Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Agosti 26, 2025, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema kumekuwapo na msisitizo mkubwa wa kulinda amani nchini huku haki ikisahaulika.
Amesema ni muhimu kutambua kuwa amani ya kweli haiwezi kuwepo bila haki na kwamba msisitizo wao kama Tanganyika Law Society (#TLS) ni kuuangalia Uchaguzi katika msingi wa haki, amani na utulivu.
Soma Zaidi https://jamii.app/TamkoTLS
#JamiiForums #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Demokrasia
Amesema ni muhimu kutambua kuwa amani ya kweli haiwezi kuwepo bila haki na kwamba msisitizo wao kama Tanganyika Law Society (#TLS) ni kuuangalia Uchaguzi katika msingi wa haki, amani na utulivu.
Soma Zaidi https://jamii.app/TamkoTLS
#JamiiForums #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Demokrasia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema, "Hatukatai kwamba kulikuwa na mabadiliko, yamefanyika ya Kisheria kwenye Sheria za Uchaguzi lakini tuwe wakweli, unapobadilisha unataka kutibu nini? Hiyo ndiyo hoja, siyo mabadiliko tu."
Ameongeza kwa kusema, "Tunapoangalia zoezi la Uchaguzi lazima liwe lenye kuwajibika, usawa, uwazi, kutoa heshima na thamani ya Kura."
Soma https://jamii.app/MwabukusiTamko
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Ameongeza kwa kusema, "Tunapoangalia zoezi la Uchaguzi lazima liwe lenye kuwajibika, usawa, uwazi, kutoa heshima na thamani ya Kura."
Soma https://jamii.app/MwabukusiTamko
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (#TLS), Boniface Mwabukusi amesema “Sasa hivi Watu wanatekwa, wanapotea. Lazima Taifa tukae pamoja tujadiliane shida iko wapi, na tunapowaomba Viongozi wetu watusikilize wasione kama Watu tunaowaghasi kwenye utulivu, bali watambue tuna nia njema.”
Amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, Agosti 26, 2025.
Soma https://jamii.app/TumezoeaKutekwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, Agosti 26, 2025.
Soma https://jamii.app/TumezoeaKutekwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Je, unampa Mdau ushauri gani?
Kushiriki Mjadala huu bofya https://jamii.app/ChangamotoYaNdoa
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMahusiano
Kushiriki Mjadala huu bofya https://jamii.app/ChangamotoYaNdoa
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMahusiano
Mdau, Je unafahamu asili ya jina la eneo unaloishi? 😀
Mjadala zaidi https://jamii.app/AsiliYaEneo
#JamiiForums #JamiiAfrica #JukwaaLaHistoria
Mjadala zaidi https://jamii.app/AsiliYaEneo
#JamiiForums #JamiiAfrica #JukwaaLaHistoria
❤2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (#TLS), Boniface Mwabukusi akizungumza leo Agosti 26, 2025, kuhusu kesi zinazomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, #TunduLissu amesema, "Tunaishauri Serikali iondoe kesi yake Mahakamani. #DPP anajua cha kufanya ili Lissu aondoke, kwani kama Taifa tukitaka kupona lazima tuache unafiki."
Ameongeza, "Lissu hakuongea gizani, bali aliongea hadharani na wote tunajua kuna kauli kali zaidi zilitoka kuliko za Lissu, lakini zile ni kauli za Kisiasa."
Zaidi https://jamii.app/LissuAtoke
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Ameongeza, "Lissu hakuongea gizani, bali aliongea hadharani na wote tunajua kuna kauli kali zaidi zilitoka kuliko za Lissu, lakini zile ni kauli za Kisiasa."
Zaidi https://jamii.app/LissuAtoke
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025
Mdau kutoka Jukwaa la JF Sports ametaja kikosi chake cha kwanza kinachoweza kuanza kwa Timu za #Simba na #Yanga baada ya baadhi ya wachezaji kuondoka na usajili mpya kukamilika, huku msimu wa 2025/2026 ukitarajiwa kuanza Septemba 16, 2025.
Je, unawajua vizuri Wachezaji waliosajiliwa na timu yako?
Zaidi Soma https://jamii.app/SimbaYanga
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSports #JFMdau2025
Je, unawajua vizuri Wachezaji waliosajiliwa na timu yako?
Zaidi Soma https://jamii.app/SimbaYanga
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSports #JFMdau2025