NINI KINAKWAMISHA UANZISHWAJI WA BARAZA LA TAIFA LA USHAURI WA ELIMU?
Kifungu cha 6 cha Sheria ya Elimu Na. 6 Sura ya 353 ya mwaka 1978 (iliyorekebishwa mwaka 2002) kinazungumzia uanzishwaji wa Baraza la Ushauri wa Elimu
Kukosekana Baraza hilo kunakwamisha majukumu yaliyoainishwa Kisheria yakiwemo: Kumshauri Waziri, Kukuza #Elimu na kushughulikia mambo mengine yanayohusu Elimu
#JFUwajibikaji
Kifungu cha 6 cha Sheria ya Elimu Na. 6 Sura ya 353 ya mwaka 1978 (iliyorekebishwa mwaka 2002) kinazungumzia uanzishwaji wa Baraza la Ushauri wa Elimu
Kukosekana Baraza hilo kunakwamisha majukumu yaliyoainishwa Kisheria yakiwemo: Kumshauri Waziri, Kukuza #Elimu na kushughulikia mambo mengine yanayohusu Elimu
#JFUwajibikaji
π2
MALI: SERIKALI YAITUHUMU UFARANSA KUWAPA SILAHA WAASI
Uhusiano kati ya Nchi hizo mbili umekuwa kwenye mzozo tangu kutokea Mapinduzi ya Serikali mara mbili pamoja na uamuzi wa Utawala wa sasa wa Kijeshi wa #Mali kutangaza kushirikiana na Urusi
Soma - https://jamii.app/MaliFrance
Uhusiano kati ya Nchi hizo mbili umekuwa kwenye mzozo tangu kutokea Mapinduzi ya Serikali mara mbili pamoja na uamuzi wa Utawala wa sasa wa Kijeshi wa #Mali kutangaza kushirikiana na Urusi
Soma - https://jamii.app/MaliFrance
π€3π€―3π1
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) itaanza kusikiliza Kesi dhidi ya FΓ©licien Kabuga (87) Septemba 29, 2022
> Anatuhumiwa kwa Uhalifu wa Binadamu akiwa Rais wa Redio iliyorusha matangazo ya wito wa Mauaji ya Halaiki ya 1994 Nchini Rwanda
Soma https://jamii.app/KesiICC
#HumanRights
> Anatuhumiwa kwa Uhalifu wa Binadamu akiwa Rais wa Redio iliyorusha matangazo ya wito wa Mauaji ya Halaiki ya 1994 Nchini Rwanda
Soma https://jamii.app/KesiICC
#HumanRights
π4
HAKI YA KUPATA TAARIFA: Mbali na kuwa ni Haki ya Binadamu, Haki ya Kupata Taarifa ni nguzo muhimu katika kuchochea #Uwajibikaji kutoka kwa Mamlaka ikiwemo kwenye Masuala ya Rushwa
Haki ya Kupata Taarifa ni sehemu muhimu ili kukuza #UhuruWaKujieleza, Utawala wa Sheria na kujenga uaminifu katika Jamii
#RightToInformation #Accountability
Haki ya Kupata Taarifa ni sehemu muhimu ili kukuza #UhuruWaKujieleza, Utawala wa Sheria na kujenga uaminifu katika Jamii
#RightToInformation #Accountability
π1π1
TUHUMA ZA MENDY: Mwanamke mmoja amedai Benjamin Mendy wa #ManCity alimfungia katika chumba kinachofungwa na mashine kisha akambaka
> Mendy anatuhumiwa kwa makosa 10 yakiwemo 8 ya Ubakaji, Unyanyasaji wa Kijinsia na Kujaribu Kubaka
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMendy
#JamiiForums
> Mendy anatuhumiwa kwa makosa 10 yakiwemo 8 ya Ubakaji, Unyanyasaji wa Kijinsia na Kujaribu Kubaka
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMendy
#JamiiForums
π€―4π3π€3π2π₯°2
#SAUDIA: Mahakama imemhukumu Salma al-Shehab kifungo cha Miaka 34 jela kutokana na kufanya Uanaharakati kwenye Mtandao wa #Twitter
> Inadaiwa Mwanamke huyo aliwasaidia Wapinzani wanaotaka kuvuruga utulivu wa Nchi
Soma - https://jamii.app/JailedTwitter
#HumanRightsViolations
> Inadaiwa Mwanamke huyo aliwasaidia Wapinzani wanaotaka kuvuruga utulivu wa Nchi
Soma - https://jamii.app/JailedTwitter
#HumanRightsViolations
π3π1
LATRA: Kuanzia Septemba 1, 2022 Mabasi yanayofanya Safari za Mikoani na nje ya Nchi yasiyotumia tiketi za Mtandao hayatoruhusiwa kutoa huduma
> Hadi kufikia Agosti 17, 2022 jumla ya Mabasi 2,033 kati ya 3,916 ndio yaliunganishwa na Tiketi Mtandao
Soma - https://jamii.app/LATRASept
#JFGovernance
> Hadi kufikia Agosti 17, 2022 jumla ya Mabasi 2,033 kati ya 3,916 ndio yaliunganishwa na Tiketi Mtandao
Soma - https://jamii.app/LATRASept
#JFGovernance
π2
INDIA: Raia waandamana kupinga kuachiliwa kwa Wanaume 11 waliofungwa Kifungo cha Maisha kwa kumbaka #BilkisBano alipokuwa na ujauzito wa miezi 5
> Mwathiriwa ametoa wito kwa Serikali kubatilisha uamuzi wa kuachiliwa kwa Wahalifu hao
Soma https://jamii.app/TaharukiIndia
#GBV
> Mwathiriwa ametoa wito kwa Serikali kubatilisha uamuzi wa kuachiliwa kwa Wahalifu hao
Soma https://jamii.app/TaharukiIndia
#GBV
π8
#KENYA: Shule zimefunguliwa huku Mamlaka zikisema kwamba ratiba ya masomo haitaongezwa ili kuruhusu wanafunzi kufidia muda uliopotezwa
Pia, Serikali imesema Shule hazitafungwa tena hata kama kutakuwa na marudio ya Uchaguzi wa Urais
Soma - https://jamii.app/ShuleZafunguliwa
#Governance
Pia, Serikali imesema Shule hazitafungwa tena hata kama kutakuwa na marudio ya Uchaguzi wa Urais
Soma - https://jamii.app/ShuleZafunguliwa
#Governance
π5
ETHIOPIA: Waasi wa Tigray wameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kumaliza Vita ya Wenyewe kwa Wenyewe baada ya Jeshi kudaiwa kushambulia vikosi hivyo
> Serikali imesema shutuma hizo ni njia ya Waasi kuepuka kushiriki Mazungumzo ya Amani
Soma https://jamii.app/AmaniTigray
#TigrayCrisis
> Serikali imesema shutuma hizo ni njia ya Waasi kuepuka kushiriki Mazungumzo ya Amani
Soma https://jamii.app/AmaniTigray
#TigrayCrisis
π4
SIMIYU: Yohana Josephat (40) na Lucia Michael (30) wanashikiliwa na Polisi wakidaiwa kuwajeruhi Watoto wao (Miaka 14 na 13) kwa kuwachoma Moto sehemu mbalimbali za Mwili kwa madai ya kuiba Mahindi ndoo moja Nyumbani kwa Bibi yao
Soma - https://jamii.app/SimiyuTukio
#HumanRights
Soma - https://jamii.app/SimiyuTukio
#HumanRights
π5π€3
#AFGHANISTAN: MLIPUKO WAUA WATU 21 NDANI YA MSIKITI
Msemaji wa Polisi, Khalid Zadran amesema Watu 21 akiwemo Imamu wa Msikiti wamefariki na wengine 33 kujeruhiwa baada kutokea Mlipuko mkubwa kwenye Msikiti uliokuwa na Watu wengi
Soma - https://jamii.app/Mosque21
#JFMatukio
Msemaji wa Polisi, Khalid Zadran amesema Watu 21 akiwemo Imamu wa Msikiti wamefariki na wengine 33 kujeruhiwa baada kutokea Mlipuko mkubwa kwenye Msikiti uliokuwa na Watu wengi
Soma - https://jamii.app/Mosque21
#JFMatukio
π5π€2
#UGANDA: Kamati ya Bunge ya Mamlaka za Serikali na Biashara (COSASE) imeliambia Bunge la Nchi hiyo kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege, Jennifer Bamuturaki hakuwa na sifa ya kushika wadhifa huo wakati alipoteuliwa
Soma - https://jamii.app/AirlinesUG
#Accountability
Soma - https://jamii.app/AirlinesUG
#Accountability
π1
LONOMIA OBLIQUA: Ni Kiwavi anayepatikana Bara la Amerika ya Kusini na anayetoa sumu kali zaidi kuliko aina nyingine zote za Viwavi, kwa mujibu wa Guinness World Records (2016)
Hutoa sumu inayopoozesha Mfumo unaoongoza kuganda kwa Damu Mwilini. Aidha, huathiri Figo, kuvujia kwa Damu kwenye Ubongo na kusababisha Muwasho wa Ngozi, maumivu makali ya Kichwa, Kutapika, Kukojoa Damu na wekundu kwenye Ngozi
Soma zaidi - https://jamii.app/LonomiaObliqua
#JFMaarifa
Hutoa sumu inayopoozesha Mfumo unaoongoza kuganda kwa Damu Mwilini. Aidha, huathiri Figo, kuvujia kwa Damu kwenye Ubongo na kusababisha Muwasho wa Ngozi, maumivu makali ya Kichwa, Kutapika, Kukojoa Damu na wekundu kwenye Ngozi
Soma zaidi - https://jamii.app/LonomiaObliqua
#JFMaarifa
π9β€1
CASEMIRO KUTUA UNITED KWA TAKRIBAN TSH. BILIONI 167
Manchester United imekubali kumsajili Kiungo huyo Mkabaji wa Real Madrid, Casemiro baada ya klabu hizo kufanya mazungumzo kwa siku kadhaa
> Anatarajiwa kufanyiwa Vipimo vya Afya mwishoni mwa juma
Soma https://jamii.app/CasemiroManUtd
#JFSports
Manchester United imekubali kumsajili Kiungo huyo Mkabaji wa Real Madrid, Casemiro baada ya klabu hizo kufanya mazungumzo kwa siku kadhaa
> Anatarajiwa kufanyiwa Vipimo vya Afya mwishoni mwa juma
Soma https://jamii.app/CasemiroManUtd
#JFSports
π11π₯2
WIZARA YA AFYA: Watu 866,285 kati ya Watu milioni 1.71 hawakurudi kwa Dozi ya Pili ya Pfizer
> Waliopata Chanjo kamili ya #COVID19 ni 51.92% ya Wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi, huku lengo likiwa ni kuchanja 70% hadi Disemba 2022
Soma https://jamii.app/ChanjoRudia
#JFAfya #UVIKO19
> Waliopata Chanjo kamili ya #COVID19 ni 51.92% ya Wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi, huku lengo likiwa ni kuchanja 70% hadi Disemba 2022
Soma https://jamii.app/ChanjoRudia
#JFAfya #UVIKO19
π2
KOMBE LA DUNIA: MAUZO YA TIKETI YAFIKIA MILIONI 2.45
Tiketi 520,532 ziliuzwa ndani ya Siku 43 (Julai 5 - Agosti 16)
- Marekani, Uingereza, Saudi Arabia, #Mexico, UAE, Ufaransa, #Argentina, Brazil na Ujerumani zinaongoza kwa ununuzi
Soma - https://jamii.app/FIFATickets
#WorldCup2022
Tiketi 520,532 ziliuzwa ndani ya Siku 43 (Julai 5 - Agosti 16)
- Marekani, Uingereza, Saudi Arabia, #Mexico, UAE, Ufaransa, #Argentina, Brazil na Ujerumani zinaongoza kwa ununuzi
Soma - https://jamii.app/FIFATickets
#WorldCup2022
π9
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka EWURA
Anachukua nafasi ya Prof. Jamidu Hazzam Yahaya ambaye amemaliza muda wake. Uteuzi wake umeanza Agosti 15, 2022
Soma - https://jamii.app/MwandosyaEWURA
#JFUtawala
Anachukua nafasi ya Prof. Jamidu Hazzam Yahaya ambaye amemaliza muda wake. Uteuzi wake umeanza Agosti 15, 2022
Soma - https://jamii.app/MwandosyaEWURA
#JFUtawala
π14
Popote ambapo majanga hutokea, wapo wale wanaokuwa mstari wa mbele kuhakikisha wanatoa msaada wa haraka wa kibinadamu ikiwemo Chakula, Maji, Hifadhi, Usalama na Matibabu
Inakadiriwa Watu Milioni 274 Duniani watahitaji Misaada ya Kibinadamu mwaka 2022 kutokana na Mapigano, Umasikini, Mabadiliko ya TabiaNchi na Uhaba wa Chakula
Zaidi, soma - https://jamii.app/WorldHD2022
#WorldHumanitarianDay
Inakadiriwa Watu Milioni 274 Duniani watahitaji Misaada ya Kibinadamu mwaka 2022 kutokana na Mapigano, Umasikini, Mabadiliko ya TabiaNchi na Uhaba wa Chakula
Zaidi, soma - https://jamii.app/WorldHD2022
#WorldHumanitarianDay
π7
LIBERIA: Rais George Weah amewasimamisha Kazi Maafisa 3 baada ya Serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo kwa madai ya #Rushwa na Ufisadi wa Mali za Umma
Miongoni mwao yupo Nathaniel McGill, Waziri wa Nchi na Mkuu wa Wafanyakazi wa Rais
Soma https://jamii.app/MaafisaUfisadi
#KemeaRushwa
Miongoni mwao yupo Nathaniel McGill, Waziri wa Nchi na Mkuu wa Wafanyakazi wa Rais
Soma https://jamii.app/MaafisaUfisadi
#KemeaRushwa
π4