JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Katiba husaidia kuipatia Nchi dira na maono ya wapi wanatoka na wapi wanakwenda. Pia, huwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka ya utendaji wao

Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo

Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za wengine ktk Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua

Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums

Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B

#JamiiForums #DataPrivacy
Mjadala wa Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa binafsi unaoendelea hivi sasa ndani ya JamiiForums

Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B

#DataPrivacy
Yanayojiri katika Mjadala wa 'Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi' unaoendelea Clubhouse

Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B

#DataPrivacy
KENYA YAKABILIWA NA UHABA WA KONDOMU

Imeelezwa, Vituo vya Afya vya Umma, Hoteli na Migahawa vinakabiliwa na uhaba huo kutokana na mvutano wa ushuru kati ya Wafadhili na Serikali

Kenya husambaza bure takriban Mipira milioni 180 kila Mwaka

Soma - https://jamii.app/LackCondomKE
UJERUMANI: Bunge limeidhinisha Sheria mpya za kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona

Miongoni mwa yaliyopitishwa ni Mtu atalazimika kuonesha uthibitisho wa ikiwa amechanjwa, amewahi kuugua Corona na kupona au kupima anapokuwa maeneo ya kazi na ktk usafiri wa Umma

Soma - https://jamii.app/GermySheriaUviko
#UVIKO3