LINGARD ATIMKIA NOTTINGHAM FOREST
Mchezaji wa zamani wa Man. United, Jesse Lingard (29) amejiunga na Nottingham baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja
Amechagua kujiunga na Klabu hiyo iliyopanda daraja msimu huu licha ya kuwaniwa pia na West Ham United na Everton
#JFSports
Mchezaji wa zamani wa Man. United, Jesse Lingard (29) amejiunga na Nottingham baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja
Amechagua kujiunga na Klabu hiyo iliyopanda daraja msimu huu licha ya kuwaniwa pia na West Ham United na Everton
#JFSports
π8π4π3π1π€―1
PAPE SAKHO ASHINDA TUZO YA GOLI BORA CAF
Ameshinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za CAF. Alifunga Goli hilo dhidi ya ASEC Mimosas, Februari 13, 2022
Amewashinda Gabadinho wa Orlando na El Moutaraji wa Wydad
Soma > https://jamii.app/GoliBoraCAF
#CAFAwards2022 #JFSports
Ameshinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za CAF. Alifunga Goli hilo dhidi ya ASEC Mimosas, Februari 13, 2022
Amewashinda Gabadinho wa Orlando na El Moutaraji wa Wydad
Soma > https://jamii.app/GoliBoraCAF
#CAFAwards2022 #JFSports
π34β€9π2
COLOMBO, SRI LANKA: Vikosi vya Usalama vimevamia kambi ya Waandamanaji na kuwafukuza waliokuwa nje ya Ofisi ya Rais
Baada ya kuapishwa, Rais Ranil Wickremesinghe alionya kuwa watakaoweka makazi kwenye majengo ya Serikali watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/SLProtestors
#Democracy
Baada ya kuapishwa, Rais Ranil Wickremesinghe alionya kuwa watakaoweka makazi kwenye majengo ya Serikali watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/SLProtestors
#Democracy
π5π3
KITU GANI HUSABABISHA CHUKI KAZINI?
Mdau wa JamiiForums.com anasema ni dhahiri Binadamu tunatofautiana, lakini chuki, visasi, ubaya na mengine yasiyopendeza huletwa na nini?
Anauliza: Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo? Unajua zaidi yao na unaonekana tishio? Au inatokea tu Mtu kukuchukia bila sababu ya msingi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ChukiKazini
#JFMaisha
Mdau wa JamiiForums.com anasema ni dhahiri Binadamu tunatofautiana, lakini chuki, visasi, ubaya na mengine yasiyopendeza huletwa na nini?
Anauliza: Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo? Unajua zaidi yao na unaonekana tishio? Au inatokea tu Mtu kukuchukia bila sababu ya msingi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ChukiKazini
#JFMaisha
π7π€4π€©1
KENYA: Tume Huru ya Uchaguzi imesema kukamatwa kwa Wakandarasi wa Smartmatic International BV kutaathiri Uchaguzi kwa kuwa hao ndio Wawekaji na Wasimamizi ya Teknolojia ya Uchaguzi
> Mamlaka hazijaweka wazi sababu za kuwashikilia Wakandarasi hao
Soma https://jamii.app/UchaguziKenya2022
#Kenya2022
> Mamlaka hazijaweka wazi sababu za kuwashikilia Wakandarasi hao
Soma https://jamii.app/UchaguziKenya2022
#Kenya2022
π5π€©5
Kwa mujibu wa Ripoti ya mwaka 2021 ya Taasisi ya Article 19, #UhuruWaKujieleza unaendelea kupotezwa polepole lakini kwa nguvu kubwa katika maeneo mbalimbali duniani
Bila mtiririko huru wa mawazo na ukosoaji, Jamii haiwezi kuchochea ustawi wa wengi. Katika Nchi yoyote, Raia wanapokosa Uhuru wa Kuzungumza inakuwa ngumu kutatua matatizo yanayohitaji kutatuliwa
Soma zaidi - https://jamii.app/UhuruKujieleza1
#FreedomOfExpression
Bila mtiririko huru wa mawazo na ukosoaji, Jamii haiwezi kuchochea ustawi wa wengi. Katika Nchi yoyote, Raia wanapokosa Uhuru wa Kuzungumza inakuwa ngumu kutatua matatizo yanayohitaji kutatuliwa
Soma zaidi - https://jamii.app/UhuruKujieleza1
#FreedomOfExpression
π5β€1
HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAPINGA KUFUKUZWA CHADEMA MAHAKAMANI
Katika Shauri walilofungua, wanapinga uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya kukubali kuapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum bila ridhaa ya Chama
Soma - https://jamii.app/Wabunge19Kesi
#JFSiasa
Katika Shauri walilofungua, wanapinga uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya kukubali kuapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum bila ridhaa ya Chama
Soma - https://jamii.app/Wabunge19Kesi
#JFSiasa
π4π€1
Pengo kati ya Wanaume na Wanawake katika upatikanaji na matumizi ya Intaneti ni changamoto duniani kote. Asilimia kubwa ya watu Bilioni 2.9 ambao hawafikiwi na Huduma hiyo ni Wanawake na Wasichana
Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya sababu kubwa ni Kipato, Eneo na Elimu
Soma zaidi - https://jamii.app/PengoDigitali2
#DigitalRights
Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya sababu kubwa ni Kipato, Eneo na Elimu
Soma zaidi - https://jamii.app/PengoDigitali2
#DigitalRights
π4π2
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#Ajira
#Ajira
UGONJWA WA #MONKEYPOX: Wataalamu wa Afya wa #WHO wamekutana kujadiliana kuona kama kuna ulazima wa kutangaza ugonjwa huo kuwa ni hali ya dharura
> Kuna kesi 15,400 za maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu Mei 2022
Soma https://jamii.app/MonkeypoxUpdates
#JFAfya
> Kuna kesi 15,400 za maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu Mei 2022
Soma https://jamii.app/MonkeypoxUpdates
#JFAfya
π5
DAR: Watu 9 wanashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na tukio la Ujambazi lililotokea usiku wa kuamkia leo Julai 22, 2022 ktk Kiwanda cha Sheri-Keko, Wilaya ya Temeke
> Wamekutwa na gari (T201 DXN) aina ya Toyota Hiace ikiwa imebeba mali za wizi
Soma https://jamii.app/WahalifuDar
> Wamekutwa na gari (T201 DXN) aina ya Toyota Hiace ikiwa imebeba mali za wizi
Soma https://jamii.app/WahalifuDar
π7π1
DODOMA: Serikali imewapa siku 7 Wakazi wa Msalato waliojiorodhesha kudai fidia katika ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato wakitambua wao si wamiliki halali wa viwanja, kufuta majina yao Ofisi za Serikali ya Mtaa
> Watakaokaidi watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/ArdhiDodoma
#JFUwajibikaji
> Watakaokaidi watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/ArdhiDodoma
#JFUwajibikaji
π5
UBAKAJI NA ULAWITI MBIONI KUKOSA DHAMANA
Serikali inakusudia kurekebisha Sheria ili kuwezesha kuwajibishwa kwa Watuhumiwa wa makosa hayo kikamilifu
> Ni baada ya utafiti kuonesha Watuhumiwa hutoroka au kumalizana na Waathirika kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/UbakajiDhamana
#JFUwajibikaji
Serikali inakusudia kurekebisha Sheria ili kuwezesha kuwajibishwa kwa Watuhumiwa wa makosa hayo kikamilifu
> Ni baada ya utafiti kuonesha Watuhumiwa hutoroka au kumalizana na Waathirika kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/UbakajiDhamana
#JFUwajibikaji
π7
KENYA: Jacob Ochola, (62) anayedai kuwa Mtoto wa kwanza wa Rais Mwai Kibaki, amefungua shauri la kutaka kutambuliwa na familia ya Hayati huyo kama Mwanafamilia na sehemu ya Warithi
> Pia, ametaka familia kuweka wazi iwapo ametajwa kwenye wosia
Soma https://jamii.app/KibakisAllegedSon
#JamiiForums
> Pia, ametaka familia kuweka wazi iwapo ametajwa kwenye wosia
Soma https://jamii.app/KibakisAllegedSon
#JamiiForums
π18π€3π1π€―1
RUSHWA YA NGONO VYUONI: UNESCO imezindua Dawati la Jinsia katika Chuo Kikuu cha Dodoma kushughulikia ukatili wa aina hiyo
> Unadhani nini kifanyike kuondoa ukatili wa kijinsia Vyuoni Nchini?
Soma https://jamii.app/UkatiliVyuoni
#GenderViolence #KemeaRushwa #HumanRights
> Unadhani nini kifanyike kuondoa ukatili wa kijinsia Vyuoni Nchini?
Soma https://jamii.app/UkatiliVyuoni
#GenderViolence #KemeaRushwa #HumanRights
π16π€©1
MALEZI: Tabia ya Watoto kupelekwa kwa Babu na Bibi kisha kutojaliwa katika matunzo imetajwa kuongezeka Mkoani Njombe
Inaelezwa, wanaathirika wengi wa ukatili ni wale wanaolelewa na Babu na Bibi zao huku Wazazi wakiwa na migogoro au majukumu mengine
Soma https://jamii.app/HakiZaMtotoNjombe
#HakiMtoto
Inaelezwa, wanaathirika wengi wa ukatili ni wale wanaolelewa na Babu na Bibi zao huku Wazazi wakiwa na migogoro au majukumu mengine
Soma https://jamii.app/HakiZaMtotoNjombe
#HakiMtoto
π5π’1
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta baada ya kuhitimishwa kwa mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Rais Kenyatta anamalizia Muhula wake kama Kiongozi wa Kenya, pia ameshakabidhi Uenyekiti wa EAC kwa Rais wa Burundi, Γvariste Ndayishimiye
#Governance
Rais Kenyatta anamalizia Muhula wake kama Kiongozi wa Kenya, pia ameshakabidhi Uenyekiti wa EAC kwa Rais wa Burundi, Γvariste Ndayishimiye
#Governance
π11β€1
MAUZO YA NAFAKA: UKRAINE NA URUSI ZASAINI MAKUBALIANO
Ni makubaliano ya kuruhusu mauzo ya nafaka kutoka Bandari ya Bahari Nyeusi ya Ukraine yanayolenga kupunguza uhaba wa Chakula duniani
Vita ilisababisha Bandari kufungwa na kukwamisha usafirishaji
Soma https://jamii.app/RussiaUkraineWar
#FoodSecurity
Ni makubaliano ya kuruhusu mauzo ya nafaka kutoka Bandari ya Bahari Nyeusi ya Ukraine yanayolenga kupunguza uhaba wa Chakula duniani
Vita ilisababisha Bandari kufungwa na kukwamisha usafirishaji
Soma https://jamii.app/RussiaUkraineWar
#FoodSecurity
π11π5
MAREKANI YATOA SILAHA ZA TSH. BILIONI 627 KWA UKRAINE
Msaada unahusisha roketi 4 za HIMARS, ndege 580 ndogo zisizo na rubani, risasi 36,000 za bunduki za M777
> Marekani imetumia jumla ya Tsh. Trilioni 19 kuisaidia Ukraine tangu kuanza kwa vita
Soma https://jamii.app/MsaadKwaUkraine
#Transparency
Msaada unahusisha roketi 4 za HIMARS, ndege 580 ndogo zisizo na rubani, risasi 36,000 za bunduki za M777
> Marekani imetumia jumla ya Tsh. Trilioni 19 kuisaidia Ukraine tangu kuanza kwa vita
Soma https://jamii.app/MsaadKwaUkraine
#Transparency
π€12π8π7π3π₯2
CHUNYA-MBEYA: Change Mawanga (32) amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kumbaka na kumlawiti Mtoto (4) wa dada yake
Ukatili huo unashamiri Wilayani Chunya kutokana na imani kuwa mtu akibaka au kulawiti mtoto hupata dhahabu
> Nini kifanyike kukomesha ukatili huu kwa Watoto?
Soma https://jamii.app/JelaUbakaji
#HakiMtoto
Ukatili huo unashamiri Wilayani Chunya kutokana na imani kuwa mtu akibaka au kulawiti mtoto hupata dhahabu
> Nini kifanyike kukomesha ukatili huu kwa Watoto?
Soma https://jamii.app/JelaUbakaji
#HakiMtoto
π12