SERIKALI YAANDAA MUSWADA WA TARATIBU ZA UVUNAJI NA UPANDIKIZAJI VIUNGO VYA BINADAMU
- Naibu Waziri wa Afya ameeleza hayo akimjibu Mbunge aliyehoji mkakati wa kuanzisha utaratibu wa kuvuna viungo
- Asema kwa sasa Nchi inatumia miongozo ya Kimataifa
Soma https://jamii.app/MuswadaViungo
- Naibu Waziri wa Afya ameeleza hayo akimjibu Mbunge aliyehoji mkakati wa kuanzisha utaratibu wa kuvuna viungo
- Asema kwa sasa Nchi inatumia miongozo ya Kimataifa
Soma https://jamii.app/MuswadaViungo
WANAOISHI KARIBU NA HIFADHI WASHAURIWA KULIMA PILIPILI KUEPUKA UVAMIZI WA TEMBO
> Naibu Waziri wa Maliasili amesema maboga na matikiti huvutia Tembo kuvamia mashamba
> Njia nyingine ni kumwaga Oil chafu iliyochanganywa na Pilipili na majivu
Soma https://jamii.app/MbinuMbadala
> Naibu Waziri wa Maliasili amesema maboga na matikiti huvutia Tembo kuvamia mashamba
> Njia nyingine ni kumwaga Oil chafu iliyochanganywa na Pilipili na majivu
Soma https://jamii.app/MbinuMbadala
SITI BINTI SAAD: MWANAMUZIKI WA KWANZA KUTOKA ZANZIBAR KWENDA KUREKODI NCHINI INDIA.
- Siti binti Saad alizaliwa mwaka 1880 na alifariki 1950.
- Alikuwa Mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kurekodi muziki wake katika mfumo wa albamu.
Soma > https://jamii.app/WasifuSiti
- Siti binti Saad alizaliwa mwaka 1880 na alifariki 1950.
- Alikuwa Mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kurekodi muziki wake katika mfumo wa albamu.
Soma > https://jamii.app/WasifuSiti
HASUNGA: USHIRIKA UNALAZIMISHA WASIO WANACHAMA KUUZA MAZAO KUPITIA VYAMA
- Amehoji Serikali haioni ulazima wa kuruhusu Wafanyabiashara kununua kwa Wakulima bila Ushirika
- Serikali yasema inaamini Mfumo wa Ushirika ni njia itakayomsaidia Mkulima
Soma > https://jamii.app/MazaoUshirika
- Amehoji Serikali haioni ulazima wa kuruhusu Wafanyabiashara kununua kwa Wakulima bila Ushirika
- Serikali yasema inaamini Mfumo wa Ushirika ni njia itakayomsaidia Mkulima
Soma > https://jamii.app/MazaoUshirika
ZINGATIA YAFUATAYO UNAPOOMBA USHAURI
- Kuwa makini unapochagua mtu wa kumuomba ushauri. Zingatia uzoefu wa huyo mtu kwenye jambo husika na ukaribu mlionao
- Kuwa wazi juu ya unachotaka kushauriwa, elezea vizuri chanzo cha tatizo lako
- Ikiwezekana jaribu kutatua tatizo mwenyewe kwanza, kisha umweleze mtu unayemuomba ushauri mahali ulipokwama ili akusaidie kutokea hapo
#JamiiForums #JamiiTalks
- Kuwa makini unapochagua mtu wa kumuomba ushauri. Zingatia uzoefu wa huyo mtu kwenye jambo husika na ukaribu mlionao
- Kuwa wazi juu ya unachotaka kushauriwa, elezea vizuri chanzo cha tatizo lako
- Ikiwezekana jaribu kutatua tatizo mwenyewe kwanza, kisha umweleze mtu unayemuomba ushauri mahali ulipokwama ili akusaidie kutokea hapo
#JamiiForums #JamiiTalks
KILIMANJARO: WAGONJWA WA AKILI WAONGEZEKA
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
PROF. KABUDI: SHERIA ZITAKUWA ZIMETAFSIRIWA IFIKAPO DESEMBA
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria
MBUNGE: KUNA MRUNDIKANO MAGEREZANI KWASABABU YA KESI ZA KUBAMBIKIWA
- Agnesta Kaiza amesema "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi"
- Asema uwepo wa masharti magumu ya dhamana ni sababu nyingine ya mrundikano ktk Magereza na Mahabusu
Soma - https://jamii.app/MbungeMagereza
- Agnesta Kaiza amesema "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi"
- Asema uwepo wa masharti magumu ya dhamana ni sababu nyingine ya mrundikano ktk Magereza na Mahabusu
Soma - https://jamii.app/MbungeMagereza
AUSTRALIA: JELA MIEZI 10 KWA KUWAPIGA PICHA POLISI WALIOKUWA WANAKATA ROHO
- Richard Pusey (42) amekutwa na hatia kwa kuwadhihaki na kuwapiga picha Maafisa wa Polisi waliofariki ajalini
- Familia za Marehemu hazijaridhishwa na kifungo kilichotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiWakikataRoho
- Richard Pusey (42) amekutwa na hatia kwa kuwadhihaki na kuwapiga picha Maafisa wa Polisi waliofariki ajalini
- Familia za Marehemu hazijaridhishwa na kifungo kilichotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiWakikataRoho
MORRIS NYUNYUSA MLEMAVU WA MACHO ALIYEKUWA NA KIPAJI CHA KUPIGA NGOMA
- Yeye ndiye aliyepiga ngoma zinazosikika kupitia TBC Taifa kama kiashiria cha kuanza kwa taarifa ya habari
- Inaelezwa kuwa Mzee Nyunyusa hakunufaika na kazi zake hata nyumba yake iliponea chupuchupu kuuzwa kwa deni la mkopo wa benki
- Ingawa Morris Nyunyusa ameshafariki lakini kazi zake ni tunu ya Taifa kwenye sanaa
Soma https://jamii.app/HistoriaNyunyusa
#JamiiForums #JamiiTalks #Historia
- Yeye ndiye aliyepiga ngoma zinazosikika kupitia TBC Taifa kama kiashiria cha kuanza kwa taarifa ya habari
- Inaelezwa kuwa Mzee Nyunyusa hakunufaika na kazi zake hata nyumba yake iliponea chupuchupu kuuzwa kwa deni la mkopo wa benki
- Ingawa Morris Nyunyusa ameshafariki lakini kazi zake ni tunu ya Taifa kwenye sanaa
Soma https://jamii.app/HistoriaNyunyusa
#JamiiForums #JamiiTalks #Historia
UGANDA YASITISHA MATUMIZI YA VITAMIN C KATIKA KUTIBU COVID19
- Vidonge vya Vitamin C vinapatikana kirahisi hivyo Watu hutumia kiholela na kuleta madhara ikiwemo Figo kutofanya kazi
- Vitamin C husaidia chembe hai nyeupe kupambana na virusi
Soma - https://jamii.app/UgandaVitaminC
- Vidonge vya Vitamin C vinapatikana kirahisi hivyo Watu hutumia kiholela na kuleta madhara ikiwemo Figo kutofanya kazi
- Vitamin C husaidia chembe hai nyeupe kupambana na virusi
Soma - https://jamii.app/UgandaVitaminC
DRC: UMOJA WA MATAIFA WACHUKUA DOZI MILIONI 1.3 ZA COVID19 ILI ZISIISHE MUDA WA MATUMIZI
> Chanjo ya #Astrazeneca iliyopokelewa DRC itaisha muda wa matumizi Juni 24
> UNICEF imechukua dozi hiyo ili kuzipeleka #Senegal, Comoros, #Ghana na Angola
Soma - https://jamii.app/DRCChanjoUN
> Chanjo ya #Astrazeneca iliyopokelewa DRC itaisha muda wa matumizi Juni 24
> UNICEF imechukua dozi hiyo ili kuzipeleka #Senegal, Comoros, #Ghana na Angola
Soma - https://jamii.app/DRCChanjoUN
MOROGORO: MBARONI KWA KUUZA MISHKAKI YA NYAMA YA MBWA
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
WALIOSTAAFU 1996 OFISI YA MAKAMU WA RAIS HAWATALIPWA PENSHENI
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
MBUNGE ASEMA SHERIA YA BIMA INA MATATIZO NA WANANCHI HAWATENDEWI HAKI
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
#COVID19: KENYA YAZUIA NDEGE KUTOKA INDIA
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
KENYA: KITUO CHA RUNINGA CHAFUNGIWA KWA KUONESHA VIBONZO VYA NGONO
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga