KENYA: Aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua amedai kuwa tangu aondolewe Madarakani, nyumba zake nyingi zinalengwa na mashambulizi na pia amedai Maafisa wa Usalama wa Taifa wa Kenya (NIS) wamekuwa wakimfuatilia kwa siri, yeye na familia yake kupitia magari
Katika Barua yake kwa IGP, Gachagua alisema kuwa Novemba 2024, alivamiwa na kundi la watu alipokuwa msibani na alikoswakoswa kuuawa na pia mwezi Januari 2025, Mkewe alishambuliwa na kundi la wahalifu walioitwa "Well Known To You" lakini aliweza kutoroka
Gachagua amehoji kwanini hata baada ya kutoa taarifa kwenye mamlaka hakuna kitu kilichofanyika na hivyo amemuomba IGP Kanja ampe ulinzi binafsi
Soma https://jamii.app/GachaguaAombaUlinzi
#JamiiForums #Governance #Accountability #KenyapPolitics
Katika Barua yake kwa IGP, Gachagua alisema kuwa Novemba 2024, alivamiwa na kundi la watu alipokuwa msibani na alikoswakoswa kuuawa na pia mwezi Januari 2025, Mkewe alishambuliwa na kundi la wahalifu walioitwa "Well Known To You" lakini aliweza kutoroka
Gachagua amehoji kwanini hata baada ya kutoa taarifa kwenye mamlaka hakuna kitu kilichofanyika na hivyo amemuomba IGP Kanja ampe ulinzi binafsi
Soma https://jamii.app/GachaguaAombaUlinzi
#JamiiForums #Governance #Accountability #KenyapPolitics
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mdau ndani ya JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka kushughulikia kero ya chemba kutiririsha Maji taka yenye harufu katika baadhi ya Mitaa ya Kariakoo tangu Machi 2025
Amedai hali hiyo imekuwa changamoto ya kuzua hofu kwa Wakazi wa eneo hilo hasa kipindi hiki cha Mvua kwani Watu wapo hatarini kupata Magonjwa kutokana na chemba hizo kuwa karibu na Makazi na Biashara
Aidha, amedai kuna Maafisa wa #DAWASA walifika kuangalia hali hiyo siku kadhaa nyuma, hakukuwa na utatuzi uliofanyika na sasa hali inaendelea kuwa mbaya zaidi, Maji ni mengi na yanatoa harufu
Soma https://jamii.app/MajiTakaKeroKariakoo
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #Mdau2025
Amedai hali hiyo imekuwa changamoto ya kuzua hofu kwa Wakazi wa eneo hilo hasa kipindi hiki cha Mvua kwani Watu wapo hatarini kupata Magonjwa kutokana na chemba hizo kuwa karibu na Makazi na Biashara
Aidha, amedai kuna Maafisa wa #DAWASA walifika kuangalia hali hiyo siku kadhaa nyuma, hakukuwa na utatuzi uliofanyika na sasa hali inaendelea kuwa mbaya zaidi, Maji ni mengi na yanatoa harufu
Soma https://jamii.app/MajiTakaKeroKariakoo
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #Mdau2025
π1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ZANZIBAR: Akizungumza na Waandishi wa Habari katika Ofisi ndogo za Makao Makuu ya Chama cha ACT Wazalendo, Kiongozi wa Chama hicho, Dorothy Semu, amesema baada ya tafakuri ya kina, Kamati ya Uongozi ya Taifa imeamua kuwa watashiriki kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 kwa nafasi zote za Urais wa JMT, Urais wa Zanzibar, Ubunge, Uwakilishi na Udiwani
Amesema Maamuzi hayo yamezingatia uchambuzi wa kina wa Kisiasa Nchini na uzoefu kutoka katika Nchi mbalimbali zilizo katika hali kama yetu Kisiasa
Soma https://jamii.app/PressACTApr16
#JamiiForums #Democracy #Governance #UchaguziMkuu2025 #KuelekeaUchaguzi2025
Amesema Maamuzi hayo yamezingatia uchambuzi wa kina wa Kisiasa Nchini na uzoefu kutoka katika Nchi mbalimbali zilizo katika hali kama yetu Kisiasa
Soma https://jamii.app/PressACTApr16
#JamiiForums #Democracy #Governance #UchaguziMkuu2025 #KuelekeaUchaguzi2025
π1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DEMOKRASIA: Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema Uzoefu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, Uchaguzi Mkuu 2020 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 unaonesha kuwa thamani ya kura imepotea
Amesema Viongozi hawachaguliwi tena kwa kura za Wananchi na badala yake ni nguvu ya dola inayoamua nani awe Kiongozi, akiongeza kuwa ni mapinduzi dhidi ya Haki ya raia ya kuchagua Viongozi wao na ni hujuma isiyovumilika
Soma https://jamii.app/PressACTApr16
#JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance #UchaguziMkuu2025
Amesema Viongozi hawachaguliwi tena kwa kura za Wananchi na badala yake ni nguvu ya dola inayoamua nani awe Kiongozi, akiongeza kuwa ni mapinduzi dhidi ya Haki ya raia ya kuchagua Viongozi wao na ni hujuma isiyovumilika
Soma https://jamii.app/PressACTApr16
#JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance #UchaguziMkuu2025
KENYA: Wanaume wanne ikiwemo raia wawili wa Ubelgiji, mmoja wa Vietnam na raia mmoja kutoka Kenya wanashikiliwa kwa tuhuma za kumiliki na kufanyabiashara ya kusafirisha Malkia wa Siafu walio hai 5,000 kwenye mirija 2,244 bila kibali.
Washtakiwa hao walikamatwa Aprili 5, 2025 katika maeneo tofauti, raia wa Ubelgiji walikamatwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Nakuru huku wengine walikamatwa Tofina Muthama Apartments, Nairobi
Aidha, Mzigo huo unakadiriwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 20.5, Watuhumiwa hao wamezuiliwa na wamekiri makosa yao mbele ya Hakimu Mwandamizi Njeri Thuku katika Kituo cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA).
Soma https://jamii.app/MalkiaSiafu5000
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Washtakiwa hao walikamatwa Aprili 5, 2025 katika maeneo tofauti, raia wa Ubelgiji walikamatwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Nakuru huku wengine walikamatwa Tofina Muthama Apartments, Nairobi
Aidha, Mzigo huo unakadiriwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 20.5, Watuhumiwa hao wamezuiliwa na wamekiri makosa yao mbele ya Hakimu Mwandamizi Njeri Thuku katika Kituo cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA).
Soma https://jamii.app/MalkiaSiafu5000
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Wadau mbalimbali ndani ya JamiiForums.com wameshauri kutoajiri Marafiki katika Biashara au Kampuni yako kwani itakuwa ngumu kumuwajibisha
Je, unakubaliana na mtazamo huu?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KumuajiriRafikiYako
#JamiiForums #JFChitChats #Lifestyle #LifeLessons #Maisha
Je, unakubaliana na mtazamo huu?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KumuajiriRafikiYako
#JamiiForums #JFChitChats #Lifestyle #LifeLessons #Maisha
β€1π1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
UNGUJA: Mwenyekiti wa Chama cha #ACTWazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema wanaingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 wakiamini wao ni washindi kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar na kusisitiza kuwa Watawala waliopo Madarakani hawajawahi kushinda kwa Haki katika Chaguzi zote zilizopita
Othman ambae pia ni Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar amesema hayo Vuga Mjiji, leo Aprili 16, 2025 baada ya kurejesha fomu ya kugombea Urais kupitia Chama hicho
Soma https://jamii.app/OthmanApril16
#JamiiForums #UchaguziMkuu2025 #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance #Democracy
Othman ambae pia ni Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar amesema hayo Vuga Mjiji, leo Aprili 16, 2025 baada ya kurejesha fomu ya kugombea Urais kupitia Chama hicho
Soma https://jamii.app/OthmanApril16
#JamiiForums #UchaguziMkuu2025 #KuelekeaUchaguzi2025 #Governance #Democracy
Mdau wa Jukwaa la Mapenzi, Mahusiano na Urafiki ndani ya JamiiForums.com ameanzisha Mjadala akisema alikuwa kwenye mahusiano na Mtu ambaye alikuwa mchoyo, anadai jamaa alikuwa na malengo lakini baada ya muda aligundua kuwa alikuwa mchoyo wa muda, hisia na maamuzi yote yalimhusu yeye tu
Anadai kila alipojaribu kueleza hisia zake, alinyamazishwa au kupuuzwa, hali hiyo ilimfanya ahisi kama mzigo. Hatimaye alijitoa kwenye uhusiano huo akijifunza kuwa ukarimu kwenye mapenzi unahusu zaidi upendo muda na hisia, si pesa pekee
Mdau, umewahi kuwa na Mtu mchoyo? Ilikuwaje?
Mjadala https://jamii.app/MpenziMchoyo
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
Anadai kila alipojaribu kueleza hisia zake, alinyamazishwa au kupuuzwa, hali hiyo ilimfanya ahisi kama mzigo. Hatimaye alijitoa kwenye uhusiano huo akijifunza kuwa ukarimu kwenye mapenzi unahusu zaidi upendo muda na hisia, si pesa pekee
Mdau, umewahi kuwa na Mtu mchoyo? Ilikuwaje?
Mjadala https://jamii.app/MpenziMchoyo
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo,.amesema hayo leo Aprili 16, 2025 Jijini Dodoma
Soma https://jamii.app/UfisadiArushaGambo
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji #Accountability #Transparency
Soma https://jamii.app/UfisadiArushaGambo
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji #Accountability #Transparency
Mjadala umeibuka JamiiForums.com ambapo mdau ametoa wito kwa Serikali kuweka Mifumo madhubuti ya kudhibiti, kusimamia na kuelekeza Uwekezaji wa kigeni ili kuhakikisha faida za Uwekezaji huo zinawanufaisha Watanzania wengi zaidi
Akipendekeza njia mojawapo ya kufanikisha hilo, mdau anashauri wawekezaji wa kigeni wahimizwe kuanzisha Viwanda hapa Nchini na kuhakikisha idadi kubwa ya Waajiriwa ni wazawa, badala ya kushiriki moja kwa moja katika Biashara ambazo tayari zinafanywa na Wazawa
Je, ni mikakati ipi inaweza kusaidia kusimamia Wawekezaji wa kigeni wasijihusishe na Biashara ndogondogo zinazofanywa na Wazawa?
Mjadala https://jamii.app/BiasharaWachinaVsWazawa
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #Uchumi #Biashara
Akipendekeza njia mojawapo ya kufanikisha hilo, mdau anashauri wawekezaji wa kigeni wahimizwe kuanzisha Viwanda hapa Nchini na kuhakikisha idadi kubwa ya Waajiriwa ni wazawa, badala ya kushiriki moja kwa moja katika Biashara ambazo tayari zinafanywa na Wazawa
Je, ni mikakati ipi inaweza kusaidia kusimamia Wawekezaji wa kigeni wasijihusishe na Biashara ndogondogo zinazofanywa na Wazawa?
Mjadala https://jamii.app/BiasharaWachinaVsWazawa
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #Uchumi #Biashara
JamiiAfrica is seeking a visionary, tech-savvy and strategic leader to serve as the Digital Democracy Hub Coordinator. This is a pivotal role in advancing our vision of Digital Democracy; where technology and Digital Platforms are used to Amplify Citizen Voices, Promote Accountability and Enhance Participatory Governance
Qualifications and Experience:
β’ Bachelorβs or Masterβs degree in Digital Media, ICT for Development, Public Policy, Political Science, Communication or related field.
β’ At least 5 years of experience in digital innovation, civic tech, media, governance, or related development work
β’ Proven track record in managing digital platforms or initiatives that promote social impact.
Send your CV, Cover Letter and Contact Details for three Referees to vacancies@jamii.africa with the subject line: Application for the Digital Democracy Hub Coordinator β JamiiAfrica
For more info visit https://jamii.app/DigitalDemocracyHubCoordinator
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFOpportunities #JamiiOpportunities
Qualifications and Experience:
β’ Bachelorβs or Masterβs degree in Digital Media, ICT for Development, Public Policy, Political Science, Communication or related field.
β’ At least 5 years of experience in digital innovation, civic tech, media, governance, or related development work
β’ Proven track record in managing digital platforms or initiatives that promote social impact.
Send your CV, Cover Letter and Contact Details for three Referees to vacancies@jamii.africa with the subject line: Application for the Digital Democracy Hub Coordinator β JamiiAfrica
For more info visit https://jamii.app/DigitalDemocracyHubCoordinator
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFOpportunities #JamiiOpportunities
π1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Geita Vijijini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku (Musukuma) amesema hayo Aprili 16, 2025 #Bungeni wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya TAMISEMI
Soma https://jamii.app/CHADEMAWaruhusiweKusaini
#JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025 #UchaguziMkuu2025
Soma https://jamii.app/CHADEMAWaruhusiweKusaini
#JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025 #UchaguziMkuu2025
β€1
DRC: Boti iliyokuwa na takriban abiria 400 imeshika moto na kupinduka kwenye Mto Congo, Aprili 15, 2025 karibu na Mji wa Mbandaka, Kaskazini Maghariribi na kusababisha vifo vya Watu wasiopungua 50 na takriban Watu 100 kutoonekana
Kwa mujibu wa Kamishna wa Mto Congo, Competent Loyoko, ameliambia Shirika la Habari la Associated Press kuwa chanzo cha ajali hiyo ni Mtu mmoja aliyekuwa akipika kwenye Boti hiyo. Takriban waathirika 100 wamepelekwa kwenye makazi ya muda katika Ukumbi wa Mji wa Mbandaka
Ajali za Boti ni za kawaida katika Nchi hiyo ya Afrika ya Kati, ambapo Desemba 2024 Watu 38 walifariki baada ya Kivuko kuzama na Oktoba 2024 Boti moja ilizama katika Ziwa Kivu, na kuua Watu 78.
Soma https://jamii.app/BotiKuwakaMoto
#JamiiForums #JFMatukio
Kwa mujibu wa Kamishna wa Mto Congo, Competent Loyoko, ameliambia Shirika la Habari la Associated Press kuwa chanzo cha ajali hiyo ni Mtu mmoja aliyekuwa akipika kwenye Boti hiyo. Takriban waathirika 100 wamepelekwa kwenye makazi ya muda katika Ukumbi wa Mji wa Mbandaka
Ajali za Boti ni za kawaida katika Nchi hiyo ya Afrika ya Kati, ambapo Desemba 2024 Watu 38 walifariki baada ya Kivuko kuzama na Oktoba 2024 Boti moja ilizama katika Ziwa Kivu, na kuua Watu 78.
Soma https://jamii.app/BotiKuwakaMoto
#JamiiForums #JFMatukio
π1
KENYA: Katika Wosia wa Jenerali Francis Ogolla ameacha mali zake zote, zikiwemo Ksh. Milioni 150 (Tsh. Bilioni 3) kwa Mkewe na Watoto wake Wawili pekee
Wosia haukuwataja ndugu zake wengine, hali iliyoibua mjadala Mkali mtandaoni baina ya pande tatu, upande mmoja ukisema ni ubinafsi, mwingine unasema ni haki yake lakini mwingine unasema inategemea na uhusiano uliopo baina ya ndugu
Mdau, unasemaje? Katika wosia wako ndugu nao watapata chochote kitu au wataambulia "Kila la Heri?"
Mjadala https://jamii.app/UmuhimuWaUrithi
#JamiiForums #Urithi #Maisha #UmuhimuWaWosia
Wosia haukuwataja ndugu zake wengine, hali iliyoibua mjadala Mkali mtandaoni baina ya pande tatu, upande mmoja ukisema ni ubinafsi, mwingine unasema ni haki yake lakini mwingine unasema inategemea na uhusiano uliopo baina ya ndugu
Mdau, unasemaje? Katika wosia wako ndugu nao watapata chochote kitu au wataambulia "Kila la Heri?"
Mjadala https://jamii.app/UmuhimuWaUrithi
#JamiiForums #Urithi #Maisha #UmuhimuWaWosia