MWANZA: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu Tafiti kujikita zaidi katika kubaini kwanini Kanda ya Ziwa inaongoza kwa Waathirika wa Saratani
Imeelezwa, Wanawake ni wahanga wakubwa wakikumbwa na Saratani za Kizazi na Matiti
Soma - https://jamii.app/SarataniKandaZiwa
Imeelezwa, Wanawake ni wahanga wakubwa wakikumbwa na Saratani za Kizazi na Matiti
Soma - https://jamii.app/SarataniKandaZiwa
KENYA: RAIS KENYATTA ASAINI SHERIA YA KUZUIA 'MICHEPUKO' KUPATA MIRATHI
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Miswada 3 ukiwemo Muswada unaozuia Wanawake ambao hawapo ktk Ndoa kupata mirathi Wapenzi wao wanapofariki
Mirathi itatolewa kwa Wanafamilia tu
Soma - https://jamii.app/SuccessionBillKE
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Miswada 3 ukiwemo Muswada unaozuia Wanawake ambao hawapo ktk Ndoa kupata mirathi Wapenzi wao wanapofariki
Mirathi itatolewa kwa Wanafamilia tu
Soma - https://jamii.app/SuccessionBillKE
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI NGUVU ZA KIUME
Ripoti iliyotolewa na Taasisi inayojihusisha na Uandishi wa Makala za Afya Marekani (JAMA) inasema Chanjo haiingilii Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume, bali hujenga Mfumo wa Kingamwili
Soma - https://jamii.app/ChanjoNguvuKiume
#UVIKO3 #CoronaVirus
Ripoti iliyotolewa na Taasisi inayojihusisha na Uandishi wa Makala za Afya Marekani (JAMA) inasema Chanjo haiingilii Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume, bali hujenga Mfumo wa Kingamwili
Soma - https://jamii.app/ChanjoNguvuKiume
#UVIKO3 #CoronaVirus
Katiba husaidia kuipatia Nchi dira na maono ya wapi wanatoka na wapi wanakwenda. Pia, huwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka ya utendaji wao
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za wengine ktk Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy
Maxence Melo (@macdemelo): Mpaka mwishoni mwa 2021, tutakuwa na vifaa vilivyoungana kidigitali takriban Bilioni 46
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Clubhouse
Haki ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Faragha - JamiiForums
Thursday, November 18 at 6:00pm EAT with Sam Gidori. Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, mfano Majina, Namba za Simu, Anwani n.k
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Mjadala wa Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa binafsi unaoendelea hivi sasa ndani ya JamiiForums
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Yanayojiri katika Mjadala wa 'Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi' unaoendelea Clubhouse
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy