MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUCHAGUA MASOMO YA CHUO KIKUU
Mwanafunzi au Mtu yeyote anayetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea Chuo Kikuu anatakiwa kuangalia nini anapenda Maishani mwake na sio akasomee kitu gani chenye Ajira
Soma zaidi - https://jamii.app/FaniChuo
#JFSoC
Mwanafunzi au Mtu yeyote anayetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea Chuo Kikuu anatakiwa kuangalia nini anapenda Maishani mwake na sio akasomee kitu gani chenye Ajira
Soma zaidi - https://jamii.app/FaniChuo
#JFSoC
👍8
PERU: Polisi wamevamia Nyumba ya Rais Pedro Castillo wakimtafuta shemeji yake, Yenifer Paredes, anayetuhumiwa kwa ufisadi na utakatishaji Fedha
Rais Castillo anakabiliwa na kesi 5 na amenusurika majaribio 2 ya kuondolewa Madarakani
Soma - https://jamii.app/UvamiziRaisPeru
#Accountability
Rais Castillo anakabiliwa na kesi 5 na amenusurika majaribio 2 ya kuondolewa Madarakani
Soma - https://jamii.app/UvamiziRaisPeru
#Accountability
👍13
#JFMDAU: Katika harakati za kusaka Elimu Vyuoni Wanafunzi wanakutana na 'kashikashi' nyingi zinazosababisha mpaka Mtu kuachana na Masomo
- Je, uliwahi kukutana na kisa gani kilichofanya uone Chuo kama Uwanja wa vita? Uliweza kurudi kwenye mstari au bado ni majuto tu?
Mjadala - https://jamii.app/VisangaChuoni
#JFMaisha
- Je, uliwahi kukutana na kisa gani kilichofanya uone Chuo kama Uwanja wa vita? Uliweza kurudi kwenye mstari au bado ni majuto tu?
Mjadala - https://jamii.app/VisangaChuoni
#JFMaisha
👍11
#KENYA: MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AKAMATWA NA KARATASI ZA KURA
Anatuhumiwa kukutwa na karatasi za kupigia kura ambazo hazijajazwa ktk Jimbo la Starehe
Amekamatwa alipokuwa akiingia ktk kituo cha kuhesabia Kura cha Jamhuri
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Anatuhumiwa kukutwa na karatasi za kupigia kura ambazo hazijajazwa ktk Jimbo la Starehe
Amekamatwa alipokuwa akiingia ktk kituo cha kuhesabia Kura cha Jamhuri
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
👍11
TETESI: PSG YAANZA MAZUNGUMZO YA KUMTAKA RASHFORD
Paris Saint-Germain imeanza mazungumzo na #ManchesterUnited kwa nia ya kumsajili Marcus Rashford
Nia ya #PSG ni kukamilisha usajili huo kabla dirisha kubwa la usajili 2022/23 kufungwa
Soma > https://jamii.app/PSGRashford
#JFSports
Paris Saint-Germain imeanza mazungumzo na #ManchesterUnited kwa nia ya kumsajili Marcus Rashford
Nia ya #PSG ni kukamilisha usajili huo kabla dirisha kubwa la usajili 2022/23 kufungwa
Soma > https://jamii.app/PSGRashford
#JFSports
👍8
UCHAGUZI #KENYA: RUTO ABURUZWA KWA IDADI YA WABUNGE
Raila Odinga amepata Wabunge 134 ambapo 88 wanatoka Chama chake ODM
Atakayeshinda Urais bila kudhibiti Bunge anaweza kupata wakati mgumu wakati wa kupitisha Sheria na Bajeti
Soma - https://jamii.app/RutoNaOdinga
#KenyaDecides2022
Raila Odinga amepata Wabunge 134 ambapo 88 wanatoka Chama chake ODM
Atakayeshinda Urais bila kudhibiti Bunge anaweza kupata wakati mgumu wakati wa kupitisha Sheria na Bajeti
Soma - https://jamii.app/RutoNaOdinga
#KenyaDecides2022
👍6
AFRIKA KUSINI: WALIOPINGA KUKAMATWA KWA RAIS JACOB ZUMA MBARONI
- Watu 20 wamekamatwa wakituhumiwa kuanzisha machafuko ya Julai 2021 yaliyopinga kukamatwa kwa Rais Mstaafu, Jacob Zuma
Takriban Watu 350 waliuawa kwenye machafuko hayo
Soma - https://jamii.app/ArrestedSA
#Governance
- Watu 20 wamekamatwa wakituhumiwa kuanzisha machafuko ya Julai 2021 yaliyopinga kukamatwa kwa Rais Mstaafu, Jacob Zuma
Takriban Watu 350 waliuawa kwenye machafuko hayo
Soma - https://jamii.app/ArrestedSA
#Governance
👍6🤔1
AGOSTI 12: SIKU YA VIJANA DUNIANI
Siku hii inaadhimishwa kutambua na kupaza sauti kuhusu ushiriki wa Vijana katika Masuala muhimu
Pia, inasisitizia Haki za Vijana kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Ajira na Afya
Zaidi, soma - https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022
Siku hii inaadhimishwa kutambua na kupaza sauti kuhusu ushiriki wa Vijana katika Masuala muhimu
Pia, inasisitizia Haki za Vijana kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Ajira na Afya
Zaidi, soma - https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022
❤4👍4
MASASI: WIVU WA MAPENZI WATAJWA CHANZO CHA MAUAJI YA WANAWAKE
Jeshi la Polisi limesema takwimu za kuanzia Machi 2022 zinaonesha kuna mauaji ya Watu 8 na Polisi wanaendelea na jitihada za kuwatafuta wahusika wa Matukio hayo
Soma > https://jamii.app/MatukioMasasi
#HumanRights #GBV
Jeshi la Polisi limesema takwimu za kuanzia Machi 2022 zinaonesha kuna mauaji ya Watu 8 na Polisi wanaendelea na jitihada za kuwatafuta wahusika wa Matukio hayo
Soma > https://jamii.app/MatukioMasasi
#HumanRights #GBV
👍9🤔2
DAR: Mtoto Rehema ambaye ni pacha aliyekuwa amesalia baada ya mwenzake waliyetenganishwa kufariki dunia, ameaga Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jana Agosti 11, 2022
> Pacha wa kwanza Neema alifariki Julai 10, 2022
Soma - https://jamii.app/PachaRehemaAfariki
> Pacha wa kwanza Neema alifariki Julai 10, 2022
Soma - https://jamii.app/PachaRehemaAfariki
😢21👍1
AJIRA KWA VIJANA: Kwa Mujibu wa Shirika la ILO, Mlipuko wa COVID-19 umewaumiza zaidi Vijana katika Masuala ya #Ajira
Vijana wana nguvu kubwa ya kuchochea Maendeleo ikiwa watapata Maarifa na Fursa wanazohitaji ili kustawi
Soma zaidi - https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022
Vijana wana nguvu kubwa ya kuchochea Maendeleo ikiwa watapata Maarifa na Fursa wanazohitaji ili kustawi
Soma zaidi - https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022
👍2
#SIERRALEONE: RAIS ASEMA MAANDAMANO DHIDI YA SERIKALI NI UGAIDI
Takriban Watu 130 wamekamatwa ktk maandamano hayo ya kumshinikiza Rais Julius Maada Bio kujiuzulu kutokana na kupanda kwa gharama za Maisha, Rushwa na Ukatili wa Polisi
Soma - https://jamii.app/UgaidiSierraLeone
#Democracy
Takriban Watu 130 wamekamatwa ktk maandamano hayo ya kumshinikiza Rais Julius Maada Bio kujiuzulu kutokana na kupanda kwa gharama za Maisha, Rushwa na Ukatili wa Polisi
Soma - https://jamii.app/UgaidiSierraLeone
#Democracy
🤮5👍3👎2
#SOMALIA: UNHCR imesema ukame wa kihistoria Nchini humo umepelekea Watu 1,000,000 kuyakimbia makazi yao
Idadi ya wanaokabiliwa na Njaa inatarajiwa kuongezeka kutoka Watu milioni 5 hadi zaidi ya milioni 7 Miezi kadhaa ijayo
Soma - https://jamii.app/SomaliaNjaa
#HumanRights
Idadi ya wanaokabiliwa na Njaa inatarajiwa kuongezeka kutoka Watu milioni 5 hadi zaidi ya milioni 7 Miezi kadhaa ijayo
Soma - https://jamii.app/SomaliaNjaa
#HumanRights
👍4😢2
YANGA YATHIBITISHA KUACHANA NA BUMBULI
Taarifa iliyotolewa na Yanga imesema Afisa Habari, Hassan Maulid Bumbuli anaondoka Jangwani baada ya kumaliza Mkataba wake
Bumbuli ameitumikia Klabu hiyo kwa kipindi cha Miaka Mitatu
#JFSports
Taarifa iliyotolewa na Yanga imesema Afisa Habari, Hassan Maulid Bumbuli anaondoka Jangwani baada ya kumaliza Mkataba wake
Bumbuli ameitumikia Klabu hiyo kwa kipindi cha Miaka Mitatu
#JFSports
👍4
UCHAGUZI KENYA: #DidmasBarasa aliyeshinda Ubunge wa Jimbo la #Kimilili amejisalimisha katika kituo cha Polisi baada ya kutoweka kwa siku 3
Anadaiwa kumuua kwa risasi Msaidizi wa Mpinzani wake, Brian Olunga usiku wa Agosti 9, 2022
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Anadaiwa kumuua kwa risasi Msaidizi wa Mpinzani wake, Brian Olunga usiku wa Agosti 9, 2022
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍5
KOREA KUSINI: BOSI WA SAMSUNG ASAMEHEWA KUNUSURU UCHUMI
Serikali imesema Lee Jae-yong atafutiwa kifungo ili kusaidia Nchi kuondokana na mzozo wa Uchumi
Alihukumiwa kwenda jela miezi 30 baada ya kukutwa na hatia ya Ubadhirifu na #Rushwa mwaka 2021
Soma - https://jamii.app/MsamahaWaKifungo
Serikali imesema Lee Jae-yong atafutiwa kifungo ili kusaidia Nchi kuondokana na mzozo wa Uchumi
Alihukumiwa kwenda jela miezi 30 baada ya kukutwa na hatia ya Ubadhirifu na #Rushwa mwaka 2021
Soma - https://jamii.app/MsamahaWaKifungo
👍12
Wataalamu wa #Afya wanasema suala la Maziwa ya Mama kuchacha yakiwa Kifuani ni Imani potofu ndani ya Jamii na ni jambo ambalo halina ukweli kwasababu Maziwa hayachachi yakiwa ndani ya Mwili
Endapo Mama ameajiriwa anashauriwa kufanya maandalizi mapema ya kukamua Maziwa na kuyagandisha kwenye Jokofu/Friji ili aweze kuyatumia kumlisha Mtoto pale likizo ya Uzazi inapomaliza
#BreastFeedingMom #WorldBreastFeedingWeek2022
Endapo Mama ameajiriwa anashauriwa kufanya maandalizi mapema ya kukamua Maziwa na kuyagandisha kwenye Jokofu/Friji ili aweze kuyatumia kumlisha Mtoto pale likizo ya Uzazi inapomaliza
#BreastFeedingMom #WorldBreastFeedingWeek2022
👍1
Hati Inayoridhisha hutolewa wakati Mkaguzi anaporidhika kuwa Hesabu za Mkaguliwa zimetayarishwa kwa usahihi na kwa kuzingatia Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu na vile vinavyotolewa na Bodi ya NBAA
Katika Ukaguzi wa Serikali Kuu, Mashirika ya Umma pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa, CAG alikagua Taasisi 712. Matokeo yanaonesha kuna ongezeko la 11% la Taasisi zilizopata Hati Zinazoridhisha
#JFUwajibikaji
Katika Ukaguzi wa Serikali Kuu, Mashirika ya Umma pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa, CAG alikagua Taasisi 712. Matokeo yanaonesha kuna ongezeko la 11% la Taasisi zilizopata Hati Zinazoridhisha
#JFUwajibikaji
👍5
#JFAFYA: Kampuni ya Johnson & Johnson imetangaza kuacha kuuza Poda yake ya Watoto Duniani kote ifikapo Mwaka 2023
Poda hizo zimezua hofu kwa watumiaji kwa madai ya kuwa na Kemikali za #talc zinazosababisha Saratani ya Ngozi
Soma - https://jamii.app/JJPowder
#PublicHealth
Poda hizo zimezua hofu kwa watumiaji kwa madai ya kuwa na Kemikali za #talc zinazosababisha Saratani ya Ngozi
Soma - https://jamii.app/JJPowder
#PublicHealth
👍4
AFRIKA KUSINI: Zaidi ya Tai 100 katika Hifadhi ya Wanyamapori ya #Kruger, wameripotiwa kufa baada ya kula mzoga wenye sumu
Ndege hao wanatajwa kuwa katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na idadi yao kuzidi kupungua
Soma - https://jamii.app/TaiWafaKwaSumu
#JFMazingira
Ndege hao wanatajwa kuwa katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na idadi yao kuzidi kupungua
Soma - https://jamii.app/TaiWafaKwaSumu
#JFMazingira
👍2😢1