DAR: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kati, Devotha Minja, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Bara, Benson Kigaila, Salum Mwalimu na Makada wengine waliotangaza kujiondoa CHADEMA wameonekana wakishiriki kwenye shughuli za Chama cha Ukombozi wa Umma (#CHAUMMA)
Tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip, panakofanyika Mkutano Mkuu wa CHAUMMA, leo Mei 19, 2025
Zaidi https://jamii.app/G55WatuaCHAUMMA
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Governance
Tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip, panakofanyika Mkutano Mkuu wa CHAUMMA, leo Mei 19, 2025
Zaidi https://jamii.app/G55WatuaCHAUMMA
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Governance
❤1👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwanachama wa JamiiForums.com anasema Magari makubwa ya Mizigo kuruhusiwa kupita katika Barabara za Juu (Flyovers) inaweza kuleta Changamoto pale itakapotokea hitilafu kwenye Gari hilo na Madhara yanaweza kuwa makubwa
Anahoji je, tunasubiri Madhara yatokee ili tuunde Kamati?
Soma https://jamii.app/BarabaraZaJuu
#Accountability #JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #JFMdau2025
Anahoji je, tunasubiri Madhara yatokee ili tuunde Kamati?
Soma https://jamii.app/BarabaraZaJuu
#Accountability #JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #JFMdau2025
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza leo kwenye Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Rais Samia amesema "Nimeona mtiririko wa Wanaharakati katika Ukanda wetu huu kuanza kuvamia na kuingilia mambo yetu. Sasa kama kwao wameshadhibitiwa wasije kutuharibia huku"
Ameyasema hayo leo Mei 19, 2025 katika Ukumbi wa JNICC Jijini Dar Es Salaam.
Soma https://jamii.app/WanaharakatiKudhibitiwa
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Diplomasia
Ameyasema hayo leo Mei 19, 2025 katika Ukumbi wa JNICC Jijini Dar Es Salaam.
Soma https://jamii.app/WanaharakatiKudhibitiwa
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Diplomasia
DAR: Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya #CHAUMMA na makada waliotoka #CHADEMA, Hashim Rungwe anaendelea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati, Devotha Minja
Aidha, nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila, upande wa Zanzibar, Naibu Katibu Mkuu amekuwa Mohamed Masoud
Mgawanyo huo umekuja baada ya waliokuwa Viongozi wa #CHAUMMA kujiuzulu nafasi zao leo Mei 19, 2025 akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu, Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed
Zaidi https://jamii.app/G55WalambaVyeo
#JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance
Aidha, nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila, upande wa Zanzibar, Naibu Katibu Mkuu amekuwa Mohamed Masoud
Mgawanyo huo umekuja baada ya waliokuwa Viongozi wa #CHAUMMA kujiuzulu nafasi zao leo Mei 19, 2025 akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu, Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed
Zaidi https://jamii.app/G55WalambaVyeo
#JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance
❤1
DODOMA: Rais Samia amesema kutokujitokeza kujiandikisha au kuhuisha taarifa zako katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ni sawa na Mtu kukataa Haki yake ya Kikatiba kwa hiari, jambo ambalo siyo Uzalendo
Akiyasema hayo Mei 17, 2025 ameeleza "Kutokujitokeza kujiandikisha ni kukataa mwenyewe Haki yako ya Kikatiba na unapokataa Haki ya Kikatiba jiulize je, wewe ni Mzalendo? Mzalendo wa aina gani ambaye Katiba imekupa fursa nenda kajiandikishe, piga kura, weka Kiongozi unayehisi atakuja kukuhudumia, wewe unaikataa, ukiikataa wenzio wataenda kuweka wanayemtaka na utakosa fursa ya kushawishi wengine kuweka yule mnayemtaka, kwahiyo unakuwa wewe wa kubabaisha tu na kulalamika."
Soma https://jamii.app/SamiaKajiandikishe
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #Democracy #UchaguziMkuu2025 #TanzaniaElection2025
Akiyasema hayo Mei 17, 2025 ameeleza "Kutokujitokeza kujiandikisha ni kukataa mwenyewe Haki yako ya Kikatiba na unapokataa Haki ya Kikatiba jiulize je, wewe ni Mzalendo? Mzalendo wa aina gani ambaye Katiba imekupa fursa nenda kajiandikishe, piga kura, weka Kiongozi unayehisi atakuja kukuhudumia, wewe unaikataa, ukiikataa wenzio wataenda kuweka wanayemtaka na utakosa fursa ya kushawishi wengine kuweka yule mnayemtaka, kwahiyo unakuwa wewe wa kubabaisha tu na kulalamika."
Soma https://jamii.app/SamiaKajiandikishe
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #Democracy #UchaguziMkuu2025 #TanzaniaElection2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amesema "Nimeona Clip kadhaa za kunisema, mara nina ubaguzi na nini! Ninalofanya ni kulinda Nchi yangu na ndiyo wajibu wangu niliopewa. Kwa hiyo hatutatoa nafasi kwa kiumbe yeyote kutuvuruga awe ndani ama anayetoka nje."
Ameyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Mei 19, 2025
Soma https://jamii.app/ClipMnanisema
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Governance
Ameyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Mei 19, 2025
Soma https://jamii.app/ClipMnanisema
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Governance
👍3
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia ameelekeza Mamlaka mbalimbali ikiwemo za Usalama na Wizara ziwe zinatoa majibu, ufafanuzi au kuelezea hoja zinazotolewa dhidi ya Nchi au Serikali, ili Jamii iwe na uelewa sahihi wa yanayoendelea
Ametoa maelekezo hayo wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Mei 19, 2025 katika Ukumbi wa JNICC
Soma https://jamii.app/WanaharakatiKudhibitiwa
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Diplomasia #Accountability
Ametoa maelekezo hayo wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Mei 19, 2025 katika Ukumbi wa JNICC
Soma https://jamii.app/WanaharakatiKudhibitiwa
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Diplomasia #Accountability
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
KUMBUKIZI: Mwenyekiti wa #CHAUMMA, Hashim Spunda Rungwe alisema haya Aprili 20, 2024, akiwa katika kipindi cha Medani za Siasa kinachoendeshwa na Chief Odemba
Zaidi https://jamii.app/HelaZaCCM
#JamiiForums #Governance #Accountability #KuelekeaUchagua2025 #JFKumbukizi
Zaidi https://jamii.app/HelaZaCCM
#JamiiForums #Governance #Accountability #KuelekeaUchagua2025 #JFKumbukizi
❤1👍1
Mwandishi wa Andiko la Shindano la Stories of Change 2021 anasema kuna wizi unaofanywa na Taasisi za Fedha kupitia mikopo inayoitwa Top Up, hii ni Mikopo ambayo Mkopaji anakuwa na Deni lingine analoendelea kulipa, anapewa mkopo mwingine juu ya ule mkopo wa awali
Anadai mpaka sasa hakuna Sera wala Sheria yoyote inayomlazimisha Mwajiri kuboresha maslahi ya Mtumishi wake, bali kilichopo ni kama hiari kwa Mwajiri jambo linalosababisha Watumishi wengi kukimbizana na Mikopo ya hapa na pale inayowaongezea ugumu wa Maisha
Unakubaliana na hoja ya Mdau huyu?
Soma zaidi https://jamii.app/MikopoWatumishiSOC1
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #SOC2021
Anadai mpaka sasa hakuna Sera wala Sheria yoyote inayomlazimisha Mwajiri kuboresha maslahi ya Mtumishi wake, bali kilichopo ni kama hiari kwa Mwajiri jambo linalosababisha Watumishi wengi kukimbizana na Mikopo ya hapa na pale inayowaongezea ugumu wa Maisha
Unakubaliana na hoja ya Mdau huyu?
Soma zaidi https://jamii.app/MikopoWatumishiSOC1
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #SOC2021
👍1
Vipi Mdau, na wewe ni mpenzi wa Paa ndefu au huwa unazingatia nini kwenye Ujenzi wa Paa la Nyumba?
Shiriki Mjadala huu zaidi https://jamii.app/NyumbaBatiRefu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFChitChats #JFStories
Shiriki Mjadala huu zaidi https://jamii.app/NyumbaBatiRefu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFChitChats #JFStories
👍1
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limesema kuwa Ripoti ya Mkaguzi imeonesha maboresho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa hayawezi kukamilika kwa wakati kwa ajili ya kuandaa Mchezo wa Marudiano wa Fainali ya Kombe la Shirikisho uliopangwa kufanyika Mei 25, 2025
Taarifa ya CAF imeeleza kuwa (Kama ilivyotangaza awali) mchezo huo wa #Simba dhidi ya #RSBerkane unatarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar
Taarifa hiyo imeeleza kuwa #CAF itaendelea kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Serikali ya Tanzania na Wadau wote kuhakikisha Uwanja wa Mkapa na viwanja vyote vinakuwa tayari kwa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) na kukidhi Kanuni na Viwango vya CAF yanayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025
Soma https://jamii.app/CAFMkapaStadium
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSports
Taarifa ya CAF imeeleza kuwa (Kama ilivyotangaza awali) mchezo huo wa #Simba dhidi ya #RSBerkane unatarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar
Taarifa hiyo imeeleza kuwa #CAF itaendelea kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Serikali ya Tanzania na Wadau wote kuhakikisha Uwanja wa Mkapa na viwanja vyote vinakuwa tayari kwa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) na kukidhi Kanuni na Viwango vya CAF yanayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025
Soma https://jamii.app/CAFMkapaStadium
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSports
👍2❤1
USALAMA MTANDAONI: Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu taarifa zilizosambazwa kupitia Akaunti za Jeshi la Polisi kwenye Mtandao wa X na kusema taarifa hizo ni za uongo, upotoshaji na zisizo na maadili
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kuwa taarifa hizo si za kweli na wanaendelea kufuatilia wahalifu waliotengeneza na kusambaza taarifa hizo ili wakamatwe.
Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa aliyehusika na utengenezaji na utoaji wa taarifa hizo na yeyote yule ambaye ataendelea kuzisambaza
Soma https://jamii.app/TaarifaPotofuPolisiX
#JamiiForums #Misinformation #Accountability #DigitalSecurity
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kuwa taarifa hizo si za kweli na wanaendelea kufuatilia wahalifu waliotengeneza na kusambaza taarifa hizo ili wakamatwe.
Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa aliyehusika na utengenezaji na utoaji wa taarifa hizo na yeyote yule ambaye ataendelea kuzisambaza
Soma https://jamii.app/TaarifaPotofuPolisiX
#JamiiForums #Misinformation #Accountability #DigitalSecurity
Taarifa ya Wizara ya Afya imesema vipimo vimeonesha hakuna kirusi kipya kinachoweza kusambaa kwa haraka na kusababisha mlipuko aina ya Pandemiki. Ugonjwa wa #UVIKO19, umeendelea kuwepo kwa kiwango cha chini kama yalivyo Magonjwa mengine ya mfumo wa njia ya hewa
Aidha, Wizara imesema hali ya kuongezeka na kupungua kwa Ugonjwa wa UVIKO-19 imekuwepo kila Mwaka tangu kutangazwa kwa Ugonjwa huu Mwaka 2020, kwa kipindi hiki ongezeko linaonekana zaidi katika Mkoa wa Dar es Salaam
Pia, kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Nchi, hususan katika Mikoa ya Pwani, kumekuwa na ongezeko la hatari ya kuenea kwa Magonjwa yanayoenezwa na Mbu, kama vile Homa ya Dengue, Malaria, na Magonjwa mengine ya aina hiyo.
Soma zaidi https://jamii.app/OngezekoUvikoMbu
#JamiiForums #JamiiAfrica #PublicHealth #Afya
Aidha, Wizara imesema hali ya kuongezeka na kupungua kwa Ugonjwa wa UVIKO-19 imekuwepo kila Mwaka tangu kutangazwa kwa Ugonjwa huu Mwaka 2020, kwa kipindi hiki ongezeko linaonekana zaidi katika Mkoa wa Dar es Salaam
Pia, kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Nchi, hususan katika Mikoa ya Pwani, kumekuwa na ongezeko la hatari ya kuenea kwa Magonjwa yanayoenezwa na Mbu, kama vile Homa ya Dengue, Malaria, na Magonjwa mengine ya aina hiyo.
Soma zaidi https://jamii.app/OngezekoUvikoMbu
#JamiiForums #JamiiAfrica #PublicHealth #Afya
👍2