DAR: Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (#UTPC), Kenneth Simbaya amesema kuelekea katika #UchaguziMkuu2025, taasisi hiyo imekuwa ikishirikiana na Wadau mbalimbali kutoa elimu ya masuala ya taarifa potofu ili kuhakikisha Jamii inapata taarifa sahihi na kuwasaidia kufanya maamuzi sahihi pia.
Amesema “Katika kutekeleza hilo tunashirikia na Wadau kuhakikisha Wanahabari wanakuwa Watu wa kwanza kutoa taarifa sahihi, baadhi ya Wadau tunaoshirikiana nao ni #JamiiAfrica katika kutoa elimu kwa Wanahabari na Wananchi kuhusu umuhimu wa Uhakiki wa Habari na njia za kuhakiki taarifa mbalimbali.”
Amesema hayo wakati akifanya wasilisho la Mada katika Mkutano wa Wadau kujadili mchango wa Sekta ya Habari katika kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025, leo Julai 9, 2025, ambapo ameongeza kuwa kuruhusu kusambaa kwa taarifa potoshi inaweza kuchangia kuharibu mchakato wa uchaguzi.
Zaidi soma https://jamii.app/UTPCNaJamiiAfrica
#HakikiTaarifa #JamiiForums #Democracy #FackChecking #FactsCheck
Amesema “Katika kutekeleza hilo tunashirikia na Wadau kuhakikisha Wanahabari wanakuwa Watu wa kwanza kutoa taarifa sahihi, baadhi ya Wadau tunaoshirikiana nao ni #JamiiAfrica katika kutoa elimu kwa Wanahabari na Wananchi kuhusu umuhimu wa Uhakiki wa Habari na njia za kuhakiki taarifa mbalimbali.”
Amesema hayo wakati akifanya wasilisho la Mada katika Mkutano wa Wadau kujadili mchango wa Sekta ya Habari katika kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025, leo Julai 9, 2025, ambapo ameongeza kuwa kuruhusu kusambaa kwa taarifa potoshi inaweza kuchangia kuharibu mchakato wa uchaguzi.
Zaidi soma https://jamii.app/UTPCNaJamiiAfrica
#HakikiTaarifa #JamiiForums #Democracy #FackChecking #FactsCheck