UCHAGUZI KENYA: Maafisa wa Tume wameitisha Kikao cha Dharura baada ya sintofahamu kutokea katika Ukumbi wa kuhakiki kura za Urais, baada ya Kompyuta kuingizwa ukumbini kinyume na Taratibu
> Mchakato wa uhakiki umeahirishwa
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Mchakato wa uhakiki umeahirishwa
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
π3π2
MDAU: TABIA ZA FURSAβ
1. Fursa ina tabia ya Kufa na Kuzaliwa. Acha mazoea kwasababu Dunia inabadilika, ikibadlika Fursa pendwa hufa na mpya huzaliwa
2. Fursa hutengenezwa. Kutengeneza Fursa ni kuliona hitaji ambalo Watu wanalo japo wao hawaoni kama wanalo
Zaidi, soma - https://jamii.app/TabiaFursa
#JFSoC
1. Fursa ina tabia ya Kufa na Kuzaliwa. Acha mazoea kwasababu Dunia inabadilika, ikibadlika Fursa pendwa hufa na mpya huzaliwa
2. Fursa hutengenezwa. Kutengeneza Fursa ni kuliona hitaji ambalo Watu wanalo japo wao hawaoni kama wanalo
Zaidi, soma - https://jamii.app/TabiaFursa
#JFSoC
π4
KENYA: TUME YAKANUSHA MIFUMO YA KURA KUDUKULIWA
Tume ya Uchaguzi Nchini Kenya imesema mifumo yao ya kuhesabu kura haiwezi kudukuliwa
Wamesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu udukuzi wa mifumo ya kura si za kweli
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
Tume ya Uchaguzi Nchini Kenya imesema mifumo yao ya kuhesabu kura haiwezi kudukuliwa
Wamesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu udukuzi wa mifumo ya kura si za kweli
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
π3
VIJANA NA DIGITALI: Majukwaa ya Kidigitali yamefungua Fursa mbalimbali kwa Vijana ikiwemo Ajira, Ujasiriamali, Ubunifu, Maarifa/Elimu na kuongeza Ushiriki wao katika Masuala ya Kisiasa na Kidemokrasia
Ujuzi wa Kidigitali umekuwa hitaji muhimu katika maisha yetu ya kila siku, lakini kundi kubwa la watu bado linaachwa nyuma kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo gharama
Zaidi > https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022 #DigitalRights
Ujuzi wa Kidigitali umekuwa hitaji muhimu katika maisha yetu ya kila siku, lakini kundi kubwa la watu bado linaachwa nyuma kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo gharama
Zaidi > https://jamii.app/IYD2022
#YouthDay #IYD2022 #DigitalRights
π4
HOJA: SIRI ZA MAISHA NA MARAFIKI KATIKA KUFANIKIWA
1. Tengeneza 'Connection' na Watu ila usitengeneze urafiki kwasababu siyo rahisi Rafiki akubali upate zaidi yake. Usimwamini sana Rafiki yako kwasababu na yeye ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako
2. Ukiona kila Mtu anakurushia Mawe usijifariji kwamba Mti wenye Matunda ndio unaopigwa Mawe. Kuna Miti mingine inapigwa Mawe kwasababu ina Nyoka! Jitathmini
Zaidi, soma - https://jamii.app/SiriMaisha
#JamiiForums #Maisha
1. Tengeneza 'Connection' na Watu ila usitengeneze urafiki kwasababu siyo rahisi Rafiki akubali upate zaidi yake. Usimwamini sana Rafiki yako kwasababu na yeye ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako
2. Ukiona kila Mtu anakurushia Mawe usijifariji kwamba Mti wenye Matunda ndio unaopigwa Mawe. Kuna Miti mingine inapigwa Mawe kwasababu ina Nyoka! Jitathmini
Zaidi, soma - https://jamii.app/SiriMaisha
#JamiiForums #Maisha
π7π2
UCHAGUZI KENYA: TAREHE YA KUAPISHWA RAIS KUWA SIKUKUU RASMI YA UMMA
Taarifa imetolewa na Kamati ya Makabidhiano ya Madaraka na Ofisi ya Urais ambayo itawezesha mchakato wa Makabidhiano ya Ofisi kati ya Rais mstaafu na Rais Mteule
Zaidi https://jamii.app/Kenya2022
#KenyaDecides2022
Taarifa imetolewa na Kamati ya Makabidhiano ya Madaraka na Ofisi ya Urais ambayo itawezesha mchakato wa Makabidhiano ya Ofisi kati ya Rais mstaafu na Rais Mteule
Zaidi https://jamii.app/Kenya2022
#KenyaDecides2022
π6
MESSI AKOSEKANA KWENYE MAJINA YA KUWANIA TUZO YA BALLON DβOR
- Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu
- Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kuwania tuzo hiyo aliyoishinda mara 7
Soma https://jamii.app/MessiOutBallon
#JFSports
- Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu
- Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kuwania tuzo hiyo aliyoishinda mara 7
Soma https://jamii.app/MessiOutBallon
#JFSports
π7π4
POLISI: IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo, ACP Pili Omary Mande anakuwa RPC wa Lindi, ACP Marco Chillya anakuwa RPC wa Ruvuma
ACP Gaudianus Kamugisha anakuwa RPC wa Kusini Unguja
Soma > https://jamii.app/IGPWamburaUpdates
#JamiiForums
ACP Gaudianus Kamugisha anakuwa RPC wa Kusini Unguja
Soma > https://jamii.app/IGPWamburaUpdates
#JamiiForums
π4π2π1
MSIMAMIZI WA UCHAGUZI WA IEBC ATOWEKA
Daniel Musyoka ameripotiwa kutoweka na haijulikani alipo
Mara ya mwisho alionekana Agosti 11, 2022 katika Kituo cha Kuhesabia Kura, akasogea pembeni kuzungumza na simu, hakurudi
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Daniel Musyoka ameripotiwa kutoweka na haijulikani alipo
Mara ya mwisho alionekana Agosti 11, 2022 katika Kituo cha Kuhesabia Kura, akasogea pembeni kuzungumza na simu, hakurudi
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
π€11π4π€©4
UCHAGUZI #KENYA: RAIS KENYATTA KUKUTANA NA WATEULE WA CHAMA CHA AZIMIO
Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuzungumza na wateule wote wa Azimio kuhusu Matokeo ya Urais ambayo bado hayajawasilishwa kikamilifu na Tume ya Uchaguzi
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuzungumza na wateule wote wa Azimio kuhusu Matokeo ya Urais ambayo bado hayajawasilishwa kikamilifu na Tume ya Uchaguzi
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
π6π6
#KENYA: Wafuasi wa Raila Odinga wanadai kuna dalili za wizi wa kura katika baadhi ya maeneo ambayo William Ruto amepata kura nyingi
Wanadai kura katika vifaa vya KIEMS hazilingani na idadi iliyopo katika Makaratasi
Soma zaidi > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Wanadai kura katika vifaa vya KIEMS hazilingani na idadi iliyopo katika Makaratasi
Soma zaidi > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
π10
KENYA: Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kama Wakala wa Mgombea Urais, Raila Odinga amesababisha mzozo kwenye Kituo cha Kuhesabu Kura cha Runyenje-Embu baada kukutwa na Fomu za Matokeo
> Wakala wa Odinga aliyekuwepo kituoni hapo siku zote alikana kumfahamu mtu huyo
Zaidi - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Wakala wa Odinga aliyekuwepo kituoni hapo siku zote alikana kumfahamu mtu huyo
Zaidi - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
π5π€4
#KENYA: Uamuzi wa kesi iliyofunguliwa kuzuia uapisho wa Mgombea Urais William Ruto na Mgombea Mwenza wake, Rigathi Gachagua ikiwa watashinda Uchaguzi unatarajiwa kutolewa Agosti 16, 2022
Wanaharakati waliofungua kesi wanadai Gachagua hafai kushika wadhifa huo
#KenyaDecides2022
Wanaharakati waliofungua kesi wanadai Gachagua hafai kushika wadhifa huo
#KenyaDecides2022
π5
MATOKEO: TUME YA UCHAGUZI YAONDOA KURA 10,000 ZILIZOMBEBA RUTO
IEBC imesahihisha idadi hiyo kutoka eneo la Kiambu baada ya kuripotiwa makosa kwenye Fomu 34B
Takwimu zinazotajwa kuwa sahihi zinaonesha William Ruto ana Kura 41,050 na si 51,050 zilizotajwa awali
#KenyaDecides2022
IEBC imesahihisha idadi hiyo kutoka eneo la Kiambu baada ya kuripotiwa makosa kwenye Fomu 34B
Takwimu zinazotajwa kuwa sahihi zinaonesha William Ruto ana Kura 41,050 na si 51,050 zilizotajwa awali
#KenyaDecides2022
π9π€4β€1π1
UCHAGUZI KENYA: TAREHE YA KUFUNGUA SHULE YASOGEZWA MBELE
Shule zitafunguliwa Agosti 18, 2022 badala ya Agosti 15, 2022 (Jumatatu ijayo) iliyotangazwa awali kwasababu zoezi la kuhesabu Kura bado linaendelea
Shule zilifungwa ghafla mwanzoni mwa Mwezi Agosti, kitendo ambacho Wazazi wengi hawakufurahia. Hali hiyo ilipelekea Waziri wa Elimu, George Magoha kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
#KenyaDecides2022
Shule zitafunguliwa Agosti 18, 2022 badala ya Agosti 15, 2022 (Jumatatu ijayo) iliyotangazwa awali kwasababu zoezi la kuhesabu Kura bado linaendelea
Shule zilifungwa ghafla mwanzoni mwa Mwezi Agosti, kitendo ambacho Wazazi wengi hawakufurahia. Hali hiyo ilipelekea Waziri wa Elimu, George Magoha kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
#KenyaDecides2022
π5
MONTENEGRO: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 34 aliyetumia bunduki ya kuwinda Wanyama, ameua Watu 11 kati yao wakiwemo Watoto wawili katika Mji wa Cetinje
> Raia walimuua Mtu huyo ambaye aliingia mtaani na kuanza kushambulia Watu kwa risasi
#JFMatukio
> Raia walimuua Mtu huyo ambaye aliingia mtaani na kuanza kushambulia Watu kwa risasi
#JFMatukio
π6π3π€1
MDAU: MKONO MTUPU HAULAMBWI
Anasema tumekuwa tukiwalaumu Watu waliofanikiwa Kimaisha kuwa wanapendelewa, lakini hatujui ni juhudi kiasi gani waliweka
Anashauri kujitahidi kuchangamana na kujihusisha na Watu unaokutana nao. Pia, usiwe muoga wa kuwasiliana na Watu kadiri unavyopata nafasi, na sio pale tu unapokuwa na shida
Unakubaliana na mawazo yake?
Tembelea - https://jamii.app/MkonoMtupu
#JFSoC #Maisha
Anasema tumekuwa tukiwalaumu Watu waliofanikiwa Kimaisha kuwa wanapendelewa, lakini hatujui ni juhudi kiasi gani waliweka
Anashauri kujitahidi kuchangamana na kujihusisha na Watu unaokutana nao. Pia, usiwe muoga wa kuwasiliana na Watu kadiri unavyopata nafasi, na sio pale tu unapokuwa na shida
Unakubaliana na mawazo yake?
Tembelea - https://jamii.app/MkonoMtupu
#JFSoC #Maisha
π6π5π1
MAREKANI: MWANDISHI WA 'AYA ZA SHETANI' ASHAMBULIWA KWA KISU
- Salman Rushdie, Mwandishi wa Fasihi ambaye amekuwa akikabiliwa na kitisho cha kuuawa kutokana na Uandishi wake, amechomwa Kisu Mjini #NewYork na yuko katika Hali mbaya
Soma - https://jamii.app/RushdieStabbed
- Salman Rushdie, Mwandishi wa Fasihi ambaye amekuwa akikabiliwa na kitisho cha kuuawa kutokana na Uandishi wake, amechomwa Kisu Mjini #NewYork na yuko katika Hali mbaya
Soma - https://jamii.app/RushdieStabbed
π13π€2
#KENYA: SERIKALI YASITISHA RUZUKU YA UNGA
Uamuzi huo utakaowatalazimu Wananchi kununua Unga wa Mahindi kwa bei ya juu, umechukuliwa baada ya Mfuko wa Hazina ya Taifa kushindwa kulipa Ruzuku kutokana na uhaba wa Fedha
Soma - https://jamii.app/RuzukuYaUnga
#Governance
Uamuzi huo utakaowatalazimu Wananchi kununua Unga wa Mahindi kwa bei ya juu, umechukuliwa baada ya Mfuko wa Hazina ya Taifa kushindwa kulipa Ruzuku kutokana na uhaba wa Fedha
Soma - https://jamii.app/RuzukuYaUnga
#Governance
π4π’1
UDUMAVU KWA WATOTO IRINGA NI 47%
Takwimu za udumavu kwa Watoto chini ya umri wa Miaka mitano Iringa zinaonesha, Watoto 47 kati ya 100 wamedumaa
Wazazi wametakiwa kuwapa Lishe bora Watoto ikiwemo Samaki na Maziwa
Soma > https://jamii.app/UdumavuIringa
#JFAfya #HakiMtoto
Takwimu za udumavu kwa Watoto chini ya umri wa Miaka mitano Iringa zinaonesha, Watoto 47 kati ya 100 wamedumaa
Wazazi wametakiwa kuwapa Lishe bora Watoto ikiwemo Samaki na Maziwa
Soma > https://jamii.app/UdumavuIringa
#JFAfya #HakiMtoto
π6