JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (#TLS), Boniface Mwabukusi akizungumza leo Agosti 26, 2025, kuhusu kesi zinazomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, #TunduLissu amesema, "Tunaishauri Serikali iondoe kesi yake Mahakamani. #DPP anajua cha kufanya ili Lissu aondoke, kwani kama Taifa tukitaka kupona lazima tuache unafiki."

Ameongeza, "Lissu hakuongea gizani, bali aliongea hadharani na wote tunajua kuna kauli kali zaidi zilitoka kuliko za Lissu, lakini zile ni kauli za Kisiasa."

Zaidi https://jamii.app/LissuAtoke

#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #UchaguziMkuu2025