DODOMA: Serikali imewapa siku 7 Wakazi wa Msalato waliojiorodhesha kudai fidia katika ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato wakitambua wao si wamiliki halali wa viwanja, kufuta majina yao Ofisi za Serikali ya Mtaa
> Watakaokaidi watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/ArdhiDodoma
#JFUwajibikaji
> Watakaokaidi watachukuliwa hatua
Soma https://jamii.app/ArdhiDodoma
#JFUwajibikaji
π5
UBAKAJI NA ULAWITI MBIONI KUKOSA DHAMANA
Serikali inakusudia kurekebisha Sheria ili kuwezesha kuwajibishwa kwa Watuhumiwa wa makosa hayo kikamilifu
> Ni baada ya utafiti kuonesha Watuhumiwa hutoroka au kumalizana na Waathirika kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/UbakajiDhamana
#JFUwajibikaji
Serikali inakusudia kurekebisha Sheria ili kuwezesha kuwajibishwa kwa Watuhumiwa wa makosa hayo kikamilifu
> Ni baada ya utafiti kuonesha Watuhumiwa hutoroka au kumalizana na Waathirika kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/UbakajiDhamana
#JFUwajibikaji
π7
KENYA: Jacob Ochola, (62) anayedai kuwa Mtoto wa kwanza wa Rais Mwai Kibaki, amefungua shauri la kutaka kutambuliwa na familia ya Hayati huyo kama Mwanafamilia na sehemu ya Warithi
> Pia, ametaka familia kuweka wazi iwapo ametajwa kwenye wosia
Soma https://jamii.app/KibakisAllegedSon
#JamiiForums
> Pia, ametaka familia kuweka wazi iwapo ametajwa kwenye wosia
Soma https://jamii.app/KibakisAllegedSon
#JamiiForums
π18π€3π1π€―1
RUSHWA YA NGONO VYUONI: UNESCO imezindua Dawati la Jinsia katika Chuo Kikuu cha Dodoma kushughulikia ukatili wa aina hiyo
> Unadhani nini kifanyike kuondoa ukatili wa kijinsia Vyuoni Nchini?
Soma https://jamii.app/UkatiliVyuoni
#GenderViolence #KemeaRushwa #HumanRights
> Unadhani nini kifanyike kuondoa ukatili wa kijinsia Vyuoni Nchini?
Soma https://jamii.app/UkatiliVyuoni
#GenderViolence #KemeaRushwa #HumanRights
π16π€©1
MALEZI: Tabia ya Watoto kupelekwa kwa Babu na Bibi kisha kutojaliwa katika matunzo imetajwa kuongezeka Mkoani Njombe
Inaelezwa, wanaathirika wengi wa ukatili ni wale wanaolelewa na Babu na Bibi zao huku Wazazi wakiwa na migogoro au majukumu mengine
Soma https://jamii.app/HakiZaMtotoNjombe
#HakiMtoto
Inaelezwa, wanaathirika wengi wa ukatili ni wale wanaolelewa na Babu na Bibi zao huku Wazazi wakiwa na migogoro au majukumu mengine
Soma https://jamii.app/HakiZaMtotoNjombe
#HakiMtoto
π5π’1
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta baada ya kuhitimishwa kwa mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Rais Kenyatta anamalizia Muhula wake kama Kiongozi wa Kenya, pia ameshakabidhi Uenyekiti wa EAC kwa Rais wa Burundi, Γvariste Ndayishimiye
#Governance
Rais Kenyatta anamalizia Muhula wake kama Kiongozi wa Kenya, pia ameshakabidhi Uenyekiti wa EAC kwa Rais wa Burundi, Γvariste Ndayishimiye
#Governance
π11β€1
MAUZO YA NAFAKA: UKRAINE NA URUSI ZASAINI MAKUBALIANO
Ni makubaliano ya kuruhusu mauzo ya nafaka kutoka Bandari ya Bahari Nyeusi ya Ukraine yanayolenga kupunguza uhaba wa Chakula duniani
Vita ilisababisha Bandari kufungwa na kukwamisha usafirishaji
Soma https://jamii.app/RussiaUkraineWar
#FoodSecurity
Ni makubaliano ya kuruhusu mauzo ya nafaka kutoka Bandari ya Bahari Nyeusi ya Ukraine yanayolenga kupunguza uhaba wa Chakula duniani
Vita ilisababisha Bandari kufungwa na kukwamisha usafirishaji
Soma https://jamii.app/RussiaUkraineWar
#FoodSecurity
π11π5
MAREKANI YATOA SILAHA ZA TSH. BILIONI 627 KWA UKRAINE
Msaada unahusisha roketi 4 za HIMARS, ndege 580 ndogo zisizo na rubani, risasi 36,000 za bunduki za M777
> Marekani imetumia jumla ya Tsh. Trilioni 19 kuisaidia Ukraine tangu kuanza kwa vita
Soma https://jamii.app/MsaadKwaUkraine
#Transparency
Msaada unahusisha roketi 4 za HIMARS, ndege 580 ndogo zisizo na rubani, risasi 36,000 za bunduki za M777
> Marekani imetumia jumla ya Tsh. Trilioni 19 kuisaidia Ukraine tangu kuanza kwa vita
Soma https://jamii.app/MsaadKwaUkraine
#Transparency
π€12π8π7π3π₯2
CHUNYA-MBEYA: Change Mawanga (32) amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kumbaka na kumlawiti Mtoto (4) wa dada yake
Ukatili huo unashamiri Wilayani Chunya kutokana na imani kuwa mtu akibaka au kulawiti mtoto hupata dhahabu
> Nini kifanyike kukomesha ukatili huu kwa Watoto?
Soma https://jamii.app/JelaUbakaji
#HakiMtoto
Ukatili huo unashamiri Wilayani Chunya kutokana na imani kuwa mtu akibaka au kulawiti mtoto hupata dhahabu
> Nini kifanyike kukomesha ukatili huu kwa Watoto?
Soma https://jamii.app/JelaUbakaji
#HakiMtoto
π12
KUFUZU CHAN 2023: SOMALIA 0-1 TANZANIA
#TaifaStars imeshinda 1-0 dhidi ya Somalia, goli likifungwa na Abdul Hamis Sopu
Mchezo huo wa Kufuzu CHAN 2023 umefanyika katika Uwanja wa Mkapa, na timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo katika uwanja huo huo
Soma > https://jamii.app/KufuzuCHAN2023
#JFSports #CHAN2023
#TaifaStars imeshinda 1-0 dhidi ya Somalia, goli likifungwa na Abdul Hamis Sopu
Mchezo huo wa Kufuzu CHAN 2023 umefanyika katika Uwanja wa Mkapa, na timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo katika uwanja huo huo
Soma > https://jamii.app/KufuzuCHAN2023
#JFSports #CHAN2023
π24π7π4
HUDUMA YA INTANETI: NINI MAONI YAKO KUHUSU MABADILIKO YA VIFURUSHI?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wamelalamikia kitendo cha baadhi ya Kampuni za Simu kupunguza ukubwa wa Vifurushi vya Intaneti ghafla, na pasipo taarifa rasmi
Wanahoji: Je, Kampuni za Simu zinafanya zitakavyo? Zitaendelea kubadilisha Vifurushi vya Intaneti bila kutoa taarifa mpaka lini?
Mjadala > https://jamii.app/HudumaIntanetiTZ
#DigitalRights
Wadau ndani ya JamiiForums.com wamelalamikia kitendo cha baadhi ya Kampuni za Simu kupunguza ukubwa wa Vifurushi vya Intaneti ghafla, na pasipo taarifa rasmi
Wanahoji: Je, Kampuni za Simu zinafanya zitakavyo? Zitaendelea kubadilisha Vifurushi vya Intaneti bila kutoa taarifa mpaka lini?
Mjadala > https://jamii.app/HudumaIntanetiTZ
#DigitalRights
π±12π10π’2π1
MDAU: KUFANYA MAZOEZI KANDO YA BARABARA SI SALAMA
Anasema wengi wa wanaokimbia kando ya barabara hugongwa na Vyombo vya Usafiri kwani wanakimbia bila tahadhari
Pia, moshi wa Vyombo vya Usafiri si salama kwa anayekimbia
Soma zaidi - https://jamii.app/JoggingBarabarani
#JFAfya
Anasema wengi wa wanaokimbia kando ya barabara hugongwa na Vyombo vya Usafiri kwani wanakimbia bila tahadhari
Pia, moshi wa Vyombo vya Usafiri si salama kwa anayekimbia
Soma zaidi - https://jamii.app/JoggingBarabarani
#JFAfya
π22
CHANJO YA COVID-19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na Corona kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya Watu kuambukizwa Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/ChanjoMabadiliko
#COVID19 #JFAfya
Soma https://jamii.app/ChanjoMabadiliko
#COVID19 #JFAfya
π6π2π1
RAILA ODINGA: SIPO TAYARI KUSHIRIKI MDAHALO NA RUTO
Amesema hayupo tayari kushirikiana na Mpinzani wake mkuu kwa madai
ni wazo baya kuungana na William Ruto jukwaani, kwani Kiongozi huyo atafanya na kusema lolote ili kupata Madaraka
Soma - https://jamii.app/RailaRutoDebate
#Kenya2022
Amesema hayupo tayari kushirikiana na Mpinzani wake mkuu kwa madai
ni wazo baya kuungana na William Ruto jukwaani, kwani Kiongozi huyo atafanya na kusema lolote ili kupata Madaraka
Soma - https://jamii.app/RailaRutoDebate
#Kenya2022
π11π5
Mdau wa JamiiForums.com anasema
Muonekano, mali, kazi na elimu visiwe vigezo vya kuchagua mwenza wa maisha
Ameshauri kuzingatia mwenye hofu ya Mungu na kujali, kukuheshimu, na mshauri wa mambo ya kimaendeleo
> Je, una maoni gani kwenye hoja ya Mdau?
Soma https://jamii.app/MwenzaWaMaisha
#JFMahusiano
Muonekano, mali, kazi na elimu visiwe vigezo vya kuchagua mwenza wa maisha
Ameshauri kuzingatia mwenye hofu ya Mungu na kujali, kukuheshimu, na mshauri wa mambo ya kimaendeleo
> Je, una maoni gani kwenye hoja ya Mdau?
Soma https://jamii.app/MwenzaWaMaisha
#JFMahusiano
π18
MALAYSIA: Zaidi ya Watu 500 wamekusanyika na kuandamana wakilalamikia gharama za maisha kuwa kubwa Jijini Kuala Lumpur
> Wanalalamikia ongezeko la bei za bidhaa, usalama wa chakula na misaada kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/ProtestInMalaysia
#Governance
> Wanalalamikia ongezeko la bei za bidhaa, usalama wa chakula na misaada kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/ProtestInMalaysia
#Governance
π13π₯2π1
#TUNISIA: RASIMU YA KATIBA MPYA KUPIGIWA KURA
Katiba hiyo inayolalamikiwa kumpa Madaraka makubwa Rais Kais Saied imepingwa na Vyama vya Siasa pamoja na Asasi za Kiraia. Hivi karibuni yamekuwepo Maandamano ya kutoiunga mkono
Wakosoaji wa Rais Saied wanahofia itaua Demokrasia
Soma - https://jamii.app/TunisiaVotes
#Democracy
Katiba hiyo inayolalamikiwa kumpa Madaraka makubwa Rais Kais Saied imepingwa na Vyama vya Siasa pamoja na Asasi za Kiraia. Hivi karibuni yamekuwepo Maandamano ya kutoiunga mkono
Wakosoaji wa Rais Saied wanahofia itaua Demokrasia
Soma - https://jamii.app/TunisiaVotes
#Democracy
π11
WAKIMBIZI 17 WAFARIKI WAKIWA NJIANI KWENDA MAREKANI
Ni baada ya Mashua waliyokuwa wakitumia kuzama baharini. Mbali na vifo vya Wakimbizi hao waliotoka Haiti, watu wengine hawajulikani walipo
Mashua hiyo ilikuwa inaelekea Jijini Miami
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi17Haiti
#DrowningPrevention
Ni baada ya Mashua waliyokuwa wakitumia kuzama baharini. Mbali na vifo vya Wakimbizi hao waliotoka Haiti, watu wengine hawajulikani walipo
Mashua hiyo ilikuwa inaelekea Jijini Miami
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi17Haiti
#DrowningPrevention
π’4π1
Kuzama kwenye Maji kunatajwa kuwa tatizo kubwa la #Afya ya Umma duniani, na inakadiriwa Watu wapatao 236,000 huzama kila mwaka. Nchi za Uchumi wa Chini na Kati huchangia zaidi ya 90% ya vifo vya kuzama bila kukusudia
Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, kuzama kwenye maji ni miongoni mwa sababu kuu za vifo kwa Watoto na Vijana wenye umri kati ya mwaka 1 - 24
Fahamu zaidi - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention #PublicHealth
Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, kuzama kwenye maji ni miongoni mwa sababu kuu za vifo kwa Watoto na Vijana wenye umri kati ya mwaka 1 - 24
Fahamu zaidi - https://jamii.app/WDPD2022
#DrowningPrevention #PublicHealth
π11
TFF YAMSHTAKI KOCHA AZAM FC KISA VYETI VYAKE
Sekretarieti ya TFF imemshtaki Kocha wa Azam FC U-17, Mohamed Badru kwa Kamati ya Maadili kwa madai ya kuwasilisha vyeti visivyo sahihi
Shauri lake litapangiwa tarehe ya kusikilizwa
Soma > https://jamii.app/KochaAzamFC
#JFSports
Sekretarieti ya TFF imemshtaki Kocha wa Azam FC U-17, Mohamed Badru kwa Kamati ya Maadili kwa madai ya kuwasilisha vyeti visivyo sahihi
Shauri lake litapangiwa tarehe ya kusikilizwa
Soma > https://jamii.app/KochaAzamFC
#JFSports
π6π3π€©1