MAREKANI: WAENDESHA MASHTAKA WAPINGA VIELELEZO KUHUSU UPEKUZI WA TRUMP KUWEKWA WAZI
Waendesha mashtaka wamesema Nyaraka zilizowasilishwa zina maelezo nyeti ya mashahidi waliohojiwa pamoja na vielelezo vya siri vya Mahakama
Soma - https://jamii.app/MashtakaTrump
#JFUwajibikaji
Waendesha mashtaka wamesema Nyaraka zilizowasilishwa zina maelezo nyeti ya mashahidi waliohojiwa pamoja na vielelezo vya siri vya Mahakama
Soma - https://jamii.app/MashtakaTrump
#JFUwajibikaji
π10
WATOTO 157 WAFARIKI KWA SURUA ZIMBABWE
Maambukizi ya Surua Nchini #Zimbabwe na vifo yameongezeka mara mbili ya ilivyokuwa Wiki iliyopita
Watoto waliofariki ni 157 huku wenye maambukizi ni zaidi ya 2,000. Wengi wao hawakupata Chanjo
Soma > https://jamii.app/VifoVyaSurua
#JFAfya
Maambukizi ya Surua Nchini #Zimbabwe na vifo yameongezeka mara mbili ya ilivyokuwa Wiki iliyopita
Watoto waliofariki ni 157 huku wenye maambukizi ni zaidi ya 2,000. Wengi wao hawakupata Chanjo
Soma > https://jamii.app/VifoVyaSurua
#JFAfya
π€5π4
Kwa mujibu wa Ripoti ya CAG, Madiwani wamekuwa wakishiriki katika shughuli mbalimbali za kiutendaji za Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizotakiwa zitekelezwe na Menejimenti, na kuathiri dhana ya #UtawalaBora
Taasisi ya #WAJIBU inashauri majukumu ya Madiwani yajikite kwenye kufanya uangalizi ikiwa ni pamoja na: Uwakilishi wa Kata zao katika mikutano ya Baraza, Usimamizi wa matumizi ya Rasilimali za Halmashauri na Kutetea Maendeleo ya Kijamii na Utatuzi wa Migogoro
#JFUwajibikaji
Taasisi ya #WAJIBU inashauri majukumu ya Madiwani yajikite kwenye kufanya uangalizi ikiwa ni pamoja na: Uwakilishi wa Kata zao katika mikutano ya Baraza, Usimamizi wa matumizi ya Rasilimali za Halmashauri na Kutetea Maendeleo ya Kijamii na Utatuzi wa Migogoro
#JFUwajibikaji
π7π7π2
MAREKANI: CIA NA MIKE POMPEO WASHTAKIWA KWA KUINGILIA FARAGHA ZA WAANDISHI NA WANASHERIA
Wabunge kadhaa pia wamelishutumu Shirika hilo kwa kutunza taarifa za siri za Mawasiliano za Wamarekani
- CIA wamekataa kuzungumzia kesi hiyo
Soma - https://jamii.app/CIAPompeo
#DataProtection
Wabunge kadhaa pia wamelishutumu Shirika hilo kwa kutunza taarifa za siri za Mawasiliano za Wamarekani
- CIA wamekataa kuzungumzia kesi hiyo
Soma - https://jamii.app/CIAPompeo
#DataProtection
π7π€1
SIERRA LEONE: Mkosoaji mashuhuri wa Serikali ya Rais julius Maada Bio, Hassan Dumbuya ameuawa wakati wa uvamizi wa Polisi waliokuwa wakiwasaka wahusika wa maandamano
Kifo chake kimezua wasiwasi kuhusu mauaji ya kiholela ya Wapinzani
Soma - https://jamii.app/MkosoajiAuawa
#HumanRights
Kifo chake kimezua wasiwasi kuhusu mauaji ya kiholela ya Wapinzani
Soma - https://jamii.app/MkosoajiAuawa
#HumanRights
π7π3
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Haijalishi ni aina gani ya Ukatili ambao Mtoto anakumbana nao, uzoefu wake unaweza kusababisha athari kubwa katika Maisha yake kama vile majeraha ya kimwili, magonjwa ya zinaa, wasiwasi na huzuni
Wadau wote wanapaswa kushirikiana kujenga Jamii ambazo zinakataa vitendo vyote vinavyowanyangβanya Watoto Haki zao.
#JamiiForums #HakiMtoto #ChildRights
Wadau wote wanapaswa kushirikiana kujenga Jamii ambazo zinakataa vitendo vyote vinavyowanyangβanya Watoto Haki zao.
#JamiiForums #HakiMtoto #ChildRights
π8
#MALAYSIA: Mahakama ya juu zaidi inatarajiwa kusikiliza ombi la mwisho la Waziri Mkuu wa zamani, Najib Razak la kubatilisha hukumu ya kifungo chake cha miaka 12
Najib Razak (69) aliondolewa Madarakani 2018 kufuatia kashfa ya ufisadi wa Mabilioni ya Dola. Alihukumiwa Miaka 12 gerezani mnamo Julai 2020.
Soma - https://jamii.app/NajibCase
#Accountability
Najib Razak (69) aliondolewa Madarakani 2018 kufuatia kashfa ya ufisadi wa Mabilioni ya Dola. Alihukumiwa Miaka 12 gerezani mnamo Julai 2020.
Soma - https://jamii.app/NajibCase
#Accountability
π3
#KENYA: MADAKTARI KUCHUNGUZA SABABU ZA KIFO CHA AFISA WA TUME YA UCHAGUZI
Mchunguzi wa Serikali na Daktari aliyeteuliwa na Familia watafanya Uchunguzi kubaini sababu za kifo cha Afisa huyo aliyetoweka kwa Siku tano na Mwili kuokotwa Mto #Meriko
Soma - https://jamii.app/UchunguziIEBC
Mchunguzi wa Serikali na Daktari aliyeteuliwa na Familia watafanya Uchunguzi kubaini sababu za kifo cha Afisa huyo aliyetoweka kwa Siku tano na Mwili kuokotwa Mto #Meriko
Soma - https://jamii.app/UchunguziIEBC
π4
UCHAGUZI #KENYA: EU YATOA WITO WA SULUHU YA AMANI KTK MATOKEO YA URAIS
Baada ya #RailaOdinga kukataa Matokeo ya Urais, Umoja wa Ulaya umependekeza mzozo na wasiwasi uliopo kuhusu Uchaguzi Mkuu utatuliwe kwa taratibu za Kisheria
Soma - https://jamii.app/SuluhuKenya
#KenyaDecides2022
Baada ya #RailaOdinga kukataa Matokeo ya Urais, Umoja wa Ulaya umependekeza mzozo na wasiwasi uliopo kuhusu Uchaguzi Mkuu utatuliwe kwa taratibu za Kisheria
Soma - https://jamii.app/SuluhuKenya
#KenyaDecides2022
π8
TANGA: Miili ya Watu wawili imeokotwa ikiwa imefungwa ndani ya Mifuko ya Sandarusi (viroba) katika Kitongoji cha Dibabara
Mashuhuda wanadai waliona Gari - Toyota Landcruiser eneo la tukio na baada ya kuondoka wakabaini uwepo wa Miili hiyo
Soma > https://jamii.app/TukioTanga
#JFLeo
Mashuhuda wanadai waliona Gari - Toyota Landcruiser eneo la tukio na baada ya kuondoka wakabaini uwepo wa Miili hiyo
Soma > https://jamii.app/TukioTanga
#JFLeo
π€14π4π’3
TANESCO KUZIMA MFUMO WA KUNUNUA LUKU KWA SIKU 4
Meneja Mwandamizi wa TEHAMA wa TANESCO, Cliff Maregeli ametaja sababu kuwa ni matengenezo kinga kwenye Kanzidata ya Mfumo wa LUKU
> Huduma haitapatikana Agosti 22 mpaka 25 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi
Soma - https://jamii.app/LukuTanesco
#JFGovernance
Meneja Mwandamizi wa TEHAMA wa TANESCO, Cliff Maregeli ametaja sababu kuwa ni matengenezo kinga kwenye Kanzidata ya Mfumo wa LUKU
> Huduma haitapatikana Agosti 22 mpaka 25 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi
Soma - https://jamii.app/LukuTanesco
#JFGovernance
π8π6
#GHANA: Baraza la Uuguzi na Ukunga linamchunguza Mtengeneza Maudhui wa #TikTok, anayedhaniwa kuwa Mwanafunzi wa Uuguzi baada ya kuchapisha Video inayodaiwa kutishia kuua Wagonjwa kwasababu alilazimishwa kusomea Taaluma hiyo
Zaidi - https://jamii.app/TiktokerGhana
#PublicHealth #JFAfya
Zaidi - https://jamii.app/TiktokerGhana
#PublicHealth #JFAfya
π1
MAREKANI: RAIS BIDEN ASAINI MUSWADA WA KODI, AFYA NA TABIA NCHI KUWA SHERIA
Rais #JoeBiden ametia saini Muswada wa Dola Bilioni 700 ambao unalenga kupambana na Mabadiliko ya #TabiaNchi na gharama za #Afya huku akipandisha kodi kwa Matajiri
Soma - https://jamii.app/BidenSheria
#JFLeo
Rais #JoeBiden ametia saini Muswada wa Dola Bilioni 700 ambao unalenga kupambana na Mabadiliko ya #TabiaNchi na gharama za #Afya huku akipandisha kodi kwa Matajiri
Soma - https://jamii.app/BidenSheria
#JFLeo
π6π1
TANZIA: Mwanamuziki wa #Rwanda, Yvan Buravan (27) amefariki Dunia baada ya kusumbuliwa na Saratani ya Kongosho
Buravan alianza kupata umaarufu 2016 na amefanya kazi nyingi ikiwemo ya Just a Dance (Remix) aliyoshirikiana na AY wa #Tanzania
Soma > https://jamii.app/BuravanDies
#JFSanaa
Buravan alianza kupata umaarufu 2016 na amefanya kazi nyingi ikiwemo ya Just a Dance (Remix) aliyoshirikiana na AY wa #Tanzania
Soma > https://jamii.app/BuravanDies
#JFSanaa
π5π’3
UPDATE: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeahirisha zoezi la matengenezo Kinga kwenye Kanzidata ya Mfumo wa LUKU
Mapema leo, lilitangaza huduma ya LUKU kukosekana kuanzia Agosti 22 hadi 25, kuanzia Saa 4 usiku hadi 1 asubuhi
Soma https://jamii.app/MaboreshoYaahirishwa
#JFUwajibikaji
Mapema leo, lilitangaza huduma ya LUKU kukosekana kuanzia Agosti 22 hadi 25, kuanzia Saa 4 usiku hadi 1 asubuhi
Soma https://jamii.app/MaboreshoYaahirishwa
#JFUwajibikaji
π7
NJOMBE: JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA MTOTO WAKE ILI ATAJIRIKE
Joseph Mwajombe (33) alitenda kosa Agosti 7, 2022 alipompakia Binti yake (15) kwenye Pikipiki akitoka Shuleni na kumwambia 'Freemason' wamemuagiza afanye naye mapenzi ili apate utajiri
Soma - https://jamii.app/Jela30Kubaka
#GBV
Joseph Mwajombe (33) alitenda kosa Agosti 7, 2022 alipompakia Binti yake (15) kwenye Pikipiki akitoka Shuleni na kumwambia 'Freemason' wamemuagiza afanye naye mapenzi ili apate utajiri
Soma - https://jamii.app/Jela30Kubaka
#GBV
π1
LEBANON: Jaji aamuru kuachiwa kwa Bassam al-Sheikh Hussein (42) aliyekuwa kizuizini kutokana na kuvamia benki akiwa na bunduki akitaka apewe fedha zake
> Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi, benki nchini humo zimeweka ukomo wa kiwango cha kutoa fedha
Soma https://jamii.app/LebaneseMan
#JamiiForums
> Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi, benki nchini humo zimeweka ukomo wa kiwango cha kutoa fedha
Soma https://jamii.app/LebaneseMan
#JamiiForums
π13π2
KENYA: RAIS MTEULE AAHIDI UTAWALA WAKE KUTOINGILIA MAWASILIANO YA WATU
William Ruto amesema atairudisha Nchi hiyo kwenye Utawala wa #Demokrasia na kwamba Mtu yeyote anaweza kuzungumza chochote na Mtu yeyote
Soma - https://jamii.app/RutoGovt
#DigitalRights #DataProtection
William Ruto amesema atairudisha Nchi hiyo kwenye Utawala wa #Demokrasia na kwamba Mtu yeyote anaweza kuzungumza chochote na Mtu yeyote
Soma - https://jamii.app/RutoGovt
#DigitalRights #DataProtection
π4π2
NDOA ZA UTOTONI: Polisi na Maafisa Maendeleo ya Jamii Wilayani Shinyanga wamezuia ndoa kati ya Binti wa miaka 15 na Kijana wa miaka 17 iliyokuwa ifanyike Agosti 20, 2022 kwa mahari ya ng'ombe 10 na Tsh. 200,000
Soma https://jamii.app/NdoaYaUtotoniYazuiwa
#HakiMtoto
Soma https://jamii.app/NdoaYaUtotoniYazuiwa
#HakiMtoto
π8π3π€1
MISRI: GAVANA WA BENKI KUU AJIUZULU
Kujiuzulu kwake kunakuja wakati Serikali yao ikiwa kwenye mazungumzo na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupata mkopo wa kusaidia kukabiliana na changamoto za Mfumuko wa Bei
Soma - https://jamii.app/GavanaEgypt
#JFGovernance #Accountability
Kujiuzulu kwake kunakuja wakati Serikali yao ikiwa kwenye mazungumzo na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupata mkopo wa kusaidia kukabiliana na changamoto za Mfumuko wa Bei
Soma - https://jamii.app/GavanaEgypt
#JFGovernance #Accountability
π4