Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
MOROGORO: Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeanza kusafisha maeneo ya Mto Ngerengere, Mazimbu Manispaa ya Morogoro ili kuweka mazingira safi, kuruhusu maji kupita kwa urahisi na kupunguza athari wakati wa mafuriko
Afisa wa Maji Bonde la Wami Ruvu Kidakio cha Ngerengere, Mhandisi Nangu Makula amesema zoezi hilo litaenda umbali wa Mita 900 (Mazimbu hadi Kihonda)
Ikumbukwe Desemba 8, 2024, Mdau wa JamiiForums.com alitoa wito kwa taka zitolewe katika mto huo kwa kuwa zimechangia maji kuingia mtaani, akatolea mfano wanaokuwa hatarini zaidi ni Wanafunzi wa Shule za Msingi, Sekondari na wale wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Kampasi ya Mahlangu
Soma https://jamii.app/MtoNgerengereUsafi
#Accountability #ServiceDelivery #JamiiForums #ClimateChange
Afisa wa Maji Bonde la Wami Ruvu Kidakio cha Ngerengere, Mhandisi Nangu Makula amesema zoezi hilo litaenda umbali wa Mita 900 (Mazimbu hadi Kihonda)
Ikumbukwe Desemba 8, 2024, Mdau wa JamiiForums.com alitoa wito kwa taka zitolewe katika mto huo kwa kuwa zimechangia maji kuingia mtaani, akatolea mfano wanaokuwa hatarini zaidi ni Wanafunzi wa Shule za Msingi, Sekondari na wale wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Kampasi ya Mahlangu
Soma https://jamii.app/MtoNgerengereUsafi
#Accountability #ServiceDelivery #JamiiForums #ClimateChange
π1
Je, unataka Viongozi waadilifu, wenye dira na nia thabiti ya kuleta mabadiliko chanya? Au unataka kulalamika kwa Miaka mitano ijayo kwasababu ya uamuzi mbaya? Kila kura inahesabika, na kila sauti ina umuhimu
Usikubali kushawishiwa kwa ahadi za muda mfupi, pesa au zawadi zisizo na maana. Badala yake, tafakari kwa kina kuhusu nani ana uwezo wa kubadilisha Maisha yako na Maendeleo ya Jamii yako.
#ChaguaKiongoziSioPesa #KemeaRushwa25 #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Usikubali kushawishiwa kwa ahadi za muda mfupi, pesa au zawadi zisizo na maana. Badala yake, tafakari kwa kina kuhusu nani ana uwezo wa kubadilisha Maisha yako na Maendeleo ya Jamii yako.
#ChaguaKiongoziSioPesa #KemeaRushwa25 #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
π1
Kesi ya Haki (Right to Fair Trial) inapokosekana Watu wanaweza kunyimwa Haki yao ya msingi ya kutetewa, kupewa adhabu isiyo ya Haki au hata kuhukumiwa kwa makosa wasiyoyafanya
Mahakama zinapaswa kuwa huru na zisizoingiliwa na Serikali, Vyombo vya Usalama au Mashinikizo ya Kisiasa
Aidha, Mtuhumiwa ana Haki ya kukata Rufaa ikiwa anahisi kuwa kesi yake haikusikilizwa kwa Haki
Soma zaidi https://jamii.app/RightToFairTrial
#JamiiForums #HakiZaKiraia #CivilRights #HumanRights #KesiYaHaki #HakiZaBinadamu #UtawalaWaSheria
Mahakama zinapaswa kuwa huru na zisizoingiliwa na Serikali, Vyombo vya Usalama au Mashinikizo ya Kisiasa
Aidha, Mtuhumiwa ana Haki ya kukata Rufaa ikiwa anahisi kuwa kesi yake haikusikilizwa kwa Haki
Soma zaidi https://jamii.app/RightToFairTrial
#JamiiForums #HakiZaKiraia #CivilRights #HumanRights #KesiYaHaki #HakiZaBinadamu #UtawalaWaSheria
Mdau kutoka la Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com ameanzisha mjadala kuhusu sababu za Kizazi cha "Gen Z" kufukuzwa kazi ndani ya muda mfupi akitumia utafiti uliofanywa na Tovuti ya Intelligent.com
Je, unakubaliana na maoni haya?
Mjadala zaidi https://jamii.app/GenZKufuzwaKazini
#JamiiForums #LifeStyle #GenZWorkplace
Je, unakubaliana na maoni haya?
Mjadala zaidi https://jamii.app/GenZKufuzwaKazini
#JamiiForums #LifeStyle #GenZWorkplace
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwenyekiti wa #CHADEMA Taifa, #TunduLissu akizungumza na Waandishi wa Habari na kuelezea wanachomaanisha pale wanaposema 'No Reform, No Election'
Zaidi https://jamii.app/PressLissuFeb12
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #Democracy
Zaidi https://jamii.app/PressLissuFeb12
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #Democracy
Mdau wa JamiiForums.com anadai kuna changamoto wakati wa kuhuisha Leseni za Daladala zilizopewa vibali Mwaka 2023 katika 'ruti' ya Mbezi - Bagamoyo kwa maelezo kuwa wamepewa kimakosa
Anaeleza wamefanya kazi kwa takriban Miaka 2 halafu Mwaka wa tatu huu wanaambiwa wamepewa leseni kimakosa, anahoji Je, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (#LATRA) inawatendea Haki wamiliki na Abiria wanaosafiri kupitia njia hiyo?
JamiiForums imewasiliana na Afisa Mfawidhi LATRA - Pwani, Aisha Kuwa kuhusu hoja hiyo, amesema βKwa Mkoa wangu wa Pwani hilo jambo halijafika kwangu. Kwa kawaida wakikataliwa kupewa Leseni huwa kuna maelekezo wanapewa, nadhani hilo ngoja tulifuatilie kwa ukaribu kujua kinachoendelea.β
Soma https://jamii.app/LATRAMbeziBMoyo
#JamiiForums #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Governance
Anaeleza wamefanya kazi kwa takriban Miaka 2 halafu Mwaka wa tatu huu wanaambiwa wamepewa leseni kimakosa, anahoji Je, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (#LATRA) inawatendea Haki wamiliki na Abiria wanaosafiri kupitia njia hiyo?
JamiiForums imewasiliana na Afisa Mfawidhi LATRA - Pwani, Aisha Kuwa kuhusu hoja hiyo, amesema βKwa Mkoa wangu wa Pwani hilo jambo halijafika kwangu. Kwa kawaida wakikataliwa kupewa Leseni huwa kuna maelekezo wanapewa, nadhani hilo ngoja tulifuatilie kwa ukaribu kujua kinachoendelea.β
Soma https://jamii.app/LATRAMbeziBMoyo
#JamiiForums #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Governance
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
MARA: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara, John Heche akizungumza katika hadhara iliyompokea alipowasili Tarime amesema yeye na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu wapo tayari kupoteza maisha ili kulinda msimamo wa Chama wa kutetea Wananchi
Soma https://jamii.app/HecheTarime
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #Democracy
Soma https://jamii.app/HecheTarime
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #Democracy
π₯2
Siku ya Redio huadhimishwa Februari 13 kila mwaka ili kuhamasisha umuhimu wa Redio katika Kuhabarisha Jamii na kukuza Uhuru wa Kujieleza
Mdau, tujikumbushe zamani, tuma salamu kwa Watu watatu Kidijitali kwa 'kuwatag'
Soma https://jamii.app/WorldRadioDay
#JamiiForums #WorldRadioDay2025 #FreedomOfSpeech #DigitalRights
Mdau, tujikumbushe zamani, tuma salamu kwa Watu watatu Kidijitali kwa 'kuwatag'
Soma https://jamii.app/WorldRadioDay
#JamiiForums #WorldRadioDay2025 #FreedomOfSpeech #DigitalRights
Shiriki katika Mjadala wa "Kuelekea Uchaguzi, Tunatofautishaje Zawadi na Rushwa?" kupitia X Spaces ya JamiiForums
Usikose kujiunga nasi leo Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi Saa 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Usikose kujiunga nasi leo Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi Saa 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ameishauri Serikali kuangalia mikataba kwa lengo la kutoa fursa kwa Wakandarasi wazawa kupata nafasi katika miradi mbalimbali, ametoa ushauri huo kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange wakati wa Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 13, leo Februari 13, 2025
Soma https://jamii.app/WakandarasiFeb
#JamiiForums #Governance
Soma https://jamii.app/WakandarasiFeb
#JamiiForums #Governance
Akijibu hoja ya Mdau wa JamiiForums.com kuwa kuna kero kwa Abiria wanaopanda Daladala za Mbezi - Mlandizi kwamba muda wa Jioni zinakatisha ruti, Afisa Mfawidhi wa #LATRA Mkoa wa Pwani, Aisha Kuwa amesema wanachukua hatua kudhibiti hilo
Aisha amesema βTumekuwa tukiendelea na ukaguzi kuanzia Asubuhi hadi Jioni, hayo Magari ambayo Mdau ameyalalamikia sio Jioni tu hata Mchana au Asubuhi wapo wanaofanya hivyo."
Ameongeza βPia, ruti zote kuanzia Mbezi kwenda Mlandizi, Mbezi β Kwala, Mbezi - Mzenga tumesitisha utoaji wa leseni mpya kwa kuwa inaonekana Gari ni nyingi tofauti na idadi ya Abiria ndio maana kuna muda wahusika wanasitisha ruti kwa kuwa wanaona hasara kwenda na Abiria wachache hadi mwisho."
Soma https://jamii.app/LATRAPwaniLeseni
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Aisha amesema βTumekuwa tukiendelea na ukaguzi kuanzia Asubuhi hadi Jioni, hayo Magari ambayo Mdau ameyalalamikia sio Jioni tu hata Mchana au Asubuhi wapo wanaofanya hivyo."
Ameongeza βPia, ruti zote kuanzia Mbezi kwenda Mlandizi, Mbezi β Kwala, Mbezi - Mzenga tumesitisha utoaji wa leseni mpya kwa kuwa inaonekana Gari ni nyingi tofauti na idadi ya Abiria ndio maana kuna muda wahusika wanasitisha ruti kwa kuwa wanaona hasara kwenda na Abiria wachache hadi mwisho."
Soma https://jamii.app/LATRAPwaniLeseni
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Wadau mbalimbali ndani ya JamiiForums.com wametoa wito kwa Mamlaka husika kushughulikia changamoto ya Ulipwaji wa Fedha za Kujikimu kwa Waajiriwa Wapya wa Serikalini katika Kada ya Afya kwani wanategemea malipo kujikimu kimaisha
Soma https://jamii.app/MalipoKadaYaAfya
#JamiiForums #Accountability #JFMdau2025
Soma https://jamii.app/MalipoKadaYaAfya
#JamiiForums #Accountability #JFMdau2025
π1