Siku ya Faragha ya Taarifa huadhimishwa Januari 28 kila mwaka ikiangazia kuongeza uelewa kuhusu masuala ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na kuhimiza Sera na Kanuni Bora za kulinda taarifa za Watu katika Ulimwengu wa Kidigitali
Pia, siku hii inalenga kuwawezesha Watu kufanya maamuzi sahihi ya kulinda taarifa zao na kushinikiza maboresho ya Sheria za Faragha
Kauli mbiu ya mwaka huu ni "Chukua Udhibiti wa Taarifa Zako" ikilenga ikiwakumbusha Watu kufanya maamuzi sahihi kuhusu taarifa zao
Soma https://jamii.app/DataPrivacyDay
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay2025 #TakeControlofYourData
Pia, siku hii inalenga kuwawezesha Watu kufanya maamuzi sahihi ya kulinda taarifa zao na kushinikiza maboresho ya Sheria za Faragha
Kauli mbiu ya mwaka huu ni "Chukua Udhibiti wa Taarifa Zako" ikilenga ikiwakumbusha Watu kufanya maamuzi sahihi kuhusu taarifa zao
Soma https://jamii.app/DataPrivacyDay
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay2025 #TakeControlofYourData