#JFAFYA: Sigara huzalisha Kemikali za uraibu (Nicotine) zinazodhuru Mifumo ya Mwili wa Binadamu ikiwemo ya Damu, Moyo na Upumuaji
Pia, huzalisha Kemikali Sumu Mwilini kama Hydrogen Cyanide, Lead, Arsenic, Ammonia na Carbon Monoxide
Soma https://jamii.app/SmokingTips
#JFAfyaJamii
Pia, huzalisha Kemikali Sumu Mwilini kama Hydrogen Cyanide, Lead, Arsenic, Ammonia na Carbon Monoxide
Soma https://jamii.app/SmokingTips
#JFAfyaJamii
๐5
4% YA WATANZANIA WANA MATATIZO YA MACHO
Pamoja na takwimu hizo imeelezwa 90% ya matatizo hayo yanatibika
Takwimu za Mwaka 2020 zilionesha Watu milioni 1.2 tu ndio waliofikiwa na Huduma ya Macho ikilinganishwa na uhitaji wa takriban Watu milioni 12
Soma https://jamii.app/MachoTakwimu
#JFAfya
Pamoja na takwimu hizo imeelezwa 90% ya matatizo hayo yanatibika
Takwimu za Mwaka 2020 zilionesha Watu milioni 1.2 tu ndio waliofikiwa na Huduma ya Macho ikilinganishwa na uhitaji wa takriban Watu milioni 12
Soma https://jamii.app/MachoTakwimu
#JFAfya
๐5
DAR: Walimu 14 wanashikiliwa wakituhumiwa kukiuka Sheria, Kanuni na Taratibu za mitihani ya Darasa la 7 iliyofanyika Oktoba 5 na 6, 2022
Uchunguzi wa suala hili unaendelea na Taarifa zitatolewa na Mamlaka zinazohusika na Masuala ya Elimu
Soma https://jamii.app/WalimuWakamatwa
#KemeaRushwa
Uchunguzi wa suala hili unaendelea na Taarifa zitatolewa na Mamlaka zinazohusika na Masuala ya Elimu
Soma https://jamii.app/WalimuWakamatwa
#KemeaRushwa
๐13๐ค1
UGANDA: WAPINGA SHERIA MPYA YA MITANDAO YA KIJAMII
Kampuni kadhaa za Mtandaoni na Wanaharakati 12 wameungana kufungua kesi wakidai Sheria inaminya Uhuru na Haki za matumizi ya Mitandao na itatumika kuwanyamazisha wakosoaji wa Serikali
Soma https://jamii.app/SheriaUG
#DigitalRights
Kampuni kadhaa za Mtandaoni na Wanaharakati 12 wameungana kufungua kesi wakidai Sheria inaminya Uhuru na Haki za matumizi ya Mitandao na itatumika kuwanyamazisha wakosoaji wa Serikali
Soma https://jamii.app/SheriaUG
#DigitalRights
๐6
ARUSHA: WATUMISHI WATAKIWA KUJILINDA NA UHALIFU WA MITANDAONI
Hii ni kutokana na Vifaa na Mifumo ya TEHAMA ambayo hutumika kupitisha #TaarifaBinafsi au za Taasisi kushambuliwa zaidi na Wahalifu wa Mtandaoni kwa njia mbalimbali
Soma https://jamii.app/UhalifuMtandaoni
#DigitalSecurity
Hii ni kutokana na Vifaa na Mifumo ya TEHAMA ambayo hutumika kupitisha #TaarifaBinafsi au za Taasisi kushambuliwa zaidi na Wahalifu wa Mtandaoni kwa njia mbalimbali
Soma https://jamii.app/UhalifuMtandaoni
#DigitalSecurity
๐11
Ikiwa hata leo Watu wanaoishi katika Umasikini wanadhulumiwa Utu wao na Kudharauliwa ni jukumu la kila Mmoja Kutambua kuwa, Utu wa Mwanadamu sio tu ni #Haki ya Kimsingi bali ni Msingi wa Haki zingine zote za Msingi
Soma https://jamii.app/IDOEP2022
#EndPoverty
Soma https://jamii.app/IDOEP2022
#EndPoverty
๐9
ASTON VILLA YAMUWANIA POCHETTINO
Inadaiwa #AstonVilla inaweza kumuajiri Kocha Mauricio Pochettino achukue nafasi ya Steven Gerrard anayeweza kufukuzwa kutokana na matokeo mabaya, akishinda mechi 2 kati ya 10 za Premier League msimu huu
Soma https://jamii.app/AstonVilla
#JFSports
Inadaiwa #AstonVilla inaweza kumuajiri Kocha Mauricio Pochettino achukue nafasi ya Steven Gerrard anayeweza kufukuzwa kutokana na matokeo mabaya, akishinda mechi 2 kati ya 10 za Premier League msimu huu
Soma https://jamii.app/AstonVilla
#JFSports
๐4
UTAFITI TAKUKURU: Kuhusiana na muda uliotumika kupata Huduma katika Vituo vya Huduma, Sekta ya Elimu ilipata alama ya juu zaidi kwa asilimia 90.5 ikifuatiwa na Sekta ya Ulinzi/Usalama kwa asilimia 68.3 na Huduma za Umeme kwa asilimia 66
Kwa ujumla, huduma zote zilitolewa kwa wakati isipokuwa huduma za Ugani, NIDA na TASAF ambao walipata asilimia 46, asilimia 47 na asilimia 41 mtawalia.
#JamiiForums #KemeaRushwa
Kwa ujumla, huduma zote zilitolewa kwa wakati isipokuwa huduma za Ugani, NIDA na TASAF ambao walipata asilimia 46, asilimia 47 na asilimia 41 mtawalia.
#JamiiForums #KemeaRushwa
๐4๐ค1
ATHARI ZA MOSHI WA SIGARA KWA WAJAWAZITO
Huongeza nafasi ya kuharibika kwa Ujauzito, Kujifungua kabla ya wakati, Kujifungua Watoto wenye tatizo la Mdomo Sungura, Wenye uzito Mdogo na walio na Matatizo kwenye Mapafu
Pia, Baadhi ya Watoto hufariki Siku chache baada ya kuzaliwa
Soma https://jamii.app/SmokingTips
#JFAfyaJamii
Huongeza nafasi ya kuharibika kwa Ujauzito, Kujifungua kabla ya wakati, Kujifungua Watoto wenye tatizo la Mdomo Sungura, Wenye uzito Mdogo na walio na Matatizo kwenye Mapafu
Pia, Baadhi ya Watoto hufariki Siku chache baada ya kuzaliwa
Soma https://jamii.app/SmokingTips
#JFAfyaJamii
๐5๐ฑ1
Wataalamu wa Saikolojia, Wanasheria na Viongozi wa Dini wanakiri kuongezeka kwa maombi ya Talaka na wanaonya kuwa hali hiyo inahatarisha mustakabali wa Taifa ikizingatiwa kuwa Watoto wanapoteza Haki ya Malezi Bora ya pande mbili
Mdau anahoji kwanini Ndoa zimekuwa chanzo cha mashauri mengi kwenye Idara za Haki ikiwemo Mashitaka ya Unyanyasaji na Madai ya Kugawana Mali baada ya Wanandoa kushindwana
Soma https://jamii.app/TalakaNdoa
#JFMaisha #Malezi #Mahusiano
Mdau anahoji kwanini Ndoa zimekuwa chanzo cha mashauri mengi kwenye Idara za Haki ikiwemo Mashitaka ya Unyanyasaji na Madai ya Kugawana Mali baada ya Wanandoa kushindwana
Soma https://jamii.app/TalakaNdoa
#JFMaisha #Malezi #Mahusiano
๐ค7๐4
Uchambuzi wa hoja za CAG unaonesha, pamoja na kupata Hati Safi, Taasisi nyingi za Umma bado zina kasoro za Kiutendaji. Hivyo zinahitaji kufuatiliwa ili kudhibiti uwezekano wa kuwepo kwa Rushwa na Ubadhirifu wa Rasilimali za Umma
Mfano, Bohari Kuu ya Dawa ilipata Hati Safi ilihali ilifanya malipo ya awali kiasi cha Shilingi Bilioni 14.89 kwa Wazabuni watano bila Mikataba au makubaliano yoyote ambayo yanabainisha Misingi ya malipo hayo.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #Wajibu
Mfano, Bohari Kuu ya Dawa ilipata Hati Safi ilihali ilifanya malipo ya awali kiasi cha Shilingi Bilioni 14.89 kwa Wazabuni watano bila Mikataba au makubaliano yoyote ambayo yanabainisha Misingi ya malipo hayo.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #Wajibu
๐11๐1
MDAU: KWA NINI UKIMKATAA MWANAMKE KIMAHUSIANO ANAKUWA NA CHUKI KALI DHIDI YAKO?
Anasema haelewi sababu za Mwanamke kuwa na chuki sana akikataliwa hata kama sababu za kumkataa zinamashiko
Ameomba mwongozo wa namna ya kukabiliana na hali kama hii mnapokuwa eneo moja la kazi
Soma https://jamii.app/ChukiKukataliwa
#JFMaisha
Anasema haelewi sababu za Mwanamke kuwa na chuki sana akikataliwa hata kama sababu za kumkataa zinamashiko
Ameomba mwongozo wa namna ya kukabiliana na hali kama hii mnapokuwa eneo moja la kazi
Soma https://jamii.app/ChukiKukataliwa
#JFMaisha
๐5โค2
UTAFITI TAKUKURU: Asilimia 35.6 ya Wahojiwa walisema Kampeni za Uhamasishaji wa Umma kupinga Ufisadi/Rushwa zinatosha huku asilimia 55.6 wakisema hazitoshi
Asilimia 88.8 walisema wapo tayari kushiriki kwenye Mapambano dhidi ya Rushwa/Ufisadi na Asilimia 81.8 waliona kuna Ushirikishwaji mkubwa wa Wanawake kwenye kupinga Rushwa
#KemeaRushwa #JamiiForums
Asilimia 88.8 walisema wapo tayari kushiriki kwenye Mapambano dhidi ya Rushwa/Ufisadi na Asilimia 81.8 waliona kuna Ushirikishwaji mkubwa wa Wanawake kwenye kupinga Rushwa
#KemeaRushwa #JamiiForums
๐3
MDAU: UCHAGUZI WA MASOMO UANZIE KIDATO CHA KWANZA
Anashauri Elimu ya awali ya Sekondari iwe lazima kwa wahitimu wa Darasa la 7 ili wanapoanza Masomo wawe na nafasi ya kuchagua mchepuo wa Masomo ili kupunguza mzigo wa kusoma vitu vingi
Soma https://jamii.app/UshauriWaElimu
#HakiMtoto
Anashauri Elimu ya awali ya Sekondari iwe lazima kwa wahitimu wa Darasa la 7 ili wanapoanza Masomo wawe na nafasi ya kuchagua mchepuo wa Masomo ili kupunguza mzigo wa kusoma vitu vingi
Soma https://jamii.app/UshauriWaElimu
#HakiMtoto
๐33๐3๐2๐2
RAIS SAMIA: Maendeleo sasa yanafanywa kwa Wananchi, kelele zitahamia upande mwingine
Na bahati nzuri hata upande mwingine ule wa Kisiasa nimewapa kazi wenyewe wakutane, Wazungumze watuletee tuone yale yanayotekelezeka, tukubaliane nao, tuyatekeleze kwa harakaโ
Soma https://jamii.app/SamiaInKigoma
#Democracy
Na bahati nzuri hata upande mwingine ule wa Kisiasa nimewapa kazi wenyewe wakutane, Wazungumze watuletee tuone yale yanayotekelezeka, tukubaliane nao, tuyatekeleze kwa harakaโ
Soma https://jamii.app/SamiaInKigoma
#Democracy
๐คฏ5๐3๐ค3๐2๐1
KOMBE LA DUNIA: SERENGETI GIRLS YATINGA ROBO FAINALI
Timu ya Taifa ya Wanawake U17 Serengeti Girls imefikisha pointi 4 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Canada Nchini India
Serengeti Girls imeungana na Japan kutoka Kundi D kusonga mbele
Soma https://jamii.app/TZU17Girls
#JFSports
Timu ya Taifa ya Wanawake U17 Serengeti Girls imefikisha pointi 4 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Canada Nchini India
Serengeti Girls imeungana na Japan kutoka Kundi D kusonga mbele
Soma https://jamii.app/TZU17Girls
#JFSports
๐31๐7๐ฅฐ4๐ฅ3๐3โค2
ZITTO KABWE: Hakuna njia nyingine yoyote ya kuifanya Nchi yetu iende mbele isipokuwa njia hii unayopita (Rais Samia) ya Kujenga Maridhiano ya Kitaifa
Nikiwa Kiongozi wa Kitaifa, napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana kwa juhudi za kuwaweka Watanzania pamoja
Soma https://jamii.app/SamiaInKigoma
#Democracy
Nikiwa Kiongozi wa Kitaifa, napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana kwa juhudi za kuwaweka Watanzania pamoja
Soma https://jamii.app/SamiaInKigoma
#Democracy
๐ค8๐ข3๐2๐2๐คฎ2
UTANASHATI: Kuna sehemu kadhaa unaweza kupaka au kupulizia Manukato (Perfume). Ila katika hizi sehemu zote unapaswa kuchagua sehemu tatu za kupulizia
Si vyema kupulizia sehemu nyingi sana. Pulizia kwa kiasi tu, 'Perfume' nyingi sana kwa wakati mmoja sio nzuri na huweza kuwaumiza wanaokuzunguka
#JamiiForums #Maisha
Si vyema kupulizia sehemu nyingi sana. Pulizia kwa kiasi tu, 'Perfume' nyingi sana kwa wakati mmoja sio nzuri na huweza kuwaumiza wanaokuzunguka
#JamiiForums #Maisha
๐11
NโGOLO KANTE NJE MIEZI MINNE, KUKOSA KOMBE LA DUNIA
Kiungo huyo wa #Chelsea na #Ufaransa amefanyiwa Upasuaji wa Nyama za Paja hivyo atakuwa nje ya Uwanja kwa muda wa Miezi minne
Kante (31) aliumia katika Mechi dhidi ya #Tottenham, Agosti 14, 2022
Soma https://jamii.app/KanteOut
#JFSports
Kiungo huyo wa #Chelsea na #Ufaransa amefanyiwa Upasuaji wa Nyama za Paja hivyo atakuwa nje ya Uwanja kwa muda wa Miezi minne
Kante (31) aliumia katika Mechi dhidi ya #Tottenham, Agosti 14, 2022
Soma https://jamii.app/KanteOut
#JFSports
๐ค7๐2
DRC: Hali ya Sintofahamu imejitokeza baada ya Rais Fรฉlix Tshisekedi kumteua Jenerali Floribert Kisembo Bahemuka aliyefariki mnamo Mwaka 2011
Pia, alimteua Jenerali John Tshibangu aliyetoroka Jeshini Mwaka 2011 kwa uasi
Soma https://jamii.app/TeuziDRC
#Governance
Pia, alimteua Jenerali John Tshibangu aliyetoroka Jeshini Mwaka 2011 kwa uasi
Soma https://jamii.app/TeuziDRC
#Governance
๐13๐คฏ5๐ฅ2๐1