Ripoti mpya ya Shirika la Muungano wa Mawasiliano Duniani (ITU) inasema Watu Bilioni 2.9 bado hawatumii kabisa Mitandao, na Mamilioni wanakumbwa na changamoto ya gharama na ubora wa Intaneti wa hali ya chini
Gharama ya Huduma za Mitandao na vifaa vya kidigitali bado ni changamoto kwa Nchi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Soma - https://jamii.app/ReportITU
#DigitalRights
Gharama ya Huduma za Mitandao na vifaa vya kidigitali bado ni changamoto kwa Nchi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Soma - https://jamii.app/ReportITU
#DigitalRights
π13π’2
SIKU YA CHAKULA SALAMA DUNIANI
Chakula salama ni miongoni mwa vichocheo muhimu vya Afya njema. Vyakula visivyo salama ni chanzo cha magonjwa mengi
Kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha usalama wa Chakula katika hatua zote za mnyororo wa thamani, kuanzia kinapozalishwa hadi kinapofika kwa mlaji wa mwisho
Soma - https://jamii.app/FoodSafety
#WorldFoodSafetyDay
Chakula salama ni miongoni mwa vichocheo muhimu vya Afya njema. Vyakula visivyo salama ni chanzo cha magonjwa mengi
Kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha usalama wa Chakula katika hatua zote za mnyororo wa thamani, kuanzia kinapozalishwa hadi kinapofika kwa mlaji wa mwisho
Soma - https://jamii.app/FoodSafety
#WorldFoodSafetyDay
π7π₯3
Somalia inakabiliwa ukame mbaya zaidi kushuhudiwa ndani ya miaka 40, huku bei ya chakula ktk Soko la Dunia ikizidi kuwa juu
> Ripoti za FAO, WFP na UNICEF zinasema kuwa, karibu nusu ya Watu ktk Taifa hilo wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula
Soma - https://jamii.app/NjaaSomalia
> Ripoti za FAO, WFP na UNICEF zinasema kuwa, karibu nusu ya Watu ktk Taifa hilo wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula
Soma - https://jamii.app/NjaaSomalia
π4π€3π’2
MOSHI: Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake 4 imeahirishwa hadi Juni 20, 2022
Mawakili wa Sabaya wameomba Mahakama kuharakisha upande wa Jamhuri ukamilishe ushahidi ili mteja wao akatibiwe
Soma - https://jamii.app/SabayaJuni7
Mawakili wa Sabaya wameomba Mahakama kuharakisha upande wa Jamhuri ukamilishe ushahidi ili mteja wao akatibiwe
Soma - https://jamii.app/SabayaJuni7
π8π5π€2π1π€¬1
WIZARA YA FEDHA YAOMBA KUIDHINISHIWA TRILIONI 14.94
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ameomba Bunge kuidhinisha Bajeti hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23
Amesema miongoni mwa changamoto katika Wizara hiyo ni Mfumuko wa Bei katika Soko la ndani na kasi ndogo ya ukuaji wa Pato la Taifa kutokana na athari za COVID-19 na vita kati ya Urusi na Ukraine
Soma - https://jamii.app/BajetiWizaraFedha
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ameomba Bunge kuidhinisha Bajeti hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23
Amesema miongoni mwa changamoto katika Wizara hiyo ni Mfumuko wa Bei katika Soko la ndani na kasi ndogo ya ukuaji wa Pato la Taifa kutokana na athari za COVID-19 na vita kati ya Urusi na Ukraine
Soma - https://jamii.app/BajetiWizaraFedha
π10π€8π3π1
BALOZI WA URUSI ASUSIA KIKAO CHA UN
Vassily Nebenzia ametoka nje ya Kikao cha Baraza la Usalama la UN baada ya Rais wa Baraza la Ulaya, Charles Michel kuishutumu Moscow kwa kusababisha janga la Chakula duniani kutokana na vita inayoendelea Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/RussiaUNAmb
Vassily Nebenzia ametoka nje ya Kikao cha Baraza la Usalama la UN baada ya Rais wa Baraza la Ulaya, Charles Michel kuishutumu Moscow kwa kusababisha janga la Chakula duniani kutokana na vita inayoendelea Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/RussiaUNAmb
π16π2π2
JamiiForums inatangaza nafasi 10 za Wasimamizi wa Maudhui (Content Managers)
Je, unadhani unafaa? Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022.
Kwa maelezo zaidi, soma - https://jamii.app/NafasiKaziJF
Je, unadhani unafaa? Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022.
Kwa maelezo zaidi, soma - https://jamii.app/NafasiKaziJF
π3π2
KIFAHAMU KIWANJA CHA NDEGE KITAKACHOHUDUMIA ABIRIA WENGI DUNIANI
Kiwanja cha Ndege cha Istanbul kitaweza kuhudumia abiria milioni 200 kwa mwaka
Kitakuwa na maduka yatakayochukua eneo la Mita za Mraba 55,000, pamoja na Bustani na Ufukwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/IstanbulAirport
Kiwanja cha Ndege cha Istanbul kitaweza kuhudumia abiria milioni 200 kwa mwaka
Kitakuwa na maduka yatakayochukua eneo la Mita za Mraba 55,000, pamoja na Bustani na Ufukwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/IstanbulAirport
π11π1
MALI: Utawala wa Kijeshi umeahidi kurejeshwa kwa Utawala wa Kiraia ifikapo 2024 baada ya kuandamwa na vikwazo toka Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS)
> Kiongozi wa Jeshi alichukua Urais mnamo mwezi Mei, 2021
Soma - https://jamii.app/UtawalaMali
#JamiiForums
> Kiongozi wa Jeshi alichukua Urais mnamo mwezi Mei, 2021
Soma - https://jamii.app/UtawalaMali
#JamiiForums
π7π3
MADHARA YA βENERGY DRINKSβ
Vinywaji vya kuongeza nguvu βEnergy Drinksβ vinachangamsha mwili na akili lakini vinaweza kusababisha Shambulio la Moyo, Uraibu na Kisukari
> Inashauriwa kusoma maelekezo kabla ya kutumia
Soma - https://jamii.app/VinywajiVyaNguvu
#FoodSecurity #JFAfya
Vinywaji vya kuongeza nguvu βEnergy Drinksβ vinachangamsha mwili na akili lakini vinaweza kusababisha Shambulio la Moyo, Uraibu na Kisukari
> Inashauriwa kusoma maelekezo kabla ya kutumia
Soma - https://jamii.app/VinywajiVyaNguvu
#FoodSecurity #JFAfya
π20π’3π2π2π2π₯1π±1
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema Tanzania ni salama na haina tishio lolote la usalama hivyo Viongozi wa CHADEMA waliopo nje ya Nchi warejee ili watumie fursa zilizopo
> Waziri ametoa wito huo leo Juni 7, 2022
Soma - https://jamii.app/NchiIpoSalama
#JamiiForums
> Waziri ametoa wito huo leo Juni 7, 2022
Soma - https://jamii.app/NchiIpoSalama
#JamiiForums
π10π€6π€―2
TETESI: MONACO YAKUBALI KUMUUZA TCHOUAMENI KWA R. MADRID
- Inadawa usajili wa Kiungo Aurelien Tchouameni (22) utagharimu jumla ya zaidi ya Paundi Milioni 85 (Tsh. 249,405,355,250)
- Klabu za Liverpool, Manchester United na PSG zilikuwa zinamuwania pia mchezaji huyo
#JFSports
- Inadawa usajili wa Kiungo Aurelien Tchouameni (22) utagharimu jumla ya zaidi ya Paundi Milioni 85 (Tsh. 249,405,355,250)
- Klabu za Liverpool, Manchester United na PSG zilikuwa zinamuwania pia mchezaji huyo
#JFSports
π14
TETESI: MANCHESTER CITY YATAKA KUMSAJILI SAKA
Inadaiwa Manchester City imeongeza jitihada za kutaka kumsajili nyota wa Arsenal, Bukayo Saka
Man. City inafuatilia kwa karibu mustakabali wa Saka katika Klabu ya Arsenal ambapo amebakiza miaka miwili katika mkataba wake
#JFSports
Inadaiwa Manchester City imeongeza jitihada za kutaka kumsajili nyota wa Arsenal, Bukayo Saka
Man. City inafuatilia kwa karibu mustakabali wa Saka katika Klabu ya Arsenal ambapo amebakiza miaka miwili katika mkataba wake
#JFSports
π13
VICTOR WANYAMA ATAJWA KWA WANAOLIPWA VIZURI
Kiungo wa Montreal Impact, Victor Wanyama anaongoza kwa kulipwa vizuri katika timu yake
Analipwa Dola Milioni 3.09 (Tsh. Bilioni 7) kwa mwaka, katika Major League Soccer anashika nafasi ya 14
Soma - https://jamii.app/WanaolipwaZaidi
Kiungo wa Montreal Impact, Victor Wanyama anaongoza kwa kulipwa vizuri katika timu yake
Analipwa Dola Milioni 3.09 (Tsh. Bilioni 7) kwa mwaka, katika Major League Soccer anashika nafasi ya 14
Soma - https://jamii.app/WanaolipwaZaidi
π17
UVIKO-19: MAAMBUKIZI YAONGEZEKA NCHINI
Kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137%
Visa vimeripotiwa Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, Mtwara, Dodoma, Mara, Morogoro, Simiyu, Katavi, Kilimanjaro na Mbeya
Soma > https://jamii.app/TaarifaUVIKO
Kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137%
Visa vimeripotiwa Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, Mtwara, Dodoma, Mara, Morogoro, Simiyu, Katavi, Kilimanjaro na Mbeya
Soma > https://jamii.app/TaarifaUVIKO
π14π2π₯1π€1
URUSI: Bunge limepitisha Miswada miwili inayomaliza Mamlaka ya Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu nchini humo, baada ya kutangaza kuwa itaondoka katika Mahakama hiyo kutokana na #RussiaUkraineWar
Soma - https://jamii.app/UrusiYajiondoaECHR
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/UrusiYajiondoaECHR
#JamiiForums
π18β€7π3π±2
RAIS SAMIA: MAFUTA NI JANGA LA ULIMWENGU, SI LA SERIKALI
Akizungumza na Wananchi wa Bwanga, amesema kwasababu ya Vita inayoendelea Nchini Ukraine, bei ya mafuta imepanda duniani kote
Ameeleza, "Bilioni 100 zimetolewa kufidia bei za mafuta zishuke. Tutaendelea kutoa Ruzuku mpaka duniani kukae sawa. Tutakata Bilioni 100 kila mwezi kwenye matumizi ya Serikali ili kupunguza makali"
Soma - https://jamii.app/RaisMafutaBei
Akizungumza na Wananchi wa Bwanga, amesema kwasababu ya Vita inayoendelea Nchini Ukraine, bei ya mafuta imepanda duniani kote
Ameeleza, "Bilioni 100 zimetolewa kufidia bei za mafuta zishuke. Tutaendelea kutoa Ruzuku mpaka duniani kukae sawa. Tutakata Bilioni 100 kila mwezi kwenye matumizi ya Serikali ili kupunguza makali"
Soma - https://jamii.app/RaisMafutaBei
π13π12π1
RUTO: SERIKALI INAMSAIDIA ODINGA KUSHINDA UCHAGUZI
Amelalamikia kile alichosema ni matumizi mabaya ya taarifa na huduma za kijasusi kwa manufaa ya Raila Odinga
Chama cha UDA kimesema hali hiyo inahatarisha Usalama ktk Mchakato wa Uchaguzi Mkuu
Soma - https://jamii.app/RutoGovtRaila
Amelalamikia kile alichosema ni matumizi mabaya ya taarifa na huduma za kijasusi kwa manufaa ya Raila Odinga
Chama cha UDA kimesema hali hiyo inahatarisha Usalama ktk Mchakato wa Uchaguzi Mkuu
Soma - https://jamii.app/RutoGovtRaila
π12
MDAU: Wafanyabiashara haswa wa vitafunwa wamekuwa wakitumia karatasi zenye CV, Fomu za Mikopo, Fomu za Uanachama, Mitihani na nyinginezo
> Uanikaji huo wa Taarifa Binafsi za Watu ni hatari kwa usalama wa mhusika
Soma - https://jamii.app/UlinziWaDataBinafsi
#DataProtection
> Uanikaji huo wa Taarifa Binafsi za Watu ni hatari kwa usalama wa mhusika
Soma - https://jamii.app/UlinziWaDataBinafsi
#DataProtection
π13π2π’2
JamiiForums inatangaza nafasi 10 za Wasimamizi wa Maudhui (Content Managers)
MAJUKUMU: Kusimamia Maudhui ya JamiiForums.com na kuhakikisha Wanachama wanazingatia Miongozo wanaposhiriki Mijadala mbalimbali
Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/NafasiKaziJF
MAJUKUMU: Kusimamia Maudhui ya JamiiForums.com na kuhakikisha Wanachama wanazingatia Miongozo wanaposhiriki Mijadala mbalimbali
Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/NafasiKaziJF
π9π₯°1π1