JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 1)

- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako

- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi

#JamiiForums #Msongo
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 2)

- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali

- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza

#JamiiForums #Msongo