UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 1)
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 2)
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo
BULAYA: FIDIA YA WANAOHARIBIWA MALI NA WANYAMAPORI NI NDOGO. KUNA DOUBLE STANDARD
- Amesema kumekuwa na 'Double Standard' ambapo mifugo inapoingia hifadhini fidia kubwa hotozwa lakini wanyamapori wanapoharibu mali za wananchi fidia yake ni kidogo
Soma > https://jamii.app/BulayaBungeni
- Amesema kumekuwa na 'Double Standard' ambapo mifugo inapoingia hifadhini fidia kubwa hotozwa lakini wanyamapori wanapoharibu mali za wananchi fidia yake ni kidogo
Soma > https://jamii.app/BulayaBungeni
UCL: REAL MADRID KUKABILIANA NA CHELSEA NUSU FAINALI
- Real Madrid itakuwa nyumbani kuialika Chelsea katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano, majira ya saa 4:00 usiku
- Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya timu hizo zimekutana mara 3, Chelsea imeshinda michezo 2 na kutoka sare mchezo mmoja
#JamiiForums #JFSports
- Real Madrid itakuwa nyumbani kuialika Chelsea katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano, majira ya saa 4:00 usiku
- Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya timu hizo zimekutana mara 3, Chelsea imeshinda michezo 2 na kutoka sare mchezo mmoja
#JamiiForums #JFSports
MAANDAMANO YA KUPINGA UTAWALA WA JESHI YAIBUKA CHAD
- Waandamanaji wanataka Utawala wa Kiraia kurejeshwa kufuatia kifo cha Rais Deby
- Baadhi ya Wapinzani wameita kitendo cha Jeshi kuchukua madaraka kuwa Mapinduzi na kuwataka Wananchi kuandamana
Soma > https://jamii.app/ChadProtests
- Waandamanaji wanataka Utawala wa Kiraia kurejeshwa kufuatia kifo cha Rais Deby
- Baadhi ya Wapinzani wameita kitendo cha Jeshi kuchukua madaraka kuwa Mapinduzi na kuwataka Wananchi kuandamana
Soma > https://jamii.app/ChadProtests
MBEYA: MIILI NA KICHWA VYAOKOTWA KWENYE HIFADHI
> Polisi Wilayani Mbarali wamethibitisha kuokota miili miwili na kichwa ktk Hifadhi ya Taifa ya Ruaha
> Aidha, imetaarifiwa kuna Familia zinadai ndugu zao wanne kutoonekana kwa siku kadhaa
Soma - https://jamii.app/MiiliVichwaRuaha
> Polisi Wilayani Mbarali wamethibitisha kuokota miili miwili na kichwa ktk Hifadhi ya Taifa ya Ruaha
> Aidha, imetaarifiwa kuna Familia zinadai ndugu zao wanne kutoonekana kwa siku kadhaa
Soma - https://jamii.app/MiiliVichwaRuaha
NDUGAI AHOJI KWANINI FEDHA ZINAKWAMA WIZARANI
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha
VPL: SIMBA YAENDELEA KUJIKITA KILELENI MWA MSIMAMO WA LIGI
- Simba imeendelea kujitengenezea nafasi nzuri kileleni mwa Msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuitandika Dodoma Jiji goli 3-1
- Magoli ya Simba yamefungwa na C. Mugalu 8' 68', L. Miquissone 56' huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na C. Mkangala 29'
- Kwa matokeo hayo Simba inafikisha alama 61 ikiwa ni alama 4 juu ya Yanga inayoshika nafasi ya pili kwa alama 57
#JamiiForums #JFSports
- Simba imeendelea kujitengenezea nafasi nzuri kileleni mwa Msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuitandika Dodoma Jiji goli 3-1
- Magoli ya Simba yamefungwa na C. Mugalu 8' 68', L. Miquissone 56' huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na C. Mkangala 29'
- Kwa matokeo hayo Simba inafikisha alama 61 ikiwa ni alama 4 juu ya Yanga inayoshika nafasi ya pili kwa alama 57
#JamiiForums #JFSports
UCL: CHELSEA YATOSHANA NGUVU NA MADRID
Mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya kati ya Real Madrid dhidi ya Chelsea umemalizika kwa sare ya 1-1
-
Mchezo wa marudiano utapigwa Jumatano ijayo ya tarehe 5 Mei 2021 katika Dimba la Stamford Bridge
#JamiiForums #JFSports #UEFA
Mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya kati ya Real Madrid dhidi ya Chelsea umemalizika kwa sare ya 1-1
-
Mchezo wa marudiano utapigwa Jumatano ijayo ya tarehe 5 Mei 2021 katika Dimba la Stamford Bridge
#JamiiForums #JFSports #UEFA
MHADHIRI TUDARCo ADAI FIDIA KWA KUWEKEWA MAZINGIRA MAGUMU ILI AACHISHWE KAZI
> Dkt. Kamanija amefungua kesi ya madai Baraza la Usuluhishi wa Migogoro ya Kazi akidai fidia ya Tsh. Milioni 130
> Kamanjina ni kati ya Waanzilishi wa Kitivo cha Sheria
Soma https://jamii.app/MizengweKazini
> Dkt. Kamanija amefungua kesi ya madai Baraza la Usuluhishi wa Migogoro ya Kazi akidai fidia ya Tsh. Milioni 130
> Kamanjina ni kati ya Waanzilishi wa Kitivo cha Sheria
Soma https://jamii.app/MizengweKazini
BURKINA FASO: WAANDISHI WAWILI WA HISPANIA WAUAWA
- Wanahabari hao walitekwa nyara karibu na eneo la Hifadhi ya asili Mashariki mwa Burkina Faso
- Vyombo vya Usalama vimesema raia wa #Ireland pia ameuawa ingawa hilo halijathibitishwa rasmi
Soma - https://jamii.app/WaandishiBurkinaFaso
- Wanahabari hao walitekwa nyara karibu na eneo la Hifadhi ya asili Mashariki mwa Burkina Faso
- Vyombo vya Usalama vimesema raia wa #Ireland pia ameuawa ingawa hilo halijathibitishwa rasmi
Soma - https://jamii.app/WaandishiBurkinaFaso
WHO: WIMBI LA MAAMBUKIZI INDIA NI MATOKEO YA MIKUSANYIKO
- Shirika la Afya limesema wimbi hilo ni matokeo ya mikusanyiko ya watu, viwango vidogo vya Chanjo na uwepo wa aina mpya za Virusi
- Visa 17,997,267 vya Corona vimerekodiwa na vifo ni 201,187
Soma https://jamii.app/WHOCoronaIndia
- Shirika la Afya limesema wimbi hilo ni matokeo ya mikusanyiko ya watu, viwango vidogo vya Chanjo na uwepo wa aina mpya za Virusi
- Visa 17,997,267 vya Corona vimerekodiwa na vifo ni 201,187
Soma https://jamii.app/WHOCoronaIndia
SERIKALI YATENGA BILIONI 2 KAMA FIDIA KWA WATAKAOVAMIWA NA WANYAMAPORI
- Serikali imesema itawafidiwa Wananchi kulingana na uharibifu utakaojitokeza
> Matukio ya uvamizi wa Wanyamapori yamekuwa yakiripotiwa katika maeneo mbalimbali Nchini
Soma - https://jamii.app/Bilioni2Fidia
- Serikali imesema itawafidiwa Wananchi kulingana na uharibifu utakaojitokeza
> Matukio ya uvamizi wa Wanyamapori yamekuwa yakiripotiwa katika maeneo mbalimbali Nchini
Soma - https://jamii.app/Bilioni2Fidia
SOMALIA: RAIS ATOA RAI YA KUFANYIKA UCHAGUZI BAADA YA KUONGEZEWA MUDA MADARAKANI
- Kitendo cha Wabunge kumuongezea Rais miaka 2 kiliibua sintofahamu huku Mataifa yakitishia vikwazo
- Kumekuwa na mvutano tangu Februari baada ya muda wa Rais kumalizika
Soma - https://jamii.app/RaisUchaguziSomalia
- Kitendo cha Wabunge kumuongezea Rais miaka 2 kiliibua sintofahamu huku Mataifa yakitishia vikwazo
- Kumekuwa na mvutano tangu Februari baada ya muda wa Rais kumalizika
Soma - https://jamii.app/RaisUchaguziSomalia