Katiba husaidia kuipatia Nchi dira na maono ya wapi wanatoka na wapi wanakwenda. Pia, huwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka ya utendaji wao
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za wengine ktk Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy
Maxence Melo (@macdemelo): Mpaka mwishoni mwa 2021, tutakuwa na vifaa vilivyoungana kidigitali takriban Bilioni 46
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Clubhouse
Haki ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Faragha - JamiiForums
Thursday, November 18 at 6:00pm EAT with Sam Gidori. Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, mfano Majina, Namba za Simu, Anwani n.k
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Mjadala wa Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa binafsi unaoendelea hivi sasa ndani ya JamiiForums
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Yanayojiri katika Mjadala wa 'Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi' unaoendelea Clubhouse
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
KENYA YAKABILIWA NA UHABA WA KONDOMU
Imeelezwa, Vituo vya Afya vya Umma, Hoteli na Migahawa vinakabiliwa na uhaba huo kutokana na mvutano wa ushuru kati ya Wafadhili na Serikali
Kenya husambaza bure takriban Mipira milioni 180 kila Mwaka
Soma - https://jamii.app/LackCondomKE
Imeelezwa, Vituo vya Afya vya Umma, Hoteli na Migahawa vinakabiliwa na uhaba huo kutokana na mvutano wa ushuru kati ya Wafadhili na Serikali
Kenya husambaza bure takriban Mipira milioni 180 kila Mwaka
Soma - https://jamii.app/LackCondomKE
UJERUMANI: Bunge limeidhinisha Sheria mpya za kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona
Miongoni mwa yaliyopitishwa ni Mtu atalazimika kuonesha uthibitisho wa ikiwa amechanjwa, amewahi kuugua Corona na kupona au kupima anapokuwa maeneo ya kazi na ktk usafiri wa Umma
Soma - https://jamii.app/GermySheriaUviko
#UVIKO3
Miongoni mwa yaliyopitishwa ni Mtu atalazimika kuonesha uthibitisho wa ikiwa amechanjwa, amewahi kuugua Corona na kupona au kupima anapokuwa maeneo ya kazi na ktk usafiri wa Umma
Soma - https://jamii.app/GermySheriaUviko
#UVIKO3