KIMARA-DAR: Maarifa Hadith Matala (Dereva) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Sharifa Twaha Nyamaishwa aliyekuwa utingo wa Daladala
Mtuhumiwa na Marehemu, wote wakazi wa Kimara wanadaiwa kuwa na mgogoro wa Kimapenzi kwa muda mrefu
Soma https://jamii.app/WivuWaMapenzi
#GBV
Mtuhumiwa na Marehemu, wote wakazi wa Kimara wanadaiwa kuwa na mgogoro wa Kimapenzi kwa muda mrefu
Soma https://jamii.app/WivuWaMapenzi
#GBV
π’7π€4π1π₯°1
MDAU: UKOMO WA MIAKA YA KUSTAAFU UPUNGUZWE HADI 50
Mdau anaamini kwa kufanya hivi itapunguza tatizo la Ajira kwa Vijana Nchini
Anasema Vijana wengi wana mawazo ya Kimapinduzi, Ndoto na Maono ya Kisasa, nguvu ya ufanisi na Watu makini zaidi ktk kazi
Mjadala - https://jamii.app/Ustaafu50
#JFSoC
Mdau anaamini kwa kufanya hivi itapunguza tatizo la Ajira kwa Vijana Nchini
Anasema Vijana wengi wana mawazo ya Kimapinduzi, Ndoto na Maono ya Kisasa, nguvu ya ufanisi na Watu makini zaidi ktk kazi
Mjadala - https://jamii.app/Ustaafu50
#JFSoC
π11π7
#MEXICO: Mwili wa Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uhalifu, #JuanArjonLopez aliyetoweka Agosti 9, umepatikana ukiwa na majeraha Kichwani huko #SanLuis
Wanahabari wasiopungua 17 wameripotiwa kuuawa Mwaka 2022 Nchini humo
Soma https://jamii.app/MwandishiAuawaMexico
#PressFreedom
Wanahabari wasiopungua 17 wameripotiwa kuuawa Mwaka 2022 Nchini humo
Soma https://jamii.app/MwandishiAuawaMexico
#PressFreedom
π7π€―2π’1
KENYA: Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Wafula Chebukati amesema Makamishna waliokana kutambua matokeo walihusika na hatua zote za uhakiki na kujumlisha Kura za Urais
> Asema Maafisa hao walitaka kulazimisha uchaguzi urudiwe
Soma - https://jamii.app/ChebukatiRudia
#Democracy #Accountability
> Asema Maafisa hao walitaka kulazimisha uchaguzi urudiwe
Soma - https://jamii.app/ChebukatiRudia
#Democracy #Accountability
π5π€―2
TOKYO: MJUMBE WA MASHINDANO YA OLIMPIKI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA
Alikutwa na dola 380,000 za Marekani zilizoingizwa kupitia miamala zaidi ya 50 kwenye akaunti ya kampuni anayoiendesha kati ya Oktoba 2017 na Machi 2022
Soma- https://jamii.app/RushwaJP
#JFUwajibikaji #Rushwa
Alikutwa na dola 380,000 za Marekani zilizoingizwa kupitia miamala zaidi ya 50 kwenye akaunti ya kampuni anayoiendesha kati ya Oktoba 2017 na Machi 2022
Soma- https://jamii.app/RushwaJP
#JFUwajibikaji #Rushwa
π7
UINGEREZA: SERIKALI KUWALIPA FIDIA YA TSH. MILIONI 281 WALIOAMBUKIZWA VVU KIMAKOSA
Waliambukizwa VVU na Homa ya Ini kupitia bidhaa chafu za Damu zilizoagizwa kutoka Marekani
> Takriban Watu 2,400 wanadaiwa kupoteza Maisha
Soma - https://jamii.app/FidiaVVU
#Accountability #Afya
Waliambukizwa VVU na Homa ya Ini kupitia bidhaa chafu za Damu zilizoagizwa kutoka Marekani
> Takriban Watu 2,400 wanadaiwa kupoteza Maisha
Soma - https://jamii.app/FidiaVVU
#Accountability #Afya
π’10π6π±6π€5
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kukosa Ujuzi ni Miongoni mwa sababu kuu zinazosababisha watu katika Nchi zinazoendelea kutotumia Intaneti
Hii inapelekea washindwe kufaidika na Teknolojia, ikiwa ni pamoja na kupata Taarifa na Huduma zilizopo Mtandaoni
Kuimarisha Uwezo wa Kidigitali wa Wananchi kunasaidia kupanua wigo wa matumizi ya Intaneti
#JamiiForums #DigitalRights #DigitalSkills
Hii inapelekea washindwe kufaidika na Teknolojia, ikiwa ni pamoja na kupata Taarifa na Huduma zilizopo Mtandaoni
Kuimarisha Uwezo wa Kidigitali wa Wananchi kunasaidia kupanua wigo wa matumizi ya Intaneti
#JamiiForums #DigitalRights #DigitalSkills
π9
KENYA: UCHUNGUZI WAONESHA AFISA WA TUME YA UCHAGUZI ALINYONGWA
Timu ya Madaktari Bingwa watano wameufanyia upasuaji Mwili wa Afisa huyo
Pia, wamepeleka #Nairobi baadhi ya vielelezo kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa Kisayansi
Soma - https://jamii.app/AfisaIEBC
#HumanRightsViolations
Timu ya Madaktari Bingwa watano wameufanyia upasuaji Mwili wa Afisa huyo
Pia, wamepeleka #Nairobi baadhi ya vielelezo kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa Kisayansi
Soma - https://jamii.app/AfisaIEBC
#HumanRightsViolations
π’3π1
AFRIKA KUSINI: UPINZANI KUWASILISHA PENDEKEZO LA KUTOKUWA NA IMANI NA RAIS RAMAPHOSA
Mkuu wa zamani wa Ujasusi Arthur Fraser, amedai Rais huyo alificha takriban Tsh. Bilioni 9.3 Shambani kwake Phala Phala Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/UpinzaniSA
#Democracy #Accountability
Mkuu wa zamani wa Ujasusi Arthur Fraser, amedai Rais huyo alificha takriban Tsh. Bilioni 9.3 Shambani kwake Phala Phala Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/UpinzaniSA
#Democracy #Accountability
TAMBUA HAKI ZAKO KISHERIA UNAPOKAMATWA NA POLISI
Askari anatakiwa ajitambulishe (Jina na namba ya Uaskari), Mtuhumiwa ajulishwe kwanini anakamatwa na ana Haki ya kuwajulisha ndugu/jamaa kuhusu kukamatwa
Mtuhumiwa ana Haki ya kufikishwa Mahakamani ndani ya muda usiozidi Saa 24 tangu kukamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi
Kama kuna upekuzi wa ndani ya Nyumba Askari haruhusiwi kuingia bila kuwa na hati ya upekuzi ya Mahakama
Soma zaidi - https://jamii.app/HakiZaKisheria
#JFSheria #Justice
Askari anatakiwa ajitambulishe (Jina na namba ya Uaskari), Mtuhumiwa ajulishwe kwanini anakamatwa na ana Haki ya kuwajulisha ndugu/jamaa kuhusu kukamatwa
Mtuhumiwa ana Haki ya kufikishwa Mahakamani ndani ya muda usiozidi Saa 24 tangu kukamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi
Kama kuna upekuzi wa ndani ya Nyumba Askari haruhusiwi kuingia bila kuwa na hati ya upekuzi ya Mahakama
Soma zaidi - https://jamii.app/HakiZaKisheria
#JFSheria #Justice
π12π5π1
#CHINA: Watu 16 wamefariki Dunia na wengine 36 hawajulikani walipo kutokana na mafuriko yaliyotokea katika Jimbo la #Qinghai - Magharibi mwa Nchi hiyo
Mafuriko hayo yameathiri eneo lenye zaidi ya Wakazi 6,000 na Nyumba zaidi ya 1,500.
Soma > https://jamii.app/FloodInChina
#Floods
Mafuriko hayo yameathiri eneo lenye zaidi ya Wakazi 6,000 na Nyumba zaidi ya 1,500.
Soma > https://jamii.app/FloodInChina
#Floods
π’5π2
NIGERIA: WAFANYAKAZI WA KAMPUNI ZA UMEME WAFANYA MGOMO NA KUKATA UMEME
Ni Wafanyakazi wa Kampuni za Usambazaji Umeme (TCN) na (AEDC) wakitaka kuboreshewa maslahi yao
TCN wamewaambia wateja kutakuwa na kukatika kwa Umeme kutokana na mgomo huo
Soma - https://jamii.app/UmemeNigeria
Ni Wafanyakazi wa Kampuni za Usambazaji Umeme (TCN) na (AEDC) wakitaka kuboreshewa maslahi yao
TCN wamewaambia wateja kutakuwa na kukatika kwa Umeme kutokana na mgomo huo
Soma - https://jamii.app/UmemeNigeria
π9π€―2π1π1
Ili Mtoto afaidike na Maziwa ya Mama lazima akae vizuri kwenye Chuchu. Mtoto kukaa vibaya kwenye Chuchu hupelekea kumeza hewa na kumsababishia Gesi na Maumivu ya Tumbo
Pia, inaweza kumsababishia Mama kupata maumivu wakati kwa kunyonyesha na hata kidonda kwenye Chuchu
Unaponyonyesha muweke Mtoto karibu yako na Mwili wake ugeukie kwako. Msapoti Mwili wote sio Kichwa tu. Shingo yake inyooke na hakikisha kidevu chake kinagusa Titi lako
Mtoto akikaa vizuri kwenye Chuchu atanyonya taratibu bila sauti, utasika wakati anameza na Mashavu yake yanakuwa duara na yametoka nje
#JamiiForums #BreastFeedingMom #WBW2022
Pia, inaweza kumsababishia Mama kupata maumivu wakati kwa kunyonyesha na hata kidonda kwenye Chuchu
Unaponyonyesha muweke Mtoto karibu yako na Mwili wake ugeukie kwako. Msapoti Mwili wote sio Kichwa tu. Shingo yake inyooke na hakikisha kidevu chake kinagusa Titi lako
Mtoto akikaa vizuri kwenye Chuchu atanyonya taratibu bila sauti, utasika wakati anameza na Mashavu yake yanakuwa duara na yametoka nje
#JamiiForums #BreastFeedingMom #WBW2022
π11π1
China inatarajia kutuma baadhi ya Wanajeshi wake kwenda Urusi kwa ajili ya mazoezi ya pamoja ya Kijeshi kuanzia Agosti 30 hadi Septemba 5, 2022
> Aidha, Nchi za India, Belarus, Mongolia na Tajikistan zitashiriki mazoezi hayo
Soma https://jamii.app/ChinaRussiaJoin
#JamiiForums
> Aidha, Nchi za India, Belarus, Mongolia na Tajikistan zitashiriki mazoezi hayo
Soma https://jamii.app/ChinaRussiaJoin
#JamiiForums
π6π1
AGOSTI 23 KUWA SIKU YA MAPUMZIKO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 iwe siku ya mapumziko
> Lengo ni Watanzania wawepo Nyumbani kuwapokea Makarani wa Sensa na kutoa maelezo sahihi
Soma https://jamii.app/Agosti23
#Governance
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 iwe siku ya mapumziko
> Lengo ni Watanzania wawepo Nyumbani kuwapokea Makarani wa Sensa na kutoa maelezo sahihi
Soma https://jamii.app/Agosti23
#Governance
π15π3
RC TANGA: WALIOWEKA MIILI KWENYE VIROBA WATAKUWA WAZOEFU WA UHALIFU
RC Omari Mgumba amesema Miili ilikunjwa kama ipo ktk viroba vya Kilo 20 na kuongeza kuwa dalili za awali zinaonesha mauaji hayajafanyika Tanga bali pametumika kuitupa Miili
Soma > https://jamii.app/MauajiTanga2022
#JFLeo
RC Omari Mgumba amesema Miili ilikunjwa kama ipo ktk viroba vya Kilo 20 na kuongeza kuwa dalili za awali zinaonesha mauaji hayajafanyika Tanga bali pametumika kuitupa Miili
Soma > https://jamii.app/MauajiTanga2022
#JFLeo
π5
JAPAN YAHIMIZA VIJANA WAKE KUNYWA POMBE ILI KUKUZA UCHUMI
Serikali ya Nchi hiyo inaanda Kampeni yenye jina "Sake Viva!" ambayo itakuja na mpango wa kufanya Unywaji Pombe kuwavutia zaidi Vijana ili kukuza uchumi
Takwimu zinaonesha Watu walikuwa wakinywa kiasi kidogo cha Pombe 2020 kuliko 1995, na idadi hiyo ilishuka kutoka lita 100 kwa Wiki hadi lita 75
Soma - https://jamii.app/AlcoholJapan
Serikali ya Nchi hiyo inaanda Kampeni yenye jina "Sake Viva!" ambayo itakuja na mpango wa kufanya Unywaji Pombe kuwavutia zaidi Vijana ili kukuza uchumi
Takwimu zinaonesha Watu walikuwa wakinywa kiasi kidogo cha Pombe 2020 kuliko 1995, na idadi hiyo ilishuka kutoka lita 100 kwa Wiki hadi lita 75
Soma - https://jamii.app/AlcoholJapan
π25π5π€2π1
ALGERIA: MOTO WA MSITUNI WAUA WATU 26, WENGINE 350 WAHAMISHWA
Watu 24 walifariki El Tarf mpakani mwa #Tunisia na 2 Kaskazini mwa Algeria
#Algeria imekuwa ikikabiliwa na Moto wa Misituni unaochangiwa na Mabadiliko ya Tabia Nchi
Soma - https://jamii.app/AlgeriaFire
#ClimateChange
Watu 24 walifariki El Tarf mpakani mwa #Tunisia na 2 Kaskazini mwa Algeria
#Algeria imekuwa ikikabiliwa na Moto wa Misituni unaochangiwa na Mabadiliko ya Tabia Nchi
Soma - https://jamii.app/AlgeriaFire
#ClimateChange
π4π€―3
LISHE YA MAMA ANAYENYONYESHA
Kula milo kamili na zaidi ya mitatu kwa siku. Mlo kamili ni mlo wenye Chakula mchanganyiko angalau Chakula kimoja kutoka katika kila kundi la Chakula
Kula Chakula kingi na cha kutosha katika kila Mlo. Kula Asusa kati ya mlo na mlo. Meza vidonge vya kuongeza Damu (FEFO) kwa kipindi cha Miezi 3 baada ya kujifungua
#JamiiForums #BreastFeedingMom
Kula milo kamili na zaidi ya mitatu kwa siku. Mlo kamili ni mlo wenye Chakula mchanganyiko angalau Chakula kimoja kutoka katika kila kundi la Chakula
Kula Chakula kingi na cha kutosha katika kila Mlo. Kula Asusa kati ya mlo na mlo. Meza vidonge vya kuongeza Damu (FEFO) kwa kipindi cha Miezi 3 baada ya kujifungua
#JamiiForums #BreastFeedingMom
π1
JamiiForums
LISHE YA MAMA ANAYENYONYESHA Kula milo kamili na zaidi ya mitatu kwa siku. Mlo kamili ni mlo wenye Chakula mchanganyiko angalau Chakula kimoja kutoka katika kila kundi la Chakula Kula Chakula kingi na cha kutosha katika kila Mlo. Kula Asusa kati ya mlo naβ¦
Ongeza ulaji wa Vyakula vyenye asili ya Wanyama mfano Nyama, Kuku, Mayai, Maziwa, Samaki, Dagaa n.k. Vyakula hivi vina virutubisho mbalimbali ikiwemo Madini Chuma ambayo huongeza Damu Mwilini
Kula Matunda ya aina mbalimbali na mbogamboga kwa wingi. Kunywa Maji ya kutosha kila siku (angalau glasi 8 au lita 1.5). Jikinge na Malaria kwa kulala kwenye Chandarua na jikinge na maambukizi ya Magonjwa ya zinaa
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WBW2022
Kula Matunda ya aina mbalimbali na mbogamboga kwa wingi. Kunywa Maji ya kutosha kila siku (angalau glasi 8 au lita 1.5). Jikinge na Malaria kwa kulala kwenye Chandarua na jikinge na maambukizi ya Magonjwa ya zinaa
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WBW2022
π5