SHERIA: Wakili Bashir Yakub amechambua kuhusu kosa la Uhaini kupitia andiko lake ndani ya JamiiForums.com, akisema Kifungu cha 39 Kanuni za Adhabu, RE 2022 kinaelezea matendo ambayo yanahesabika kuwa ni makosa ya Uhaini
Soma https://jamii.app/KosaLaUhaini
#JFSheria #JamiiForums #CivilRights
Soma https://jamii.app/KosaLaUhaini
#JFSheria #JamiiForums #CivilRights
Historia inaeleza baada ya Said Mwamwindi kumuua Dkt. Wilbert Kleruu, Mwamwindi alichukua kofia ya pama ya Kleruu akaivaa, akaubeba Mwili (akisaidiwa na Mtoto wake) na kuuweka kwenye buti la Gari alilokuja nalo Marehemu na kisha kuendesha kuelekea Kituo cha Polisi Iringa Mjini kujisalimisha
Mahakamani, Mwamwindi alijitetea kuwa alipokuwa anamuua Kleruu alirukwa na Akili, ila Jaji aliukataa utetezi huo kwa kutilia maanani kwamba baada ya Mshitakiwa kughadhibishwa ndipo alipokwenda ndani kuchukua Bunduki ambayo aliitumia kuua
Kesi ya Mwamwindi ni miongoni mwa zile chache ambapo adhabu ya kifo ilitekelezwa nchini, kabla ya kusitishwa kwa vitendo kwa utekelezaji wa adhabu hiyo tangu miaka ya 1990
Bonyeza hapa kusoma Historia hii kwa urefu zaidi https://jamii.app/DktKleruuKifoMwamwindi
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi #Historia
Mahakamani, Mwamwindi alijitetea kuwa alipokuwa anamuua Kleruu alirukwa na Akili, ila Jaji aliukataa utetezi huo kwa kutilia maanani kwamba baada ya Mshitakiwa kughadhibishwa ndipo alipokwenda ndani kuchukua Bunduki ambayo aliitumia kuua
Kesi ya Mwamwindi ni miongoni mwa zile chache ambapo adhabu ya kifo ilitekelezwa nchini, kabla ya kusitishwa kwa vitendo kwa utekelezaji wa adhabu hiyo tangu miaka ya 1990
Bonyeza hapa kusoma Historia hii kwa urefu zaidi https://jamii.app/DktKleruuKifoMwamwindi
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi #Historia
π2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ARUSHA: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge la Tanzania halijatimiza wajibu wake wa kuwasemea Wananchi katika kushughulikia masuala nyeti ya Kitaifa ndio maana Bunge la Ulaya limeamua kujukua majukumu hayo
Amesema βTunaona Bunge la Ulaya ndilo linayajadili mambo yanayopaswa kujadiliwa na Bunge la Tanzania, hii ni ishara kuwa Bunge letu limekosa uthubutu na linaogopa wajibu wake.β
Ameeleza hayo Mei 8, 2025 katika Mkutano wa TLS uliojadili hali ya Kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma https://jamii.app/MwabukusiMaoni
#JamiiForums #Democracy #JFMatukio
Amesema βTunaona Bunge la Ulaya ndilo linayajadili mambo yanayopaswa kujadiliwa na Bunge la Tanzania, hii ni ishara kuwa Bunge letu limekosa uthubutu na linaogopa wajibu wake.β
Ameeleza hayo Mei 8, 2025 katika Mkutano wa TLS uliojadili hali ya Kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma https://jamii.app/MwabukusiMaoni
#JamiiForums #Democracy #JFMatukio
π2
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kujibu maazimio ya Bunge la Ulaya yaliyotolewa Mei 8, 2025 kuhusu mwenendo wa mashauri ya Kisheria kwa kueleza kuwa Tanzania inashikilia misingi ya Utawala wa Sheria, Demokrasia na Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba yake
Tanzania inaendelea kuthamini ushirikiano wake na Umoja wa Ulaya na iko tayari kwa mazungumzo ya wazi, yenye heshima na yanayozingatia ushahidi kuhusu masuala ya maslahi na umuhimu wa pamoja, ambayo lazima yajengwe juu ya uwazi, usawa, kuheshimiana na uelewa wa uhuru wa Taasisi za kila nchi, Katiba zake na muktadha wa Sheria na Utamaduni wa kila Taifa
Tamko limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania inathibitisha dhamira yake ya kulinda amani, kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025 huru na wa haki, kulinda haki na uhuru wa msingi wa Wananchi wote kwa mujibu wa Katiba
Soma https://jamii.app/TamkoLaTanzania
#JamiiForums #JFDiplomacy #Diplomasia #Governance #CivilRights
Tanzania inaendelea kuthamini ushirikiano wake na Umoja wa Ulaya na iko tayari kwa mazungumzo ya wazi, yenye heshima na yanayozingatia ushahidi kuhusu masuala ya maslahi na umuhimu wa pamoja, ambayo lazima yajengwe juu ya uwazi, usawa, kuheshimiana na uelewa wa uhuru wa Taasisi za kila nchi, Katiba zake na muktadha wa Sheria na Utamaduni wa kila Taifa
Tamko limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania inathibitisha dhamira yake ya kulinda amani, kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025 huru na wa haki, kulinda haki na uhuru wa msingi wa Wananchi wote kwa mujibu wa Katiba
Soma https://jamii.app/TamkoLaTanzania
#JamiiForums #JFDiplomacy #Diplomasia #Governance #CivilRights
#MAISHA: Mdau wa JamiiForums.com anasema licha ya kuwa ana Marafiki wengi ila anaye Rafiki mmoja ambaye walijuana tangu Shule ya Msingi, na huwa wanakwaruzana na kupotezeana kwa muda ila baadaye wanasameheana na Maisha yanaendelea
Vipi Mdau, nawe unaye Rafiki ambaye hata mkigombana bado Urafiki wenu huwa unaendelea?
Shiriki Mjadala huu zaidi https://jamii.app/UrafikiUsiokwisha
#JamiiForums #JFChitChats #JFStories #JamiiAfrica #LongtimeFriendship
Vipi Mdau, nawe unaye Rafiki ambaye hata mkigombana bado Urafiki wenu huwa unaendelea?
Shiriki Mjadala huu zaidi https://jamii.app/UrafikiUsiokwisha
#JamiiForums #JFChitChats #JFStories #JamiiAfrica #LongtimeFriendship
β€1π1
Maisha yanaendeshwa na Imani na Matumaini, hata kama hauna hakika ya kesho. Ishi bila woga huku ukiamini kesho itakuja na utakuwa tayari kuikabili.
Tunakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Maisha
Tunakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Maisha
π1
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, mjadala kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Uchaguzi (Reforms) haukwepeki. Kuna wanaosema reforms tayari zimefanyika, huku wengine vikisema bado kuna kasoro na wengine wakisema hawatashiriki Uchaguzi hadi kasoro hizo zishughulikiwe
Maswali muhimu ni je, βReformsβ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa βreformsβ? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
Maswali muhimu ni je, βReformsβ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa βreformsβ? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
π3
Tanzania inajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu 2025, lakini je, tuko tayari?
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa ββReformsβ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?β kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni β 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa ββReformsβ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?β kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni β 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
π1
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Afya ya Uzazi na Jinsia (UNFPA) limetangaza kuwa Serikali ya Marekani imeamua kukata ufadhili wake wa baadaye kwa shirika hilo, hatua inayotajwa kusitisha msaada muhimu kwa Mamilioni ya Watu walio katika Mazingira ya Migogoro na kwa Wakunga wanaookoa Maisha ya akina Mama wakati wa kujifungua
Imeelezwa Marekani imefikia hatua hiyo ikidai UNFPA inahusishwa na utoaji wa Mimba wa kulazimishwa na upasuaji wa Uzazi wa hiari Nchini China, madai ambayo yamekanushwa mara kadhaa na tathmini huru, ikiwemo zile zilizofanywa na Serikali ya Marekani yenyewe
Uamuzi huu unakuja huku zaidi ya ruzuku 40 za kibinadamu zikiwa tayari zimesitishwa, zenye thamani ya takriban Dola Milioni 335. #UNFPA ilikuwa ikitegemea wastani wa Dola Milioni 180 kutoka Marekani kwa Mwaka
Soma https://jamii.app/USCutsUNFPA
#UNFPA #AfyaYaUzazi #HakiZaWanawake #JamiiAfrica #JamiiForums #HumanitarianAids
Imeelezwa Marekani imefikia hatua hiyo ikidai UNFPA inahusishwa na utoaji wa Mimba wa kulazimishwa na upasuaji wa Uzazi wa hiari Nchini China, madai ambayo yamekanushwa mara kadhaa na tathmini huru, ikiwemo zile zilizofanywa na Serikali ya Marekani yenyewe
Uamuzi huu unakuja huku zaidi ya ruzuku 40 za kibinadamu zikiwa tayari zimesitishwa, zenye thamani ya takriban Dola Milioni 335. #UNFPA ilikuwa ikitegemea wastani wa Dola Milioni 180 kutoka Marekani kwa Mwaka
Soma https://jamii.app/USCutsUNFPA
#UNFPA #AfyaYaUzazi #HakiZaWanawake #JamiiAfrica #JamiiForums #HumanitarianAids
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, amesema Chama hicho kimetenga Tsh. Milioni 10, kwa yeyote atakayesaidia kutoa taarifa za mahali alipo Mdude Nyagali ambaye hajulikani alipo, tangu alipochukuliwa na Watu waliodaiwa kuwa Polisi usiku wa kuamkia Mei 02, 2025
Soma https://jamii.app/Mil10CDMMdude
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Democracy
Soma https://jamii.app/Mil10CDMMdude
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Democracy
π1π1
Unamshauri Mdau huyu afanye nini?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MkeAnanikwamisha
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFStories #JFChitChats
Mjadala zaidi https://jamii.app/MkeAnanikwamisha
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #JFStories #JFChitChats
DAR: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imemkamata Diwani wa Kata ya Buguruni, Busoro Pazi (CCM), kwa tuhuma za #Rushwa na wizi wa Mali za Umma
Tuhuma za wizi zinahusu vifaa vya majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala, yaliyobomolewa na vifaa vyake kutoweka, ikidaiwa kuwa yeye na wafuasi wake walihusika
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, TAKUKURU ilimkamata Pazi Aprili 9, 2025 na baadaye akaachiwa kwa dhamana. Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Ilala, Sosthenes Kibwengo, alithibitisha kukamatwa na kuachiwa kwa dhamana Diwani Pazi, lakini akasisitiza kuwa suala hilo liko katika uchunguzi
Soma https://jamii.app/DiwaniBuguruniRushwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #KemeaRushwa #UchaguziMkuu2025
Tuhuma za wizi zinahusu vifaa vya majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala, yaliyobomolewa na vifaa vyake kutoweka, ikidaiwa kuwa yeye na wafuasi wake walihusika
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, TAKUKURU ilimkamata Pazi Aprili 9, 2025 na baadaye akaachiwa kwa dhamana. Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Ilala, Sosthenes Kibwengo, alithibitisha kukamatwa na kuachiwa kwa dhamana Diwani Pazi, lakini akasisitiza kuwa suala hilo liko katika uchunguzi
Soma https://jamii.app/DiwaniBuguruniRushwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #KemeaRushwa #UchaguziMkuu2025