Kutotekeleza Maagizo ya Kamati za Kudumu za Bunge (PAC na LAAC) kunakwamisha juhudi za kuimarisha #UtawalaBora katika Taasisi za Umma
Mapendekezo na Maagizo ya Kamati hizo yasipotekelezwa, inafifisha mawazo ya Wawakilishi wa Wananchi na kufanya Fedha zilizotumika kuliwezesha Bunge kufanya kazi yake kutoleta thamani
#WAJIBU #JFUwajibikaji
Mapendekezo na Maagizo ya Kamati hizo yasipotekelezwa, inafifisha mawazo ya Wawakilishi wa Wananchi na kufanya Fedha zilizotumika kuliwezesha Bunge kufanya kazi yake kutoleta thamani
#WAJIBU #JFUwajibikaji
π7
FINLAND: Baada ya video kuvuja ikimuonesha akicheza muziki katika sherehe binafsi, Waziri Mkuu, Sanna Marin (36) amefanya vipimo vya kuthibitisha kuwa hakuwa ametumia Dawa za Kulevya
> Hii ni baada ya kudaiwa kuwa alikuwa ametumia dawa hizo
Soma https://jamii.app/FinlandPolitics
#Privacy #Accountability
> Hii ni baada ya kudaiwa kuwa alikuwa ametumia dawa hizo
Soma https://jamii.app/FinlandPolitics
#Privacy #Accountability
π7π3π1
Mbu wanaweza kusababisha Magonjwa ambayo huhatarisha Maisha ya Mabilioni ya Watu ikiwemo #Malaria
Ili kujikinga, inashauriwa kupunguza nyasi na kufukia madimbwi yaliyo karibu na nyumba yako
Pia, ni muhimu kutumia chandarua na dawa za Mbu
Fahamu zaidi > https://jamii.app/MosquitoDay
#WorldMosquitoDay #PublicHealth
Ili kujikinga, inashauriwa kupunguza nyasi na kufukia madimbwi yaliyo karibu na nyumba yako
Pia, ni muhimu kutumia chandarua na dawa za Mbu
Fahamu zaidi > https://jamii.app/MosquitoDay
#WorldMosquitoDay #PublicHealth
π4
SOMALIA: Maafisa Usalama wamesema takriban Watu 12 wameuawa baada ya Kundi la Al-Shabaab kushambulia Hoteli ya Hayat iliyopo Mji wa Mogadishu
> Hoteli hiyo hutumiwa na Watu Maarufu wakiwemo Maafisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/AlQaeda12
#JFMatukio
> Hoteli hiyo hutumiwa na Watu Maarufu wakiwemo Maafisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/AlQaeda12
#JFMatukio
π1
Umoja wa Mataifa umesema takriban Watu Milioni 22 kutoka Pembe ya Afrika Mashariki wapo hatarini kukumbwa na baa la njaa kutokana na ukosefu wa Mvua Misimu 4
- Idadi hiyo ni ongezeko la Watu Milioni 9 tangu mwanzoni mwa Mwaka 2022
Soma - https://jamii.app/NjaaEA
#HumanRights
- Idadi hiyo ni ongezeko la Watu Milioni 9 tangu mwanzoni mwa Mwaka 2022
Soma - https://jamii.app/NjaaEA
#HumanRights
π4π1
MWALIMU ATUHUMIWA KUMBAKA MWANAFUNZI WAKE
Mwalimu wa Shule ya Msingi Madungu, Ali Makame Khatib anatuhumiwa kumchezea sehemu za siri na kumbaka Mwanafunzi wa darasa la tano
Mama wa Mtoto ndiye aliyetoa taarifa Polisi baada ya kuelezwa na Mwanaye Ukatili aliotendewa
Soma > https://jamii.app/PembaMatukio
#HakiMtoto
Mwalimu wa Shule ya Msingi Madungu, Ali Makame Khatib anatuhumiwa kumchezea sehemu za siri na kumbaka Mwanafunzi wa darasa la tano
Mama wa Mtoto ndiye aliyetoa taarifa Polisi baada ya kuelezwa na Mwanaye Ukatili aliotendewa
Soma > https://jamii.app/PembaMatukio
#HakiMtoto
π4
LIGI KUU: COASTAL UNION 0-2 YANGA
Magoli ya Bernard Morrison na Fiston Mayele yameipa Yanga ushindi dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha leo Agosti 20, 2022
Yanga imefikisha pointi 6 katika mechi 2
Soma > https://jamii.app/YangaCoastal
#JFSports
Magoli ya Bernard Morrison na Fiston Mayele yameipa Yanga ushindi dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha leo Agosti 20, 2022
Yanga imefikisha pointi 6 katika mechi 2
Soma > https://jamii.app/YangaCoastal
#JFSports
π6π4
RUBANI WASINZIA NDEGE YA ABIRIA 154 IKIWA ANGANI
Rubani 2 wamesimamishwa Kazi baada ya kusinzia Ndege ikiwa angani futi 37,000 na kupitiliza sehemu ya kutua
Waliamshwa na 'Autopilot Alarm' na kufanikiwa kutua dakika 25 baadaye Nchini #Ethiopia
Soma > https://jamii.app/PilotsFallingAsleep
#JamiiForums
Rubani 2 wamesimamishwa Kazi baada ya kusinzia Ndege ikiwa angani futi 37,000 na kupitiliza sehemu ya kutua
Waliamshwa na 'Autopilot Alarm' na kufanikiwa kutua dakika 25 baadaye Nchini #Ethiopia
Soma > https://jamii.app/PilotsFallingAsleep
#JamiiForums
π17π€2π1
DEJAN AFUNGA, SIMBA YASHINDA 2-0
Dejan Georgijevic ameifungia Simba goli moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa Dar Agosti 20, 2022
> Moses Phiri alifunga goli la kwanza. Simba ina pointi 6 katika mechi 2
Soma https://jamii.app/SimbaKagera
#JFSports
Dejan Georgijevic ameifungia Simba goli moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa Dar Agosti 20, 2022
> Moses Phiri alifunga goli la kwanza. Simba ina pointi 6 katika mechi 2
Soma https://jamii.app/SimbaKagera
#JFSports
π11π₯5π1
Wataalamu wa #Afya wanasema kutonyonyesha Watoto Maziwa ya Mama kunaleta athari za muda mfupi na mrefu katika Jamii yote kama ifuatavyo:
1. Watoto wasionyonyeshwa Maziwa ya Mama wanaweza kudumaa Kimwili na Kiakili hivyo kupunguza kiwango chao cha kujifunza na kutambua mambo mbalimbali
2. Viwango duni vya unyonyeshaji huchangia kuongeza kasi ya Magonjwa miongoni mwa Watoto wachanga/wadogo na kuongeza gharama za Matibabu na Huduma za Afya
3. Muda mfupi wa kipindi cha Unyonyeshaji wa Maziwa ya Mama huwa unaendana na kupungua kwa alama za utambuzi na kwa kiasi cha 2.6 (IQ scores)
#JamiiForums #BreastFeeding #WBW2022
1. Watoto wasionyonyeshwa Maziwa ya Mama wanaweza kudumaa Kimwili na Kiakili hivyo kupunguza kiwango chao cha kujifunza na kutambua mambo mbalimbali
2. Viwango duni vya unyonyeshaji huchangia kuongeza kasi ya Magonjwa miongoni mwa Watoto wachanga/wadogo na kuongeza gharama za Matibabu na Huduma za Afya
3. Muda mfupi wa kipindi cha Unyonyeshaji wa Maziwa ya Mama huwa unaendana na kupungua kwa alama za utambuzi na kwa kiasi cha 2.6 (IQ scores)
#JamiiForums #BreastFeeding #WBW2022
π3
AUGUSTINO MREMA AFARIKI DUNIA
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki dunia leo Jumapili, Agosti 21, 2022 alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Jijini Dar es Salaam
Msemaji wa MNH, Aminieli Eligaisha amesema Mrema alilazwa tangu Agosti 16, 2022 na kifo chake kimetokea saa kumi na mbili asubuhi
Enzi za uhai wake, Mwanasiasa huyo Mkongwe aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi mwaka 1995. Pia, aliwahi kuwa Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Temeke (NCCR-Mageuzi) na Vunjo kupitia TLP. Hadi anafikwa na mauti alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole
Soma - https://jamii.app/RIPMrema
#RIPMrema
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki dunia leo Jumapili, Agosti 21, 2022 alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Jijini Dar es Salaam
Msemaji wa MNH, Aminieli Eligaisha amesema Mrema alilazwa tangu Agosti 16, 2022 na kifo chake kimetokea saa kumi na mbili asubuhi
Enzi za uhai wake, Mwanasiasa huyo Mkongwe aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi mwaka 1995. Pia, aliwahi kuwa Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Temeke (NCCR-Mageuzi) na Vunjo kupitia TLP. Hadi anafikwa na mauti alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole
Soma - https://jamii.app/RIPMrema
#RIPMrema
π’38π7
#MONTENEGRO: Bunge limepitisha hoja ya kutokuwa na Imani na Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu, Dritan Abazovic
Hatua hiyo ni kupinga kusainiwa kwa makubaliano ya muda mrefu ya kudhibiti uhusiano na Kanisa la #Orthodox la #Serbia
Soma https://jamii.app/NoConfidenceVote
#JFDemokrasia
Hatua hiyo ni kupinga kusainiwa kwa makubaliano ya muda mrefu ya kudhibiti uhusiano na Kanisa la #Orthodox la #Serbia
Soma https://jamii.app/NoConfidenceVote
#JFDemokrasia
π3
KENYA: Rais Mteule, William Ruto ameteua Wawakilishi wa kutetea maslahi yake katika Kamati ya Mpito kabla ya kuapishwa
Kamati hiyo yenye Wanachama 20 ina jukumu la kuhakikisha makabidhiano ya Mamlaka kutoka kwa Rais Kenyatta hadi kwa mrithi wake
Miongoni mwa Wawakilishi hao ni Spika wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi
Soma https://jamii.app/WawakilishiRuto
#Democracy
Kamati hiyo yenye Wanachama 20 ina jukumu la kuhakikisha makabidhiano ya Mamlaka kutoka kwa Rais Kenyatta hadi kwa mrithi wake
Miongoni mwa Wawakilishi hao ni Spika wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi
Soma https://jamii.app/WawakilishiRuto
#Democracy
π11
UTURUKI: WATU 32 WAPOTEZA MAISHA KWENYE MATUKIO MAWILI YA AJALI
Ajali ilihusisha Basi lililopinduka eneo la #Gaziantep Jumamosi asubuhi, na kuua Watu 16 huku 21 wakijeruhiwa
Saa kadhaa baadaye Lori liligonga umati wa Watu umbali wa kilomita 250 huko #Mardin na kuua Watu 16 wakiwemo watoa huduma ya Dharura
Soma - https://jamii.app/AjaliTurkey
Ajali ilihusisha Basi lililopinduka eneo la #Gaziantep Jumamosi asubuhi, na kuua Watu 16 huku 21 wakijeruhiwa
Saa kadhaa baadaye Lori liligonga umati wa Watu umbali wa kilomita 250 huko #Mardin na kuua Watu 16 wakiwemo watoa huduma ya Dharura
Soma - https://jamii.app/AjaliTurkey
π’7π5π₯1
KUMBUKUMBU: Augustino Lyatonga Mrema anakumbukwa kwa mengi ikiwemo nguvu ya kisiasa Nchini #Tanzania
Aliteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu enzi za Utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi huku akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani
Mrema amewahi kuwa Mwenyekiti wa Vyama viwili vya #Siasa na kote aligombea Urais (NCCR Mageuzi na TLP)
Soma - https://jamii.app/EnziZaMrema
#RIPMrema
Aliteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu enzi za Utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi huku akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani
Mrema amewahi kuwa Mwenyekiti wa Vyama viwili vya #Siasa na kote aligombea Urais (NCCR Mageuzi na TLP)
Soma - https://jamii.app/EnziZaMrema
#RIPMrema
π13
EPL: LEEDS UNITED YAIADHIBU CHELSEA 3-0
Leeds Utd ikiwa katika dimba la nyumbani, Elland Road imeifunga Chelsea goli 3-0
Katika mchezo huo beki wa kati wa Chelsea, Kalidou Koulibaly alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 85
Soma https://jamii.app/LeedsChelsea
#JFSports #EPL
Leeds Utd ikiwa katika dimba la nyumbani, Elland Road imeifunga Chelsea goli 3-0
Katika mchezo huo beki wa kati wa Chelsea, Kalidou Koulibaly alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 85
Soma https://jamii.app/LeedsChelsea
#JFSports #EPL
π20π±8π’6π3π€1
TANZIA: WAZIRI WA ZAMANI, WILLIAM KUSILA AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, William Kusila (78) amefariki Dunia mchana wa leo, Agosti 21, 2022 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam
Soma > https://jamii.app/RIPKusila
#JamiiForums
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, William Kusila (78) amefariki Dunia mchana wa leo, Agosti 21, 2022 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam
Soma > https://jamii.app/RIPKusila
#JamiiForums
π7π2π’2
ROONEY AMSHAURI TEN HAG KUTOMPANGA RONALDO DHIDI YA LIVERPOOL
Wayne Rooney anaamini United inahitaji wachezaji wenye nguvu na kasi, huku akidai umri na kutokuwa βfitβ kwa Cristiano Ronaldo kunamfanya kutokuwa na msaada kikosini
Soma https://jamii.app/UshauriWaRooney
#JFSports
Wayne Rooney anaamini United inahitaji wachezaji wenye nguvu na kasi, huku akidai umri na kutokuwa βfitβ kwa Cristiano Ronaldo kunamfanya kutokuwa na msaada kikosini
Soma https://jamii.app/UshauriWaRooney
#JFSports
π13π8π€2
URUSI: Wizara ya Mambo ya Ndani imesema takriban watu 16 wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya Lori kugongana na Basi dogo
- Basi lilikuwa limesimama ili kupisha ujenzi wa Barabara katika eneo la Ulyanovsk
Soma - https://jamii.app/RussiaAjali
#JamiiForums #JFMatukio
- Basi lilikuwa limesimama ili kupisha ujenzi wa Barabara katika eneo la Ulyanovsk
Soma - https://jamii.app/RussiaAjali
#JamiiForums #JFMatukio
π4π’2
UCHAGUZI KENYA: Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Azimio la Umoja One, Raila Odinga leo, Agosti 22, 2022 anatarajia kuwasilisha Pingamizi la Matokeo ya Urais yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yaliyompa ushindi William Ruto
Soma - https://jamii.app/RailaPetition
#KenyaDecides2022 #Democracy
Soma - https://jamii.app/RailaPetition
#KenyaDecides2022 #Democracy
π3