Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
#DIGITALI: Jukwaa la Kidigitali katika Uhakiki wa Taarifa la #JamiiCheck linaloendeshwa na #JamiiForums limeshinda Tuzo ya U.S.-Tanzania Tech Challenge iliyokuwa ikiwaniwa na Taasisi 113 za Kiteknolojia kutoka Tanzania
Shindano hilo liliandaliwa na Marekani kupitia Ubalozi wake nchini ambapo JamiiForums kupitia Mradi wake wa "Mwananchi Makini" inalenga kuhakikisha Wananchi wanakuwa na Taarifa Sahihi ili kufanya Maamuzi Sahihi wakati wa Kupiga Kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025
Ikumbukwe, JamiiCheck inawapa Wananchi fursa ya kuwasilisha taarifa ambazo hazijathibitishwa, kushiriki katika mchakato wa kuzihakiki na kupokea tathmini ya ukweli wake ndani ya muda mfupi
Soma https://jamii.app/USTechChallenge
#JamiiForums #JamiiCheck #JFDigitali #FactChecking #Accountability #DigitalRights #USTZTech
Shindano hilo liliandaliwa na Marekani kupitia Ubalozi wake nchini ambapo JamiiForums kupitia Mradi wake wa "Mwananchi Makini" inalenga kuhakikisha Wananchi wanakuwa na Taarifa Sahihi ili kufanya Maamuzi Sahihi wakati wa Kupiga Kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025
Ikumbukwe, JamiiCheck inawapa Wananchi fursa ya kuwasilisha taarifa ambazo hazijathibitishwa, kushiriki katika mchakato wa kuzihakiki na kupokea tathmini ya ukweli wake ndani ya muda mfupi
Soma https://jamii.app/USTechChallenge
#JamiiForums #JamiiCheck #JFDigitali #FactChecking #Accountability #DigitalRights #USTZTech
🔥3