GATTUSO KOCHA MPYA WA VALENCIA
Kiungo wa zamani wa AC Milan, Gennaro Gattuso ametangazwa kuwa kocha wa Valencia
Raia huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 44 amesaini mkataba wa miaka miwili
Soma > https://jamii.app/GattusoValencia
#JamiiForums #JFSports
Kiungo wa zamani wa AC Milan, Gennaro Gattuso ametangazwa kuwa kocha wa Valencia
Raia huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 44 amesaini mkataba wa miaka miwili
Soma > https://jamii.app/GattusoValencia
#JamiiForums #JFSports
👍13
RAIS SAMIA: Serikali imetenga Tsh. Bilioni 20 kuboresha kilimo cha mashamba makubwa Nchini ili kuzalisha mafuta ya kula na kufikia kiwango cha kuuza mafuta nje ya nchi
> Tutapanda Alizeti na Michikichi kwa mbegu za kisasa
Soma - https://jamii.app/SamiaKagera
#JamiiForums
> Tutapanda Alizeti na Michikichi kwa mbegu za kisasa
Soma - https://jamii.app/SamiaKagera
#JamiiForums
👍13😁9👎6
SRI LANKA: Takriban Wahandisi 900 wa Bodi ya Umeme ya Ceylon inayomilikiwa na Serikali waligoma na kusababisha uhaba wa umeme
> Wahandisi hao wanadai kuondolewa kwa vikwazo vya Ushindani wa Zabuni kwa Miradi ya Nishati Mbadala
Soma - https://jamii.app/MgomoWaWahandisi
#JamiiForums
> Wahandisi hao wanadai kuondolewa kwa vikwazo vya Ushindani wa Zabuni kwa Miradi ya Nishati Mbadala
Soma - https://jamii.app/MgomoWaWahandisi
#JamiiForums
👍6👎2
RAIS SAMIA: MSIWABAMBIKIE WANANCHI BILI ZA MAJI
Akiwa ziarani Kagera amesema "Wananchi walipe jinsi wanavyotumia, msiwabambikie Bili kufidia gharama za uendeshaji"
Ameelekeza Wizara ya Maji kutoa Mkopo wa Tsh. Milioni 500 kwa Mamlaka za Maji Wilayani Missenyi
Soma - https://jamii.app/SamiaKagera
Akiwa ziarani Kagera amesema "Wananchi walipe jinsi wanavyotumia, msiwabambikie Bili kufidia gharama za uendeshaji"
Ameelekeza Wizara ya Maji kutoa Mkopo wa Tsh. Milioni 500 kwa Mamlaka za Maji Wilayani Missenyi
Soma - https://jamii.app/SamiaKagera
👍17
DR CONGO YAISHUTUMU RWANDA KUTUMA VIKOSI VYAKE KINYEMELA
Jeshi limedai Wanajeshi 500 wametumwa eneo la Tshanzu Jimbo la Kivu Kaskazini linalopakana na Rwanda na kukaliwa na Waasi wa M23
Rwanda imekanusha tuhuma hizo ikisema hazina mashiko
Soma - https://jamii.app/MgogoroDRC
#JFLeo
Jeshi limedai Wanajeshi 500 wametumwa eneo la Tshanzu Jimbo la Kivu Kaskazini linalopakana na Rwanda na kukaliwa na Waasi wa M23
Rwanda imekanusha tuhuma hizo ikisema hazina mashiko
Soma - https://jamii.app/MgogoroDRC
#JFLeo
👍12😁1
DAR: ADAIWA KUMUUA MPENZI WAKE KISHA KUJIUA
Bunaza Manyanda anadaiwa kumuua Mpenzi wake, Happiness Zakaria kwa kitu chenye ncha kali tumboni kisha naye kujiua kwa kunywa pombe, dawa ya kuua wadudu ya DUDU CRON na vidonge vya Flagyl
Soma > https://jamii.app/MauajiTemeke
#JamiiForums
Bunaza Manyanda anadaiwa kumuua Mpenzi wake, Happiness Zakaria kwa kitu chenye ncha kali tumboni kisha naye kujiua kwa kunywa pombe, dawa ya kuua wadudu ya DUDU CRON na vidonge vya Flagyl
Soma > https://jamii.app/MauajiTemeke
#JamiiForums
😢6👍5👎3❤1😁1
KADIRIA MLO KWA KUTUMIA MIKONO YAKO
Ukubwa wa Ngumi; Vyakula vya nafaka na mizizi. Pia kipimo kama hicho kinatakiwa kitumike katika Matunda
Viganja vya Mikono; Mbogamboga zijae kwenye mikono yote
Ukubwa wa Kiganja; Vyakula vya jamii ya kunde na vyenye asili ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AfyaYaChakula
Ukubwa wa Ngumi; Vyakula vya nafaka na mizizi. Pia kipimo kama hicho kinatakiwa kitumike katika Matunda
Viganja vya Mikono; Mbogamboga zijae kwenye mikono yote
Ukubwa wa Kiganja; Vyakula vya jamii ya kunde na vyenye asili ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AfyaYaChakula
👍13👏1
PUTIN: NCHI ZA MAGHARIBI HAZIWEZI KUKATAA NISHATI YETU SIKU ZOTE
Rais Vladimir Putin amedai Kampuni za Nishati ya Mafuta na Gesi zinaendelea kuchimba visima kwani zinajua Biashara itakuwepo
Faida ya Nishati Nchini Urusi imepanda licha ya vikwazo
Soma - https://jamii.app/RussiaOilGas
Rais Vladimir Putin amedai Kampuni za Nishati ya Mafuta na Gesi zinaendelea kuchimba visima kwani zinajua Biashara itakuwepo
Faida ya Nishati Nchini Urusi imepanda licha ya vikwazo
Soma - https://jamii.app/RussiaOilGas
👏20😁8👍3🤯1
JamiiForums inatangaza nafasi 10 za Wasimamizi wa Maudhui (Content Managers)
MAJUKUMU: Kusimamia Maudhui ya JamiiForums.com na kuhakikisha Wanachama wanazingatia Miongozo wanaposhiriki Mijadala mbalimbali
Je, unadhani unafaa? Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/NafasiKaziJF
MAJUKUMU: Kusimamia Maudhui ya JamiiForums.com na kuhakikisha Wanachama wanazingatia Miongozo wanaposhiriki Mijadala mbalimbali
Je, unadhani unafaa? Tuma Maombi yako kupitia vacancies @ jamiiforums.com kabla ya Juni 16, 2022
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/NafasiKaziJF
👍6
AJALI YAUA TAKRIBAN WATU 18: Watu wapatao 18 wamefariki dunia baada ya basi dogo (Coaster) kugongana na lori la mizigo Mkoani Iringa
Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, ACP Allan Bukumbi amethibitisha ajali kutokea leo Juni 10, 2022
Soma - https://jamii.app/AjaliIringa
#JFLeo
Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, ACP Allan Bukumbi amethibitisha ajali kutokea leo Juni 10, 2022
Soma - https://jamii.app/AjaliIringa
#JFLeo
😢27👍6👎2😱1
AFRIKA KUSINI: Rais Ramaphosa amemsimamisha kazi Mkuu wa Kitengo cha Kupambana na Ufisadi kwa shutuma za upendeleo wa kisiasa
> Aidha, Juni 8, 2022, Mkhwebane alisema amepokea malalamiko dhidi ya Ramaphosa ya kukiuka maadili ya kiutendaji
Soma - https://jamii.app/UfisadiAfrikaKusini
> Aidha, Juni 8, 2022, Mkhwebane alisema amepokea malalamiko dhidi ya Ramaphosa ya kukiuka maadili ya kiutendaji
Soma - https://jamii.app/UfisadiAfrikaKusini
👍4😁2🤯2
Hukumu ya kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake inatarajiwa kutolewa leo Juni 10, 2022 ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha
> Pia, watuhumiwa hao wana kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
Soma - https://jamii.app/HukumuOleSabaya
> Pia, watuhumiwa hao wana kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
Soma - https://jamii.app/HukumuOleSabaya
👍7👏2
Baraza Kuu la UN limeichagua Msumbiji pamoja na Ecuador, Japan, Malta na Uswisi kuwa Mwanachama asiye wa Kudumu wa Baraza la Usalama la UN kwa miaka miwili kuanzia Januari 2023
> India, Ireland, Kenya, Mexico na Norway zimemaliza muda wao
Soma - https://jamii.app/MsumbijiUNSC
> India, Ireland, Kenya, Mexico na Norway zimemaliza muda wao
Soma - https://jamii.app/MsumbijiUNSC
👍18👏2🤩1
WAZIRI MKUU: HAKUNA MAPAMBANO YA WAFUGAJI NA ASKARI LOLIONDO
Akiwa Bungeni, amekanusha tetesi za mapigano kati ya Askari na Wafugaji huko Loliondo zilizosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii
Amesema "Tulipokuwa tunapitisha magari kuelekea msituni, Viongozi wa Kijiji cha karibu ndio waliorekodi video ya kutaka ionekane kuna tatizo Loliondo, ndio maana katika video huyo huoni kama kuna askari yeyote anatishiwa mshale"
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
#JamiiForums
Akiwa Bungeni, amekanusha tetesi za mapigano kati ya Askari na Wafugaji huko Loliondo zilizosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii
Amesema "Tulipokuwa tunapitisha magari kuelekea msituni, Viongozi wa Kijiji cha karibu ndio waliorekodi video ya kutaka ionekane kuna tatizo Loliondo, ndio maana katika video huyo huoni kama kuna askari yeyote anatishiwa mshale"
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
#JamiiForums
👍16👎6👏1
WAZIRI MKUU: ILI KUPUNGUZA IDADI YA WATU, WENGINE TUTAWAHAMISHIA HANDENI
Amesema kutokana na ongezeko la Watu Loliondo, Serikali imefanya vikao na Wananchi na kujadiliana ni kwa namna gani watapunguza idadi ya Watu, Mifugo na Ujenzi Holela
Ambao wataridhia watahamishiwa Handeni, Tanga na hadi kufikia Juni 9, 2022, Kaya 263 zenye Watu 1497 zilijiandikisha kuwa tayari kuhama
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
Amesema kutokana na ongezeko la Watu Loliondo, Serikali imefanya vikao na Wananchi na kujadiliana ni kwa namna gani watapunguza idadi ya Watu, Mifugo na Ujenzi Holela
Ambao wataridhia watahamishiwa Handeni, Tanga na hadi kufikia Juni 9, 2022, Kaya 263 zenye Watu 1497 zilijiandikisha kuwa tayari kuhama
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
👍8👏5😢2
WAZIRI MKUU: HATUTAWAONEA AIBU WACHONGANISHI
Akitoa taarifa kuhusiana na mgogoro kati ya Wananchi wa Loliondo na Serikali, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa kuna Taasisi zilizosajiliwa na Serikali kufanya shughuli za uhifadhi lakini katika hili kazi yao imekua ni upotoshaji na uchonganishi
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
Akitoa taarifa kuhusiana na mgogoro kati ya Wananchi wa Loliondo na Serikali, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa kuna Taasisi zilizosajiliwa na Serikali kufanya shughuli za uhifadhi lakini katika hili kazi yao imekua ni upotoshaji na uchonganishi
Soma - https://jamii.app/MajaliwaMgogoroLoliondo
👍8👏2
TETESI: MAN. UTD YAANGALIA UWEZEKANO WA KUMSAJILI CHAMBERLAIN
Inadaiwa Manchester United inataka kumsajili Alex Oxlade-Chamberlain (28) anayedaiwa kutaka kuondoka Liverpool
Timu hiyo inahitaji Viungo wapya baada ya kuondoka kwa Paul Pogba, Juan Mata na Nemanja Matic
#JFSports
Inadaiwa Manchester United inataka kumsajili Alex Oxlade-Chamberlain (28) anayedaiwa kutaka kuondoka Liverpool
Timu hiyo inahitaji Viungo wapya baada ya kuondoka kwa Paul Pogba, Juan Mata na Nemanja Matic
#JFSports
👍9👎4
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Ishi kwa ajili yako, usiwaige wengine!
👍26🤩1
SABAYA NA WENZAKE WAACHIWA HURU
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake sita waliokuwa wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi. Imesema ushahidi uliotolewa na Mashahidi wa upande wa Jamhuri ulikuwa na utata
Sabaya, Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya watabaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine waliyonayo
Soma - https://jamii.app/KesiSabayaLeo
#JamiiForums
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake sita waliokuwa wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi. Imesema ushahidi uliotolewa na Mashahidi wa upande wa Jamhuri ulikuwa na utata
Sabaya, Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya watabaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine waliyonayo
Soma - https://jamii.app/KesiSabayaLeo
#JamiiForums
💩23😁14👍13👎11
Inaelezwa kuwa, Angel's Trumpet ni hatari kwa Binadamu na Wanyama, na umakini unahitajika ikiwa Mmea huo utapandwa nyumbani. Inashauriwa kuwa katika maeneo ambayo si rahisi kufikiwa na Watoto
Sehemu zote za Mmea huo zina sumu na ikiwa imekuathiri, baadhi ya dalili zake ni kutapika, ugumu kupumua, homa na hali ya kuchanganyikiwa
#JamiiForums #JFMaarifa
Sehemu zote za Mmea huo zina sumu na ikiwa imekuathiri, baadhi ya dalili zake ni kutapika, ugumu kupumua, homa na hali ya kuchanganyikiwa
#JamiiForums #JFMaarifa
🤔10👍4😢4🔥3