MTWARA: Gari lenye Namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David limepata ajali leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi 8, Dereva na Msaidizi wa Wanafunzi
> Chanzo cha ajali bado hakijajulikana
Soma https://jamii.app/AjaliGariLaShule
#JFMatukio
> Chanzo cha ajali bado hakijajulikana
Soma https://jamii.app/AjaliGariLaShule
#JFMatukio
😢29😱7👍1
#MICHEZO: Wakili wa Taasisi za Filbert Bayi, Karoli Tarimo ameiomba Mahakama iruhusu kulikamata basi la TFF ili kulipa deni la Tsh. 56,446,700
Deni hilo ni gharama ya kambi kwa Timu za Vijana wa Miaka 13, 15, 17 na ile ya Wanawake Kibaha
Soma - https://jamii.app/BasiTFF
#JFSports
Deni hilo ni gharama ya kambi kwa Timu za Vijana wa Miaka 13, 15, 17 na ile ya Wanawake Kibaha
Soma - https://jamii.app/BasiTFF
#JFSports
😁14👍10
ZIMBABWE: Benki Kuu imezindua sarafu za dhahabu ktk juhudi za kukabiliana na ongezeko la Mfumuko wa Bei wakati sarafu ya nchi hiyo ikizidi kushuka thamani
> Kila sarafu itawekewa bei kwa kiwango cha Soko la Kimataifa kwa 'ounce' 1 ya dhahabu
Soma https://jamii.app/ZimbabweInflation
#JFUchumi
> Kila sarafu itawekewa bei kwa kiwango cha Soko la Kimataifa kwa 'ounce' 1 ya dhahabu
Soma https://jamii.app/ZimbabweInflation
#JFUchumi
👍21❤3
ULINZI KIDIGITALI: Ulinzi na Usalama wa Mtoto Mtandaoni haumaanishi kudhibiti anayoyaona tu au Watu anaoongea nao, lakini ni pamoja na kuzuia vitendo vyote vinavyofanyika Mtandaoni kuutweza utu wake
Maudhui ya Mtoto ambaye hawezi kusoma akichekwa, Mtoto akipigwa, akiongea maneno ambayo hayalingani na umri wake, Watoto wakipigana n.k ni matukio yanayoweza kurekebishwa bila kuwekwa Mtandaoni.
Soma - https://jamii.app/MtandaoWatoto
#OnlineSafety #DigitalRights
Maudhui ya Mtoto ambaye hawezi kusoma akichekwa, Mtoto akipigwa, akiongea maneno ambayo hayalingani na umri wake, Watoto wakipigana n.k ni matukio yanayoweza kurekebishwa bila kuwekwa Mtandaoni.
Soma - https://jamii.app/MtandaoWatoto
#OnlineSafety #DigitalRights
👍6
MANYARA: ATUHUMIWA KUMUUA MKEWE KISA TSH. ELFU 10
Petro Basco (38) Mkazi wa Gabadaw-Babati anatuhumiwa kumpiga mkewe Maria Sakware (49) kwa fimbo na kumsababisha kifo
> Inadaiwa Petro alimtuhumu Maria kuchukua pesa Tsh. 10,000
Soma https://jamii.app/MauajiManyara
#JFMatukio
Petro Basco (38) Mkazi wa Gabadaw-Babati anatuhumiwa kumpiga mkewe Maria Sakware (49) kwa fimbo na kumsababisha kifo
> Inadaiwa Petro alimtuhumu Maria kuchukua pesa Tsh. 10,000
Soma https://jamii.app/MauajiManyara
#JFMatukio
🤔6👎2😢2🥰1
TETESI: JUVENTUS YAMUWINDA WERNER AU MARTIAL
Juventus inamtaka Timo Werner (Chelsea) au Anthony Martial (Man. Utd) iwapo haitampata Alvaro Morata (Atletico Madrid)
Kocha wa Juve, Max Allegri amemtaja Morata kama mchezaji aliyeweza kukamilisha safu yake ya Ushambuliaji
#JFSports
Juventus inamtaka Timo Werner (Chelsea) au Anthony Martial (Man. Utd) iwapo haitampata Alvaro Morata (Atletico Madrid)
Kocha wa Juve, Max Allegri amemtaja Morata kama mchezaji aliyeweza kukamilisha safu yake ya Ushambuliaji
#JFSports
👍8👎1
UGANDA: Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya Waandamanaji wanaopinga kupanda kwa bei ya mafuta na vyakula
> Aidha, Rais Museveni amesema kupunguza kodi/kutoa ruzuku ili kujaribu kudhibiti Mfumuko wa Bei ni kuwapa Watu 'Faraja Bandia'
Soma https://jamii.app/UgandaProtests
#Democracy #InflationCrisis
> Aidha, Rais Museveni amesema kupunguza kodi/kutoa ruzuku ili kujaribu kudhibiti Mfumuko wa Bei ni kuwapa Watu 'Faraja Bandia'
Soma https://jamii.app/UgandaProtests
#Democracy #InflationCrisis
🤔6👍4
UTEUZI: Balozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi
Kabla hajateuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
Soma - https://jamii.app/UteuziBalozi
#Governance
Kabla hajateuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
Soma - https://jamii.app/UteuziBalozi
#Governance
👍4🤯1
KENYA: Mgombea Urais (Chama cha wa Roots), Profesa George Wajackoyah amesema hatashiriki kwenye Mdahalo unaotarajiwa kufanyika Julai 26, 2022 kwa kudai kuwa matokeo ya Mdahalo huo yameshapangwa
> Anakuwa mgombea wa 2 kujitoa baada ya Raila Odinga
Soma https://jamii.app/MdahaloUrais
#Democracy
> Anakuwa mgombea wa 2 kujitoa baada ya Raila Odinga
Soma https://jamii.app/MdahaloUrais
#Democracy
👍5
DR-CONGO: Takriban Watu watano wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa ktk Siku ya 2 ya maandamano ya kupinga uwepo wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Mataifa ktk Mji wa Goma
> Vikosi hivyo vinadaiwa kushindwa kudhibiti Waasi katika eneo hilo
Soma https://jamii.app/DRCProtests
#JFDiplomasia
> Vikosi hivyo vinadaiwa kushindwa kudhibiti Waasi katika eneo hilo
Soma https://jamii.app/DRCProtests
#JFDiplomasia
👍13👏1
KENYA: Shule ya Mosoriot imefungwa baada ya Mwalimu wa Shule hiyo, Bernard Kirui kubainika aliwaingilia Watoto 3 wa kiume wenye umri wa miaka 11-13
> Inadaiwa Mwalimu alikuwa akilala ktk Bweni la Wavulana licha ya kuwa na chumba alichotengewa
Soma https://jamii.app/WatotoUnyanyasaji
#HakiMtoto
> Inadaiwa Mwalimu alikuwa akilala ktk Bweni la Wavulana licha ya kuwa na chumba alichotengewa
Soma https://jamii.app/WatotoUnyanyasaji
#HakiMtoto
😢10🤔5👍4👎2
UCHAGUZI KENYA: William Ruto amemkosoa Mpinzani wake, Raila Odinga kwa kutoshiriki Mdahalo wa Wagombea Urais akisema kitendo hicho ni kuepuka #Uwajibikaji
Asema Raila si Mgombea halisi, anakimbia Maswali magumu, na hana la kusema kwa Wakenya
Soma - https://jamii.app/RutoDebate
#Kenya2022
Asema Raila si Mgombea halisi, anakimbia Maswali magumu, na hana la kusema kwa Wakenya
Soma - https://jamii.app/RutoDebate
#Kenya2022
😁13👍6
UPDATE: Waliofariki dunia katika maandamano ya kupinga uwepo wa Walinda Amani wa UN Nchini DR Congo wamefikia 15. Miongoni mwao ni Raia 12 na Walinda Amani 3
Waandamanaji wanadai Walinda Amani wameshindwa kudhibiti waasi hivyo uwepo wao hauna faida
Soma https://jamii.app/ChaosDRC2022
#Governance
Waandamanaji wanadai Walinda Amani wameshindwa kudhibiti waasi hivyo uwepo wao hauna faida
Soma https://jamii.app/ChaosDRC2022
#Governance
👍15
#JFDATA: Mashirika mengi bado yanachukulia masuala ya Ulinzi wa Kidigitali kama kitu ambacho si lazima kuwa nacho
Kwa mujibu wa Ripoti ya Acronis (2022), nusu ya Mashirika Duniani hutenga chini ya 10% ya Bajeti yote ya TEHAMA kwenye Usalama wa Kidigitali
86% ya Mashirika Duniani yana wasiwasi kuhusu ongezeko la mashambulizi ya Mtandaoni
Soma zaidi - https://jamii.app/UlinziDigitali7
Kwa mujibu wa Ripoti ya Acronis (2022), nusu ya Mashirika Duniani hutenga chini ya 10% ya Bajeti yote ya TEHAMA kwenye Usalama wa Kidigitali
86% ya Mashirika Duniani yana wasiwasi kuhusu ongezeko la mashambulizi ya Mtandaoni
Soma zaidi - https://jamii.app/UlinziDigitali7
👍7
UMOJA WA MATAIFA (UN): Mashambulizi dhidi ya Askari wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa huko DRC yanaweza kuwa Uhalifu wa Kivita
> Hadi sasa, Wafanyakazi watatu wa Umoja wa Mataifa na Raia 12 wa DRC wameuawa katika matukio hayo
Soma https://jamii.app/GhasiaDRC
#JFDiplomasia
> Hadi sasa, Wafanyakazi watatu wa Umoja wa Mataifa na Raia 12 wa DRC wameuawa katika matukio hayo
Soma https://jamii.app/GhasiaDRC
#JFDiplomasia
👍6👎2
ZAMBIA: Esther Lungu (Mke wa Rais wa zamani) amehojiwa na Wakala wa Kupambana na Utakatishaji Fedha wa Zambia kuhusu umiliki wake wa nyumba 15 zilizopo Lusaka
> Serikali ya Hichilema imekosolewa kuwa inafanya matukio hayo kwa sababu za kisiasa
Soma https://jamii.app/SiasaYaZambia
#Governance
> Serikali ya Hichilema imekosolewa kuwa inafanya matukio hayo kwa sababu za kisiasa
Soma https://jamii.app/SiasaYaZambia
#Governance
👍10👎3👏1
#JFUWAJIBIKAJI: Kulingana na Ripoti ya CAG ya mwaka 2020/21, Serikali za Mitaa 131 zilikusanya Mapato ya Tsh. Bilioni 615.58 sawa na 18% tu ya Matumizi yake ya kawaida
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
👍7
MWANZA: HAKIMU KESI YA 'MFALME ZUMARIDI' AGOMA KUJITOA
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
👍15👎5😁2🔥1🤩1
MOROGORO: Donati Phabian amehukumiwa jela miaka 7 kwa kumuua bila kukusudia Alfred Damas, alimchoma kisu alipomkuta amesimama na mtalaka wake huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
🤔7👍4👎1
ZIMBABWE: Mamlaka ya Kudhibiti Dawa imeruhusu uuzwaji wa bangi katika Maduka ya Dawa ambapo pia Wauzaji wa Rejereja na Jumla wanaohitaji kuuza nje ya Nchi watatakiwa kuomba kibali Serikalini
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
👍22👎3👏2❤1