UMEWAHI KUTAPELIWA NA RAFIKI AU NDUGU YAKO? ULICHUKUA HATUA GANI?
> Marafiki/ndugu ni rahisi kuwaaamini na kuwapatia fedha nyingi kiuaminifu ambapo mara nyingine wanaweza kuvunja uaminifu
> Je umeshawahi kutapeliwa na ndugu? Ulichukua hatua gani?
Soma https://jamii.app/NduguUtapeli
> Marafiki/ndugu ni rahisi kuwaaamini na kuwapatia fedha nyingi kiuaminifu ambapo mara nyingine wanaweza kuvunja uaminifu
> Je umeshawahi kutapeliwa na ndugu? Ulichukua hatua gani?
Soma https://jamii.app/NduguUtapeli
DAR: MABASI 35 YAZUILIWA KUENDELEA NA SAFARI STENDI YA MAGUFULI
> Mkuu wa Usalama Barabarani ktk Kituo hicho, ASP Ibrahim Samwix, amezuia Mabasi 35 kufanya safari kutokana na ubovu na hayataruhusiwa kuendelea na kazi mpaka yatakapotengenezwa
Soma https://jamii.app/Gari35Mbezi
> Mkuu wa Usalama Barabarani ktk Kituo hicho, ASP Ibrahim Samwix, amezuia Mabasi 35 kufanya safari kutokana na ubovu na hayataruhusiwa kuendelea na kazi mpaka yatakapotengenezwa
Soma https://jamii.app/Gari35Mbezi
WATU 231 WAKAMATWA KWA UHALIFU SHINYANGA
- Miongoni mwao ni wenye makosa ya unyangβanyi wa kutumia silaha, wakata mapanga na waganga wanaojihusisha na ramli chonganishi
- Pia, Polisi Mkoani humo imekamata Bunduki, Bangi, Heroine na mirungi
Soma > https://jamii.app/Wahalifu231Shy
- Miongoni mwao ni wenye makosa ya unyangβanyi wa kutumia silaha, wakata mapanga na waganga wanaojihusisha na ramli chonganishi
- Pia, Polisi Mkoani humo imekamata Bunduki, Bangi, Heroine na mirungi
Soma > https://jamii.app/Wahalifu231Shy
KILIMANJARO: WAJUMBE WA BODI YA GOFU KLABU YA MOSHI KUKAMATWA KWA KUTOLIPA KODI
> Kiwanja cha Gofu Moshi kinadaiwa kutolipa Kodi ya Ardhi Tsh. Milioni 26 tangu 2013
> Aidha, Wanachama wanalipa Tsh. 100,000 kila mwaka na haijulikani zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/GofuKlabu
> Kiwanja cha Gofu Moshi kinadaiwa kutolipa Kodi ya Ardhi Tsh. Milioni 26 tangu 2013
> Aidha, Wanachama wanalipa Tsh. 100,000 kila mwaka na haijulikani zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/GofuKlabu
ONI SIGALA: 70% YA NYIMBO ZA BONGOFLEVA ZIMEJAA MATUSI
> Wasanii wanaotumia lugha za matusi ktk kazi zao watashughulikiwa na BAKITA kwa kushirikiana na BASATA
> Oni Sigala amesema #Kiswahili ni bidhaa ambayo inapaswa kutumiwa kwa usahihi
Soma https://jamii.app/LughaSanaa
#Burudani
> Wasanii wanaotumia lugha za matusi ktk kazi zao watashughulikiwa na BAKITA kwa kushirikiana na BASATA
> Oni Sigala amesema #Kiswahili ni bidhaa ambayo inapaswa kutumiwa kwa usahihi
Soma https://jamii.app/LughaSanaa
#Burudani
FANYA HIVI KUMSAIDIA MWANAO APATE USINGIZI MWANANA
- Shughuli zake wakati wa usiku ziwe tulivu na chache huku zikipungua kadri muda unavyokwenda
- Fanya mazingira ya chumbani kwake kuwa yasiyobadilika. Epusha kelele na sauti za kushtua usiku wa manane
Soma > https://jamii.app/UsingiziWatoto
#Watoto #JamiiForums #JamiiTalks
- Shughuli zake wakati wa usiku ziwe tulivu na chache huku zikipungua kadri muda unavyokwenda
- Fanya mazingira ya chumbani kwake kuwa yasiyobadilika. Epusha kelele na sauti za kushtua usiku wa manane
Soma > https://jamii.app/UsingiziWatoto
#Watoto #JamiiForums #JamiiTalks
WAJIBU WA MTUMIAJI WA MTANDAO WA INTANETI
- Wajibika kuripoti matukio yote ya kudhalilisha utu wa mtu, wizi wa picha au utambulisho wa Mtu na ulaghai kwa njia ya ujumbe mfupi
- Unawajibika kulinda na kuheshimu Hakimiliki ya kazi za Sanaa na Uandishi wa Watu wengine. Usiibe kazi ya mtu.
#DataProtection #DigitalRights #JamiiForums #JamiiTalks
- Wajibika kuripoti matukio yote ya kudhalilisha utu wa mtu, wizi wa picha au utambulisho wa Mtu na ulaghai kwa njia ya ujumbe mfupi
- Unawajibika kulinda na kuheshimu Hakimiliki ya kazi za Sanaa na Uandishi wa Watu wengine. Usiibe kazi ya mtu.
#DataProtection #DigitalRights #JamiiForums #JamiiTalks
WAZIRI MKUU: TUTAWEKEZA KATIKA TEKNOLOJIA ILI UKAGUZI MGODI WA MERERANI USIWE WA KUDHALILISHA
> Mgodi wa Mererani umelalamikiwa kuwavua watu nguo kwa makundi ili kuwakagua kama hawajaiba kitu
> Aina hii ya ukaguzi imesemwa kuwa ni udhalilishaji
Soma https://jamii.app/UkaguziKuvuliwaNguo
> Mgodi wa Mererani umelalamikiwa kuwavua watu nguo kwa makundi ili kuwakagua kama hawajaiba kitu
> Aina hii ya ukaguzi imesemwa kuwa ni udhalilishaji
Soma https://jamii.app/UkaguziKuvuliwaNguo
TCRA: BEI ZA VIFURUSHI ZIMEREJEA KAMA AWALI
- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kurejeshwa kwa bei za awali za vifurushi vya mawasiliano
- Raia mwenye changamoto atoe taarifa kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii
Soma https://jamii.app/VifurushiVimerekebishwa
#DigitalRights
- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kurejeshwa kwa bei za awali za vifurushi vya mawasiliano
- Raia mwenye changamoto atoe taarifa kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii
Soma https://jamii.app/VifurushiVimerekebishwa
#DigitalRights
ISRAEL: WATU 44 WAFARIKI DUNIA KWA KUKANYAGANA
- Vifo hivyo vimetokea katika tamasha la kidini ambapo wengine wamejeruhiwa
- Imeripotiwa maelfu walihudhuria tamasha hilo ambalo limetajwa kuwa kubwa zaidi Israel tangu kuanza kwa #COVID19
Soma https://jamii.app/44DieIsrael
- Vifo hivyo vimetokea katika tamasha la kidini ambapo wengine wamejeruhiwa
- Imeripotiwa maelfu walihudhuria tamasha hilo ambalo limetajwa kuwa kubwa zaidi Israel tangu kuanza kwa #COVID19
Soma https://jamii.app/44DieIsrael
SHINYANGA: WATUMISHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MAMLAKA
- TAKUKURU itawafikisha Mahakamani Watumishi wa Halmashauri, Godfrey Mwagairo na Edward Maduhu
- Mwagairo atashtakiwa kwa Uhujumu Uchumi na Maduhu kwa kosa la jinai
Soma > https://jamii.app/WatumishiMahakamani
- TAKUKURU itawafikisha Mahakamani Watumishi wa Halmashauri, Godfrey Mwagairo na Edward Maduhu
- Mwagairo atashtakiwa kwa Uhujumu Uchumi na Maduhu kwa kosa la jinai
Soma > https://jamii.app/WatumishiMahakamani
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA KUTOKA INDIA CHARIPOTIWA UGANDA
- Mbali na Kirusi hicho cha B.1.617, aina nyingine 4 zimethibitishwa Nchini humo
- Mamlaka zimesema Virusi vinavyosambaa zaidi #Uganda ni kutoka UK, Afrika Kusini na #India
Soma > https://jamii.app/IndianVariantUG
- Mbali na Kirusi hicho cha B.1.617, aina nyingine 4 zimethibitishwa Nchini humo
- Mamlaka zimesema Virusi vinavyosambaa zaidi #Uganda ni kutoka UK, Afrika Kusini na #India
Soma > https://jamii.app/IndianVariantUG
ZIMBABWE YALAUMIWA KWA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU TANGU KUWEPO KWA #COVID19
> #Zimbabwe imelaumiwa kukiuka haki za kimsingi za Binadamu ikiwemo kuwakamata Wanaharakati kwa kuandamana dhidi ya Serikali kushindwa kuwasaidia walioathiriwa
Soma - https://jamii.app/HakiZaBinadamuZimbabwe
> #Zimbabwe imelaumiwa kukiuka haki za kimsingi za Binadamu ikiwemo kuwakamata Wanaharakati kwa kuandamana dhidi ya Serikali kushindwa kuwasaidia walioathiriwa
Soma - https://jamii.app/HakiZaBinadamuZimbabwe
CCM YAMCHAGUA SAMIA SULUHU KUWA MWENYEKITI WA CHAMA
- Ktk Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika Aprili 30 Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgombea pekee wa nafasi hiyo ambapo amepata 100% ya kura
- Amechukua nafasi hiyo baada ya Hayati Dkt. John Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaMwenyekiti
- Ktk Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika Aprili 30 Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgombea pekee wa nafasi hiyo ambapo amepata 100% ya kura
- Amechukua nafasi hiyo baada ya Hayati Dkt. John Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaMwenyekiti
LAZARO NYALANDU AREJEA CCM
> Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Dodoma
> Nyalandu aliwahi kuwa mtia nia wa kugombea Urais kupitia CHADEMA ktk Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/NyalanduCCM
> Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Dodoma
> Nyalandu aliwahi kuwa mtia nia wa kugombea Urais kupitia CHADEMA ktk Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/NyalanduCCM
DKT. KIONGO: NI KOSA KURUSHIANA NYIMBO YA MSANII BILA IDHINI YAKE
- Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni amesema, "#Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema Mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo"
Soma > https://jamii.app/IdhiniKurushaNyimbo
#JFLeo #Sanaa
- Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni amesema, "#Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema Mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo"
Soma > https://jamii.app/IdhiniKurushaNyimbo
#JFLeo #Sanaa
WADAU WALALAMIKIA UCHAFU WA SOKO LA MACHINJIO MWANZA
> Soko la Machinjio lililoko Kirejeshi Igoma - Nyamagana limelalamikiwa kuwa hatarishi kwa Afya ya watumiaji kutokana na uchafu
> Inadaiwa Wananchi wanalipa kodi za vibanda Tsh. 15,000 na vizimba Tsh. 6,000 kwa mwezi lakini eneo halijafanyiwa maboresho
Soma - https://jamii.app/SokoLaNdizi
> Soko la Machinjio lililoko Kirejeshi Igoma - Nyamagana limelalamikiwa kuwa hatarishi kwa Afya ya watumiaji kutokana na uchafu
> Inadaiwa Wananchi wanalipa kodi za vibanda Tsh. 15,000 na vizimba Tsh. 6,000 kwa mwezi lakini eneo halijafanyiwa maboresho
Soma - https://jamii.app/SokoLaNdizi
DANIEL CHONGOLO APENDEKEZWA KUWA KATIBU MKUU CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho
> Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar
Soma > https://jamii.app/ChongoloKatibuCCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho
> Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar
Soma > https://jamii.app/ChongoloKatibuCCM
WAIRAN 7 WANAODAIWA KUSAFIRISHA HEROIN WAFIKISHWA MAHAKAMANI
- Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha Heroin (Kilo 504.36) na Methamphetamine (Kilo 355)
- Wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi
Soma > https://jamii.app/Wairan7Mahakama
- Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha Heroin (Kilo 504.36) na Methamphetamine (Kilo 355)
- Wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi
Soma > https://jamii.app/Wairan7Mahakama
#COVID19: VIFO BRAZIL VYAFIKIA 400,000. UUNGWAJI MKONO WA RAIS BOLSONARO WAPOROMOKA
- Bunge laanza uchunguzi kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia mlipuko
- Mara nyingi Rais Jair Bolsonaro amekuwa akipinga Lockdown na ameendelea kukosolewa vikali
Soma https://jamii.app/BrazilVifo
- Bunge laanza uchunguzi kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia mlipuko
- Mara nyingi Rais Jair Bolsonaro amekuwa akipinga Lockdown na ameendelea kukosolewa vikali
Soma https://jamii.app/BrazilVifo