UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 1)
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 2)
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo