JULAI 7: SIKU YA KISWAHILI DUNIANI
Siku hii inalenga kukuza matumizi ya Lugha hiyo kama nguzo ya Umoja, Ustawi na Amani
#Kiswahili ni miongoni mwa Lugha zinazotumiwa zaidi Afrika, na kwa Mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) ni kati ya Lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi duniani, ikiwa na wazungumzaji zaidi ya Milioni 200
Soma - https://jamii.app/SikuKiswahili
#KiswahiliLanguageDay #JFLugha
Siku hii inalenga kukuza matumizi ya Lugha hiyo kama nguzo ya Umoja, Ustawi na Amani
#Kiswahili ni miongoni mwa Lugha zinazotumiwa zaidi Afrika, na kwa Mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) ni kati ya Lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi duniani, ikiwa na wazungumzaji zaidi ya Milioni 200
Soma - https://jamii.app/SikuKiswahili
#KiswahiliLanguageDay #JFLugha
👍18👏4👎1
#JFDATA: Idadi ya Vijana wasio katika Ajira, #Elimu au Mafunzo (Not in Employment, Education or Training) inaongezeka
Ripoti ya ILO inasema Vijana Barani Afrika wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na Uchumi unaokua lakini usioweza kutengeneza Ajira za kutosha
Serikali zinashauriwa kuandaa Mipango Kazi ya Kitaifa inayolenga #Ajira kwa Vijana
Soma zaidi - https://jamii.app/AjiraVijanaILO
Ripoti ya ILO inasema Vijana Barani Afrika wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na Uchumi unaokua lakini usioweza kutengeneza Ajira za kutosha
Serikali zinashauriwa kuandaa Mipango Kazi ya Kitaifa inayolenga #Ajira kwa Vijana
Soma zaidi - https://jamii.app/AjiraVijanaILO
👍8
UINGEREZA: BORIS JOHNSON KUJIUZULU
Kwa mujibu wa BBC, Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anatarajiwa kujiuzulu kama Kiongozi wa Chama baada ya Mawaziri wake na Wabunge kutomuunga mkono
Mchakato wa Uongozi mpya utafanyika, na inatarajiwa kufikia Oktoba Waziri Mkuu mpya atakuwa amepatikana. Ripoti za awali zinadai kwa wakati huu, Johnson anadhamiria kuendelea kuhudumu kama Waziri Mkuu
Soma - https://jamii.app/BorisOUT
#Accountability
Kwa mujibu wa BBC, Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anatarajiwa kujiuzulu kama Kiongozi wa Chama baada ya Mawaziri wake na Wabunge kutomuunga mkono
Mchakato wa Uongozi mpya utafanyika, na inatarajiwa kufikia Oktoba Waziri Mkuu mpya atakuwa amepatikana. Ripoti za awali zinadai kwa wakati huu, Johnson anadhamiria kuendelea kuhudumu kama Waziri Mkuu
Soma - https://jamii.app/BorisOUT
#Accountability
👍14
SI KOSA ASKARI AKIKUOMBA LESENI UKAWA HUNA KWA WAKATI HUO
Mdau wa Jukwaa la Sheria ndani ya JamiiForums.com anatoa Elimu kuwa Askari wa Usalama Barabarani anapomuomba Dereva leseni barabarani kama akiwa hana kwa muda huo sio kosa Kisheria
Kifungu cha 77 cha Sheria ya Usalama Barabarani kinamtaka Dereva wa Chombo cha Moto kutembea na leseni
Kifungu cha 77(1) cha Sheria hiyo kinasema Dereva ana muda wa siku tatu za kutoa au kuonesha leseni yake, akishindwa hapo ndipo linaweza kuwa kosa
Soma - https://jamii.app/DerevaLeseni
#JFSheria
Mdau wa Jukwaa la Sheria ndani ya JamiiForums.com anatoa Elimu kuwa Askari wa Usalama Barabarani anapomuomba Dereva leseni barabarani kama akiwa hana kwa muda huo sio kosa Kisheria
Kifungu cha 77 cha Sheria ya Usalama Barabarani kinamtaka Dereva wa Chombo cha Moto kutembea na leseni
Kifungu cha 77(1) cha Sheria hiyo kinasema Dereva ana muda wa siku tatu za kutoa au kuonesha leseni yake, akishindwa hapo ndipo linaweza kuwa kosa
Soma - https://jamii.app/DerevaLeseni
#JFSheria
👍40👏7🔥1🥰1
Mdau ndani ya JamiiForums.com anasema kila mtu anatamani kutimiza malengo aliyonayo hususani ya kuishi maisha bora na salama
Anashauri kuwa na nidhamu ya fedha na kufanya kazi kwa bidii
Msome - https://jamii.app/MdauMalengo
#JFMaisha
Anashauri kuwa na nidhamu ya fedha na kufanya kazi kwa bidii
Msome - https://jamii.app/MdauMalengo
#JFMaisha
👍13❤10
Waziri wa Afya amewataka Watoa Huduma za Afya Nchini kutolazimisha Chanjo ya #COVID19 kwa Watu wanaofika vituoni kwa ajili ya kupata huduma, kufanya hivyo ni Kinyume cha Miongozo na Maadili ya Taaluma za Watoa Huduma
Soma - https://jamii.app/ChanjoSiLazima
#JFAfya #UVIKO19
Soma - https://jamii.app/ChanjoSiLazima
#JFAfya #UVIKO19
👍16👏1
RASMI: BORIS JOHNSON ATANGAZA KUJIUZULU UWAZIRI MKUU WA UINGEREZA
Boris Johnson ametangaza maamuzi hayo leo Julai 7, 2022 akisema anaacha kazi bora Duniani
> Ataendelea kuwepo ofisini hadi chama chake kitakapochagua Kiongozi mwingine
Soma - https://jamii.app/BorisAjiuzulu
#Accountability
Boris Johnson ametangaza maamuzi hayo leo Julai 7, 2022 akisema anaacha kazi bora Duniani
> Ataendelea kuwepo ofisini hadi chama chake kitakapochagua Kiongozi mwingine
Soma - https://jamii.app/BorisAjiuzulu
#Accountability
👍23🤔1
MAUAJI YA WATU 7 WA FAMILIA MOJA: Jeshi la Polisi Kigoma limezuia maziko ya James Januari (4) ili kuchukua sampuli ya damu ya mwili huo na pia miili 6 ambayo imeshazikwa inaweza kufukuliwa ili kukamilisha ushahidi wa sampuli ya damu
Soma - https://jamii.app/Miili7Kigoma
Soma - https://jamii.app/Miili7Kigoma
👍8😢5
NIGERIA: Watu wenye silaha wameshambulia gereza katika Mji wa Abuja na kusababisha wafungwa zaidi ya 600 kati ya 994 kutoroka
> 300 kati yao wamekamatwa na kurejeshwa, huku juhudi za kuwatafuta wengine zikiendelea
Soma - https://jamii.app/InmatesEscapeInNigeria
> 300 kati yao wamekamatwa na kurejeshwa, huku juhudi za kuwatafuta wengine zikiendelea
Soma - https://jamii.app/InmatesEscapeInNigeria
👍10
JAPAN: WAZIRI MKUU WA ZAMANI APIGWA RISASI
Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara
Abe alidondoka na alionekana akitoka damu
Soma - https://jamii.app/ShinzoAbeShot
Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara
Abe alidondoka na alionekana akitoka damu
Soma - https://jamii.app/ShinzoAbeShot
👍12🤔5👎3🤯2
MAN. UTD YAMUACHA RONALDO KATIKA ZIARA
Cristiano Ronaldo ameongezewa muda wa kubaki nyumbani wakati Kikosi cha Manchester United kinasafiri kuanza ziara ya maandalizi ya msimu ujao
> Bado haijajulikana kama Ronaldo atauzwa au la
Soma - https://jamii.app/ManURonaldo
#JFSports
Cristiano Ronaldo ameongezewa muda wa kubaki nyumbani wakati Kikosi cha Manchester United kinasafiri kuanza ziara ya maandalizi ya msimu ujao
> Bado haijajulikana kama Ronaldo atauzwa au la
Soma - https://jamii.app/ManURonaldo
#JFSports
👍7😁2
Mashambulizi yametokea Mashariki mwa DRC kati ya Jeshi la Congo na M23 licha ya Rais wa Rwanda na wa DRC kukubaliana kupunguza uhasama kuhusiana na mapigano hayo
> Pande zote mbili zimekuwa zikishutumiana kuanzisha uchokozi
Soma - https://jamii.app/DRCM23Clashes
> Pande zote mbili zimekuwa zikishutumiana kuanzisha uchokozi
Soma - https://jamii.app/DRCM23Clashes
👍10
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#JamiiForums
#JamiiForums
👍3
KENYA: Waziri wa Mambo ya Ndani Nchini humo, Fred Matiang'i ametangaza Siku ya Jumatatu (Julai 11, 2022) kuwa ya mapumziko ili kuruhusu Sikukuu ya Eid El-Adh'haa kusherehekewa
Kwa Tanzania, Sikukuu hiyo imetangazwa kuwa Siku ya Jumapili (Julai 10, 2022) na Sherehe za Kitaifa zitafanyika Mkoa wa Dar es Salaam
Soma - https://jamii.app/EidKenya
#JamiiForums
Kwa Tanzania, Sikukuu hiyo imetangazwa kuwa Siku ya Jumapili (Julai 10, 2022) na Sherehe za Kitaifa zitafanyika Mkoa wa Dar es Salaam
Soma - https://jamii.app/EidKenya
#JamiiForums
👍4🤔2😁1🎉1
ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA JAPAN, SHINZO ABE AFARIKI DUNIA
Muda mfupi baada ya Ripoti za kupigwa risasi wakati akihutubia katika Kampeni, Shirika la NHK limeripoti kuwa Shinzo Abe ambaye ni Waziri Mkuu aliyehudumu kwa kipindi kirefu zaidi Nchini Japan amefariki dunia
Shambulio limetokea katika Mji wa Nara, na inaripotiwa kuwa Mtuhumiwa amekamatwa
Abe (67) alihudumu kama Waziri kati ya 2006 - 2007, na akaongoza tena katika nafasi hiyo kuanzia 2012 - 2020
Soma - https://jamii.app/ShinzoAbeShot
Muda mfupi baada ya Ripoti za kupigwa risasi wakati akihutubia katika Kampeni, Shirika la NHK limeripoti kuwa Shinzo Abe ambaye ni Waziri Mkuu aliyehudumu kwa kipindi kirefu zaidi Nchini Japan amefariki dunia
Shambulio limetokea katika Mji wa Nara, na inaripotiwa kuwa Mtuhumiwa amekamatwa
Abe (67) alihudumu kama Waziri kati ya 2006 - 2007, na akaongoza tena katika nafasi hiyo kuanzia 2012 - 2020
Soma - https://jamii.app/ShinzoAbeShot
😢20👍4
Issa Said Mbogo (Fundi wa Vifaa vya Umeme) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuchezea Vifaa vya Kudhibiti Mwendo kwenye Mabasi (VTS), akidaiwa kuvuruga mifumo hiyo ili Madereva wa Mabasi waendeshe kwa mwendo kasi
> Amekamatwa Nzega-Tabora
Soma - https://jamii.app/FundiAkamatwa
> Amekamatwa Nzega-Tabora
Soma - https://jamii.app/FundiAkamatwa
👍12👏4
GHANA: Wahudumu wa Afya washauriwa kujiandaa na uwezekano wa mlipuko wa #Marburg baada ya kurekodi visa viwili vya virusi vya ugonjwa huo ulio familia moja na Virusi vya #Ebola
> Dalili za Virusi hivyo ni Kuhara, Homa, Kichefuchefu na Kutapika
Soma - https://jamii.app/MarburgVirusGhana
#JFAfya
> Dalili za Virusi hivyo ni Kuhara, Homa, Kichefuchefu na Kutapika
Soma - https://jamii.app/MarburgVirusGhana
#JFAfya
🤔4👍2❤1
RIPOTI: Kupanda kwa Bei za Vyakula na Nishati kutokana na Vita inayoendelea #Ukraine kumepelekea takriban Watu Milioni 71 kutoka Nchi zinazoendelea kutumbukia katika umasikini
Baadhi ya Mataifa yaliyoathiriwa zaidi ni Burkina Faso, Ghana, Sudan, Haiti, Pakistan na #SriLanka
Soma - https://jamii.app/UNDPReport
Baadhi ya Mataifa yaliyoathiriwa zaidi ni Burkina Faso, Ghana, Sudan, Haiti, Pakistan na #SriLanka
Soma - https://jamii.app/UNDPReport
😢5👍1👎1
MAHAKAMA YARIDHIA HALIMA MDEE NA WENZAKE KUPINGA KUFUKUZWA CHADEMA
Halima Mdee pamoja na wenzake 18 wameruhusiwa kufungua shauri la kupinga uamuzi wa CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya Mahakama Kuu kukubaliana na hoja za maombi yao
Soma - https://jamii.app/MahakamaMdeeCDM
#JFSiasa
Halima Mdee pamoja na wenzake 18 wameruhusiwa kufungua shauri la kupinga uamuzi wa CHADEMA kuwavua Uanachama baada ya Mahakama Kuu kukubaliana na hoja za maombi yao
Soma - https://jamii.app/MahakamaMdeeCDM
#JFSiasa
😁17👍7👎1
RAIS WA ZAMANI WA ANGOLA AFARIKI DUNIA
José Eduardo dos Santos aliyeongoza Angola kuanzia mwaka 1979 - 2017 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79
Inaripotiwa amefariki Barcelona Nchini Uhispania kufuatia maradhi ya muda mrefu
Soma - https://jamii.app/DosSantosDead
José Eduardo dos Santos aliyeongoza Angola kuanzia mwaka 1979 - 2017 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79
Inaripotiwa amefariki Barcelona Nchini Uhispania kufuatia maradhi ya muda mrefu
Soma - https://jamii.app/DosSantosDead
😢10😁6👍5