JamiiForums
βœ”
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
UMEWAHI KUTAPELIWA NA RAFIKI AU NDUGU YAKO? ULICHUKUA HATUA GANI?

> Marafiki/ndugu ni rahisi kuwaaamini na kuwapatia fedha nyingi kiuaminifu ambapo mara nyingine wanaweza kuvunja uaminifu

> Je umeshawahi kutapeliwa na ndugu? Ulichukua hatua gani?

Soma https://jamii.app/NduguUtapeli
DAR: MABASI 35 YAZUILIWA KUENDELEA NA SAFARI STENDI YA MAGUFULI

> Mkuu wa Usalama Barabarani ktk Kituo hicho, ASP Ibrahim Samwix, amezuia Mabasi 35 kufanya safari kutokana na ubovu na hayataruhusiwa kuendelea na kazi mpaka yatakapotengenezwa

Soma https://jamii.app/Gari35Mbezi
WATU 231 WAKAMATWA KWA UHALIFU SHINYANGA

- Miongoni mwao ni wenye makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha, wakata mapanga na waganga wanaojihusisha na ramli chonganishi

- Pia, Polisi Mkoani humo imekamata Bunduki, Bangi, Heroine na mirungi

Soma > https://jamii.app/Wahalifu231Shy
KILIMANJARO: WAJUMBE WA BODI YA GOFU KLABU YA MOSHI KUKAMATWA KWA KUTOLIPA KODI

> Kiwanja cha Gofu Moshi kinadaiwa kutolipa Kodi ya Ardhi Tsh. Milioni 26 tangu 2013

> Aidha, Wanachama wanalipa Tsh. 100,000 kila mwaka na haijulikani zinavyotumika

Soma - https://jamii.app/GofuKlabu
ONI SIGALA: 70% YA NYIMBO ZA BONGOFLEVA ZIMEJAA MATUSI

> Wasanii wanaotumia lugha za matusi ktk kazi zao watashughulikiwa na BAKITA kwa kushirikiana na BASATA

> Oni Sigala amesema #Kiswahili ni bidhaa ambayo inapaswa kutumiwa kwa usahihi

Soma https://jamii.app/LughaSanaa
#Burudani
FANYA HIVI KUMSAIDIA MWANAO APATE USINGIZI MWANANA

- Shughuli zake wakati wa usiku ziwe tulivu na chache huku zikipungua kadri muda unavyokwenda

- Fanya mazingira ya chumbani kwake kuwa yasiyobadilika. Epusha kelele na sauti za kushtua usiku wa manane

Soma > https://jamii.app/UsingiziWatoto

#Watoto #JamiiForums #JamiiTalks
WAJIBU WA MTUMIAJI WA MTANDAO WA INTANETI

- Wajibika kuripoti matukio yote ya kudhalilisha utu wa mtu, wizi wa picha au utambulisho wa Mtu na ulaghai kwa njia ya ujumbe mfupi

- Unawajibika kulinda na kuheshimu Hakimiliki ya kazi za Sanaa na Uandishi wa Watu wengine. Usiibe kazi ya mtu.

#DataProtection #DigitalRights #JamiiForums #JamiiTalks
WAZIRI MKUU: TUTAWEKEZA KATIKA TEKNOLOJIA ILI UKAGUZI MGODI WA MERERANI USIWE WA KUDHALILISHA

> Mgodi wa Mererani umelalamikiwa kuwavua watu nguo kwa makundi ili kuwakagua kama hawajaiba kitu

> Aina hii ya ukaguzi imesemwa kuwa ni udhalilishaji

Soma https://jamii.app/UkaguziKuvuliwaNguo
TCRA: BEI ZA VIFURUSHI ZIMEREJEA KAMA AWALI

- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kurejeshwa kwa bei za awali za vifurushi vya mawasiliano

- Raia mwenye changamoto atoe taarifa kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii

Soma https://jamii.app/VifurushiVimerekebishwa
#DigitalRights
ISRAEL: WATU 44 WAFARIKI DUNIA KWA KUKANYAGANA

- Vifo hivyo vimetokea katika tamasha la kidini ambapo wengine wamejeruhiwa

- Imeripotiwa maelfu walihudhuria tamasha hilo ambalo limetajwa kuwa kubwa zaidi Israel tangu kuanza kwa #COVID19

Soma https://jamii.app/44DieIsrael
SHINYANGA: WATUMISHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MAMLAKA

- TAKUKURU itawafikisha Mahakamani Watumishi wa Halmashauri, Godfrey Mwagairo na Edward Maduhu

- Mwagairo atashtakiwa kwa Uhujumu Uchumi na Maduhu kwa kosa la jinai

Soma > https://jamii.app/WatumishiMahakamani
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA KUTOKA INDIA CHARIPOTIWA UGANDA

- Mbali na Kirusi hicho cha B.1.617, aina nyingine 4 zimethibitishwa Nchini humo

- Mamlaka zimesema Virusi vinavyosambaa zaidi #Uganda ni kutoka UK, Afrika Kusini na #India

Soma > https://jamii.app/IndianVariantUG
ZIMBABWE YALAUMIWA KWA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU TANGU KUWEPO KWA #COVID19

> #Zimbabwe imelaumiwa kukiuka haki za kimsingi za Binadamu ikiwemo kuwakamata Wanaharakati kwa kuandamana dhidi ya Serikali kushindwa kuwasaidia walioathiriwa

Soma - https://jamii.app/HakiZaBinadamuZimbabwe
CCM YAMCHAGUA SAMIA SULUHU KUWA MWENYEKITI WA CHAMA

- Ktk Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika Aprili 30 Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgombea pekee wa nafasi hiyo ambapo amepata 100% ya kura

- Amechukua nafasi hiyo baada ya Hayati Dkt. John Magufuli

Soma https://jamii.app/SamiaMwenyekiti
LAZARO NYALANDU AREJEA CCM

> Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Dodoma

> Nyalandu aliwahi kuwa mtia nia wa kugombea Urais kupitia CHADEMA ktk Uchaguzi Mkuu

Soma https://jamii.app/NyalanduCCM
DKT. KIONGO: NI KOSA KURUSHIANA NYIMBO YA MSANII BILA IDHINI YAKE

- Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni amesema, "#Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema Mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo"

Soma > https://jamii.app/IdhiniKurushaNyimbo

#JFLeo #Sanaa
WADAU WALALAMIKIA UCHAFU WA SOKO LA MACHINJIO MWANZA

> Soko la Machinjio lililoko Kirejeshi Igoma - Nyamagana limelalamikiwa kuwa hatarishi kwa Afya ya watumiaji kutokana na uchafu

> Inadaiwa Wananchi wanalipa kodi za vibanda Tsh. 15,000 na vizimba Tsh. 6,000 kwa mwezi lakini eneo halijafanyiwa maboresho

Soma - https://jamii.app/SokoLaNdizi
DANIEL CHONGOLO APENDEKEZWA KUWA KATIBU MKUU CCM

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho

> Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar

Soma > https://jamii.app/ChongoloKatibuCCM
WAIRAN 7 WANAODAIWA KUSAFIRISHA HEROIN WAFIKISHWA MAHAKAMANI

- Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha Heroin (Kilo 504.36) na Methamphetamine (Kilo 355)

- Wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi

Soma > https://jamii.app/Wairan7Mahakama
#COVID19: VIFO BRAZIL VYAFIKIA 400,000. UUNGWAJI MKONO WA RAIS BOLSONARO WAPOROMOKA

- Bunge laanza uchunguzi kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia mlipuko

- Mara nyingi Rais Jair Bolsonaro amekuwa akipinga Lockdown na ameendelea kukosolewa vikali

Soma https://jamii.app/BrazilVifo