TAKRIBAN WATU 4,000,000 WAKABILIWA NA UHABA WA CHAKULA NCHINI KENYA
Idadi hii inatajwa kuongezeka kutoka zaidi ya watu 3,000,000 mwaka jana
> Aidha, zaidi ya Watoto 900,000 walio chini ya umri wa miaka mitano wamegundulika kuwa na utapiamlo
Soma - https://jamii.app/NjaaKenya
Idadi hii inatajwa kuongezeka kutoka zaidi ya watu 3,000,000 mwaka jana
> Aidha, zaidi ya Watoto 900,000 walio chini ya umri wa miaka mitano wamegundulika kuwa na utapiamlo
Soma - https://jamii.app/NjaaKenya
π6π1
JELA MAISHA KWA KUMLAWITI MTOTO WA DADA YAKE
Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Iringa amehukumiwa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile Mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12
> Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020
Soma - https://jamii.app/JelaKwaKulawiti
Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Iringa amehukumiwa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile Mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12
> Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020
Soma - https://jamii.app/JelaKwaKulawiti
π6π1
MDAU: USINUNUE VITU VYA THAMANI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA
Anashangazwa na wanaokimbilia kununua mali za gharama kubwa ilihali bado wanapanga. Anashauri kuwa na mahitaji muhimu, huku kipato kingine kikielekezwa kwenye kiwanja ili ujenge
Unakubaliana na mtazamo wake kuwa kujenga ni ishara ya mafanikio katika maisha? Nini maoni yako?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VituNyumbani
Anashangazwa na wanaokimbilia kununua mali za gharama kubwa ilihali bado wanapanga. Anashauri kuwa na mahitaji muhimu, huku kipato kingine kikielekezwa kwenye kiwanja ili ujenge
Unakubaliana na mtazamo wake kuwa kujenga ni ishara ya mafanikio katika maisha? Nini maoni yako?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VituNyumbani
π40π4
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tunawatakia wote weekend njema!
π15β€7
UKRAINE: Wanasayansi wanasema mvua katika Mji wa #Mariupol inaweza kusababisha mlipuko wa Kipindupindu
Meya wa Mji huo, Vadym Boichenko amesema maji ktk baadhi ya visima ni machafu, na ikiwa Mlipuko utatokea maelfu ya watu wanaweza kupoteza maisha
Soma > https://jamii.app/KipindupinduUkraine
Meya wa Mji huo, Vadym Boichenko amesema maji ktk baadhi ya visima ni machafu, na ikiwa Mlipuko utatokea maelfu ya watu wanaweza kupoteza maisha
Soma > https://jamii.app/KipindupinduUkraine
π10π’3
MAREKANI: CHINA INAZIDI KUTUMIA MABAVU NA FUJO
Waziri wa Ulinzi, Lloyd Austin amesema Marekani itasimama na Washirika wake, ikiwemo Taiwan
Uhusiano kati ya China na Marekani umekuwa tete miezi ya hivi karibuni, kutokana na mivutano kwenye masuala kadhaa yakiwemo Taiwan na Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/ChinaUsTaiwan
Waziri wa Ulinzi, Lloyd Austin amesema Marekani itasimama na Washirika wake, ikiwemo Taiwan
Uhusiano kati ya China na Marekani umekuwa tete miezi ya hivi karibuni, kutokana na mivutano kwenye masuala kadhaa yakiwemo Taiwan na Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/ChinaUsTaiwan
π14π₯3
MAREKANI: KANUNI YA WASAFIRI WA KIMATAIFA KUPIMA COVID-19 YAONDOLEWA
Kanuni ya upimaji kwa Wasafiri wa Anga wanaoingia kutoka nje ya Nchi itaondolewa kuanzia Juni 12, 2022
Mashirika ya Ndege na wadau wengine wamekuwa wakishinikiza iondolewe
Soma - https://jamii.app/USTestsCOVID
Kanuni ya upimaji kwa Wasafiri wa Anga wanaoingia kutoka nje ya Nchi itaondolewa kuanzia Juni 12, 2022
Mashirika ya Ndege na wadau wengine wamekuwa wakishinikiza iondolewe
Soma - https://jamii.app/USTestsCOVID
π15
MONGELLA: ASKARI AMEUAWA LOLIONDO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amesema tukio hilo limetokea Alasiri ya Juni 10, 2022, baada ya askari huyo kuchomwa mshale
> Amesema imetokea baada ya Waziri Mkuu kuhutubia Bunge
Soma - https://jamii.app/MgogoroLoliondo
#JamiiForums
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amesema tukio hilo limetokea Alasiri ya Juni 10, 2022, baada ya askari huyo kuchomwa mshale
> Amesema imetokea baada ya Waziri Mkuu kuhutubia Bunge
Soma - https://jamii.app/MgogoroLoliondo
#JamiiForums
π22π€4π1
Kamanda Jumanne Muliro amesema kutokana na mwendelezo wa matukio ya kikatili inawezekana kuna tatizo kubwa zaidi katika jamii kuliko inavyofikiriwa
> Je, unadhani nini kifanyike ili kupunguza matukio ya ukatili katika jamii zetu?
Soma - https://jamii.app/MatukioYaUkatili
> Je, unadhani nini kifanyike ili kupunguza matukio ya ukatili katika jamii zetu?
Soma - https://jamii.app/MatukioYaUkatili
π22π₯2
MAREKANI: Kesi ya kudaiwa kumbaka Kathryn Mayorga iliyokuwa ikimkabili nyota wa Manchester United, Cristiano Ronaldo imefutwa baada ya Jaji Jennifer Dorsey kusema nyaraka za ushahidi zilipatikana isivyo halali
Soma - https://jamii.app/CR7Mahakamani
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/CR7Mahakamani
#JamiiForums
π26π9π€¬2π₯1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Vitendo vya Rushwa, Urasimu na Ubadhirifu vinarudisha nyuma maendeleo ya Wananchi na Taifa kwa ujumla, na wote tunawajibika kuvikemea
#JamiiForums #KemeaRushwa
#JamiiForums #KemeaRushwa
π11
MBEYA: Mwili wa Padre Michael Samson wa Shirika la Wamisionari wa Afrika (White Fathers') aliyetoweka Ijumaa Juni 10, 2022 umekotwa kando ya Mto Meta jijini humo
> Mashuhuda wamesema mwili huo ulikuwa umefungwa kwenye blanketi
Soma - https://jamii.app/PadreAfarikiMbeya
#JFMatukio
> Mashuhuda wamesema mwili huo ulikuwa umefungwa kwenye blanketi
Soma - https://jamii.app/PadreAfarikiMbeya
#JFMatukio
π’14π5π4π1
ILO: UMASIKINI UNACHANGIA TATIZO LA AJIRA KWA WATOTO
Bila kuwepo Mikakati, Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria idadi ya Watoto wanaotumikishwa inaweza kuongezeka kwa Milioni 8.9 ifikapo mwisho wa 2022
Juni 12 ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Watoto. Japokuwa hatua kubwa zimepigwa kupunguza tatizo hili, bado Watoto Milioni 160 Duniani wapo katika Ajira
Soma - https://jamii.app/ILOWatoto
#EndChildLabour
Bila kuwepo Mikakati, Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria idadi ya Watoto wanaotumikishwa inaweza kuongezeka kwa Milioni 8.9 ifikapo mwisho wa 2022
Juni 12 ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Watoto. Japokuwa hatua kubwa zimepigwa kupunguza tatizo hili, bado Watoto Milioni 160 Duniani wapo katika Ajira
Soma - https://jamii.app/ILOWatoto
#EndChildLabour
π10π2π€2
DAR: Zheng Lingyao (Me) anatafutwa kwa tuhuma za kumuua Fu Nannan (Me) na kumjeruhi Nie Mnqin (Ke) wote ni raia wa China
> Tukio lililotokea jana Juni 11, 2022, chanzo kikitajwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi
Soma - https://jamii.app/MauajiYaWachina
#JamiiForums
> Tukio lililotokea jana Juni 11, 2022, chanzo kikitajwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi
Soma - https://jamii.app/MauajiYaWachina
#JamiiForums
π’15π4π2π±2
TUNISIA: Polisi wanadaiwa kumshikilia Mwanahabari, Salah Atiyah kwa kudai kwamba, Rais Kais Saied alilitaka Jeshi kufunga Makao Makuu ya Chama cha Wafanyakazi cha UGTT na kuwafunga Viongozi wa Upinzani kifungo cha nyumbani
Soma - https://jamii.app/PressFreedomTunisia
Soma - https://jamii.app/PressFreedomTunisia
π5π1
βKODI YA HUDUMA ZA KIDIGITALIβ NI NINI?
Kodi ya Huduma za Kidigitali (Digital Service Tax) hutozwa kwa Kampuni kulingana na Mapato yao kutokana na shughuli zao za Kidigitali katika Nchi husika. Kawaida, hutozwa kwa kampuni za kimataifa
Nchi nyingi zilikubaliana kuahirisha mfumo wa DST mpaka mwaka 2024 wakati Mfumo unakamilishwa. DST ilitajwa kama kikwazo kwenye Biashara ya Kidigitali
#DigitalServiceTax #DigitalRights
Kodi ya Huduma za Kidigitali (Digital Service Tax) hutozwa kwa Kampuni kulingana na Mapato yao kutokana na shughuli zao za Kidigitali katika Nchi husika. Kawaida, hutozwa kwa kampuni za kimataifa
Nchi nyingi zilikubaliana kuahirisha mfumo wa DST mpaka mwaka 2024 wakati Mfumo unakamilishwa. DST ilitajwa kama kikwazo kwenye Biashara ya Kidigitali
#DigitalServiceTax #DigitalRights
π5π€2
KODI YA HUDUMA ZA KIDIGITALI HUTOZWAJE?
Kodi hii hutozwa kwenye Mapato ghafi ya Kampuni bila kujali gharama zilizotumika kuzalisha Mapato hayo
Biashara nyingi zina Mapato yanayotosha kulipa gharama, na mara nyingine gharama zinazidi mapato yanayopatikana
#DigitalServiceTax #DigitalRights
Kodi hii hutozwa kwenye Mapato ghafi ya Kampuni bila kujali gharama zilizotumika kuzalisha Mapato hayo
Biashara nyingi zina Mapato yanayotosha kulipa gharama, na mara nyingine gharama zinazidi mapato yanayopatikana
#DigitalServiceTax #DigitalRights
π6π€―1
KWANINI TANZANIA IMEFIKIRIA KUTOZA KODI HUDUMA ZA KIDIGITALI?
1) Nchi inahamia digitali hivyo ni muda sahihi kutambulisha kodi hiyo
2) Kuongeza wigo wa kodi badala ya kuendelea kutoza kwenye vyanzo vilivyopo
#DigitalServiceTax #DigitalRights
1) Nchi inahamia digitali hivyo ni muda sahihi kutambulisha kodi hiyo
2) Kuongeza wigo wa kodi badala ya kuendelea kutoza kwenye vyanzo vilivyopo
#DigitalServiceTax #DigitalRights
π€―10π9
POCHETTINO KUONDOKA PSG
Kocha Mauricio Pochettino amekubali kusitishwa kwa mkataba wake ndani ya Paris Saint-Germain
> Wanaopewa nafasi ya kurithi mikoba ni Zinedine Zidane, Jose Mourinho na Christophe Galtier
Soma - https://jamii.app/PSGKocha
#JamiiForums
Kocha Mauricio Pochettino amekubali kusitishwa kwa mkataba wake ndani ya Paris Saint-Germain
> Wanaopewa nafasi ya kurithi mikoba ni Zinedine Zidane, Jose Mourinho na Christophe Galtier
Soma - https://jamii.app/PSGKocha
#JamiiForums
π10π1