This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Katibu wa Hamasa Wilaya ya Kinondoni, Hemedi Hassan Salim amesema "Tunaomba Chama cha Mapinduzi kufanya maamuzi juu ya Gwajima. Hatufurahishwi na kumuona bado anakuwa M-NEC na mbunge wetu baada ya kumtukanisha Rais Samia na wananchi wake. Fanyeni maamuzi na kutuletea watu wanaofahamu miiko ya Chama chetu"
Ameyasema hayo leo Mei 27, 2025 mbele ya waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/GwajimaAtolewe
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Ameyasema hayo leo Mei 27, 2025 mbele ya waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/GwajimaAtolewe
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Mchezo wa #Handball ni mojawapo ya Mchezo mkubwa Nchini Denmark ambao ulivumbuliwa Nchini humo Mwaka 1898 na ni moja ya Michezo inayopendwa sana
Mpira wa 'handball' ni mkubwa, una ukubwa sawa na Tikiti Maji dogo, tofauti na Mpira mdogo unaojulikana Nchi nyingine. Mchezo huu ni wa kasi na ushindani mkubwa, ambapo Mabao 30 au zaidi yanaweza kufungwa katika Mechi ya Saa moja.
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
Mpira wa 'handball' ni mkubwa, una ukubwa sawa na Tikiti Maji dogo, tofauti na Mpira mdogo unaojulikana Nchi nyingine. Mchezo huu ni wa kasi na ushindani mkubwa, ambapo Mabao 30 au zaidi yanaweza kufungwa katika Mechi ya Saa moja.
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
❤1👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Akizungumza Bungeni, leo Mei 27, 2025, Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa ameelekeza Jeshi la Polisi kupitia kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Camilus Wambura pamoja na Mamlaka nyingine kuwachukulia hatua Watu kwa “kuwashughulikia” wanaotumia Mtandao kumdhalilisha Rais
Soma https://jamii.app/TamkoLaBashungwa
#JamiiForums #Governance #DigitalRights
Soma https://jamii.app/TamkoLaBashungwa
#JamiiForums #Governance #DigitalRights
DEMOKRASIA: Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa CHADEMA hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili kutokana na CHADEMA kutokuwa na Viongozi wanaoweza kusimamia mapato, matumizi na marejesho ya fedha hizo za Umma
Taarifa ya Msajili imeeleza endapo CHADEMA wataendelea kukaidi kutekeleza maamuzi na maelekezo waliyopatiwa, basi Mamlaka husika zitatakiwa kuchukua hatua za kisheria na kijinai. Taarifa pia imekumbusha kwa mujibu wa Sheria, Msajili anayo mamlaka ya kusimamisha usajili wa CHADEMA endapo itaendelea kuwatambua wanaojiita Viongozi wa Chama hicho
Imeelezwa kuwa kufuatia taarifa hiyo, Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA, Dkt. Nshala Rugemeleza amesema “Tutapambana naye kisheria dhidi ya hatua zake alizozichukua, maana amekiuka sheria ni ajenda ya siri ya kutaka CHADEMA ife,"
Zaidi https://jamii.app/NoRuzukuCHADEMA
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Demokrasia #Utawala #Uwajibikaji
Taarifa ya Msajili imeeleza endapo CHADEMA wataendelea kukaidi kutekeleza maamuzi na maelekezo waliyopatiwa, basi Mamlaka husika zitatakiwa kuchukua hatua za kisheria na kijinai. Taarifa pia imekumbusha kwa mujibu wa Sheria, Msajili anayo mamlaka ya kusimamisha usajili wa CHADEMA endapo itaendelea kuwatambua wanaojiita Viongozi wa Chama hicho
Imeelezwa kuwa kufuatia taarifa hiyo, Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA, Dkt. Nshala Rugemeleza amesema “Tutapambana naye kisheria dhidi ya hatua zake alizozichukua, maana amekiuka sheria ni ajenda ya siri ya kutaka CHADEMA ife,"
Zaidi https://jamii.app/NoRuzukuCHADEMA
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Demokrasia #Utawala #Uwajibikaji
👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akizungumza na wakazi wa Mwabuma, Jimboni Kisesa, Mkoani Simiyu amesema hatuwezi kuzitatua changamoto za taifa hili kwa kuongea lele mama, kwa kutokuambizana ukweli hata pale mambo yanapoharibika
Zaidi https://jamii.app/LuhagaUwajibikaji
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Democracy #Governance #Kuelekea2025
Zaidi https://jamii.app/LuhagaUwajibikaji
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Democracy #Governance #Kuelekea2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Msanii wa Bongo Fleva, Tumaini Godfrey maarufu kama Dudubaya akitoa maoni yake kuhusu utaratibu wa kuchaguwa Wabunge amesema unaonesha kuwa na upungufu kutokana na baadhi yao kutotambua thamani ya Ubunge wao
Soma https://jamii.app/DudubayaWabunge
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #KuelekeaUchaguzi2025
Soma https://jamii.app/DudubayaWabunge
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #KuelekeaUchaguzi2025
👍1
PWANI: Mdau anadai Watu waliovaa Kiraia wamefika katika Kituo cha Daladala cha Maili Moja na kukamata Pikipiki za Biashara (Bodaboda) majira ya Saa Tatu hadi Nne Usiku wa Mei 27, 2025 kisha kuzipakia katika ‘Karandinga’ na kuondoka nazo bila kutoa maelezo yoyote kwa Madereva wa vyombo hivyo
Anadai tukio hilo lilisababisha baadhi ya Bodaboda kukimbia ovyo hali ambayo haikuwa salama kwao na Wapitanjia, na waliochukuliwa vyombo vyao walipohoji wamejibiwa wafike Kituo cha Polisi Mji Mdogo watapata maelezo
Mdau anatoa wito kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura kuwasaidia Bodaboda hao akidai vitendo kama hivyo vimekuwa vikiwarudisha nyuma kimaendeleo na kuwaumiza Kisaikolojia na Kiuchumi
Soma https://jamii.app/PolisiMailiMoja
#JFMatukio #JFMdau2025 #CivilRights #JamiiForums #JamiiAfrica
Anadai tukio hilo lilisababisha baadhi ya Bodaboda kukimbia ovyo hali ambayo haikuwa salama kwao na Wapitanjia, na waliochukuliwa vyombo vyao walipohoji wamejibiwa wafike Kituo cha Polisi Mji Mdogo watapata maelezo
Mdau anatoa wito kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura kuwasaidia Bodaboda hao akidai vitendo kama hivyo vimekuwa vikiwarudisha nyuma kimaendeleo na kuwaumiza Kisaikolojia na Kiuchumi
Soma https://jamii.app/PolisiMailiMoja
#JFMatukio #JFMdau2025 #CivilRights #JamiiForums #JamiiAfrica
👍2
AFYA: Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kueleza anakunywa Soda Nne aina ya Cola kwa siku, Mtaalam wa #Afya ameeleza unywaji wa soda na vitu vingine vya Sukari kwa wingi inasababisha hatari ya kupata magonjwa kama Kisukari, anashauri ni vyema kuepuka vitu hivyo kwa wingi ikiwemo juisi, energy drinks n.k.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili – Mlonganzila, Dkt. Anthony Gyunda anaeleza “Matumizi mengi ya Sukari yanasababisha uraibu, hiyo pia ipo katika vinywaji vya chupa na makopo sababu vinatunzwa kwa kuweka ‘preservatives’ ambazo zingine zinaleta uraibu kama Dawa za Kulevya tu.”
Kuhusu kuachana na uraibu huo, Dkt. Gyunda anasema “Kuondokana na Uraibu wa Sukari ni sawa tu na Uraibu mwingine kama wa Dawa za Kulevya, ushauri nasaha, maamuzi ya muathirika mwenyewe na matumizi ya dawa za kukakata uraibu.”
Soma https://jamii.app/UnywajiSoda
#JamiiForums #PublicHealth #JFMdau2025 #JamiiAfrica
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili – Mlonganzila, Dkt. Anthony Gyunda anaeleza “Matumizi mengi ya Sukari yanasababisha uraibu, hiyo pia ipo katika vinywaji vya chupa na makopo sababu vinatunzwa kwa kuweka ‘preservatives’ ambazo zingine zinaleta uraibu kama Dawa za Kulevya tu.”
Kuhusu kuachana na uraibu huo, Dkt. Gyunda anasema “Kuondokana na Uraibu wa Sukari ni sawa tu na Uraibu mwingine kama wa Dawa za Kulevya, ushauri nasaha, maamuzi ya muathirika mwenyewe na matumizi ya dawa za kukakata uraibu.”
Soma https://jamii.app/UnywajiSoda
#JamiiForums #PublicHealth #JFMdau2025 #JamiiAfrica
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
JFKUMBUKIZI: Aprili 10, 2017, Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe alitoa taarifa kwa Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akitaka Bunge lijadili matukio ya utekaji wa Watu ambapo alidai yeye pia ametumiwa ujumbe wa vitisho, hoja yake pia iliungwa mkono na Mbunge wa CHADEMA, Joseph Mbilinyi "Sugu"
Akijibu hoja hiyo, Dkt. Tulia alisema“Masuala yaliyoulizwa na Bashe na Mbilinyi yapo chini ya utaratibu wa Sheria, Bunge hili litashughulika na mambo yenye maslahi kwa umma ambayo Sheria haina uwezo wa kuyatolea majibu, hivyo sitalihesabu jambo hilo kuwa ni jambo la dharura kwa mujibu wa Kanuni ya 47 (4) bali utaratibu wa Kisheria utafanya kazi."
Soma https://jamii.app/BasheUtekaji2017
#JamiiForums #JFKumbukizi #JamiiAfrica #HumanRights #Transparency #Siasa
Akijibu hoja hiyo, Dkt. Tulia alisema“Masuala yaliyoulizwa na Bashe na Mbilinyi yapo chini ya utaratibu wa Sheria, Bunge hili litashughulika na mambo yenye maslahi kwa umma ambayo Sheria haina uwezo wa kuyatolea majibu, hivyo sitalihesabu jambo hilo kuwa ni jambo la dharura kwa mujibu wa Kanuni ya 47 (4) bali utaratibu wa Kisheria utafanya kazi."
Soma https://jamii.app/BasheUtekaji2017
#JamiiForums #JFKumbukizi #JamiiAfrica #HumanRights #Transparency #Siasa
👍1
Mdau unapendekeza kitu gani kiwepo kwenye Nyumba za kupanga ambacho ni cha muhimu kwaajili ya Wapangaji?
Mjadala zaidi https://jamii.app/NyumbaKupangaVyamuhimu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFChitChats #JFStories
Mjadala zaidi https://jamii.app/NyumbaKupangaVyamuhimu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFChitChats #JFStories
UGANDA: Rais #YoweriMuseveni na Mkewe Janet Museveni ambaye ni Waziri wa Elimu na Michezo, wameomba msamaha hadharani, wakikiri kuwepo kwa mapungufu katika Utawala wao, #Rushwa na kuwatelekeza Wananchi, hasa wa eneo la Buganda, wakati joto la kisiasa likizidi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026
Katika tukio lililoandaliwa na binti yao, Mchungaji Patience Rwabwogo, Wawili hao walisimama bega kwa bega na kusoma sala ya pamoja ya toba waliyoiandaa, walikiri uzembe na kasoro zilizopo Serikalini katika Miaka 39 ya Uongozi wao
Hata hivyo Kijana wao, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye amekuwa gumzo hasa kwa kutoa vitisho kwa wapinzani wa Serikali ya Baba yake, hakuhudhuria tukio hilo
Soma https://jamii.app/MuseveniRadhi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance #UgandaPolitics #UgandaElections
Katika tukio lililoandaliwa na binti yao, Mchungaji Patience Rwabwogo, Wawili hao walisimama bega kwa bega na kusoma sala ya pamoja ya toba waliyoiandaa, walikiri uzembe na kasoro zilizopo Serikalini katika Miaka 39 ya Uongozi wao
Hata hivyo Kijana wao, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye amekuwa gumzo hasa kwa kutoa vitisho kwa wapinzani wa Serikali ya Baba yake, hakuhudhuria tukio hilo
Soma https://jamii.app/MuseveniRadhi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance #UgandaPolitics #UgandaElections
Mdau wa JamiiForums.com ameanzisha Mjadala akidai kumekuwa na 'trend' ya Viongozi kuonesha dharau kwa Wananchi hasa kipindi hiki tunapokaribia Uchaguzi, tabia anayodai ni ishara ya Viongozi hao kujiamini kupita kiasi kwamba watarudi Madarakani bila kujali ridhaa ya Wananchi, na kwamba nafasi zao hazitegemei kura
Mdau amekumbusha kuwa Mahusiano ya Viongozi na Wananchi wao yanapaswa kuakisi Uwajibikaji, Uadilifu na Heshima ya pande zote mbili. Kujenga Mazingira ya Kuheshimiana ni Msingi wa Demokrasia Imara na Maendeleo ya Taifa
Soma https://jamii.app/ViongoziKuraWananchi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Governance #Democracy #Kuelekea2025
Mdau amekumbusha kuwa Mahusiano ya Viongozi na Wananchi wao yanapaswa kuakisi Uwajibikaji, Uadilifu na Heshima ya pande zote mbili. Kujenga Mazingira ya Kuheshimiana ni Msingi wa Demokrasia Imara na Maendeleo ya Taifa
Soma https://jamii.app/ViongoziKuraWananchi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Governance #Democracy #Kuelekea2025