
Imeelezwa kuwa, Kanuni hiyo inalenga kupunguzia wateja usumbufu wa kutumia Chaja tofauti na kudhibiti uchafu wa kielektroniki
Soma - https://jamii.app/EUPhoneCharge
๐28๐3๐3๐2๐ฑ1
UTAFITI: DAWA YA DOSTARLIMAB YALETA AHUENI KWA WAGONJWA WA SARATANI
Kwa mujibu wa Utafiti uliochapishwa na "The New England Journal of Medicine", Wagonjwa 12 waliotumia Dawa ya Majaribio ya Dostarlimab kwa kipindi cha miezi 6 walionekana kupata nafuu
Japokuwa jaribio hilo limeonesha matokeo chanya, Wanasayansi wametahadharisha kuhusu kuhitimisha moja kwa moja kuwa Wagonjwa hao wamepona
Soma - https://jamii.app/UtafitiSarataniDawa
Kwa mujibu wa Utafiti uliochapishwa na "The New England Journal of Medicine", Wagonjwa 12 waliotumia Dawa ya Majaribio ya Dostarlimab kwa kipindi cha miezi 6 walionekana kupata nafuu
Japokuwa jaribio hilo limeonesha matokeo chanya, Wanasayansi wametahadharisha kuhusu kuhitimisha moja kwa moja kuwa Wagonjwa hao wamepona
Soma - https://jamii.app/UtafitiSarataniDawa
๐7๐1
CHADEMA: Tutaandika barua rasmi kuwataka Viongozi (akiwemo Lissu na Lema) waliokimbia kwa sababu za kiusalama warudi Nchini kwa kuwa usalama kwa sasa upo
> Chama hicho kimesema suala la Usalama lilikuwa moja ya ajenda za Maridhiano
Soma - https://jamii.app/UsalamaUpo
#JamiiForums
> Chama hicho kimesema suala la Usalama lilikuwa moja ya ajenda za Maridhiano
Soma - https://jamii.app/UsalamaUpo
#JamiiForums
๐31โค3๐ฅฐ3๐1
UCHAGUZI KENYA: SERIKALI YASEMA MITANDAO HAITAZUIWA
Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiangโi amesema Serikali haitoingilia upatikanaji wa Mitandao ya Kijamii kabla, wakati wa na baada ya Uchaguzi Mkuu kwani #Kenya ni Nchi ya Kidemokrasia
Asema, "Hakuna kiasi cha matusi kitakachotufanya tujihusishe na vitendo kama hivyo"
Soma - https://jamii.app/SociaMediaKE
#KenyaElections #DigitalRights
Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiangโi amesema Serikali haitoingilia upatikanaji wa Mitandao ya Kijamii kabla, wakati wa na baada ya Uchaguzi Mkuu kwani #Kenya ni Nchi ya Kidemokrasia
Asema, "Hakuna kiasi cha matusi kitakachotufanya tujihusishe na vitendo kama hivyo"
Soma - https://jamii.app/SociaMediaKE
#KenyaElections #DigitalRights
๐14๐ฅ2๐1
MUSEVENI: TUMEINGIA UCHUMI WA KATI
Amesema licha ya migogoro, Pato la Taifa la mwaka kwa mtu mmoja limefika Tsh. 2,437,180 sawa na Dola za Marekani 1,046 na wamevuka kiwango cha hadhi ya kati ambacho ni Tsh.2,399,900 sawa na Dola za Marekani 1,030
Soma - https://jamii.app/UgandaUchumiWaKati
Amesema licha ya migogoro, Pato la Taifa la mwaka kwa mtu mmoja limefika Tsh. 2,437,180 sawa na Dola za Marekani 1,046 na wamevuka kiwango cha hadhi ya kati ambacho ni Tsh.2,399,900 sawa na Dola za Marekani 1,030
Soma - https://jamii.app/UgandaUchumiWaKati
๐17๐11๐1
NIGERIA: APC YAMPITISHA BOLA TINUBU KUGOMBEA URAIS
Chama tawala kimemchagua kuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Februari 2023. Amepitishwa kwa Kura 1,271
Atashindana na Kiongozi wa upinzani, Atiku Abubakar kumrithi Rais Muhammadu Buhari
Soma - https://jamii.app/Nigeria2023Elections
Chama tawala kimemchagua kuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Februari 2023. Amepitishwa kwa Kura 1,271
Atashindana na Kiongozi wa upinzani, Atiku Abubakar kumrithi Rais Muhammadu Buhari
Soma - https://jamii.app/Nigeria2023Elections
๐5๐3
WANAJESHI WATATU WA TANZANIA WAJERUHIWA DR CONGO
Inaripotiwa kuwa, Wanajeshi hao wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa katika mapigano dhidi ya waasi wa M23
Tanzania ina Wanajeshi zaidi ya 800 miongoni mwa vikosi vya UN Nchini humo
Soma - https://jamii.app/WanajeshiWaTzDRC
Inaripotiwa kuwa, Wanajeshi hao wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa katika mapigano dhidi ya waasi wa M23
Tanzania ina Wanajeshi zaidi ya 800 miongoni mwa vikosi vya UN Nchini humo
Soma - https://jamii.app/WanajeshiWaTzDRC
๐6๐ฑ4๐ข4๐1
SRI LANKA: Kaka wa Rais Gotabaya Rajapaksa ametangaza kujiuzulu Ubunge akisema kuanzia sasa hataki kujihusisha na shughuli zozote za Serikali
Basil Rajapaksa ambaye amewahi kuhudumu kama Waziri wa Fedha anakuwa ndugu wa pili wa Rais kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/KakaRaisUbunge
Basil Rajapaksa ambaye amewahi kuhudumu kama Waziri wa Fedha anakuwa ndugu wa pili wa Rais kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/KakaRaisUbunge
๐5๐ฅ2