CAF: YANGA YASONGA MBELE KWA KISHINDO, YASHINDA 5-1
Yanga imepata ushindi huo dhidi ya ASAS ya #Djibouti katika mchezo wa Hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam
Kwa matokeo haya #Yanga imesonga mbele kwa magoli 7-1 kwa kuwa katika mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ilishinda 2-0
Raundi ya Pili, Yanga inatarajiwa kucheza dhidi ya #AlMerrikh ya #Sudan
Soma https://jamii.app/Yanga5ASAS1
#JFSports #CAFCL #JamiiForums
Yanga imepata ushindi huo dhidi ya ASAS ya #Djibouti katika mchezo wa Hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam
Kwa matokeo haya #Yanga imesonga mbele kwa magoli 7-1 kwa kuwa katika mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ilishinda 2-0
Raundi ya Pili, Yanga inatarajiwa kucheza dhidi ya #AlMerrikh ya #Sudan
Soma https://jamii.app/Yanga5ASAS1
#JFSports #CAFCL #JamiiForums
👍3🔥2❤1
#Yanga imepata ushindi wake dhidi ya #AlMerrikh ya #Sudan kwenye Uwanja wa Pele Nchini #Rwanda wakati Simba imetifuana na #PowerDynamos ya #Zambia kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa
-
Timu hizo zinatarajiwa kurudiana wiki mbili zijazo Nchini Tanzania ambapo timu zitakazofanya vizuri hatua hiyo zitaingia Hatua ya Makundi
Soma https://jamii.app/CAFSept16
#JFSports #CAF #JamiiForums
-
Timu hizo zinatarajiwa kurudiana wiki mbili zijazo Nchini Tanzania ambapo timu zitakazofanya vizuri hatua hiyo zitaingia Hatua ya Makundi
Soma https://jamii.app/CAFSept16
#JFSports #CAF #JamiiForums
👍6😁1😢1