Nini chanzo cha Saratani ya Uvimbe Tumbo kwa Watoto? Dalili zake ni zipi? Hali ya Ugonjwa ikoje Tanzania?
Kufahamu haya na mengine zaidi, ungana nasi ktk Mjadala na Wataalamu wa Watoto unaoendelea sasa kupitia Twitter Spaces ya JamiiForums
Ungana nasi - https://twitter.com/i/spaces/1gqGvyLLPEwKB
Kufahamu haya na mengine zaidi, ungana nasi ktk Mjadala na Wataalamu wa Watoto unaoendelea sasa kupitia Twitter Spaces ya JamiiForums
Ungana nasi - https://twitter.com/i/spaces/1gqGvyLLPEwKB
π3
DKT. FAT-HIYA: Satarani inaongoza kwa vifo hapa Tanzania na Duniani kote, kwa Muhimbili ni kama Wagonjwa 800 kwa Mwaka wanaogundulika
Tatizo kubwa ni kuwa Wagonjwa wengi wanakuja kwenye Matibabu wakati ambao Ugonjwa unakuwa umeenea sehemu kubwa, na inakuwa vigumu kutibu kwa wakati huo
Saratani ya Figo ndiyo inaongoza kwa umri wa Miaka 3-4, na Saratani ya Matezi inafuata kwa Watoto chini ya Miaka 10. Pia, kuna Saratani za Ini na Misuli.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
Tatizo kubwa ni kuwa Wagonjwa wengi wanakuja kwenye Matibabu wakati ambao Ugonjwa unakuwa umeenea sehemu kubwa, na inakuwa vigumu kutibu kwa wakati huo
Saratani ya Figo ndiyo inaongoza kwa umri wa Miaka 3-4, na Saratani ya Matezi inafuata kwa Watoto chini ya Miaka 10. Pia, kuna Saratani za Ini na Misuli.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π8
DKT. FAT-HIYA: Dalili zinazoonekana sana ni Uvimbe ambao mara nyingi huchelewa kugundulika kwa kuwa huwa hauna maumivu. Huendelea kwa kufanya Watoto wachoke sana, kudhoofika na kudumaa na baadae inaweza kubana Mishipa ya Mwili na Utumbo
Pia, Mtoto anaweza kuanza kukosa choo vizuri, kukojoa Damu, au kuishiwa Damu mara kwa mara. Dalili zote hizi zinategemea na aina ya Saratani
Wakati mwingine Homa pia huonekana, Homa hizi huwa hazisikii matibabu ya kawaida tunayoyafahamu. Tumbo linaweza kujaa, Maji kujaa kwenye Mapafu, Mtoto hakui vizuri na anaweza kupata changamoto za Upumuaji.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
Pia, Mtoto anaweza kuanza kukosa choo vizuri, kukojoa Damu, au kuishiwa Damu mara kwa mara. Dalili zote hizi zinategemea na aina ya Saratani
Wakati mwingine Homa pia huonekana, Homa hizi huwa hazisikii matibabu ya kawaida tunayoyafahamu. Tumbo linaweza kujaa, Maji kujaa kwenye Mapafu, Mtoto hakui vizuri na anaweza kupata changamoto za Upumuaji.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π3
DKT. SHAKILU JUMANNE: Mzazi anapokuwa anamuogesha Mtoto awe na kawaida ya kumchunguza, Mfano kumminya sehemu ya Tumboni au pembeni ya Tumbo, ukibaini kuna uvimbe mfikishe Hospitali mapema
Kuna kesi nyingi zinatokea Wazazi wanakuja tayari tatizo limekuwa kubwa, ukiwauliza wanasema waliona wakajua ni Uvimbe wa kawaida na utaisha.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
Kuna kesi nyingi zinatokea Wazazi wanakuja tayari tatizo limekuwa kubwa, ukiwauliza wanasema waliona wakajua ni Uvimbe wa kawaida na utaisha.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π7
DKT. FAT-HIYA: Kuna madhara makubwa ya kuwatibu Watoto bila kujua chanzo sahihi cha Ugonjwa, Matibabu tofauti husababisha Saratani kuongezeka
Baadhi ya Wazazi hutumia Dawa za Asili ambazo wanadhani hazina Kemikali. Dawa hizi hazina Dozi kamili na zina Kemikali nyingi, zinaweza kusababisha kufeli kwa Figo na Maini.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
Baadhi ya Wazazi hutumia Dawa za Asili ambazo wanadhani hazina Kemikali. Dawa hizi hazina Dozi kamili na zina Kemikali nyingi, zinaweza kusababisha kufeli kwa Figo na Maini.
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π6
DKT: SHAKILU: Watoto wengi hupata Saratani kwa sababu ambazo nyingi hazijulikani, lakini chanzo kikuu ni mgawanyiko ya mabadiliko ya Vinasaba
-
Asilimia ndogo sana ya Saratani hutokana na kurithi, pia Watoto wenye VVU wanahatari kubwa ya Kupata aina fulani za Saratani.
-
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
-
Asilimia ndogo sana ya Saratani hutokana na kurithi, pia Watoto wenye VVU wanahatari kubwa ya Kupata aina fulani za Saratani.
-
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π4
DKT. SHAKILU: Sumu Kuvu inatokana na namna ya uhifadhi wa Nafaka baada ya Mavuno. Mfano Karanga na Maharage
Hakuna uhusiano wa Sumu Kuvu na Saratani ya Watoto, Sumu Kuvu husababisha Saratani ya Ini kwa Watu wazima.
Mjadala - https://twitter.com/i/spaces/1eaKbrkkmpQKX
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
Hakuna uhusiano wa Sumu Kuvu na Saratani ya Watoto, Sumu Kuvu husababisha Saratani ya Ini kwa Watu wazima.
Mjadala - https://twitter.com/i/spaces/1eaKbrkkmpQKX
#JamiiForums #ChildCancer #JFAfya
π8
TABORA: Watumishi 4 wa Chuo cha VETA waliohusika na ujenzi wa Kibanda cha Mlinzi kwa Tsh. Milioni 11, wamepandishwa Kizimbani wakishtakiwa kwa Matumizi Mabaya ya Mamlaka na Kuisababishia Serikali hasara ya Tsh. Milioni 22.8
Soma - https://jamii.app/Kibanda11
#KemeaRushwa
Soma - https://jamii.app/Kibanda11
#KemeaRushwa
π10π€4
MARA: MBARONI AKIDAIWA KUMBAKA BINTI ALIYEPOOZA
Juma Ligamba (45) mkazi wa Kijiji cha Kibubwa anatuhumiwa kufanya Ukatili huo kwa Binti (19) ambaye amepooza sehemu kubwa ya Mwili wake tangu akiwa na Wiki tatu baada ya Kuzaliwa
Soma - https://jamii.app/UkatiliMara
#DomesticViolence
Juma Ligamba (45) mkazi wa Kijiji cha Kibubwa anatuhumiwa kufanya Ukatili huo kwa Binti (19) ambaye amepooza sehemu kubwa ya Mwili wake tangu akiwa na Wiki tatu baada ya Kuzaliwa
Soma - https://jamii.app/UkatiliMara
#DomesticViolence
π’3π2π1π€1
SAUDI ARABIA: Balozi wa #Tanzania Nchini humo, Ali Jabir Mwadini, amesema hakuna Utaratibu unaowatambua Watanzania wanaofanya Kazi za Ndani
> Amesema wanaofanya hivyo hawafuati Utaratibu rasmi wa Kiserikali kuwezesha Ubalozi kuwa na taarifa zao
Soma - https://jamii.app/TraffickingSDA
#HumanTrafficking
> Amesema wanaofanya hivyo hawafuati Utaratibu rasmi wa Kiserikali kuwezesha Ubalozi kuwa na taarifa zao
Soma - https://jamii.app/TraffickingSDA
#HumanTrafficking
UINGEREZA: WAFANYAKAZI TAKRIBAN 400 WA BBC KUPOTEZA AJIRA ZAO
Uamuzi huo ni sehemu ya Programu ya kupunguza gharama za uendeshaji na kuhamia katika Majukwaa ya Kidijitali
Shirika hilo la Utangazaji limesema hatua hiyo ni kutokana na Watu wengi kupendelea kupata Habari Mtandaoni pamoja na changamoto za Kiufadhili
Soma - https://jamii.app/AjiraBBC
#DigitalWorld
Uamuzi huo ni sehemu ya Programu ya kupunguza gharama za uendeshaji na kuhamia katika Majukwaa ya Kidijitali
Shirika hilo la Utangazaji limesema hatua hiyo ni kutokana na Watu wengi kupendelea kupata Habari Mtandaoni pamoja na changamoto za Kiufadhili
Soma - https://jamii.app/AjiraBBC
#DigitalWorld
π9π7π2
RIPOTI: Tanzania imetajwa kwenye Nchi zenye Kiwango Duni cha Maisha ya Dijitali ikishika nafasi 107 kati ya nchi 117 Duniani zilizofanyiwa Utafiti na Surfshark
> Sababu ni Kasi Ndogo na Gharama Kubwa za Intaneti, Usalama na Sera za Nchi, Upatikanaji wa Huduma za Uhakika na Udhaifu wa Miundombinu ya Kielektroniki
Soma - https://jamii.app/DijitoTZ
#DigitalRights
> Sababu ni Kasi Ndogo na Gharama Kubwa za Intaneti, Usalama na Sera za Nchi, Upatikanaji wa Huduma za Uhakika na Udhaifu wa Miundombinu ya Kielektroniki
Soma - https://jamii.app/DijitoTZ
#DigitalRights
π28π7π₯΄3π€―1
RAIS SAMIA: TAFITI ZIFANYIKE KWANINI VIJANA WAKIFIKIA UMRI WA KUPATA WATOTO WANAHANGAIKA
Amesema βNi Mitindo ya Maisha (kuwa slim lady) au utasikia Supu ya Pweza, tatizo lipo kwenye Lishe"
βTukiacha mambo yaende hivi tutakuwa na Taifa la Watu goigoi, itafika mahali hatutajua Mke ni nani na Mume ni nani"
Zaidi - https://jamii.app/LisheDuni
#JFAfya
Amesema βNi Mitindo ya Maisha (kuwa slim lady) au utasikia Supu ya Pweza, tatizo lipo kwenye Lishe"
βTukiacha mambo yaende hivi tutakuwa na Taifa la Watu goigoi, itafika mahali hatutajua Mke ni nani na Mume ni nani"
Zaidi - https://jamii.app/LisheDuni
#JFAfya
π11π6π3π₯2
RAIS SAMIA: WAKUU WA WILAYA HAMFANYI KAZI, MNASUBIRI MKEKA
Amesema, βWakuu wa Wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi nyie ndio wangu.
βWakuu wa Mikoa nataka ripoti za Wakuu wenu wa Wilayaβ
Soma - https://jamii.app/LisheDuni
#Accountability
Amesema, βWakuu wa Wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi nyie ndio wangu.
βWakuu wa Mikoa nataka ripoti za Wakuu wenu wa Wilayaβ
Soma - https://jamii.app/LisheDuni
#Accountability
π13
AFGHANISTAN: Bomu la kujitoa mhanga limelipuka katika Kituo cha Wanafunzi wa Chuo Kikuu na kuua Watu 23 katika Mji wa Kabul huku wengi wao wakiwa ni Wasichana
> Aidha, Watu wengine 36 wamejeruhiwa katika mlipuko huo
Soma https://jamii.app/BomuKabul
#HumanRights #JamiiForums
> Aidha, Watu wengine 36 wamejeruhiwa katika mlipuko huo
Soma https://jamii.app/BomuKabul
#HumanRights #JamiiForums
π’4π2π2
WAZIRI UMMY: WATOTO MILIONI 3 NCHINI WAMEDUMAA UBONGO
Amesema Lishe bora ni Msingi wa Afya na Uchumi wa Mtu Mmoja, Familia na Taifa kwa ujumla
Asema βWatoto Milioni 3 wamedumaa, hawafundishiki. Hawawezi kuwa wabunifu wala kujifunza mambo mapyaβ
Zaidi - https://jamii.app/LisheDuni
#JFAfya
Amesema Lishe bora ni Msingi wa Afya na Uchumi wa Mtu Mmoja, Familia na Taifa kwa ujumla
Asema βWatoto Milioni 3 wamedumaa, hawafundishiki. Hawawezi kuwa wabunifu wala kujifunza mambo mapyaβ
Zaidi - https://jamii.app/LisheDuni
#JFAfya
π7
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), Padre Charles Kitima, amesema tabia ya unafiki wa Kisiasa ya baadhi ya Watanzania kusifia kila jambo na kujipendekeza kwa Viongozi ili wapate vyeo inazidi kuliua Taifa
Soma https://jamii.app/PadriUnafiki
#Uwajibikaji
Soma https://jamii.app/PadriUnafiki
#Uwajibikaji
π17π3
KANISA KATOLIKI LAMSIMAMISHA PADRI ANAYETUHUMIWA KUBAKA WATOTO
Padri Sostenes Bahati Soka wa Jimbo la Moshi Mkoani #Kilimanjaro anakabiliwa na Mashtaka matatu ya Ubakaji Wanafunzi wenye umri wa Miaka 12 na 13
Amesimamishwa hadi Mashtaka yake yatakapomalizika
#DomesticViolence
Padri Sostenes Bahati Soka wa Jimbo la Moshi Mkoani #Kilimanjaro anakabiliwa na Mashtaka matatu ya Ubakaji Wanafunzi wenye umri wa Miaka 12 na 13
Amesimamishwa hadi Mashtaka yake yatakapomalizika
#DomesticViolence
π10
#UGANDA: WAATHIRIKA WA EBOLA WATAKIWA KUTOSHIRIKI NGONO KWA SIKU 90
Dkt. Ataro Ayella, Mtaalamu wa Magonjwa ya Kliniki, amesema #Ebola inaweza kuambukizwa kwa Ngono na virusi vinaweza kukaa kwenye Mbegu za Kiume hadi Siku 90
Soma - https://jamii.app/EbolaSex
#EbolaOutbreakUG
Dkt. Ataro Ayella, Mtaalamu wa Magonjwa ya Kliniki, amesema #Ebola inaweza kuambukizwa kwa Ngono na virusi vinaweza kukaa kwenye Mbegu za Kiume hadi Siku 90
Soma - https://jamii.app/EbolaSex
#EbolaOutbreakUG
π€8π5
CPJ: WANAHABARI TAKRIBAN 28 WAMEKAMATWA NCHINI IRAN KATIKA MAANDAMANO
Mapema wiki hii, #CPJ ilitoa wito kwa Mamlaka za Iran kuwaachia wote waliokamatwa kwa kuripoti Maandamano ya kifo cha #MahsaAmini
Pia, imetoa wito wa kurejeshwa kwa huduma ya #Internet
Zaidi https://jamii.app/WaandishiIran
#PressFreedom
Mapema wiki hii, #CPJ ilitoa wito kwa Mamlaka za Iran kuwaachia wote waliokamatwa kwa kuripoti Maandamano ya kifo cha #MahsaAmini
Pia, imetoa wito wa kurejeshwa kwa huduma ya #Internet
Zaidi https://jamii.app/WaandishiIran
#PressFreedom