TSH. BILIONI 35.7 ZIMEKUSANYWA BAADA YA WASHTAKIWA KUKIRI MAKOSA
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
WIZARA: TUPO TAYARI KUBADILI SERA NA SHERIA IKIWA WADAU WATAPENDEKEZA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
BIDEN: MAREKANI HAINA LENGO LA KUVUTANA NA URUSI
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
UNITAID: BEI YA VIFAA VYA KUJIPIMA VVU YASHUKA KWA 50%
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU
RUVUMA: TEMBO 30 WAVAMIA MASHAMBA NA KUHARIBU EKARI 20
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
NAIBU WAZIRI: KIPANDE CHA JANGWANI KINAFANYIWA USAFI KUPUNGUZA ATHARI ZA MAFURIKO
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
INDIA: WANANCHI WAPIGA KURA LICHA YA HALI MBAYA YA CORONA
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
ARUSHA: ASKARI 4 WAFUKUZWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA YA MILIONI 100
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa
MBUNGE: KWANINI MIKATABA HAIWEKWI WAZI WAKATI SHERIA TULIITUNGA WENYEWE?
- Jesca David Kishoa asema kuweka wazi Mikataba iliyoingiwa na Serikali kwa niaba ya Raia kutajenga uaminifu kati ya Wananchi na Serikali kwasababu Rasilimali ni za Watanzania
Soma https://jamii.app/UwaziMikatabaTZ
- Jesca David Kishoa asema kuweka wazi Mikataba iliyoingiwa na Serikali kwa niaba ya Raia kutajenga uaminifu kati ya Wananchi na Serikali kwasababu Rasilimali ni za Watanzania
Soma https://jamii.app/UwaziMikatabaTZ
MBUNGE: WAZABUNI WANAOIDAI STAMICO WALIPWE, TUACHE KIGUGUMIZI
- Dunstan Kitandula amesema zoezi la Vyombo vya Serikali kutathmini madeni hayo limefanywa kwa muda mrefu
- Ametaka madeni kulipwa kwa Haki akisema ujanja usitumike kuyakwepa
Soma > https://jamii.app/MadeniSTAMICO
- Dunstan Kitandula amesema zoezi la Vyombo vya Serikali kutathmini madeni hayo limefanywa kwa muda mrefu
- Ametaka madeni kulipwa kwa Haki akisema ujanja usitumike kuyakwepa
Soma > https://jamii.app/MadeniSTAMICO
ARUSHA: MUUGUZI AJINYONGA KWA MSONGO WA MAWAZO
- Uchunguzi wa awali umebaini David Mtaita (30) aliyekuwa Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru alijinyonga kwasababu ya Msongo wa Mawazo uliotokana na madeni
Soma > https://jamii.app/KifoMuuguzi
- Uchunguzi wa awali umebaini David Mtaita (30) aliyekuwa Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru alijinyonga kwasababu ya Msongo wa Mawazo uliotokana na madeni
Soma > https://jamii.app/KifoMuuguzi
MALAWI YATANGAZA ADHABU YA KIFO KUWA KINYUME CHA KATIBA
> #Malawi ni Nchi ya 22 Kusini mwa Jangwa la Sahara kusitisha adhabu ya kifo ambapo tangu 1975 hakuna aliyenyongwa
> Tume ya #HakiZaBinadamu imesema uamuzi huo ni maendeleo
Soma - https://jamii.app/MalawiBansDeathPenalty
> #Malawi ni Nchi ya 22 Kusini mwa Jangwa la Sahara kusitisha adhabu ya kifo ambapo tangu 1975 hakuna aliyenyongwa
> Tume ya #HakiZaBinadamu imesema uamuzi huo ni maendeleo
Soma - https://jamii.app/MalawiBansDeathPenalty
KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022: UGANDA YAOMBA KUTUMIA UWANJA WA MKAPA
Baada ya FIFA kusema Viwanja vya Uganda havina vigezo, Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limeomba wautumie Uwanja wa Mkapa (Tanzania) kama Uwanja wao wa nyumbani
Soma>https://jamii.app/UgandaTanzania
Baada ya FIFA kusema Viwanja vya Uganda havina vigezo, Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limeomba wautumie Uwanja wa Mkapa (Tanzania) kama Uwanja wao wa nyumbani
Soma>https://jamii.app/UgandaTanzania