JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Siku ya Kimataifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu huadhimishwa Septemba 16 kila mwaka ili kuangazia umuhimu wa Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi (STI) katika nchi zinazoendelea ili kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiwemo Umaskini, Ukosefu wa Usawa na Uendelevu wa Mazingira

Siku hii inasisitiza umuhimu wa 'STI' katika kukuza Maendeleo Endelevu na kuongeza Ubora wa Maisha kwa watu waliopo nchi za Kanda ya Kusini ambapo bado kuna ufikiaji mdogo wa Teknolojia ya hali ya juu na utafiti wa Kisayansi

Soma https://jamii.app/STIDay2024

#JamiiForums #Science #Innovation #Technology #SaveOurPlanet #STIAction #TechWorld