#Yanga imepata ushindi wake dhidi ya #AlMerrikh ya #Sudan kwenye Uwanja wa Pele Nchini #Rwanda wakati Simba imetifuana na #PowerDynamos ya #Zambia kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa
-
Timu hizo zinatarajiwa kurudiana wiki mbili zijazo Nchini Tanzania ambapo timu zitakazofanya vizuri hatua hiyo zitaingia Hatua ya Makundi
Soma https://jamii.app/CAFSept16
#JFSports #CAF #JamiiForums
-
Timu hizo zinatarajiwa kurudiana wiki mbili zijazo Nchini Tanzania ambapo timu zitakazofanya vizuri hatua hiyo zitaingia Hatua ya Makundi
Soma https://jamii.app/CAFSept16
#JFSports #CAF #JamiiForums
👍6😁1😢1
CAF: SIMBA YAINGIA HATUA YA MAKUNDI KWA SARE
#SimbaSC imepata matokeo ya goli 1-1 dhidi ya #PowerDynamos ya #Zambia kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, hivyo kuingia Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) kwa faida ya goli la ugenini baada ya matokeo ya awali kuwa 2-2
Kwa kuwa #Yanga nayo imeingia hatua hiyo, timu hizo zimeandika historia kwa mara ya kwanza #Tanzania kuwa na timu mbili kwa wakati mmoja katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa
Soma https://jamii.app/SimbaCAF23
#JFSports #CAF #CAFCL #JamiiForums
#SimbaSC imepata matokeo ya goli 1-1 dhidi ya #PowerDynamos ya #Zambia kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, hivyo kuingia Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) kwa faida ya goli la ugenini baada ya matokeo ya awali kuwa 2-2
Kwa kuwa #Yanga nayo imeingia hatua hiyo, timu hizo zimeandika historia kwa mara ya kwanza #Tanzania kuwa na timu mbili kwa wakati mmoja katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa
Soma https://jamii.app/SimbaCAF23
#JFSports #CAF #CAFCL #JamiiForums
👍10