Siku ya Kimataifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu huadhimishwa Septemba 16 kila mwaka ili kuangazia umuhimu wa Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi (STI) katika nchi zinazoendelea ili kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiwemo Umaskini, Ukosefu wa Usawa na Uendelevu wa Mazingira
Siku hii inasisitiza umuhimu wa 'STI' katika kukuza Maendeleo Endelevu na kuongeza Ubora wa Maisha kwa watu waliopo nchi za Kanda ya Kusini ambapo bado kuna ufikiaji mdogo wa Teknolojia ya hali ya juu na utafiti wa Kisayansi
Soma https://jamii.app/STIDay2024
#JamiiForums #Science #Innovation #Technology #SaveOurPlanet #STIAction #TechWorld
Siku hii inasisitiza umuhimu wa 'STI' katika kukuza Maendeleo Endelevu na kuongeza Ubora wa Maisha kwa watu waliopo nchi za Kanda ya Kusini ambapo bado kuna ufikiaji mdogo wa Teknolojia ya hali ya juu na utafiti wa Kisayansi
Soma https://jamii.app/STIDay2024
#JamiiForums #Science #Innovation #Technology #SaveOurPlanet #STIAction #TechWorld