#RWANDA: #LilianeMugabekazi (24) ambaye alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la Mwanamuziki wa Ufaransa, #Tayc anakabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa “Uchafu hadharani”
Waendesha mashtaka wameomba awekwe rumande kwa Siku 30
Soma - https://jamii.app/KifungoUtupu
#GBV
Waendesha mashtaka wameomba awekwe rumande kwa Siku 30
Soma - https://jamii.app/KifungoUtupu
#GBV
👍1
ISRAEL YADAIWA KUVAMIA OFISI ZA MASHIRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
Jeshi la #Israel limedaiwa kufanya uvamizi katika Ofisi za Mashirika 7 ya Kiraia likiyatuhumu kuwa Mashirika ya Kigaidi
> Wamechukua Kompyuta na nyaraka mbalimbali
Soma - https://jamii.app/IsraelHRights
#HumanRights
Jeshi la #Israel limedaiwa kufanya uvamizi katika Ofisi za Mashirika 7 ya Kiraia likiyatuhumu kuwa Mashirika ya Kigaidi
> Wamechukua Kompyuta na nyaraka mbalimbali
Soma - https://jamii.app/IsraelHRights
#HumanRights
👍7👏2
KOREA KASKAZINI: Kim Yo Jong, Dada wa Kim Jong Un amemtaka Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol ‘kufunga mdomo’ baada ya kusema Nchi yake iko tayari kutoa Msaada wa Kiuchumi kwa Korea Kaskazini kama itaacha kuzalisha silaha za Nyuklia
Soma > https://jamii.app/NorthSouthKorea
Soma > https://jamii.app/NorthSouthKorea
👍4
MASUMBWI: MWAKINYO KUZICHAPA UINGEREZA SEPTEMBA 3, 2022
Hassan Mwakinyo (27) ambaye amepanda ulingoni mara 22 na kupoteza mapambano mawili, atapanda ulingoni kupambana na Liam Smith (34) aliyepambana mara 35 na kupoteza mapambano matatu
Soma https://jamii.app/ReturnMwakinyo
#JFSports
Hassan Mwakinyo (27) ambaye amepanda ulingoni mara 22 na kupoteza mapambano mawili, atapanda ulingoni kupambana na Liam Smith (34) aliyepambana mara 35 na kupoteza mapambano matatu
Soma https://jamii.app/ReturnMwakinyo
#JFSports
👍8
KAMPUNI YA #APPLE YASHAURI WATEJA KUSASISHA (UPDATE) VIFAA VYAO KWENDA IOS 15.6.1
Imesema kuna udhaifu ktk Mifumo unaoathiri #iPhones zilizoanzia modeli 6S, iPad 5th na baadaye, iPad Air 2 na zilizofuata, iPad mini 4 na kuendelea, iPad Pro zote, iPod 7th
Soma - https://jamii.app/AppleUpdates
Imesema kuna udhaifu ktk Mifumo unaoathiri #iPhones zilizoanzia modeli 6S, iPad 5th na baadaye, iPad Air 2 na zilizofuata, iPad mini 4 na kuendelea, iPad Pro zote, iPod 7th
Soma - https://jamii.app/AppleUpdates
👍4
WAZIRI NAPE: GHARAMA ZA DATA ZIMEPUNGUA TANGU RAIS SAMIA AINGIE MADARAKANI
Waziri Nape amesema Mwezi Machi 2021 bei ya juu ilikuwa ni Tsh. 40.04 kwa MB 1 na ilipunguzwa hadi kufikia Tsh. 9.35 kwa MB 1 Mwezi Agosti 2022
Soma - https://jamii.app/NapeInternet
#DigitaRights #JFGovernance
Waziri Nape amesema Mwezi Machi 2021 bei ya juu ilikuwa ni Tsh. 40.04 kwa MB 1 na ilipunguzwa hadi kufikia Tsh. 9.35 kwa MB 1 Mwezi Agosti 2022
Soma - https://jamii.app/NapeInternet
#DigitaRights #JFGovernance
😁24🤔15👎14💩9🤬4👏1🤯1
RIPOTI: Umoja wa Mataifa unasema Sudan Kusini inaongoza kwa mazingira ya vurugu zaidi kwa watoa Misaada ya Kibinadamu Duniani, ikifuatiwa na #Afghanistan na #Syria
Watoa Misaada 5 wameuawa wakiwa kazini 2022 pekee
Soma https://jamii.app/HatariSudani
#WorldHumanitarianDay
Watoa Misaada 5 wameuawa wakiwa kazini 2022 pekee
Soma https://jamii.app/HatariSudani
#WorldHumanitarianDay
👍3🤔1
MOSHI: Mahakama ya Hakimu Mkazi imemuachia huru Wendi Mrema aliyetuhumiwa kumuua Mama yake, Patricia Ibreack Paul (66) aliyekuwa Nesi mstaafu wa Hospitali ya KCMC
Upande wa Mashtaka umewasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo
Soma - https://jamii.app/WendyMremaMahakamani
Upande wa Mashtaka umewasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo
Soma - https://jamii.app/WendyMremaMahakamani
👍6😢4🤯2🤔1
MTOTO WA DOS SANTOS AKATA RUFAA KUPINGA BABA YAKE KUZIKWA ANGOLA
Tchize amekata rufaa baada ya Mahakama kuamua Mwili wa aliyekuwa Rais wa #Angola, Eduardo dos Santos kuzikwa Angola
Tchize amedai Baba yake alitaka azikwe #Barcelona, Hispania
Soma > https://jamii.app/MazikoYaDosSantos
Tchize amekata rufaa baada ya Mahakama kuamua Mwili wa aliyekuwa Rais wa #Angola, Eduardo dos Santos kuzikwa Angola
Tchize amedai Baba yake alitaka azikwe #Barcelona, Hispania
Soma > https://jamii.app/MazikoYaDosSantos
👍3
PWANI: 21 WASHIKILIWA KWA KUHUSIKA NA MTANDAO WA WIZI
Wanaoshikiliwa wanatuhumiwa kwa wizi uliotokea Julai 27, 2022 eneo la Mkenge
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuiba Ng’ombe 8 na kuumua mmoja wa Walinzi wa Zizi huku wakimjeruhi Mlinzi mwingine
Soma https://jamii.app/WeziMifugo
#JFLeo
Wanaoshikiliwa wanatuhumiwa kwa wizi uliotokea Julai 27, 2022 eneo la Mkenge
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuiba Ng’ombe 8 na kuumua mmoja wa Walinzi wa Zizi huku wakimjeruhi Mlinzi mwingine
Soma https://jamii.app/WeziMifugo
#JFLeo
AFRIKA KUSINI: Taarifa ya Waziri wa Polisi, Bheki Cele imeonesha Watu 6,424 wakiwemo Askari 18 waliuawa katika robo ya kwanza ya Mwaka 2022
Hilo ni ongezeko la Watu 664 ikilinganishwa na kipindi kama hicho Mwaka 2021 Nchi ilipokuwa Karantini
Soma - https://jamii.app/CrimeSA
#HumanRights
Hilo ni ongezeko la Watu 664 ikilinganishwa na kipindi kama hicho Mwaka 2021 Nchi ilipokuwa Karantini
Soma - https://jamii.app/CrimeSA
#HumanRights
👍5👎1
CHINA: SAMAKI WAFANYIWA VIPIMO VYA COVID-19
Mamlaka Mjini Xiamen zimeagiza samaki na wavuvi kufanyiwa vipimo vya #COVID19 baada ya kudaiwa maambukizi yanasambazwa na wanaotumia njia ya maji
Baadhi ya Wananchi wamekosoa utaratibu huo
Soma - https://jamii.app/Covid19Test
#UVIKO19
Mamlaka Mjini Xiamen zimeagiza samaki na wavuvi kufanyiwa vipimo vya #COVID19 baada ya kudaiwa maambukizi yanasambazwa na wanaotumia njia ya maji
Baadhi ya Wananchi wamekosoa utaratibu huo
Soma - https://jamii.app/Covid19Test
#UVIKO19
👍3😱2
UMEWAHI KUISHI BILA KAZI YA KUKUINGIZIA KIPATO KWA MUDA GANI?
Kutokuwa na Ajira au chanzo chochote cha kuingiza kipato hufanya Maisha kuwa magumu. Hali huweza kuwa ngumu zaidi endapo ukiwa na Familia inayokutegemea
Ulipopitia kipindi hiki uliwezaje kumudu kupata mahitaji ya muhimu?
Mjadala - https://jamii.app/KukosaKipato
#Maisha
Kutokuwa na Ajira au chanzo chochote cha kuingiza kipato hufanya Maisha kuwa magumu. Hali huweza kuwa ngumu zaidi endapo ukiwa na Familia inayokutegemea
Ulipopitia kipindi hiki uliwezaje kumudu kupata mahitaji ya muhimu?
Mjadala - https://jamii.app/KukosaKipato
#Maisha
👍8
Baadhi ya kauli za Waziri wa Habari na Mawasiliano kuhusu kupanda kwa gharama za Vifurushi
#JamiiForums #DigitalRights
#JamiiForums #DigitalRights
👍2
WAZIRI NAPE: KAZI YA KAMPUNI YA MAWASILIANO SIO KUOMBA RIDHAA KWA WANANCHI
Akitolea ufafanuzi upandaji wa gharama za vifurushi vya #intaneti Nchini, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kazi ya Kampuni siyo kuomba ridhaa kwa Wananchi, isipokuwa ni kuwapa tu taarifa juu ya bidhaa mpya wanazotoa
Amefafanua kuwa Mtoa huduma hawezi tu kupandisha bei pasipo kuleta mapendekezo kwa Mamlaka (TCRA).
#JamiiForums #DigitalRights
Akitolea ufafanuzi upandaji wa gharama za vifurushi vya #intaneti Nchini, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kazi ya Kampuni siyo kuomba ridhaa kwa Wananchi, isipokuwa ni kuwapa tu taarifa juu ya bidhaa mpya wanazotoa
Amefafanua kuwa Mtoa huduma hawezi tu kupandisha bei pasipo kuleta mapendekezo kwa Mamlaka (TCRA).
#JamiiForums #DigitalRights
👍1
TETESI: CHELSEA INAMTAKA HARRY MAGUIRE
Chelsea inataka kumsajili Harry Maguire wa Manchester United kwa kubadilishana na Christian Pulisic
> Inadaiwa Kocha wa United, Eric ten Hag ameanza kuwa na mashaka na kiwango cha Maguire
Soma https://jamii.app/MaguireUpdates
#JFSports
Chelsea inataka kumsajili Harry Maguire wa Manchester United kwa kubadilishana na Christian Pulisic
> Inadaiwa Kocha wa United, Eric ten Hag ameanza kuwa na mashaka na kiwango cha Maguire
Soma https://jamii.app/MaguireUpdates
#JFSports
😁10👍7👎4👏1