MALEZI: UDHALILISHAJI WA MTOTO KWA NJIA YA MANENO
Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia
Baadhi ya maneno ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara ya Watu au Familia/Ndugu. Kumuita Mtoto majina mabaya (Matusi) na majina mengine ikiwemo majina ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AbuseWordsChild
#Malezi #ChildViolence
Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia
Baadhi ya maneno ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara ya Watu au Familia/Ndugu. Kumuita Mtoto majina mabaya (Matusi) na majina mengine ikiwemo majina ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AbuseWordsChild
#Malezi #ChildViolence
Novemba 29, 2021, Taasisi ya WAJIBU ilizindua kitabu kiitwacho "Principles of Public Sector Auditing - The Case of SAI Tanzania" Jijini Dar es Salaam
-
Kitabu hicho kilizinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emanuel Tutuba kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba
-
Kitabu hicho kimeandikwa na CAG mstaafu na Mkurugenzi Mtendaji wa WAJIBU, CPA. Ludovick Utouh.
#JamiiForums #JFUwajibikaji
-
Kitabu hicho kilizinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emanuel Tutuba kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba
-
Kitabu hicho kimeandikwa na CAG mstaafu na Mkurugenzi Mtendaji wa WAJIBU, CPA. Ludovick Utouh.
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Taarifa binafsi ni taarifa zozote zinazohusiana na Mtu na ambazo zinaweza kumtambulisha Mmiliki wa taarifa hizo
Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka uwezekano wa kutumika vibaya
#JamiiForums #PersonalDataProtection
Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka uwezekano wa kutumika vibaya
#JamiiForums #PersonalDataProtection
HOJA: JE, UMEWAHI KUFANYIWA 'BULLYING' KWENYE MAISHA YAKO?
'Bullying' ni aina ya Unyanyasaji unaofanywa hasa na Watoto na unaweza kujidhihirisha kwa kusukumwa ovyo, kupigwa, kuitwa majina yasiyofaa, matusi au vitisho. Hali hii huweza kumuathiri Mtoto Kisaikolojia na Kihisia
Je, umewahi kufanyiwa 'Bullying' kutokana na maumbile au mwonekano wako? Uliathirikia kwa namna gani na umewezaje kupambana na athari hizo?
Mjadala - https://jamii.app/AthariBullying
#Bullying
'Bullying' ni aina ya Unyanyasaji unaofanywa hasa na Watoto na unaweza kujidhihirisha kwa kusukumwa ovyo, kupigwa, kuitwa majina yasiyofaa, matusi au vitisho. Hali hii huweza kumuathiri Mtoto Kisaikolojia na Kihisia
Je, umewahi kufanyiwa 'Bullying' kutokana na maumbile au mwonekano wako? Uliathirikia kwa namna gani na umewezaje kupambana na athari hizo?
Mjadala - https://jamii.app/AthariBullying
#Bullying
DKT. GWAJIMA: VIONGOZI WASIOCHANJA WAACHIE NGAZI
Waziri wa Afya atoa wito huo akisema Viongozi hao hawatetei msimamo wa Serikali kwani hata Rais amechanja
Asema hawawezi kuwa na hamasa ya kusimamia kampeni ya uchanjaji dhidi ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/ViongoziChanjo
#UVIKO3
Waziri wa Afya atoa wito huo akisema Viongozi hao hawatetei msimamo wa Serikali kwani hata Rais amechanja
Asema hawawezi kuwa na hamasa ya kusimamia kampeni ya uchanjaji dhidi ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/ViongoziChanjo
#UVIKO3
MAREKANI: TRUMP AIOMBA MAHAKAMA KUZUIA BUNGE KUPATA TAARIFA ZAKE
Rais wa zamani wa Marekani ameiomba Mahakama ya Rufaa kuzuia Wabunge wanaochunguza ghasia za Januari 6 katika jengo la Bunge kupata taarifa za mazungumzo yake ya wakati huo
Soma - https://jamii.app/TrumpDataBunge
#JFLeo
Rais wa zamani wa Marekani ameiomba Mahakama ya Rufaa kuzuia Wabunge wanaochunguza ghasia za Januari 6 katika jengo la Bunge kupata taarifa za mazungumzo yake ya wakati huo
Soma - https://jamii.app/TrumpDataBunge
#JFLeo
Desemba 1 kila Mwaka ni Siku ya UKIMWI Duniani ambao uligundulika kwa mara ya kwanza Mwaka 1988. Takwimu mbalimbali zinaonesha Vijana ndio kundi linaloathirika zaidi
Kaulimbiu ya Mwaka 2021 inasema, "Komesha ukosefu wa usawa. Komesha UKIMWI. Komesha Magonjwa ya milipuko"
Umoja wa Mataifa unalenga kukomesha janga hili ifikapo 2030
#WorldAIDSDay2021 #JamiiForums
Kaulimbiu ya Mwaka 2021 inasema, "Komesha ukosefu wa usawa. Komesha UKIMWI. Komesha Magonjwa ya milipuko"
Umoja wa Mataifa unalenga kukomesha janga hili ifikapo 2030
#WorldAIDSDay2021 #JamiiForums
ZIMBABWE: WASAFIRI WA KIMATAIFA WATAKIWA KUKAA KARANTINI
Wasafiri wanaoingia Nchini humo watatakiwa kupimwa #COVID19 na kukaa Karantini kwa gharama zao
Serikali imeweka amri ya Raia kutokuwa nje kuanzia saa tatu usiku hadi saa 12 asubuhi
Soma - https://jamii.app/ZimbabweCurfew
#UVIKO3
Wasafiri wanaoingia Nchini humo watatakiwa kupimwa #COVID19 na kukaa Karantini kwa gharama zao
Serikali imeweka amri ya Raia kutokuwa nje kuanzia saa tatu usiku hadi saa 12 asubuhi
Soma - https://jamii.app/ZimbabweCurfew
#UVIKO3
USIWE SEHEMU YA UPOTOSHAJI KUHUSU COVID-19 NA CHANJO
Kufuatia usambaaji wa taarifa zisizo sahihi, Shirika la Afya Duniani (WHO) linashauri kila mmoja kuepuka kuwa sehemu ya upotoshaji
Taarifa za kupotosha zinaweza kueneza wasiwasi na hofu
Soma https://jamii.app/ChanjoUpotoshaji
#UVIKO3
Kufuatia usambaaji wa taarifa zisizo sahihi, Shirika la Afya Duniani (WHO) linashauri kila mmoja kuepuka kuwa sehemu ya upotoshaji
Taarifa za kupotosha zinaweza kueneza wasiwasi na hofu
Soma https://jamii.app/ChanjoUpotoshaji
#UVIKO3
UZALISHAJI WA POMBE YA BANANA WASITISHWA KWA KUTOKIDHI VIWANGO VYA UBORA
Uchunguzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) umebaini haifai kwa matumizi ya binadamu kutokana na kuongezewa kiwango kikubwa cha kemikali ya Asetic Acid
Soma - https://jamii.app/BananaMarufuku
#JFLeo
Uchunguzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) umebaini haifai kwa matumizi ya binadamu kutokana na kuongezewa kiwango kikubwa cha kemikali ya Asetic Acid
Soma - https://jamii.app/BananaMarufuku
#JFLeo
MICHEZO: Timu ya #Tanzania ya Watu wenye Ulemavu, Tembo Warriors imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Soka ya Bara la Afrika kwa wenye Ulemavu (CANAF 2021)
Imepata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Dunia yatakayofanyika Uturuki 2022
Soma - https://jamii.app/KombeDunia2022
#JFSports
Imepata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Dunia yatakayofanyika Uturuki 2022
Soma - https://jamii.app/KombeDunia2022
#JFSports
Rushwa ya Ngono inapotolewa Ofisini au sehemu za kutolea huduma husababisha madhara ikiwemo kukwamisha upatikanaji wa Haki, mtendewa kukosa huduma muhimu, kuongeza idadi ya wenye Magonjwa ya Zinaa
Vilevile Rushwa ya Ngono inadhoofisha nguvu kazi ya Wanawake, kuwakosesha Wanawake na Wasichana kipato binafsi, na kuzorotesha Maendeleo na Uchumi wa Nchi
Soma - https://jamii.app/RushwaMapenzi
#16DaysOfActivism
Vilevile Rushwa ya Ngono inadhoofisha nguvu kazi ya Wanawake, kuwakosesha Wanawake na Wasichana kipato binafsi, na kuzorotesha Maendeleo na Uchumi wa Nchi
Soma - https://jamii.app/RushwaMapenzi
#16DaysOfActivism
MSUMBIJI: VIJANA ZAIDI YA 100 WATEKWA NA WAPIGANAJI
Watu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya vijana katika Kijiji cha Naulala kilichopo Mkoa wa Niassa na kuchoma makazi
Taifa hilo limekuwa likikabiliana na waasi tangu Oktoba mwaka 2017
Soma - https://jamii.app/Msumbiji100
#JFLeo
Watu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya vijana katika Kijiji cha Naulala kilichopo Mkoa wa Niassa na kuchoma makazi
Taifa hilo limekuwa likikabiliana na waasi tangu Oktoba mwaka 2017
Soma - https://jamii.app/Msumbiji100
#JFLeo
Ili kuzuia Ukatili wa Kingono kwa Watoto, Mzazi/Mlezi hakikisha unadhibiti maudhui anayotazama kwenye Televisheni
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema anasema mzuie Mtoto kuhudhuria Ngoma za mikesha (vigodoro) kwakuwa zinachochea vitendo vya Ngono. Tambua mazingira anayocheza Mtoto pamoja na anaocheza nao kama ni salama kwake
Ikiwezekana Mtoto asilale na wageni waliomzidi umri mkubwa Chumba kimoja
Soma - https://jamii.app/UkatiliKingonoSOC
#StoriesOfChange
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema anasema mzuie Mtoto kuhudhuria Ngoma za mikesha (vigodoro) kwakuwa zinachochea vitendo vya Ngono. Tambua mazingira anayocheza Mtoto pamoja na anaocheza nao kama ni salama kwake
Ikiwezekana Mtoto asilale na wageni waliomzidi umri mkubwa Chumba kimoja
Soma - https://jamii.app/UkatiliKingonoSOC
#StoriesOfChange
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Baadhi wanaona ni jambo la manufaa kwani humpa nafasi Mzazi kushiriki katika maendeleo ya Mtoto huku wengine wakiona ni kumtesa Mtoto kipindi anachotakiwa kupumzika
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Malezi
Baadhi wanaona ni jambo la manufaa kwani humpa nafasi Mzazi kushiriki katika maendeleo ya Mtoto huku wengine wakiona ni kumtesa Mtoto kipindi anachotakiwa kupumzika
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Malezi
Takwimu zilizokusanywa na UNITAID na WHO kwa pamoja zinaonesha kati ya Mwaka 2015 na 2020, idadi ya Nchi zilizo na Sera za kujipima VVU imeongezeka kutoka Mataifa 6 hadi 88 - na Mataifa mengine 31 yanaandaa Sera hizo
Kujipima VVU kumesaidia kufikia idadi ya Watu wengi wakiwemo Wanaume na Vijana ambao wana uwezekano mdogo wa kufika Vituo vya Afya na walikuwa na viwango vya chini vya upimaji.
#WorldAIDSDay #JamiiForums
Kujipima VVU kumesaidia kufikia idadi ya Watu wengi wakiwemo Wanaume na Vijana ambao wana uwezekano mdogo wa kufika Vituo vya Afya na walikuwa na viwango vya chini vya upimaji.
#WorldAIDSDay #JamiiForums
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUEPUKA TALAKA
Kutopuuza shida na haja za Mwenza wako hata kama ni mambo madogo madogo
Anashauri kuepuka mazingira yote yanayoweza kufanya utumbukie katika vishawishi vya kuvunja uaminifu
Anasisitiza kuepuka kuanzisha mijadala itakayoleta mabishano yasiyo ya lazima
Soma Makala yake - https://jamii.app/NdoaTalaka
#StoriesOfChange
Kutopuuza shida na haja za Mwenza wako hata kama ni mambo madogo madogo
Anashauri kuepuka mazingira yote yanayoweza kufanya utumbukie katika vishawishi vya kuvunja uaminifu
Anasisitiza kuepuka kuanzisha mijadala itakayoleta mabishano yasiyo ya lazima
Soma Makala yake - https://jamii.app/NdoaTalaka
#StoriesOfChange
WHATSAPP NA iMESSAGE ZABAINIKA KUTOA TAARIFA NYINGI ZA WATUMIAJI
Kwa maombi ya kawaida, #WhatsApp huwatumia FBI taarifa kila baada ya dakika 15 hata kwa watumiaji wa iPhone
Signal na Telegram zimetajwa kutotoa taarifa nyingi
Soma - https://jamii.app/TaarifaWatumiaji
#DataProtection
Kwa maombi ya kawaida, #WhatsApp huwatumia FBI taarifa kila baada ya dakika 15 hata kwa watumiaji wa iPhone
Signal na Telegram zimetajwa kutotoa taarifa nyingi
Soma - https://jamii.app/TaarifaWatumiaji
#DataProtection