Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limetoa Onyo kwa wanaotumia Nembo ya Baraza hilo kupotosha Misamiati ya #Kiswahili na kusambaza Mtandaoni
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
❤1👍1
Pamoja na utaalamu wako wa kuzungumza Lugha fulani kwa Ufasaha, inawezekana kuna Neno au Maneno yanakutatiza kutamka mpaka sasa
Tuambie Mdau, huwa unakwama kutamka Neno gani mara kwa mara?
#JamiiForums #Lugha #JFLugha
Tuambie Mdau, huwa unakwama kutamka Neno gani mara kwa mara?
#JamiiForums #Lugha #JFLugha
Siku ya Kimataifa ya Tafsiri huadhimishwa Septemba 30 kila Mwaka ikiwa na lengo la kuwaenzi Wataalamu wa Lugha, kuyaleta Mataifa Pamoja, Kuwezesha Mazungumzo, Maelewano na Ushirikiano, Kuchangia Maendeleo na Kuimarisha Amani na Usalama Duniani
Mei 24, 2017, Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) lilipitisha azimio namba 71/288 kuhusu wajibu wa Wataalamu wa Lugha katika kuunganisha Mataifa na hivyo ikatangazwa Septemba 30 kuwa Siku ya Kimataifa ya Tafsiri
Soma https://jamii.app/ITD2023
#JamiiForums #SikuYaWatafsiri #Lugha #InternationalTranslationDay #ITD2023
Mei 24, 2017, Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) lilipitisha azimio namba 71/288 kuhusu wajibu wa Wataalamu wa Lugha katika kuunganisha Mataifa na hivyo ikatangazwa Septemba 30 kuwa Siku ya Kimataifa ya Tafsiri
Soma https://jamii.app/ITD2023
#JamiiForums #SikuYaWatafsiri #Lugha #InternationalTranslationDay #ITD2023
👏2
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama husherehekewa Februari 21 kila Mwaka ili kukuza utofauti wa #Lugha na Tamaduni na kuhamasisha ufahamu wa urithi wa Lugha na Tamaduni Duniani kote
Siku hii inakumbuka Maandamano ya Watumiaji wa Lugha ya Kibengali Mwaka 1952 Nchini #Bangladesh, ambapo Wanafunzi na wanaharakati walitaka kutambuliwa kwa Lugha yao mama kama moja ya Lugha rasmi (Kibengali)
Je, unaijua Lugha Mama yako?
Soma https://jamii.app/LughaMama2024
#JamiiForums #MotherLanguageDay2024
Siku hii inakumbuka Maandamano ya Watumiaji wa Lugha ya Kibengali Mwaka 1952 Nchini #Bangladesh, ambapo Wanafunzi na wanaharakati walitaka kutambuliwa kwa Lugha yao mama kama moja ya Lugha rasmi (Kibengali)
Je, unaijua Lugha Mama yako?
Soma https://jamii.app/LughaMama2024
#JamiiForums #MotherLanguageDay2024
👍6
Siku ya #Lugha ya Kiingereza Duniani (World English Language Day) ilianzishwa na #UNESCO kwa lengo la kusherehekea Umuhimu wa Kiingereza kama mojawapo ya Lugha za Kimataifa zinazotumiwa Duniani kote
Lengo la Siku hii ni kukuza uelewa wa umuhimu wa Lugha za kimataifa na kuzisherehekea kama chombo cha #Mawasiliano na kujenga Tamaduni.
Neno gani la Kiingereza ni Mtihani kwako kulitamka vizuri?
Mjadala zaidi https://jamii.app/WorldEnglishDay2024
#JamiiForums #WorldEnglishLanguageDay
Lengo la Siku hii ni kukuza uelewa wa umuhimu wa Lugha za kimataifa na kuzisherehekea kama chombo cha #Mawasiliano na kujenga Tamaduni.
Neno gani la Kiingereza ni Mtihani kwako kulitamka vizuri?
Mjadala zaidi https://jamii.app/WorldEnglishDay2024
#JamiiForums #WorldEnglishLanguageDay
❤1👍1