ARUSHA: Wadau wa Habari kupitia Maazimio waliyoyatoa katika Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025 wameeleza kuwa kadiri Akili Mnemba (AI) inavyoathiri Uandishi wa Habari, wanapendekeza kuwepo kwa Mifumo madhubuti ya Kitaifa ya kusimamia matumizi yake kwa Uwajibikaji katika Sekta ya Habari
Wametoa wito kwa Serikali kuweka mazingira rafiki ya Kisheria na Kiutawala yanayowezesha Vyombo vya Habari na Wabunifu wa Maudhui kupata mapato kupitia michango ya Wanachama, Usajili, Malipo kwa kila makala au Michango ya hiari kutoka kwa watumiaji.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Wametoa wito kwa Serikali kuweka mazingira rafiki ya Kisheria na Kiutawala yanayowezesha Vyombo vya Habari na Wabunifu wa Maudhui kupata mapato kupitia michango ya Wanachama, Usajili, Malipo kwa kila makala au Michango ya hiari kutoka kwa watumiaji.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Mwakilishi wa UNESCO Nchini Tanzania, Michel Toto amesema Uhuru wa Vyombo vya Habari ni nguzo muhimu katika Jamii za Kidemokrasia
Ametoa wito kwa wadau wa Sekta ya Habari kuzingatia kuwa Uhuru wa Kujieleza, hasa katika zama za Maendeleo ya Akili Mnemba (AI), unakumbwa na changamoto mpya na tata. Pia, Usalama wa Waandishi wa Habari hasa Wanawake, unahitaji hatua za haraka na mshikamano wa wadau wote
Aidha, amesema Uhai wa Vyombo Huru vya Habari uko katika hatari kubwa kuliko wakati wowote, hivyo kunahitajkai juhudi za makusudi kulinda na kuviimarisha
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#JamiiAfrica #JamiiForums #AIandMedia #PressFreedom #WPFD2025
Ametoa wito kwa wadau wa Sekta ya Habari kuzingatia kuwa Uhuru wa Kujieleza, hasa katika zama za Maendeleo ya Akili Mnemba (AI), unakumbwa na changamoto mpya na tata. Pia, Usalama wa Waandishi wa Habari hasa Wanawake, unahitaji hatua za haraka na mshikamano wa wadau wote
Aidha, amesema Uhai wa Vyombo Huru vya Habari uko katika hatari kubwa kuliko wakati wowote, hivyo kunahitajkai juhudi za makusudi kulinda na kuviimarisha
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#JamiiAfrica #JamiiForums #AIandMedia #PressFreedom #WPFD2025
ARUSHA: Wadau wamesema kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, wanasisitiza umuhimu wa kuhakikisha Usalama na Heshima ya Waandishi wa Habari Nchini, wakitoa wito kwa Serikali, Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wanasiasa na Jamii kwa ujumla kuhakikisha Waandishi wanalindwa dhidi ya Vitisho, Unyanyasaji au Vurugu kipindi hiki nyeti
Wadau wamependekeza hatua za Kitaifa na Miongozo ya Usalama zitekelezwe mara moja ili kuruhusu Waandishi wa Habari kufanya kazi katika Mazingira salama, bila hofu wala bugudha
Wameeleza hayo katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2025, ambapo mapendekezo mengine ni Kupambana na Taarifa Potofu na Kukuza Uadilifu katika Uandishi wa Habari na Matumizi Sahihi ya Teknolojia Mpya
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Wadau wamependekeza hatua za Kitaifa na Miongozo ya Usalama zitekelezwe mara moja ili kuruhusu Waandishi wa Habari kufanya kazi katika Mazingira salama, bila hofu wala bugudha
Wameeleza hayo katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2025, ambapo mapendekezo mengine ni Kupambana na Taarifa Potofu na Kukuza Uadilifu katika Uandishi wa Habari na Matumizi Sahihi ya Teknolojia Mpya
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaulinda Uhuru wa Habari na inafanya hivyo kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali wakiwemo Wadau wa Habari
Amesema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yanayofanyika Kitaifa katika Hoteli Grand Melia yakilenga kubadilishana mawazo na kufanya majadiliano kuhusu fursa na changamoto za Akili Mnemba (AI) katika Sekta ya Habari
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Amesema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yanayofanyika Kitaifa katika Hoteli Grand Melia yakilenga kubadilishana mawazo na kufanya majadiliano kuhusu fursa na changamoto za Akili Mnemba (AI) katika Sekta ya Habari
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ARUSHA: Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika kuboresha Mazingira ya Sekta ya Habari, Wadau wanatakiwa kutoa maoni zaidi kuhusu Sera ya matumizi ya Akili Mnemba (AI) iweje, wakati huo huo Serikali inaendelea na maboresho ya Sera ya Utangazaji ya Mwaka 2003
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ARUSHA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itayapokea maoni ya Wadau wa Habari na itayafanyia kazi hata kama itakuwa ni masuala ya mabadiliko ya Sera, Kanuni au Sheria
Ameeleza hayo katika Maadhimisho hayo ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, ambapo Kaulimbiu ya Mwaka huu ni 'Uhabarishaji kwenye Dunia mpya: Mchango wa Akili Mnemba kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari'
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Ameeleza hayo katika Maadhimisho hayo ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, ambapo Kaulimbiu ya Mwaka huu ni 'Uhabarishaji kwenye Dunia mpya: Mchango wa Akili Mnemba kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari'
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Nchini, Susan Ngongi akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya WPFD 2025 amesema Akili Mnemba (AI) si tena dhana ya nadharia ya mijadala, ni uhalisia unaobadilisha kwa kina namna tunavyotengeneza, kusambaza na kupokea taarifa, hivyo maamuzi ya leo ndiyo yatakayoamua kama AI itakuwa chachu ya Maendeleo au chanzo cha hatari mpya na ukosefu wa Usawa
Amesema Dira ya Maendeleo ya 2050 ya Tanzania inatambua Teknolojia na Ubunifu kama nguzo za Maendeleo jumuishi na endelevu, hivyo na AI inapaswa kuwa sehemu ya msingi ya azma hiyo
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Amesema Dira ya Maendeleo ya 2050 ya Tanzania inatambua Teknolojia na Ubunifu kama nguzo za Maendeleo jumuishi na endelevu, hivyo na AI inapaswa kuwa sehemu ya msingi ya azma hiyo
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema “Uandishi usiofuata Maadili unaweza kuwa chanzo cha kuporomoka kwa Tamaduni, Mila na Desturi zetu, na hii ndiyo sababu ya kuwepo kwa Vyombo vya Usimamizi wa Taaluma hii.”
Ameongeza “Kwa mantiki hiyo, pamoja na kwamba leo tunaadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, lazima tutambue hakuna Uhuru usio na Mipaka, wala hakuna Uhuru bila Wajibu. Hivyo, tunaposherehekea Siku hii, tusheherekee pia uzalendo wa Nchi yetu na kuhimizana juu ya kutumia Akili Mnemba (AI) kwa umakini.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Ameongeza “Kwa mantiki hiyo, pamoja na kwamba leo tunaadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, lazima tutambue hakuna Uhuru usio na Mipaka, wala hakuna Uhuru bila Wajibu. Hivyo, tunaposherehekea Siku hii, tusheherekee pia uzalendo wa Nchi yetu na kuhimizana juu ya kutumia Akili Mnemba (AI) kwa umakini.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Mkurugenzi wa Masuala ya Kisekta kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Mwesigwa Felician amesema Mtandao wa Telegram hauna shida na unafanya kazi kama kawaida
Amesema hayo baada ya kuulizwa swali na Mdau katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, kuhusu changamoto ya Mtandao huo akidai haufanyi kazi hadi anayetumia alazimike kutumia VPN
Kuhusu malalamiko kwa Wadau kuhusu Kamati ya Maudhui kutotenda Haki kwa Wanahabari haswa Mtandaoni, amesema Kamati hiyo ipo Kisheria kwa lengo la kusimamia Maudhui na inaongozwa na Kanuni ambazo zipo kwenye miongozo ya Mamlaka katika kusimamia Sekta ya Habari
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Amesema hayo baada ya kuulizwa swali na Mdau katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, kuhusu changamoto ya Mtandao huo akidai haufanyi kazi hadi anayetumia alazimike kutumia VPN
Kuhusu malalamiko kwa Wadau kuhusu Kamati ya Maudhui kutotenda Haki kwa Wanahabari haswa Mtandaoni, amesema Kamati hiyo ipo Kisheria kwa lengo la kusimamia Maudhui na inaongozwa na Kanuni ambazo zipo kwenye miongozo ya Mamlaka katika kusimamia Sekta ya Habari
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Balozi wa Uswisi-Tanzania, Nicole Providoli amesema Mijadala iliyofanyika katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025 imeonesha faida na changamoto zinazoweza kusababishwa na Akili Manemba (AI), pia imegusia suala la uhakiki wa Taarifa ambalo nalo ni la muhimu
Ameeleza kuwa AI inaweza kuwa msaada mkubwa katika stori za uchunguzi na kumsaidia Mwanahabari kupata taarifa nyingi lakini tukumbuke kuwa #AI inafanya kazi kutokana na taarifa zilizopo na sio ambazo zipo nje ya Mtandao
Tutambue kuwa AI sio adui wala Mwokoaji, bali inaakisi kile kilichopo kwenye Ulimwengu wa Mtandao, ndio maana Uswisi inashirikiana na Wadau mbalimbali Tanzania wakiwemo; Serikali ya Tanzania, UTPC, SJMC na JamiiAfrica
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Ameeleza kuwa AI inaweza kuwa msaada mkubwa katika stori za uchunguzi na kumsaidia Mwanahabari kupata taarifa nyingi lakini tukumbuke kuwa #AI inafanya kazi kutokana na taarifa zilizopo na sio ambazo zipo nje ya Mtandao
Tutambue kuwa AI sio adui wala Mwokoaji, bali inaakisi kile kilichopo kwenye Ulimwengu wa Mtandao, ndio maana Uswisi inashirikiana na Wadau mbalimbali Tanzania wakiwemo; Serikali ya Tanzania, UTPC, SJMC na JamiiAfrica
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Kuna changamoto ya baadhi ya Taasisi za Serikali kushindwa kuwa ‘Active’ katika kujibu kwa wakati kuhusu taarifa mbalimbali zinazokuwa zinasambaa Mtandaoni
Hayo yamesemwa na Nuzulack Dausen kutoka Nukta Africa ambaye ameongeza kuwa “Wanapofanya hivyo kuna Watu wanaweza kuwa wanaumizwa na Taarifa au Matukio yanayosambazwa kama hayana ukweli au hajayafafanuliwa.”
Amesema “Nadhani hiyo ni changamoto ambayo inatakiwa kufanyiwa kazi kwa maana ya kwamba wahusika wawe wanajibu au wanatoa ushirikiano haraka wakati wa mchakato wa kuhakiki taarifa.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Hayo yamesemwa na Nuzulack Dausen kutoka Nukta Africa ambaye ameongeza kuwa “Wanapofanya hivyo kuna Watu wanaweza kuwa wanaumizwa na Taarifa au Matukio yanayosambazwa kama hayana ukweli au hajayafafanuliwa.”
Amesema “Nadhani hiyo ni changamoto ambayo inatakiwa kufanyiwa kazi kwa maana ya kwamba wahusika wawe wanajibu au wanatoa ushirikiano haraka wakati wa mchakato wa kuhakiki taarifa.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiAfrica, Maxence Melo anasema “Katika kufanikisha elimu ya kukabiliana na taarifa potofu, tumewajengea uwezo Wadau wa Habari kukabiliana na changamoto ya taarifa potofu, tumekuwa tukifanya hivyo kwa Wadau mbalimbali.”
Ameongeza "Tuliamua kufanya uwezeshaji kwa Wadau wa Habari kwa kushirikiana na Klabu ya Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kutoa mafunzo kwa zaidi ya Wanahabari 1,000.”
Ameongeza “JamiiAfrica iliingia makubaliano na redio mbalimbali za Kijamii kutoka katika Mikoa tofauti kwaajili ya kuwapa elimu ya masuala ya uhakiki wa Habari na ni mchakato ambao bado unaendelea.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Ameongeza "Tuliamua kufanya uwezeshaji kwa Wadau wa Habari kwa kushirikiana na Klabu ya Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kutoa mafunzo kwa zaidi ya Wanahabari 1,000.”
Ameongeza “JamiiAfrica iliingia makubaliano na redio mbalimbali za Kijamii kutoka katika Mikoa tofauti kwaajili ya kuwapa elimu ya masuala ya uhakiki wa Habari na ni mchakato ambao bado unaendelea.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Akizungumzia suala la uhakiki wa Taarifa, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica, Maxence Melo amesema kupitia JamiiCheck.com wanashirikiana na Wanachi kuwaonesha kile kinachofanyika kwa kuwa ni sehemu ya Elimu ya kuelewa mchakato wa uhakiki wa Taarifa potofu
Ameongeza “Tunafanya kwa kushirikiana na Jamii kwa kuwaeleza na pia hata kwa Wanahabari na Wananchi wengine wana nafasi ya kushiriki ndani ya JamiiCheck kuhakiki taarifa kwa kuwa ni Jukwaa ambalo linawashirikisha Watumiaji.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Ameongeza “Tunafanya kwa kushirikiana na Jamii kwa kuwaeleza na pia hata kwa Wanahabari na Wananchi wengine wana nafasi ya kushiriki ndani ya JamiiCheck kuhakiki taarifa kwa kuwa ni Jukwaa ambalo linawashirikisha Watumiaji.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Nuzulack Dausen, Mkurugenzi wa Nukta Africa akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2025, amesema Uwepo wa Sheria sio Mwarobaini wa taarifa za uzushi, kwani tukifanya hivyo Watu wengi watakamatwa na watawajibishwa
Ameongeza “Jambo muhimu ni kutoa Elimu kwanza kwa Jamii, kuna mambo mengi yanafanyika kutokana na Watu kutokuwa na Taarifa sahihi. Hivyo, Serikali na Wadau kwa pamoja wanatakiwa kushirikisha Wananchi
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Ameongeza “Jambo muhimu ni kutoa Elimu kwanza kwa Jamii, kuna mambo mengi yanafanyika kutokana na Watu kutokuwa na Taarifa sahihi. Hivyo, Serikali na Wadau kwa pamoja wanatakiwa kushirikisha Wananchi
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Alphonce Shiundu, Mhariri Africa Check ya Kenya anasema wakati wa Uchaguzi mara nyingi Vyama na Wadau wa Siasa hutumia Fedha nyingi kusambaza uzushi, wanaweza kutumia njia mbalimbali ili kukamilisha jambo lao la kusambaza taarifa za propaganda
Ameongeza kuwa wakati mnapokuwa mnatengeneza Maudhui ni vizuri kuwa na mpango mkakati wa kudhibiti Taarifa hizo kwa kuwa taarifa nyingi za uzushi huwa zinavutia
Shiundu anasema ni vizuri kufikiria kuhusu njia sahihi na nzuri za kukabiliana na Taarifa potofu hasa wakati wa Uchaguzi
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Ameongeza kuwa wakati mnapokuwa mnatengeneza Maudhui ni vizuri kuwa na mpango mkakati wa kudhibiti Taarifa hizo kwa kuwa taarifa nyingi za uzushi huwa zinavutia
Shiundu anasema ni vizuri kufikiria kuhusu njia sahihi na nzuri za kukabiliana na Taarifa potofu hasa wakati wa Uchaguzi
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Mwanahabari ambaye unajihusisha na uhakiki wa Habari hautakiwi kuegemea katika kitu kimoja au njia ile ile wakati unapofanya uhakiki wa Taarifa, unatakiwa kujiongezea Uwezo ili uweze kwenda mbele zaidi ya Akili Mnemba (AI)
Reagan Kiyimba kutoka Media Initiative (Uganda) amesema hayo na kuongeza kuwa Waandishi wa Habari wanapaswa kuboresha ujuzi wao ili wawe hatua moja mbele ya yanayopangwa wakati wa Uchaguzi, ikiwemo matumizi mabaya ya AI na Teknolojia nyingine mpya zinazoibuka
Amesema “Kabla ya kufuatilia Taarifa uwe unajua mambo ya muhimu kwa kuwa vitu vinabadilika. Pia, unaweza kushirikiana na Taasisi mbalimbali ndani na nje ya Nchi yako ili kupata Elimu zaidi, Mwanahabari wa Kuhakiki Taarifa ujuzi wako unatakiwa uwe unaboreshwa kila mara.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Reagan Kiyimba kutoka Media Initiative (Uganda) amesema hayo na kuongeza kuwa Waandishi wa Habari wanapaswa kuboresha ujuzi wao ili wawe hatua moja mbele ya yanayopangwa wakati wa Uchaguzi, ikiwemo matumizi mabaya ya AI na Teknolojia nyingine mpya zinazoibuka
Amesema “Kabla ya kufuatilia Taarifa uwe unajua mambo ya muhimu kwa kuwa vitu vinabadilika. Pia, unaweza kushirikiana na Taasisi mbalimbali ndani na nje ya Nchi yako ili kupata Elimu zaidi, Mwanahabari wa Kuhakiki Taarifa ujuzi wako unatakiwa uwe unaboreshwa kila mara.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Nuzulack Dausen, Mkurugenzi wa Nukta Africa anasema “Fact Checking ni msingi mzuri sana kwa Mwanahabari. Kuna namna mbili za kuifanyia kazi, kwanza ni mbinu za kiuandishi wa Habari na pili njia za Kidigitali ili kupata ukweli.”
Amesema “Tunalazimika kutoa mafunzo ya uhakiki kwa Wanahabari kutokana na kwamba Mitaala haina mafunzo ya nyenzo za Kidijitali za kufanya uhakiki.”
Anaongeza “Tulichelewa hapo kati kuingiza suala la Uhakiki wa Habari katika masomo yetu ya Habari, lakini kuongezeka kwa Habari potoshi hasa za Kijamii ndio kumezidi kuleta uhitaji kwenye tasnia ya Habari.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Amesema “Tunalazimika kutoa mafunzo ya uhakiki kwa Wanahabari kutokana na kwamba Mitaala haina mafunzo ya nyenzo za Kidijitali za kufanya uhakiki.”
Anaongeza “Tulichelewa hapo kati kuingiza suala la Uhakiki wa Habari katika masomo yetu ya Habari, lakini kuongezeka kwa Habari potoshi hasa za Kijamii ndio kumezidi kuleta uhitaji kwenye tasnia ya Habari.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
ARUSHA: Kuna wakati Utani unaweza kwenda tofauti na vile ambavyo Watu walitarajia, kuna vitu vinaweza kufanyiwa utani na Watu wakaamini kuwa kilichoandikwa au kuchapishwa ni cha kweli
Hayo yamesemwa na Nuzulack Dausen, Mkurugenzi wa Nukta Africa ambaye amesema “Kuna maelekezo kuwa unapotengeneza Maudhui unatakiwa kuweka angalizo la kuwa unachokifanya ni Utani lakini sidhani kama Watu wote wanazingatia hilo, matokeo yake kile kinachochapishwa kinasambaa na kuaminika.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Hayo yamesemwa na Nuzulack Dausen, Mkurugenzi wa Nukta Africa ambaye amesema “Kuna maelekezo kuwa unapotengeneza Maudhui unatakiwa kuweka angalizo la kuwa unachokifanya ni Utani lakini sidhani kama Watu wote wanazingatia hilo, matokeo yake kile kinachochapishwa kinasambaa na kuaminika.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking