MUSEVENI: SIKUSEMA UGANDA IMEINGIA UCHUMI WA KATI
Kufuatia wiki kadhaa za taarifa kinzani zilizohusisha Benki ya Dunia (WB) na Ofisi ya Takwimu ya Uganda (Ubos), Rais Yoweri Museveni amesema kauli aliyotoa awali haikumaanisha Uganda tayari imeshaingia Uchumi wa Kati, bali Taifa hilo linaingia katika ngazi hiyo
Soma - https://jamii.app/MuseveniUG-MI
Kufuatia wiki kadhaa za taarifa kinzani zilizohusisha Benki ya Dunia (WB) na Ofisi ya Takwimu ya Uganda (Ubos), Rais Yoweri Museveni amesema kauli aliyotoa awali haikumaanisha Uganda tayari imeshaingia Uchumi wa Kati, bali Taifa hilo linaingia katika ngazi hiyo
Soma - https://jamii.app/MuseveniUG-MI
😁16👍4🤯3😱3
TFF YAMFUNGIA HAJI MANARA MIAKA MIWILI
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na Mpira wa Miguu ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hatia kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye Fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal, Jijini Arusha
#JamiiForums #JFSports
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na Mpira wa Miguu ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hatia kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye Fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal, Jijini Arusha
#JamiiForums #JFSports
👍33👎14😁6🤔4😱2🤬1😢1
TANZIA: Msanii wa Filamu nchini, Farida Sabu maarufu kwa jina la 'Bi Sonia' amefariki dunia leo Julai 21, 2022 akiwa Zanzibar
> Muigizaji huyo alijulikana kupitia Kikundi cha Kaole Sanaa Group
Soma https://jamii.app/BiSoniaAfariki
#JFMatukio
> Muigizaji huyo alijulikana kupitia Kikundi cha Kaole Sanaa Group
Soma https://jamii.app/BiSoniaAfariki
#JFMatukio
😢15
WAZIRI MKUU WA ITALIA AJIUZULU
Mario Draghi amewasilisha barua ya kujiuzulu kwa Rais Sergio Mattarella baada ya Serikali yake ya Muungano kuvunjika
Hali hiyo imeleta sintofahamu kwa Siasa za Italia, na kuathiri Soko la Fedha. Rais Mattarella amemtaka Draghi kubaki katika nafasi ya usimamizi
Soma - https://jamii.app/ItalyPMResigns
#Governance
Mario Draghi amewasilisha barua ya kujiuzulu kwa Rais Sergio Mattarella baada ya Serikali yake ya Muungano kuvunjika
Hali hiyo imeleta sintofahamu kwa Siasa za Italia, na kuathiri Soko la Fedha. Rais Mattarella amemtaka Draghi kubaki katika nafasi ya usimamizi
Soma - https://jamii.app/ItalyPMResigns
#Governance
👍12🤔1
CHAD: Serikali imepiga marufuku mabinti wadogo kusafiri nje ya Nchi bila Wazazi au Kibali cha Wazazi
> Hatua hiyo ni katika kupambana Biashara Haramu ya Usafirishaji Watu na wimbi la Wasichana wadogo kutumikishwa kingono katika Nchi jirani
Soma https://jamii.app/MabintiChad
#HumanTrafficking
> Hatua hiyo ni katika kupambana Biashara Haramu ya Usafirishaji Watu na wimbi la Wasichana wadogo kutumikishwa kingono katika Nchi jirani
Soma https://jamii.app/MabintiChad
#HumanTrafficking
👍15👏2
Umoja wa Ulaya umeidhinisha vikwazo vipya dhidi ya #Russia ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku kuagiza dhahabu kutoka nchini humo na kuzuia mali za #Sberbank
> Usafirishaji wa dhahabu ndio chanzo kikuu cha mapato ya Urusi
Soma https://jamii.app/NewEuSanctions
#JFDiplomasia
> Usafirishaji wa dhahabu ndio chanzo kikuu cha mapato ya Urusi
Soma https://jamii.app/NewEuSanctions
#JFDiplomasia
👍8👎7🥰3😁1
KENYA: FACEBOOK YAFUTA MAELFU YA MAUDHUI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Facebook imeondoa machapisho zaidi ya 37,000 yaliyohamasisha chuki na 42,000 kwa kukiuka Sera yake ya ghasia
Pia, imekataa matangazo 36,000 ya kisiasa kwa kutofuata Sheria zake
Soma - https://jamii.app/FacebookKenya
#Kenya2022
Facebook imeondoa machapisho zaidi ya 37,000 yaliyohamasisha chuki na 42,000 kwa kukiuka Sera yake ya ghasia
Pia, imekataa matangazo 36,000 ya kisiasa kwa kutofuata Sheria zake
Soma - https://jamii.app/FacebookKenya
#Kenya2022
👍7
Elimu ya Digitali ni hitaji muhimu la Mafanikio katika mazingira ya sasa
Hata hivyo, Mafunzo na Vifaa katika Shule na Vyuo vingi barani Afrika bado haviendani na kasi ya ukuaji wa Teknolojia
Wanafunzi wengi wanaotaka Ujuzi wa TEHAMA hawana njia nyingine na hulazimika kulipia mafunzo, hali hii ni kikwazo kwa wasioweza kujikimu kimaisha
Soma zaidi > https://jamii.app/UjuziTEHAMA
Hata hivyo, Mafunzo na Vifaa katika Shule na Vyuo vingi barani Afrika bado haviendani na kasi ya ukuaji wa Teknolojia
Wanafunzi wengi wanaotaka Ujuzi wa TEHAMA hawana njia nyingine na hulazimika kulipia mafunzo, hali hii ni kikwazo kwa wasioweza kujikimu kimaisha
Soma zaidi > https://jamii.app/UjuziTEHAMA
👍9
SIHA: Madiwani na Mbunge wamekataa kupokea Mradi wa Maji wa Gararagua uliojengwa kwa zaidi ya Tsh. Bilioni 1.7 kwa madai umejengwa chini ya kiwango
> Meneja wa RUWASA-SIHA amesema hakuna tatizo lolote katika mradi huo na yaliyopo ni ya kawaida
Soma https://jamii.app/MradiSiha
#JFUwajibikaji
> Meneja wa RUWASA-SIHA amesema hakuna tatizo lolote katika mradi huo na yaliyopo ni ya kawaida
Soma https://jamii.app/MradiSiha
#JFUwajibikaji
👏8👍4🔥2😁1
LINGARD ATIMKIA NOTTINGHAM FOREST
Mchezaji wa zamani wa Man. United, Jesse Lingard (29) amejiunga na Nottingham baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja
Amechagua kujiunga na Klabu hiyo iliyopanda daraja msimu huu licha ya kuwaniwa pia na West Ham United na Everton
#JFSports
Mchezaji wa zamani wa Man. United, Jesse Lingard (29) amejiunga na Nottingham baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja
Amechagua kujiunga na Klabu hiyo iliyopanda daraja msimu huu licha ya kuwaniwa pia na West Ham United na Everton
#JFSports
😁8👏4👍3👎1🤯1
PAPE SAKHO ASHINDA TUZO YA GOLI BORA CAF
Ameshinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za CAF. Alifunga Goli hilo dhidi ya ASEC Mimosas, Februari 13, 2022
Amewashinda Gabadinho wa Orlando na El Moutaraji wa Wydad
Soma > https://jamii.app/GoliBoraCAF
#CAFAwards2022 #JFSports
Ameshinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za CAF. Alifunga Goli hilo dhidi ya ASEC Mimosas, Februari 13, 2022
Amewashinda Gabadinho wa Orlando na El Moutaraji wa Wydad
Soma > https://jamii.app/GoliBoraCAF
#CAFAwards2022 #JFSports
👍34❤9😁2
COLOMBO, SRI LANKA: Vikosi vya Usalama vimevamia kambi ya Waandamanaji na kuwafukuza waliokuwa nje ya Ofisi ya Rais
Baada ya kuapishwa, Rais Ranil Wickremesinghe alionya kuwa watakaoweka makazi kwenye majengo ya Serikali watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/SLProtestors
#Democracy
Baada ya kuapishwa, Rais Ranil Wickremesinghe alionya kuwa watakaoweka makazi kwenye majengo ya Serikali watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/SLProtestors
#Democracy
👍5👎3
KITU GANI HUSABABISHA CHUKI KAZINI?
Mdau wa JamiiForums.com anasema ni dhahiri Binadamu tunatofautiana, lakini chuki, visasi, ubaya na mengine yasiyopendeza huletwa na nini?
Anauliza: Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo? Unajua zaidi yao na unaonekana tishio? Au inatokea tu Mtu kukuchukia bila sababu ya msingi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ChukiKazini
#JFMaisha
Mdau wa JamiiForums.com anasema ni dhahiri Binadamu tunatofautiana, lakini chuki, visasi, ubaya na mengine yasiyopendeza huletwa na nini?
Anauliza: Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo? Unajua zaidi yao na unaonekana tishio? Au inatokea tu Mtu kukuchukia bila sababu ya msingi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ChukiKazini
#JFMaisha
👍7🤔4🤩1
KENYA: Tume Huru ya Uchaguzi imesema kukamatwa kwa Wakandarasi wa Smartmatic International BV kutaathiri Uchaguzi kwa kuwa hao ndio Wawekaji na Wasimamizi ya Teknolojia ya Uchaguzi
> Mamlaka hazijaweka wazi sababu za kuwashikilia Wakandarasi hao
Soma https://jamii.app/UchaguziKenya2022
#Kenya2022
> Mamlaka hazijaweka wazi sababu za kuwashikilia Wakandarasi hao
Soma https://jamii.app/UchaguziKenya2022
#Kenya2022
👍5🤩5
Kwa mujibu wa Ripoti ya mwaka 2021 ya Taasisi ya Article 19, #UhuruWaKujieleza unaendelea kupotezwa polepole lakini kwa nguvu kubwa katika maeneo mbalimbali duniani
Bila mtiririko huru wa mawazo na ukosoaji, Jamii haiwezi kuchochea ustawi wa wengi. Katika Nchi yoyote, Raia wanapokosa Uhuru wa Kuzungumza inakuwa ngumu kutatua matatizo yanayohitaji kutatuliwa
Soma zaidi - https://jamii.app/UhuruKujieleza1
#FreedomOfExpression
Bila mtiririko huru wa mawazo na ukosoaji, Jamii haiwezi kuchochea ustawi wa wengi. Katika Nchi yoyote, Raia wanapokosa Uhuru wa Kuzungumza inakuwa ngumu kutatua matatizo yanayohitaji kutatuliwa
Soma zaidi - https://jamii.app/UhuruKujieleza1
#FreedomOfExpression
👍5❤1
HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAPINGA KUFUKUZWA CHADEMA MAHAKAMANI
Katika Shauri walilofungua, wanapinga uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya kukubali kuapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum bila ridhaa ya Chama
Soma - https://jamii.app/Wabunge19Kesi
#JFSiasa
Katika Shauri walilofungua, wanapinga uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya kukubali kuapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum bila ridhaa ya Chama
Soma - https://jamii.app/Wabunge19Kesi
#JFSiasa
👍4🤔1
Pengo kati ya Wanaume na Wanawake katika upatikanaji na matumizi ya Intaneti ni changamoto duniani kote. Asilimia kubwa ya watu Bilioni 2.9 ambao hawafikiwi na Huduma hiyo ni Wanawake na Wasichana
Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya sababu kubwa ni Kipato, Eneo na Elimu
Soma zaidi - https://jamii.app/PengoDigitali2
#DigitalRights
Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya sababu kubwa ni Kipato, Eneo na Elimu
Soma zaidi - https://jamii.app/PengoDigitali2
#DigitalRights
😁4👍2
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#Ajira
#Ajira
UGONJWA WA #MONKEYPOX: Wataalamu wa Afya wa #WHO wamekutana kujadiliana kuona kama kuna ulazima wa kutangaza ugonjwa huo kuwa ni hali ya dharura
> Kuna kesi 15,400 za maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu Mei 2022
Soma https://jamii.app/MonkeypoxUpdates
#JFAfya
> Kuna kesi 15,400 za maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu Mei 2022
Soma https://jamii.app/MonkeypoxUpdates
#JFAfya
👍5
DAR: Watu 9 wanashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na tukio la Ujambazi lililotokea usiku wa kuamkia leo Julai 22, 2022 ktk Kiwanda cha Sheri-Keko, Wilaya ya Temeke
> Wamekutwa na gari (T201 DXN) aina ya Toyota Hiace ikiwa imebeba mali za wizi
Soma https://jamii.app/WahalifuDar
> Wamekutwa na gari (T201 DXN) aina ya Toyota Hiace ikiwa imebeba mali za wizi
Soma https://jamii.app/WahalifuDar
👍7👎1