Wadau mbalimbali ndani ya JamiiForums.com kwa nyakati tofauti (Mwaka 2009 - 2025) wamependekeza kuwe na ukomo kwa nafasi za Wabunge na Udiwani
Mfano, Juni 2021, Mdau alisema “Ili tupate Maendeleo, tunahitaji mawazo mbadala kila kukicha, kuna Watu wamekuwa 'Monopoly' wa majimbo yao Miaka nenda rudi.”
Septemba 2018, Mdau akasema “Ubunge na Udiwani uwe vipindi Viwili kama Urais, wakikaa muda mrefu wanakosa ari ya kuwaletea maendeleo Wananchi.”
Una maoni gani kuhusu Mapendekezo haya?
Mjadala https://jamii.app/UkomoWaUbunge
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025
Mfano, Juni 2021, Mdau alisema “Ili tupate Maendeleo, tunahitaji mawazo mbadala kila kukicha, kuna Watu wamekuwa 'Monopoly' wa majimbo yao Miaka nenda rudi.”
Septemba 2018, Mdau akasema “Ubunge na Udiwani uwe vipindi Viwili kama Urais, wakikaa muda mrefu wanakosa ari ya kuwaletea maendeleo Wananchi.”
Una maoni gani kuhusu Mapendekezo haya?
Mjadala https://jamii.app/UkomoWaUbunge
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025
❤2
DAR: Kupitia Ukurasa wa X wa Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma wa Chama cha ACT - Wazalendo, Shangwe Ayo, amesema Polisi wamefika katika Ofisi za Chama hicho na kumkamata Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa, Janeth Rithe, kwa agizo la Afisa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO)
Soma https://jamii.app/PolisiACTWazalendoJaneth
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica
Soma https://jamii.app/PolisiACTWazalendoJaneth
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica
❤2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu akizungumza #Bungeni leo, Juni 20, 2025 amesema wanaoendela kutukana waachwe waendelee kutukana
Soma https://jamii.app/ZunguWatukane
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance
Soma https://jamii.app/ZunguWatukane
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa taarifa ya wito wa kufanyika kwa Sala na mfungo wa kuombea Haki na Amani nchini Agosti 23, 2025 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025
Taarifa iliyotolewa na Baraza hilo leo Juni 20, 2025, imesema kuwa kila Jimbo, Parokia, Jumuiya za Kitawa na Taasisi wataweka utaratibu utakaowawezesha kusali na kutubu kwa masaa 12 au 24 kulingana na uwezo wa Mazingira
Soma https://jamii.app/SalaKatolikiTZ
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KuelekeaUchaguzi2025
Taarifa iliyotolewa na Baraza hilo leo Juni 20, 2025, imesema kuwa kila Jimbo, Parokia, Jumuiya za Kitawa na Taasisi wataweka utaratibu utakaowawezesha kusali na kutubu kwa masaa 12 au 24 kulingana na uwezo wa Mazingira
Soma https://jamii.app/SalaKatolikiTZ
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KuelekeaUchaguzi2025
❤3
Kupitia akaunti yake ya Mtandao wa Truth Social, Rais wa Marekani, Donald Trump ameandika "Siku nyingi za mapumziko zisizo za kazi nchini Marekani zinatugharimu mabilioni kwa sababu biashara nyingi hufungwa. Wafanyakazi nao hawapendi hali hiyo."
Trump ametoa kauli hiyo Juni 19, 2025, katika Sikukuu ya Kitaifa ya "Juneteenth" ambayo husherekewa Juni 19 kila Mwaka kwa ajili ya kuadhimisha kuachwa huru kwa Waamerika Weusi waliokuwa Watumwa
Trump ameongeza "Kwa mwendo huu tutakuja kuwa na sikukuu kila siku ya kazi. Hali hii lazima ibadilike kama kweli tunataka kuifanya Marekani kuwa na Nguvu tena." Pia Rais huyo hakuhudhuria wala kushiriki katika shughuli yoyote ya kuadhimisha sikukuu hiyo
Soma https://jamii.app/MapumzikoHugharimuMarekani
#JamiiForums #JamiiAfrica #NationalCelebrations
Trump ametoa kauli hiyo Juni 19, 2025, katika Sikukuu ya Kitaifa ya "Juneteenth" ambayo husherekewa Juni 19 kila Mwaka kwa ajili ya kuadhimisha kuachwa huru kwa Waamerika Weusi waliokuwa Watumwa
Trump ameongeza "Kwa mwendo huu tutakuja kuwa na sikukuu kila siku ya kazi. Hali hii lazima ibadilike kama kweli tunataka kuifanya Marekani kuwa na Nguvu tena." Pia Rais huyo hakuhudhuria wala kushiriki katika shughuli yoyote ya kuadhimisha sikukuu hiyo
Soma https://jamii.app/MapumzikoHugharimuMarekani
#JamiiForums #JamiiAfrica #NationalCelebrations
❤4
Watafiti wa Masuala ya Usalama wamethibitisha kuwa hili ni tukio kubwa zaidi la uvujaji wa taarifa kuwahi kutokea baada ya nywila bilioni 16 pamoja na taarifa za Watumiaji wa Mitandao mbalimbali kuvuja kuanzia Januari 2025
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity
Kijana unafahamu matumizi ya kodi nchini?
Fedha za umma si za viongozi ni za wananchi. Kama raia anayewajibika unayohaki ya kufuatilia miradi ya maendeleo, kuhoji kuhusu bajeti zake na kuhakikisha zinatumika kwa usahihi.
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Fedha za umma si za viongozi ni za wananchi. Kama raia anayewajibika unayohaki ya kufuatilia miradi ya maendeleo, kuhoji kuhusu bajeti zake na kuhakikisha zinatumika kwa usahihi.
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa