MATUMIZI MAKUBWA YA CHUMVI NI HATARI KWA AFYA YA MOYO
Chumvi mbichi inayoongezwa baada ya chakula kuiva ikitumika kwa wingi inaweza kusababisha shinikizo la juu la Damu ambalo moja ya madhara yake ni kutanuka kwa Moyo
Pia, Juisi za kusindika au kuongeza Sukari pindi unapotengeneza pamoja na kula kwa wingi Vyakula vya Wanga ni hatari kwa Moyo
Soma https://jamii.app/ElimuAfya
#JFAfya
Chumvi mbichi inayoongezwa baada ya chakula kuiva ikitumika kwa wingi inaweza kusababisha shinikizo la juu la Damu ambalo moja ya madhara yake ni kutanuka kwa Moyo
Pia, Juisi za kusindika au kuongeza Sukari pindi unapotengeneza pamoja na kula kwa wingi Vyakula vya Wanga ni hatari kwa Moyo
Soma https://jamii.app/ElimuAfya
#JFAfya
π17
NDONDI: IBRAHIM CLASS AMPIGA RAIA WA MEXICO KWA KO RAUNDI YA 9
Bondia Mtanzania Ibrahim Class amefanikiwa kushinda dhidi ya Alan Pina kutoka Mexico katika pambano lisilo la ubingwa lililofanyika Mlimani City, Dar es Salaam
Baada ya kuonesha upinzani mkali kuanzia raundi ya kwanza, Pina alipigwa ngumi mbili kali raundi ya 9 zilizomuangusha chini na kulazimika kupewa huduma ya kwanza ulingoni baada ya kuonekana kutojitambua kwa muda
#JFSports
Bondia Mtanzania Ibrahim Class amefanikiwa kushinda dhidi ya Alan Pina kutoka Mexico katika pambano lisilo la ubingwa lililofanyika Mlimani City, Dar es Salaam
Baada ya kuonesha upinzani mkali kuanzia raundi ya kwanza, Pina alipigwa ngumi mbili kali raundi ya 9 zilizomuangusha chini na kulazimika kupewa huduma ya kwanza ulingoni baada ya kuonekana kutojitambua kwa muda
#JFSports
π21π4
BURKINA FASO: Kapteni Ibrahim Traore ametangaza Mapinduzi ya kumuondoa Madarakani Kiongozi wa Kijeshi, Paul-Henri Damiba, kuvunja Serikali, kusimamisha Katiba na kuweka Katiba ya mpito
> Ni Mapinduzi ya pili ya Kijeshi ndani ya Miezi 8
Soma https://jamii.app/UostersBF
#Democracy
> Ni Mapinduzi ya pili ya Kijeshi ndani ya Miezi 8
Soma https://jamii.app/UostersBF
#Democracy
π14π₯4π4π’3π2
MAREKANI: WATU 45 WAFARIKI BAADA YA KUPIGWA NA KIMBUNGA IAN
Kimbunga hicho kinachoanza kutoweka kimeharibu takriban Nyumba 80,000 katika Mji wa Fort Mayers, na kuwaacha gizani zaidi ya Watu Milioni 1.8 kwenye Jiji la #Florida
Soma https://jamii.app/IANUSA
#Ian #JFMatukio
Kimbunga hicho kinachoanza kutoweka kimeharibu takriban Nyumba 80,000 katika Mji wa Fort Mayers, na kuwaacha gizani zaidi ya Watu Milioni 1.8 kwenye Jiji la #Florida
Soma https://jamii.app/IANUSA
#Ian #JFMatukio
π5
OKTOBA MOSI: SIKU YA WAZEE DUNIANI
Siku hii ni maalum kwa ajili ya kupinga Dhana na Imani potofu kuhusu Wazee na Uzee, na kutambua umuhimu na mchango wao katika Jamii
Kauli Mbiu ya Mwaka huu inalenga kuleta mwanga katika Suala la Wazee wasiofaidika kikamilifu na Maendeleo ya Kidijitali
Soma https://jamii.app/SikuWazeeDuniani
#UNIOPD2022
Siku hii ni maalum kwa ajili ya kupinga Dhana na Imani potofu kuhusu Wazee na Uzee, na kutambua umuhimu na mchango wao katika Jamii
Kauli Mbiu ya Mwaka huu inalenga kuleta mwanga katika Suala la Wazee wasiofaidika kikamilifu na Maendeleo ya Kidijitali
Soma https://jamii.app/SikuWazeeDuniani
#UNIOPD2022
π9β€3π₯1
TANZIA: DAKTARI MTANZANIA AFARIKI DUNIA KWA EBOLA
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amethibitisha kupokea taarifa za kifo cha Dkt. Mohamed Ali (37) aliyefariki nchini Uganda baada ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ebola Septemba 26, 2022.
Waziri wa Afya Nchini Uganda aliripoti kifo cha Dkt. Mohammed aliyekuwa akipatawa matibabu katika Hospitali ya Fort Portal RRH kupitia Twitter
Zaidi https://jamii.app/DktAliDies
#JamiiForums #PublicHealth
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amethibitisha kupokea taarifa za kifo cha Dkt. Mohamed Ali (37) aliyefariki nchini Uganda baada ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ebola Septemba 26, 2022.
Waziri wa Afya Nchini Uganda aliripoti kifo cha Dkt. Mohammed aliyekuwa akipatawa matibabu katika Hospitali ya Fort Portal RRH kupitia Twitter
Zaidi https://jamii.app/DktAliDies
#JamiiForums #PublicHealth
π’12π3β€1π1
RIPOTI: #TANZANIA NI NCHI YA PILI KWA KUAMINI USHIRIKINA AFRIKA
Ripoti ya Kitengo cha Utafiti cha Kituo cha Sheria na #HakiZaBinadamu, imeonesha hali hiyo inatokana na matukio ya Imani za Kishirikina ikiwemo Mauaji ya Wazee 117 kwa kipindi cha Julai 2017 hadi Mei 2018
> Mkoa wa Tabora umeongoza kwa matukio mengi huku #Cameroon ikiwa nafasi ya kwanza Afrika.
Soma https://jamii.app/UchawiTZ
#HumanRights
Ripoti ya Kitengo cha Utafiti cha Kituo cha Sheria na #HakiZaBinadamu, imeonesha hali hiyo inatokana na matukio ya Imani za Kishirikina ikiwemo Mauaji ya Wazee 117 kwa kipindi cha Julai 2017 hadi Mei 2018
> Mkoa wa Tabora umeongoza kwa matukio mengi huku #Cameroon ikiwa nafasi ya kwanza Afrika.
Soma https://jamii.app/UchawiTZ
#HumanRights
π14π9π€5π€‘3π€―2
#EBOLA: Ni Ugonjwa utokanao na Kirusi cha Ebola na ni ugonjwa hatari wenye uwezo wa kusababisha kifo kwa asilimia 90
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kwa mara ya kwanza Ugonjwa huu ulibainika Mwaka 1976 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (#DRC) na #Sudan
Chanzo hasa bado hakipo bayana lakini Popo aina ya #Pteropodidae wanaonekana kuwa wabebaji wa Kirusi hicho
#JamiiForums #EbolaOutbreak #PublicHealth
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kwa mara ya kwanza Ugonjwa huu ulibainika Mwaka 1976 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (#DRC) na #Sudan
Chanzo hasa bado hakipo bayana lakini Popo aina ya #Pteropodidae wanaonekana kuwa wabebaji wa Kirusi hicho
#JamiiForums #EbolaOutbreak #PublicHealth
π7
ARUSHA: MAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI YA WAMAASAI KUHAMISHWA LOLIONDO
Hakimu Charles Nyachae amesema walalamikaji ambao ni Wafugaji wa Jamii ya Kimasai walishindwa kuthibitisha madai yao kuwa waliteswa na kuondolewa kinguvu
Wamasai waliiomba Mahakama Kuzuia Kufukuzwa, Kukamatwa, Kuwekwa Kizuizini au Kuteswa na kutaka fidia ya Tsh. Bilioni 1 kwa walioathirika na uhamishaji huo
Soma https://jamii.app/Maasaicase
#HumanRights
Hakimu Charles Nyachae amesema walalamikaji ambao ni Wafugaji wa Jamii ya Kimasai walishindwa kuthibitisha madai yao kuwa waliteswa na kuondolewa kinguvu
Wamasai waliiomba Mahakama Kuzuia Kufukuzwa, Kukamatwa, Kuwekwa Kizuizini au Kuteswa na kutaka fidia ya Tsh. Bilioni 1 kwa walioathirika na uhamishaji huo
Soma https://jamii.app/Maasaicase
#HumanRights
π4
NI WAJIBU WETU KUHAKIKISHA WAZEE WANAISHI KWA AMANI NA FURAHA
Idadi kubwa ya Wazee wanapitia changamoto za Kiafya, ni wakati huu ambapo wanahitaji Matunzo na Faraja ili kuishi Maisha yenye Furaha bila Wasiwasi wala Huzuni
Ukosefu wa ufafanuzi kuhusu Mabadiliko ya tabia kwa Wazee, unaweza kusababisha kunyanyaswa na Watu wao wa karibu
Soma https://jamii.app/MatunzoWazee
#UNIOPD2022
Idadi kubwa ya Wazee wanapitia changamoto za Kiafya, ni wakati huu ambapo wanahitaji Matunzo na Faraja ili kuishi Maisha yenye Furaha bila Wasiwasi wala Huzuni
Ukosefu wa ufafanuzi kuhusu Mabadiliko ya tabia kwa Wazee, unaweza kusababisha kunyanyaswa na Watu wao wa karibu
Soma https://jamii.app/MatunzoWazee
#UNIOPD2022
π4
#KENYA: Raila Odinga aliyegombea Urais mara 5 na kushindwa, amesema ameamua kukubali matokeo bila kuitisha maandamano ili kuepuka kushitakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kama kungetokea Machafuko
Zaidi https://jamii.app/RailaConcede
#Democracy #Elections
Zaidi https://jamii.app/RailaConcede
#Democracy #Elections
π16π8π₯2
KUTEMBEA HATUA 10,000 KWA SIKU NI NZURI KWA #AFYA YA MOYO
Kuacha Uvutaji wa Sigara, Unywaji Pombe uliokithiri na kula vyakula bora kunasaidia kujikinga na Magonjwa ya Moyo
32% ya vifo Duniani vinatokana na Magonjwa yasiyoambukiza hususani Moyo
Soma: https://jamii.app/ElimuAfya
#JFAfya
Kuacha Uvutaji wa Sigara, Unywaji Pombe uliokithiri na kula vyakula bora kunasaidia kujikinga na Magonjwa ya Moyo
32% ya vifo Duniani vinatokana na Magonjwa yasiyoambukiza hususani Moyo
Soma: https://jamii.app/ElimuAfya
#JFAfya
π17π1
ALIYEMGONGA TWIGA FAINI TSH. MILIONI 34.9
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara amesema dereva huyo wa Lori anatakiwa kulipa faini baada ya Twiga kufariki
> Kwa sasa dereva anatibiwa chini ya ulinzi wa Polisi
Soma: https://jamii.app/KuuaTwiga
#Governance
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara amesema dereva huyo wa Lori anatakiwa kulipa faini baada ya Twiga kufariki
> Kwa sasa dereva anatibiwa chini ya ulinzi wa Polisi
Soma: https://jamii.app/KuuaTwiga
#Governance
π6π3
RUSHWA YA NGONO: MFUMO WA KULINDA WATOA TAARIFA UIMARISHWE
Kulindana na Ukosefu wa Uwazi katika Mifumo kunatajwa kuwa chanzo cha uvujaji na vitisho kwa Watoa Taarifa dhidi ya Wahadhiri au Watumishi wa Vyuo wenye Mamlaka
Utafiti uliohusisha Vyuo Vikuu vya Dar es Salaam na Dodoma (2020) umebaini baadhi ya waliojitolea kutoa Taarifa walipata vitisho vya kuhatarisha Kazi, Taaluma na Maisha yao
#VunjaUkimya
Kulindana na Ukosefu wa Uwazi katika Mifumo kunatajwa kuwa chanzo cha uvujaji na vitisho kwa Watoa Taarifa dhidi ya Wahadhiri au Watumishi wa Vyuo wenye Mamlaka
Utafiti uliohusisha Vyuo Vikuu vya Dar es Salaam na Dodoma (2020) umebaini baadhi ya waliojitolea kutoa Taarifa walipata vitisho vya kuhatarisha Kazi, Taaluma na Maisha yao
#VunjaUkimya
π8
NAMNA BORA ZA UTUNZAJI WA MISWAKI
Usifunike Mswaki wako baada ya kuutumia, wala kusafisha kwa βSanitizerβ, βSpiritβ, Kemikali zozote kali au kwa kutumia mionzi ili kuua bakteria
Safisha mswaki kwa maji tiririka, kisha uhifadhi kwa kuusimanisha pia usitumie Mswaki wa mtu mwingine
Soma https://jamii.app/ToothbrushCareTips
#JFAfya
Usifunike Mswaki wako baada ya kuutumia, wala kusafisha kwa βSanitizerβ, βSpiritβ, Kemikali zozote kali au kwa kutumia mionzi ili kuua bakteria
Safisha mswaki kwa maji tiririka, kisha uhifadhi kwa kuusimanisha pia usitumie Mswaki wa mtu mwingine
Soma https://jamii.app/ToothbrushCareTips
#JFAfya
π15
JEBRA KAMBOLE: TUTAKATA RUFAA KESI YA KUONDOLEWA WAFUGAJI LOLIONDO
Amesema kesi iliyotolewa uamuzi na EACJ ni ya "Uvamizi wa Serikali" wa 2017, haihusiani na "Mateso ya Wamasai" ya Juni 2022 ambayo bado ipo Mahakamani
Soma https://jamii.app/JebraRufaa
#Uwajibikaji #SocialJustice
Amesema kesi iliyotolewa uamuzi na EACJ ni ya "Uvamizi wa Serikali" wa 2017, haihusiani na "Mateso ya Wamasai" ya Juni 2022 ambayo bado ipo Mahakamani
Soma https://jamii.app/JebraRufaa
#Uwajibikaji #SocialJustice
π14π2π1
KUPATA TAARIFA MTANDAONI: Kila Mtu ana Haki ya kutafuta na kupokea Taarifa kupitia Mtandao
Wananchi wana Haki ya kupata na kutumia ipasavyo Taarifa za Serikali ambazo zinatakiwa kutolewa kwa wakati husika na kwa namna ambayo wengi watazifikia
#RightToInformation
Wananchi wana Haki ya kupata na kutumia ipasavyo Taarifa za Serikali ambazo zinatakiwa kutolewa kwa wakati husika na kwa namna ambayo wengi watazifikia
#RightToInformation
π7
#INDONESIA: Watu 174 wamefariki na takriban 180 wamejeruhiwa kwenye vurugu zilizotokea ktk Uwanja wa Mpira baada ya Arema FC kufungwa 3-2 na Persebaya Surabaya
#FIFA imesema Polisi hawakutakiwa kutumia mabomu ya Machozi katika vurugu hizo
Soma https://jamii.app/129Indonesia
#JFSports
#FIFA imesema Polisi hawakutakiwa kutumia mabomu ya Machozi katika vurugu hizo
Soma https://jamii.app/129Indonesia
#JFSports
π’7π6π€3π±2π1
MOSHI: PADRI ANAYEDAIWA KUBAKA ATAKIWA KURUDI KWA WAZAZI WAKE
Padri Sosthenes Bahati Soka (41) amefukuzwa kutokana na kukabiliwa na mashtaka ya kubaka Watoto 3
Maamuzi hayo yamezingatia Sheria ya Kanisa namba 1,722 inayotaka Mtuhumiwa kutengwa
Soma https://jamii.app/PadriSoka
#HakiMtoto
Padri Sosthenes Bahati Soka (41) amefukuzwa kutokana na kukabiliwa na mashtaka ya kubaka Watoto 3
Maamuzi hayo yamezingatia Sheria ya Kanisa namba 1,722 inayotaka Mtuhumiwa kutengwa
Soma https://jamii.app/PadriSoka
#HakiMtoto
π10
ENGLAND: MAKOCHA WAANZA KUPINGA VAR
Baadhi yao wanataka VAR ifikiriwe upya kwa kuwa waamuzi wameendelea kufanya makosa
Waliolalamika ni Kocha wa Tottenham (Conte), Kocha wa Fulham (Silva) na Mwenyekiti wa Crystal Palace (Parish)
Soma: https://jamii.app/EnglandVAR
#JFSports
Baadhi yao wanataka VAR ifikiriwe upya kwa kuwa waamuzi wameendelea kufanya makosa
Waliolalamika ni Kocha wa Tottenham (Conte), Kocha wa Fulham (Silva) na Mwenyekiti wa Crystal Palace (Parish)
Soma: https://jamii.app/EnglandVAR
#JFSports
π13