KUFUZU CHAN 2023: SOMALIA 0-1 TANZANIA
#TaifaStars imeshinda 1-0 dhidi ya Somalia, goli likifungwa na Abdul Hamis Sopu
Mchezo huo wa Kufuzu CHAN 2023 umefanyika katika Uwanja wa Mkapa, na timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo katika uwanja huo huo
Soma > https://jamii.app/KufuzuCHAN2023
#JFSports #CHAN2023
#TaifaStars imeshinda 1-0 dhidi ya Somalia, goli likifungwa na Abdul Hamis Sopu
Mchezo huo wa Kufuzu CHAN 2023 umefanyika katika Uwanja wa Mkapa, na timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo katika uwanja huo huo
Soma > https://jamii.app/KufuzuCHAN2023
#JFSports #CHAN2023
👍24😁7👏4
HUDUMA YA INTANETI: NINI MAONI YAKO KUHUSU MABADILIKO YA VIFURUSHI?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wamelalamikia kitendo cha baadhi ya Kampuni za Simu kupunguza ukubwa wa Vifurushi vya Intaneti ghafla, na pasipo taarifa rasmi
Wanahoji: Je, Kampuni za Simu zinafanya zitakavyo? Zitaendelea kubadilisha Vifurushi vya Intaneti bila kutoa taarifa mpaka lini?
Mjadala > https://jamii.app/HudumaIntanetiTZ
#DigitalRights
Wadau ndani ya JamiiForums.com wamelalamikia kitendo cha baadhi ya Kampuni za Simu kupunguza ukubwa wa Vifurushi vya Intaneti ghafla, na pasipo taarifa rasmi
Wanahoji: Je, Kampuni za Simu zinafanya zitakavyo? Zitaendelea kubadilisha Vifurushi vya Intaneti bila kutoa taarifa mpaka lini?
Mjadala > https://jamii.app/HudumaIntanetiTZ
#DigitalRights
😱12👍10😢2😁1
MDAU: KUFANYA MAZOEZI KANDO YA BARABARA SI SALAMA
Anasema wengi wa wanaokimbia kando ya barabara hugongwa na Vyombo vya Usafiri kwani wanakimbia bila tahadhari
Pia, moshi wa Vyombo vya Usafiri si salama kwa anayekimbia
Soma zaidi - https://jamii.app/JoggingBarabarani
#JFAfya
Anasema wengi wa wanaokimbia kando ya barabara hugongwa na Vyombo vya Usafiri kwani wanakimbia bila tahadhari
Pia, moshi wa Vyombo vya Usafiri si salama kwa anayekimbia
Soma zaidi - https://jamii.app/JoggingBarabarani
#JFAfya
👍22
CHANJO YA COVID-19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na Corona kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya Watu kuambukizwa Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/ChanjoMabadiliko
#COVID19 #JFAfya
Soma https://jamii.app/ChanjoMabadiliko
#COVID19 #JFAfya
👍6👎2🎉1
RAILA ODINGA: SIPO TAYARI KUSHIRIKI MDAHALO NA RUTO
Amesema hayupo tayari kushirikiana na Mpinzani wake mkuu kwa madai
ni wazo baya kuungana na William Ruto jukwaani, kwani Kiongozi huyo atafanya na kusema lolote ili kupata Madaraka
Soma - https://jamii.app/RailaRutoDebate
#Kenya2022
Amesema hayupo tayari kushirikiana na Mpinzani wake mkuu kwa madai
ni wazo baya kuungana na William Ruto jukwaani, kwani Kiongozi huyo atafanya na kusema lolote ili kupata Madaraka
Soma - https://jamii.app/RailaRutoDebate
#Kenya2022
👍11😁5
Mdau wa JamiiForums.com anasema
Muonekano, mali, kazi na elimu visiwe vigezo vya kuchagua mwenza wa maisha
Ameshauri kuzingatia mwenye hofu ya Mungu na kujali, kukuheshimu, na mshauri wa mambo ya kimaendeleo
> Je, una maoni gani kwenye hoja ya Mdau?
Soma https://jamii.app/MwenzaWaMaisha
#JFMahusiano
Muonekano, mali, kazi na elimu visiwe vigezo vya kuchagua mwenza wa maisha
Ameshauri kuzingatia mwenye hofu ya Mungu na kujali, kukuheshimu, na mshauri wa mambo ya kimaendeleo
> Je, una maoni gani kwenye hoja ya Mdau?
Soma https://jamii.app/MwenzaWaMaisha
#JFMahusiano
👍18
MALAYSIA: Zaidi ya Watu 500 wamekusanyika na kuandamana wakilalamikia gharama za maisha kuwa kubwa Jijini Kuala Lumpur
> Wanalalamikia ongezeko la bei za bidhaa, usalama wa chakula na misaada kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/ProtestInMalaysia
#Governance
> Wanalalamikia ongezeko la bei za bidhaa, usalama wa chakula na misaada kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/ProtestInMalaysia
#Governance
👍13🔥2😁1
#TUNISIA: RASIMU YA KATIBA MPYA KUPIGIWA KURA
Katiba hiyo inayolalamikiwa kumpa Madaraka makubwa Rais Kais Saied imepingwa na Vyama vya Siasa pamoja na Asasi za Kiraia. Hivi karibuni yamekuwepo Maandamano ya kutoiunga mkono
Wakosoaji wa Rais Saied wanahofia itaua Demokrasia
Soma - https://jamii.app/TunisiaVotes
#Democracy
Katiba hiyo inayolalamikiwa kumpa Madaraka makubwa Rais Kais Saied imepingwa na Vyama vya Siasa pamoja na Asasi za Kiraia. Hivi karibuni yamekuwepo Maandamano ya kutoiunga mkono
Wakosoaji wa Rais Saied wanahofia itaua Demokrasia
Soma - https://jamii.app/TunisiaVotes
#Democracy
👍11
WAKIMBIZI 17 WAFARIKI WAKIWA NJIANI KWENDA MAREKANI
Ni baada ya Mashua waliyokuwa wakitumia kuzama baharini. Mbali na vifo vya Wakimbizi hao waliotoka Haiti, watu wengine hawajulikani walipo
Mashua hiyo ilikuwa inaelekea Jijini Miami
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi17Haiti
#DrowningPrevention
Ni baada ya Mashua waliyokuwa wakitumia kuzama baharini. Mbali na vifo vya Wakimbizi hao waliotoka Haiti, watu wengine hawajulikani walipo
Mashua hiyo ilikuwa inaelekea Jijini Miami
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi17Haiti
#DrowningPrevention
😢4👎1
Kuzama kwenye Maji kunatajwa kuwa tatizo kubwa la #Afya ya Umma duniani, na inakadiriwa Watu wapatao 236,000 huzama kila mwaka. Nchi za Uchumi wa Chini na Kati huchangia zaidi ya 90% ya vifo vya kuzama bila kukusudia
Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, kuzama kwenye maji ni miongoni mwa sababu kuu za vifo kwa Watoto na Vijana wenye umri kati ya mwaka 1 - 24
Fahamu zaidi - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention #PublicHealth
Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, kuzama kwenye maji ni miongoni mwa sababu kuu za vifo kwa Watoto na Vijana wenye umri kati ya mwaka 1 - 24
Fahamu zaidi - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention #PublicHealth
👍11
TFF YAMSHTAKI KOCHA AZAM FC KISA VYETI VYAKE
Sekretarieti ya TFF imemshtaki Kocha wa Azam FC U-17, Mohamed Badru kwa Kamati ya Maadili kwa madai ya kuwasilisha vyeti visivyo sahihi
Shauri lake litapangiwa tarehe ya kusikilizwa
Soma > https://jamii.app/KochaAzamFC
#JFSports
Sekretarieti ya TFF imemshtaki Kocha wa Azam FC U-17, Mohamed Badru kwa Kamati ya Maadili kwa madai ya kuwasilisha vyeti visivyo sahihi
Shauri lake litapangiwa tarehe ya kusikilizwa
Soma > https://jamii.app/KochaAzamFC
#JFSports
👍6😁3🤩1
Ili kukabiliana na Ajali za kuzama katika Jamii, inashauriwa;
1) Kuweka vizuizi katika maeneo ya maji ili kuepusha Watoto kuyafikia pasipo uangalizi
2) Kuhimiza Mafunzo ya Kuogelea, Usalama wa Majini na Uokoaji
Zaidi, soma - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention
1) Kuweka vizuizi katika maeneo ya maji ili kuepusha Watoto kuyafikia pasipo uangalizi
2) Kuhimiza Mafunzo ya Kuogelea, Usalama wa Majini na Uokoaji
Zaidi, soma - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention
👍6👏1
DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan ameshauri ujenzi wa Mnara mpya wa Mashujaa kwa kuwa uliopo umekuwa mdogo kutokana na kukua kwa Mji
> Pia, Rais ameshauri utengenezwe utaratibu wa Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yenye gharama nafuu
Soma https://jamii.app/MashujaaMnara
#JFUwajibikaji
> Pia, Rais ameshauri utengenezwe utaratibu wa Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yenye gharama nafuu
Soma https://jamii.app/MashujaaMnara
#JFUwajibikaji
👍18🥰1
KENYA: Polisi wamevamia ofisi zinazoaminika kuwa na uhusiano na Naibu Rais, William Ruto na kuchukua Kompyuta 2 na Seva (Server) 2
> Uvamizi huo unajiri huku kukiwa na mvutano kati ya Vikosi vya Usalama na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)
Soma https://jamii.app/UvamiziOfisi
#Kenya2022
> Uvamizi huo unajiri huku kukiwa na mvutano kati ya Vikosi vya Usalama na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)
Soma https://jamii.app/UvamiziOfisi
#Kenya2022
👍5👎3
MISRI: Mahakama imeliandikia Bunge barua ya kutaka kufanyike marekebisho ya Sheria ili kuruhusu matangazo ya moja kwa moja ya Televisheni ya kunyongwa kwa Mohammed Adel (22) kwa lengo la kuzuia Vitendo vya Ukatili kwa Wanawake
Mohammed alihukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumchoma visu hadi kufa Nayera Ashraf akiwa maeneo ya nje ya Chuo
Soma https://jamii.app/KunyongwaMisri
#SocialJustice #GenderViolence
Mohammed alihukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumchoma visu hadi kufa Nayera Ashraf akiwa maeneo ya nje ya Chuo
Soma https://jamii.app/KunyongwaMisri
#SocialJustice #GenderViolence
👏8👍4🤔2👎1🔥1
HAJI MANARA: MIMI BADO MSEMAJI WA YANGA
Amesema anaendelea kufanya shughuli za Klabu ya Yanga kwa kuwa hajapata hukumu kutoka Kamati ya Maadili ya TFF
> Pia, amewasilisha malalamiko yake BMT akidai kanuni zilizotumika hazijasajiliwa
Soma https://jamii.app/ManaraNaTFF
#JFSports
Amesema anaendelea kufanya shughuli za Klabu ya Yanga kwa kuwa hajapata hukumu kutoka Kamati ya Maadili ya TFF
> Pia, amewasilisha malalamiko yake BMT akidai kanuni zilizotumika hazijasajiliwa
Soma https://jamii.app/ManaraNaTFF
#JFSports
👏16💩10👍3👎3😁2🤩2🎉1
MYANMAR: Wanaharakati wanne wa demokrasia wamenyongwa na Jeshi wakituhumiwa kusaidia Waasi kupigana na Jeshi lililochukua Mamlaka ktk Mapinduzi 2021
> Wanaharakati hao ni Kyaw Min Yu, Phyo Zeya Thaw, Hla Myo Aung na Aung Thura Zaw
Soma https://jamii.app/WanaharakatiWanyongwa
#Democracy
> Wanaharakati hao ni Kyaw Min Yu, Phyo Zeya Thaw, Hla Myo Aung na Aung Thura Zaw
Soma https://jamii.app/WanaharakatiWanyongwa
#Democracy
👍9👎1🤯1
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameipa Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Bohari ya Dawa siku 67 kuibadilisha bohari hiyo kiutendaji
> Aidha, ameagiza kurudishwa kwa Mifumo ya TEHAMA iliyosaidia kudhibiti mianya ya ubadhirifu ndani ya Taasisi hiyo
Soma https://jamii.app/MabadilikoMSD
#KemeaRushwa
> Aidha, ameagiza kurudishwa kwa Mifumo ya TEHAMA iliyosaidia kudhibiti mianya ya ubadhirifu ndani ya Taasisi hiyo
Soma https://jamii.app/MabadilikoMSD
#KemeaRushwa
👍7🤔6
MDAU: Rushwa ni mwenendo usiofaa anaoufanya mtu kwa manufaa yake binafsi. Ili kukabiliana na tatizo hilo, Elimu itolewe kwa wananchi ili waweze kujua Haki zao za Msingi. Pia kuwepo na Usimamizi mzuri wa Mali/Fedha
Pia, kuwepo kwa njia wezeshi za watu kujiajiri kutafanya Rushwa ipungue na kuleta Maendeleo yenye Tija Nchini
Msome > https://jamii.app/MdauRushwa
#KemeaRushwa
Pia, kuwepo kwa njia wezeshi za watu kujiajiri kutafanya Rushwa ipungue na kuleta Maendeleo yenye Tija Nchini
Msome > https://jamii.app/MdauRushwa
#KemeaRushwa
👍11❤2
#JFSPORTS: Cristiano Ronaldo amerejea Jijini Manchester na anatarajiwa kuwa na mazungumzo na Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag kuhusu hatma yake
> Inadaiwa aliiambia klabu yake anataka kuondoka lakini hadi sasa hakuna timu iliyoonesha uhakika wa kumsajili
Soma https://jamii.app/CR7ManUtd
> Inadaiwa aliiambia klabu yake anataka kuondoka lakini hadi sasa hakuna timu iliyoonesha uhakika wa kumsajili
Soma https://jamii.app/CR7ManUtd
👍9😁3